Hakika hakuna mkamilifu isipokua Allah S.W , Allah atuepushe na kutusamehe sote tunaoguswa na mada hii ya kusema uongo na atueke mbal na uongo inshallah kwa uwezo wa Allah akunakinachoshindikana.
😭😭😭yarabbi hii tabia nimejitaidi sana kuyiacha lkn inabidi niombe msahada kwa Allah mana watoto wa waarabu watanieka pabaya nisipo chunga bila kuwadanganya ningumu kuelewana
Allah atuongoze Kwa kukutia nguvu Jenga njia yako baada ya kuona imeanza kuharibika. Yani Jitahidi kurrkebisha / kufanya uzuri baada ya kuteleza Allah atukupenda na kukusamehe LA zaidi hao unaowasimamia pia Watapata nuru ya Uzur unaojiyitahdi kuwafanyia Pia Anza na endelea Kuomba muongozo na msaada wa Allah Atakuthibitisha kwenye hilo jema japo Kuna ugumu Allah atuongoze sote.
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh.Afwan,nawausia nakuusia nafsi yangu tujitahidini kua wakweli na tutafaulu.Allah atutangulie Allahuma ameen🙌
Jazakumllahu khayra shekh wetu hii daawa leo imenigusa 😢😢😢 wallah ewe mola wetu tusamehe waja wako dwaifu twakutegemea ww hkk y ww ghafuru rahiim tusamehe dhambi zetu amiin 😢😢 astaghafiru llah min kul dhambi tuubuna illa llah amiin mola akubariki akupe kheri dunian na akhera peponi shekh wetu...tunajisahau xn nafsi zetu wallah mola atuongoze...
Yerab tusamehe sana na tuepushe na kusema uongo yarab lalamina
Allah atuongoze njia njema
Yaa Allah tusamee sote tulio na tabia ya kusema uwongo .....na tunakuomba Allah utuongoze katka kutingisa ndimi zetu zeweze kusema ukweli... Allah humma Ameen 🤲 😢😢
Allahu Akbar 😢😢
Hakika hakuna mkamilifu isipokua Allah S.W , Allah atuepushe na kutusamehe sote tunaoguswa na mada hii ya kusema uongo na atueke mbal na uongo inshallah kwa uwezo wa Allah akunakinachoshindikana.
Jazakallah khei sheikh
Allah a2ongoze ktk njia ya kher inshaAllah shukran sana sheykh Osman
Amiin
Ammina
MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!
Yaa rabb mimi ni mtu mwenye tabia hii naomba unisamehe yaa rabb 😢
Amiin
Mashallah 🥰 I love ❤️ Sheakh Othman Macalin for the sake of Allah
Jazzakallah kheir shekh Othman maalimu kipenzi chetu namuomba Allah atujaalie tusiwe wenye kusema ukweli kwa ajili ya Allah ❤️
Ujue nachek km mazuri 😂😂..hiyo typing error 😮😅 astaghafiru...Tusiwe wenye kusema ukweli 😂 subhaanallah..ila ni typing error... don't worry
JazaakAllahu khair sheikh Othman Ma'alim. May Allah be pleased with you and your family. Allahumma amiin. Greetings from Uganda 🇺🇬
MashaAllah
Shukuran ahsant sheikh wetu kwa ukumbusho ,, waislam tuwe makin sana hiz cm
Allah Aqbar
Dah mtihani allah 2 atusamehe wallah 😢
Mashallah sheikh tabarakaallah
❤❤❤
Shukran ustadh uthuman maalim Allah akuongozee 🤲
Shukran sana sheikh🙏Allah (SW) atuongoze kwenye ili
😭😭😭yarabbi hii tabia nimejitaidi sana kuyiacha lkn inabidi niombe msahada kwa Allah mana watoto wa waarabu watanieka pabaya nisipo chunga bila kuwadanganya ningumu kuelewana
Allah akufanyie wepes
ALLAH ATUSAMEH SISI WOTE😢
😊😊
?bed 6@@FazlatiBunyage
Ameen thumma ameen 🤲
Allah atuongoze
Kwa kukutia nguvu
Jenga njia yako baada ya kuona imeanza kuharibika.
Yani Jitahidi kurrkebisha / kufanya uzuri baada ya kuteleza
Allah atukupenda na kukusamehe
LA zaidi hao unaowasimamia pia Watapata nuru ya
Uzur unaojiyitahdi kuwafanyia
Pia Anza na endelea Kuomba muongozo na msaada wa Allah
Atakuthibitisha kwenye hilo jema japo Kuna ugumu
Allah atuongoze sote.
Mmeifut. Adi kweny profile