2: NGUVU YA SAUTI YA DAMU YA YESU KATIKA MIFUMO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Semina ya Neno la MUNGU Shinyanga || Day 2 || Tarehe 14 Septemba 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Wow siku tano mwanza hadi raha Karibu sana mwalimu ❤
TUNAMSHUKURU MUNGU KWA MAFUNUO HAYA MAKUBWA
USHAURI WA BURE SIKILIZA WATUMISHI UKIONA KUNA KITU HAKIKUFAI SIO LAZIMA UKOSOE KIACHE KILE KIBAYA CHUKUA CHA KUKUSAIDIA MAISHA YASONGE
Amen ubarikiwe mwalimu
Mungu azidi kukutumia atakavyo nabarikiwa sana
Mungu ana mpango na ss amin hivo kuwa wewe ni wahtaman san kwa Mungu
Mbadilishe kabisa tabia ee mungu namueka katika mikono yako mungu awe mtoto mwema na watu wamuongelee kwa mema na sio mabaya kwenye vinywa vya watu yatoke yalio mazuri na wamuone akiwa mtoto mwema
Amina!! Nimebarikiwa sana!!
We Mungu nisaidie nielewe SoMo zuri sana hili.
Amen nimefunguliwa kwa damu ya Yesu
Amina
Ee mungu najiungamanisha na madhabahu hii naomba ee yesu umfungue mwanangu aziz aondokane na makundi mabaya awe mtoto msikivu asitekwe na mambo ya kidunia awe mtoto mwema ee mungu msaidie
Baba nifundishe kutembea katika neema yako nataka nikufahamu
MUNGU akuongezee neema na hekima mwalimu wetu mwakasege
🙌🙌😢Yesu tusaidie watt wako
Haya mambo sio marahisi sn
Tufunulie akili zetu tupate kuelewa
Baba peleka mkutano na mkoa wa Geita na wilaya zake
AMEN
Amen Amen 🙏
Amen
Naomba muendelee kuniombe,knaushinda mkubwa nlkuwa nmepata nafuu lkn hali inarud nyuma
Damu ya Yesu inenayo mema ikafungue Watoto wangu JSJ wapate Mibaraka kila eneo la Maisha yao,wawe na Kibali kila wanapokanyaga,natamka Neema juu yao eehh Mungu wapige Muhuri wa Damu Ya Yesu na shetani ajue hawa watoto ni wa kwako asiwaguse kamwe IJN🙏🙏
😢
Ndg samoskiyalo jumbe zako jitahidi ziende direct kwa mhusika
DAMU YA YESU NI NGAO NA KIGAO...BILA HII DAMU OOH YEESU TUSINGETOBOA
HALLELUJA
Tunaomba mturuhisu kidownload jamani maana tunahitaji kurudia na kurudia gharama ni kubwa sana kulipia
NAOMBA DAMU YA YESU IFUNGUE WATOTO WANGU
Sio kila mtu yupo perfect jmn. Kuna mda mtu ulimi una teleza, kwanza kabla hauja kosoa, jitafakari wewe ni mangapi una yawasilisha wrong,,, ata kama amesema walikua mapacha hapo sijaona ubaya wowote kwasababu walizaliwa na baba na mama mmoja kakini pia ujumbe umefikishwa vizuri ilihali amesema mapacha. So ni bora ukaacha ku hukumu vitu vya ajabu.
Wala hajakosea ni mapacha
Jackson Donna Harris Betty Perez Betty
Mimi niombe mruhusu kudown load jamni nateseka mna nafatilia wakti mwingine Semina ishapit
Kudownload ili uwe unasikiliza na kusikiliza mbona inawezekana
MUNGU AZIDI KUKUPA AFYA NJEMA NA HUDUMA YOTE YA MANA
Kaini na Hbiri walikuwa si mapicha Biblia inasema Adamu akasema nimepata mtoto mwanamume kwa Bwana ,pia inasema akaongeza Mwakasege ludi kasome Chuo cha Biblia
Wewe ndio inabidi ukajifunze kwanza walau kuandika
Kajifunze kwanza ,tutolee ujinga hapa
We ndo unanifaham sn biblia kuliko wengine
😅huyu mpuuzi eti Mwakasege akasome chuo Cha biblia, we uliye soma hicho chuo umeisaidiaje kanisa lako?
Kutwa kuja kukosoa mambo yasiyo na tija halafu mnachukua haya mafunuo mnaenda kufundisha makanisani kwenu
@@ninaelgeoffrey5844asante mtumishi😅😅
Mimi nimekupenda buree, kuna
Mchungaji aliniambia nitubu kwa
Sababu nimempa mwlimu nafasi
YA Mungu nilimchukia na kufuza
Nyumbani kwangu, siku nilipa ada ya watilu wawili na kuambiwa nipeme afya ndio nihuzuriye kongano nilikata tamaa nilitamani
Kufa ndio nikamkumbuka yule mama Mchungaji, naona mandulele wenzangu wanakupinga, mimi nakupongeza
Anadanganyaga mara nyingi tu
Na tunaamini mara kadhaa amefundisha kwamba joka
Alitaka amlee mtoto wa ufunuo
Tuliamini wakati joka alita amle 😢
Kwa yari uliyo nayo huna wa kukukosoa na kukurekebisha nimeona una mapungufu mengi kama haya unayo sema kukosa aliye juu yako ni tatizo
Badala ya kuchukua vinavyokufaa ujifunze ndo kwanza unatafut vya kukosoa
Huna akili kabisa
Hebu tupishe
Baba mungu akubarki sana hii neema nikubwa sana
Amina
Amen🙏
Amina