1: NGUVU YA SAUTI YA DAMU YA YESU KATIKA MIFUMO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Semina ya Neno la MUNGU Shinyanga || Day 1 || Tarehe 13 Septemba 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
All the way from Saudi Arabia nimemuona Mungu akinihudumia tangu nijue hii familia ya mana🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦❤️
Nikiwa na mawazo yakuniumiza kichwa nakusikiliza mwalimu najukuta nasahau Kila kitu ghafla nafsi yangu inajawa AMANI Asante Yesu
Tupo wengi
Mungu Asante kutupa huyu baba na mama Tanzania, uwalinde na kuwatunza
Yesu tusaidie 🙌
Tatizo sio neno ,ni rorho ipi imebeba hilo neno
Powerful asante Roho Mtakatifu...somo hili limefungua wengi
Amen mungu na azidi kutukomboa kutoka katika mifumo ya nguvu za giza
Asante mwl Christopher mwakasege kwa mafundisho Yako mazuri unanifungua sana kiroho
Mungu azidi kukujalia afya njema uzidi kuhubiri habari njema za Yesu kristo
Yesu siku utakapo ludi kuja kuchukuwa wateule wako na mimi usiniache nakuomba...🙏🙏🙏
Asante sana ee Mungu Kwa upendo na huruma Yako kwetu. Kweli unatupenda sana nasi tupe mioyo ya kukupenda na kuwa wasikivu. Ibariki huduma ya MANA.
Mungu akutiee nguvu mtumishi uzidi kutufunza tuzid kukua kiroho..
Nakupenda baba mungu akubariki sanaaa❤❤❤❤
Thank you Jesus we love you thank you for redemption ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nabarikiwa na mafundisho ya mwalimu Christopher nikiwa Nyali Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
YESU Wewe Waweza Bwana
Glory be to the God
AMEN
Asante YESU, ibilisi hakutaka nisikilize hili somo siku ya day 1, lakini Roho wako aliye mwaminifu ameniwezesha kulisikia leo, siku nne mbele. This was my portion! Sifa na utukufu zikurudie wewe peke yako Bwana. 🙏
Baba mimi nipo boda ya zambia na kongo napitia maribu mpaka sielewi sasa iviwamenitumia pepo mauti nipo kwa watu nimekimbia hata ninapo kaa naomba maombi yko baba nakuomba
Mungu akubariki mwalimu
🙌🙌🙌🙌
🙏
Amina baba kwa neno
Amen
Baada yakufuatilia iba hii usiku wasatisa sikuwa nimelala ilanilijikuta kama kausingizi kamenipitia nikajikuta nikochooni akatikea mtoto mweusi amevaa baibuijeusi akanikumbatia tumboni nikagundua simtotonijinini nilimshikanikamsukuma nakumpiga sanahukunikinyunyiza damu yayesu mara tu nikazinduka
Asante. Mungu
Mifumo wa ndoa😢🙌🙌Yesu nakushukuru Kwa kuyasikia haya na sijaolewa bado
Ameen God bless
Mungu abariki Kaz yake
Ahsante Yesu
Roho Mtakatifu 🕊️🙏🏿
Barikiwa sana baba kwa mafundisho mazuri na Mungu wa mbinguni akubariki...
Kumbe mapepo yanasmamia mifumo ya giza na kupata uhalali.Damu ya Yesu tunaimimina kwenye mifumo yooote ya familia afya matumbo ya uzazi elimu biashara ndoa nafsi zetu
najiunganisha na myngu anae hudumia watu wake katika uwanja huu
Baadayamaombi sakuminikajikuta kama nikosebleni mkonowakuliaunabangili langiyakinyonga nikashangaa mbonasijawahikuwanazo nikanzakukemea kwadami yayesu kafra zikawa zazahabu zinaunguzaa nikafanikiwakuzifua nikashituka sonaamini kupitia ibada yajana nimefunguliwa
😂😂😂nacheka km mazuri
Ss SI tutakufa tumefungwa sn 🙌
Waebrania 12:24_25
1corintho 14:10
Zaburi 103:20
Martinez Linda Martin Kevin Young Melissa
Thompson Ruth Johnson Jessica Clark Jason
Ameeen
AMEN
Amen
Amen
Ameen