Feitoto apiga mbili, Azam FC ikiifumua Kagera Sugar 5-1 Chamazi (Magoli) - NBCPL 25/05/2024
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2024
- Feisal Salum amefunga magoli mawili Azam FC ikiibugiza Kagera Sugar mabao 5-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC iliyopigwa leo kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.....
Magoli mengine kwenye mchezo huu yametoka kwa Gibril Sillah dakika ya 50’, Kipre Jr dakika ya 65' na Iddy Nado dakika ya 90, huku Feisal akifunga yake dakika ya 72 na 79.
Huyu kipre ni balaa
Mbona kama ni mchongo
Fei ni MVP
Jamani hii nchi ngumu yani hii mechi wamenunua kabisa, yani watu wanaacha tu mpira wanausindikiza hadi gorini kweli jamani, uwo mpira drama. Igizo lilikuwa zuri sana.
kipa karuka Gori rapiri kama ana ogerea
nani kaona magori yote ni upande mmoja
Wengine wanasema offside hemu jamani msojuwa offside kapeweni elimu ya offside,
Kagera mlistahiri kushuka kabisa daraja. Maana hii ni dhahiri match fixing ni kuanzia marefa mpaka Kagera wenyewe
Match fixing !!!!
sauti haipo
Tutaona mengi ya kustaajabisha na ya kufikirisha hivyo hii ndo Kagera iliyokuwa ngumu dhidi ya yanga na Simba kufungwa magoli mepesi hivi
Balaaa magoli 6
Kagera asante kwa kushiriki
Yanga wanaumiiiia
Goli la pili ni offside
Azamiano afciano chama letuano
Mtaumwa sana na fei mtasema kila kitu yake yanamuendea
Asa offside iko wapi nampira katoka nao yeye huku wala hakusimama
Off side
Kaz mnayooo