KAMA UNATABIA HII CHAFU WEWE UMEANGAMIA //SHEIKHN OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 37

  • @shoaibsalman6825
    @shoaibsalman6825 4 месяца назад +1

    Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh.Afwan,nawausia nakuusia nafsi yangu tujitahidini kua wakweli na tutafaulu.Allah atutangulie Allahuma ameen🙌

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq 4 месяца назад +2

    Jazakumllahu khayra shekh wetu hii daawa leo imenigusa 😢😢😢 wallah ewe mola wetu tusamehe waja wako dwaifu twakutegemea ww hkk y ww ghafuru rahiim tusamehe dhambi zetu amiin 😢😢 astaghafiru llah min kul dhambi tuubuna illa llah amiin mola akubariki akupe kheri dunian na akhera peponi shekh wetu...tunajisahau xn nafsi zetu wallah mola atuongoze...

  • @user-mu3cb8iy2h
    @user-mu3cb8iy2h 4 месяца назад

    Yerab tusamehe sana na tuepushe na kusema uongo yarab lalamina

  • @shamsaadam6965
    @shamsaadam6965 4 месяца назад

    Allah atuongoze njia njema

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 4 месяца назад +3

    Yaa Allah tusamee sote tulio na tabia ya kusema uwongo .....na tunakuomba Allah utuongoze katka kutingisa ndimi zetu zeweze kusema ukweli... Allah humma Ameen 🤲 😢😢

  • @AishaHamis-r7x
    @AishaHamis-r7x 4 месяца назад

    Allahu Akbar 😢😢

  • @shamimuleslie1703
    @shamimuleslie1703 4 месяца назад

    Hakika hakuna mkamilifu isipokua Allah S.W , Allah atuepushe na kutusamehe sote tunaoguswa na mada hii ya kusema uongo na atueke mbal na uongo inshallah kwa uwezo wa Allah akunakinachoshindikana.

  • @somoeally9592
    @somoeally9592 5 месяцев назад +3

    Jazakallah khei sheikh

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 5 месяцев назад +4

    Allah a2ongoze ktk njia ya kher inshaAllah shukran sana sheykh Osman

  • @ismailfarah3463
    @ismailfarah3463 4 месяца назад +1

    MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!

  • @aminahahlubayt7399
    @aminahahlubayt7399 4 месяца назад +1

    Yaa rabb mimi ni mtu mwenye tabia hii naomba unisamehe yaa rabb 😢

  • @hamdimohamud2739
    @hamdimohamud2739 4 месяца назад +1

    Mashallah 🥰 I love ❤️ Sheakh Othman Macalin for the sake of Allah

  • @user-gb6ut9qe4e
    @user-gb6ut9qe4e 4 месяца назад +1

    Jazzakallah kheir shekh Othman maalimu kipenzi chetu namuomba Allah atujaalie tusiwe wenye kusema ukweli kwa ajili ya Allah ❤️

    • @zuhoor-mc7hq
      @zuhoor-mc7hq 4 месяца назад

      Ujue nachek km mazuri 😂😂..hiyo typing error 😮😅 astaghafiru...Tusiwe wenye kusema ukweli 😂 subhaanallah..ila ni typing error... don't worry

  • @hanifahnabakiibi6929
    @hanifahnabakiibi6929 4 месяца назад

    JazaakAllahu khair sheikh Othman Ma'alim. May Allah be pleased with you and your family. Allahumma amiin. Greetings from Uganda 🇺🇬

  • @POLITICS_WAR_DIPLOMACY
    @POLITICS_WAR_DIPLOMACY 5 месяцев назад +1

    MashaAllah

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 4 месяца назад

    Shukuran ahsant sheikh wetu kwa ukumbusho ,, waislam tuwe makin sana hiz cm

  • @SakinaKasimu-nh8tf
    @SakinaKasimu-nh8tf 5 месяцев назад +1

    Allah Aqbar

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 4 месяца назад

    Dah mtihani allah 2 atusamehe wallah 😢

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 4 месяца назад

    Mashallah sheikh tabarakaallah

  • @rukiyarukiya8005
    @rukiyarukiya8005 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 4 месяца назад

    Shukran ustadh uthuman maalim Allah akuongozee 🤲

  • @aishamumy8402
    @aishamumy8402 4 месяца назад

    Shukran sana sheikh🙏Allah (SW) atuongoze kwenye ili

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 5 месяцев назад +4

    😭😭😭yarabbi hii tabia nimejitaidi sana kuyiacha lkn inabidi niombe msahada kwa Allah mana watoto wa waarabu watanieka pabaya nisipo chunga bila kuwadanganya ningumu kuelewana

    • @broumaiyyah8018
      @broumaiyyah8018 4 месяца назад

      Allah akufanyie wepes

    • @FazlatiBunyage
      @FazlatiBunyage 4 месяца назад +2

      ALLAH ATUSAMEH SISI WOTE😢

    • @ShamsuSaeed
      @ShamsuSaeed 4 месяца назад

      😊😊
      ?​bed 6@@FazlatiBunyage

    • @mwanaishakama3381
      @mwanaishakama3381 4 месяца назад +1

      Ameen thumma ameen 🤲

    • @user-rp8bk1ms9t
      @user-rp8bk1ms9t 4 месяца назад +1

      Allah atuongoze
      Kwa kukutia nguvu
      Jenga njia yako baada ya kuona imeanza kuharibika.
      Yani Jitahidi kurrkebisha / kufanya uzuri baada ya kuteleza
      Allah atukupenda na kukusamehe
      LA zaidi hao unaowasimamia pia Watapata nuru ya
      Uzur unaojiyitahdi kuwafanyia
      Pia Anza na endelea Kuomba muongozo na msaada wa Allah
      Atakuthibitisha kwenye hilo jema japo Kuna ugumu
      Allah atuongoze sote.

  • @shamsimohamedi147
    @shamsimohamedi147 4 месяца назад

    Mmeifut. Adi kweny profile