2: NGUVU YA SAUTI YA DAMU YA YESU KATIKA MIFUMO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Semina ya Neno la MUNGU Shinyanga || Day 2 || Tarehe 14 Septemba 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 55

  • @odethierpaschal
    @odethierpaschal 4 дня назад +1

    Wow siku tano mwanza hadi raha Karibu sana mwalimu ❤

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 4 дня назад +6

    TUNAMSHUKURU MUNGU KWA MAFUNUO HAYA MAKUBWA
    USHAURI WA BURE SIKILIZA WATUMISHI UKIONA KUNA KITU HAKIKUFAI SIO LAZIMA UKOSOE KIACHE KILE KIBAYA CHUKUA CHA KUKUSAIDIA MAISHA YASONGE

  • @AnnastaziaJeremiah-ch3vx
    @AnnastaziaJeremiah-ch3vx 3 дня назад

    Amen ubarikiwe mwalimu

  • @ElizabethBunga-y8p
    @ElizabethBunga-y8p 3 дня назад

    Mungu azidi kukutumia atakavyo nabarikiwa sana

  • @lennickjoseph
    @lennickjoseph 3 дня назад

    Mungu ana mpango na ss amin hivo kuwa wewe ni wahtaman san kwa Mungu

  • @gladnessmmary2988
    @gladnessmmary2988 4 дня назад

    Mbadilishe kabisa tabia ee mungu namueka katika mikono yako mungu awe mtoto mwema na watu wamuongelee kwa mema na sio mabaya kwenye vinywa vya watu yatoke yalio mazuri na wamuone akiwa mtoto mwema

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 4 дня назад

    Amina!! Nimebarikiwa sana!!

  • @nurukamendu
    @nurukamendu 3 дня назад

    We Mungu nisaidie nielewe SoMo zuri sana hili.

  • @sirielmunis6525
    @sirielmunis6525 4 дня назад

    Amen nimefunguliwa kwa damu ya Yesu

  • @ElfasiSabo-r9e
    @ElfasiSabo-r9e 11 часов назад

    Amina

  • @gladnessmmary2988
    @gladnessmmary2988 4 дня назад

    Ee mungu najiungamanisha na madhabahu hii naomba ee yesu umfungue mwanangu aziz aondokane na makundi mabaya awe mtoto msikivu asitekwe na mambo ya kidunia awe mtoto mwema ee mungu msaidie

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 4 дня назад +1

    Baba nifundishe kutembea katika neema yako nataka nikufahamu

  • @CastawayMpaki
    @CastawayMpaki 3 дня назад

    MUNGU akuongezee neema na hekima mwalimu wetu mwakasege

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 дня назад +1

    🙌🙌😢Yesu tusaidie watt wako
    Haya mambo sio marahisi sn
    Tufunulie akili zetu tupate kuelewa

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 4 дня назад +1

    Baba peleka mkutano na mkoa wa Geita na wilaya zake

  • @evarisaernest2146
    @evarisaernest2146 4 дня назад

    AMEN

  • @kapiriisavictoria4175
    @kapiriisavictoria4175 4 дня назад

    Amen Amen 🙏

  • @marymlelwa8471
    @marymlelwa8471 4 дня назад

    Amen

  • @queenchristopher1515
    @queenchristopher1515 2 дня назад +1

    Naomba muendelee kuniombe,knaushinda mkubwa nlkuwa nmepata nafuu lkn hali inarud nyuma

  • @sarahlussingu6029
    @sarahlussingu6029 4 дня назад

    Damu ya Yesu inenayo mema ikafungue Watoto wangu JSJ wapate Mibaraka kila eneo la Maisha yao,wawe na Kibali kila wanapokanyaga,natamka Neema juu yao eehh Mungu wapige Muhuri wa Damu Ya Yesu na shetani ajue hawa watoto ni wa kwako asiwaguse kamwe IJN🙏🙏

  • @subbyluckson6231
    @subbyluckson6231 4 дня назад +1

    😢

  • @vickyayo8712
    @vickyayo8712 3 дня назад

    Ndg samoskiyalo jumbe zako jitahidi ziende direct kwa mhusika

  • @MultiHumphrey1
    @MultiHumphrey1 День назад

    DAMU YA YESU NI NGAO NA KIGAO...BILA HII DAMU OOH YEESU TUSINGETOBOA

  • @dixonkivambe7250
    @dixonkivambe7250 4 дня назад

    HALLELUJA

  • @laletiispretty3421
    @laletiispretty3421 4 дня назад +2

    Tunaomba mturuhisu kidownload jamani maana tunahitaji kurudia na kurudia gharama ni kubwa sana kulipia

  • @neemabuyingo2775
    @neemabuyingo2775 4 дня назад

    NAOMBA DAMU YA YESU IFUNGUE WATOTO WANGU

  • @Princessd-iy1re
    @Princessd-iy1re 2 дня назад

    Sio kila mtu yupo perfect jmn. Kuna mda mtu ulimi una teleza, kwanza kabla hauja kosoa, jitafakari wewe ni mangapi una yawasilisha wrong,,, ata kama amesema walikua mapacha hapo sijaona ubaya wowote kwasababu walizaliwa na baba na mama mmoja kakini pia ujumbe umefikishwa vizuri ilihali amesema mapacha. So ni bora ukaacha ku hukumu vitu vya ajabu.

  • @MildredRubio-s6g
    @MildredRubio-s6g День назад

    Jackson Donna Harris Betty Perez Betty

  • @paulinafrednand
    @paulinafrednand 4 дня назад

    Mimi niombe mruhusu kudown load jamni nateseka mna nafatilia wakti mwingine Semina ishapit

    • @samsonbaraka3145
      @samsonbaraka3145 4 дня назад

      Kudownload ili uwe unasikiliza na kusikiliza mbona inawezekana

  • @StellaJohn-cx7dz
    @StellaJohn-cx7dz 3 дня назад

    MUNGU AZIDI KUKUPA AFYA NJEMA NA HUDUMA YOTE YA MANA

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 4 дня назад +7

    Kaini na Hbiri walikuwa si mapicha Biblia inasema Adamu akasema nimepata mtoto mwanamume kwa Bwana ,pia inasema akaongeza Mwakasege ludi kasome Chuo cha Biblia

    • @ninaelgeoffrey5844
      @ninaelgeoffrey5844 4 дня назад +2

      Wewe ndio inabidi ukajifunze kwanza walau kuandika

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 дня назад

      Kajifunze kwanza ,tutolee ujinga hapa
      We ndo unanifaham sn biblia kuliko wengine

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 дня назад +3

      😅huyu mpuuzi eti Mwakasege akasome chuo Cha biblia, we uliye soma hicho chuo umeisaidiaje kanisa lako?
      Kutwa kuja kukosoa mambo yasiyo na tija halafu mnachukua haya mafunuo mnaenda kufundisha makanisani kwenu

    • @BahatiIdd
      @BahatiIdd 4 дня назад

      ​@@ninaelgeoffrey5844asante mtumishi😅😅

    • @neemasanga5333
      @neemasanga5333 4 дня назад

      Mimi nimekupenda buree, kuna
      Mchungaji aliniambia nitubu kwa
      Sababu nimempa mwlimu nafasi
      YA Mungu nilimchukia na kufuza
      Nyumbani kwangu, siku nilipa ada ya watilu wawili na kuambiwa nipeme afya ndio nihuzuriye kongano nilikata tamaa nilitamani
      Kufa ndio nikamkumbuka yule mama Mchungaji, naona mandulele wenzangu wanakupinga, mimi nakupongeza
      Anadanganyaga mara nyingi tu
      Na tunaamini mara kadhaa amefundisha kwamba joka
      Alitaka amlee mtoto wa ufunuo
      Tuliamini wakati joka alita amle 😢

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 4 дня назад

    Kwa yari uliyo nayo huna wa kukukosoa na kukurekebisha nimeona una mapungufu mengi kama haya unayo sema kukosa aliye juu yako ni tatizo

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 дня назад +5

      Badala ya kuchukua vinavyokufaa ujifunze ndo kwanza unatafut vya kukosoa
      Huna akili kabisa
      Hebu tupishe

  • @EmmanuelShelukindo
    @EmmanuelShelukindo 4 дня назад

    Baba mungu akubarki sana hii neema nikubwa sana

  • @ElfasiSabo-r9e
    @ElfasiSabo-r9e 11 часов назад

    Amina

  • @MariamSenga-xn2dc
    @MariamSenga-xn2dc 4 дня назад

    Amen🙏

  • @ElfasiSabo-r9e
    @ElfasiSabo-r9e 11 часов назад

    Amina