1: NGUVU YA SAUTI YA DAMU YA YESU KATIKA MIFUMO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Semina ya Neno la MUNGU Shinyanga || Day 1 || Tarehe 13 Septemba 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 48

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 5 дней назад +17

    All the way from Saudi Arabia nimemuona Mungu akinihudumia tangu nijue hii familia ya mana🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦❤️

  • @mechuwa3951
    @mechuwa3951 5 дней назад +14

    Nikiwa na mawazo yakuniumiza kichwa nakusikiliza mwalimu najukuta nasahau Kila kitu ghafla nafsi yangu inajawa AMANI Asante Yesu

  • @joyceallan2758
    @joyceallan2758 5 дней назад +9

    Mungu Asante kutupa huyu baba na mama Tanzania, uwalinde na kuwatunza

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 дней назад +4

    Yesu tusaidie 🙌
    Tatizo sio neno ,ni rorho ipi imebeba hilo neno

  • @user98771
    @user98771 4 дня назад +1

    Powerful asante Roho Mtakatifu...somo hili limefungua wengi

  • @MariaElisante-w4x
    @MariaElisante-w4x 5 дней назад +2

    Amen mungu na azidi kutukomboa kutoka katika mifumo ya nguvu za giza

  • @gadasaSaid
    @gadasaSaid 4 дня назад +1

    Asante mwl Christopher mwakasege kwa mafundisho Yako mazuri unanifungua sana kiroho

  • @esteredmund7053
    @esteredmund7053 4 дня назад +1

    Mungu azidi kukujalia afya njema uzidi kuhubiri habari njema za Yesu kristo

  • @ErnestSaileni
    @ErnestSaileni 4 дня назад +1

    Yesu siku utakapo ludi kuja kuchukuwa wateule wako na mimi usiniache nakuomba...🙏🙏🙏

  • @teddymhenga3006
    @teddymhenga3006 5 дней назад +2

    Asante sana ee Mungu Kwa upendo na huruma Yako kwetu. Kweli unatupenda sana nasi tupe mioyo ya kukupenda na kuwa wasikivu. Ibariki huduma ya MANA.

  • @OswardMsola
    @OswardMsola 5 дней назад +2

    Mungu akutiee nguvu mtumishi uzidi kutufunza tuzid kukua kiroho..

  • @funnymoments9611
    @funnymoments9611 4 дня назад +1

    Nakupenda baba mungu akubariki sanaaa❤❤❤❤

  • @ndiwelamsanga6190
    @ndiwelamsanga6190 4 дня назад +1

    Thank you Jesus we love you thank you for redemption ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @elijahmwangombe9609
    @elijahmwangombe9609 4 дня назад +1

    Nabarikiwa na mafundisho ya mwalimu Christopher nikiwa Nyali Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿

  • @mamsaramamassawe.4797
    @mamsaramamassawe.4797 2 дня назад +1

    YESU Wewe Waweza Bwana

  • @HerriOmari
    @HerriOmari 4 дня назад +1

    Glory be to the God

  • @EstaCharles-m3d
    @EstaCharles-m3d 5 дней назад +2

    AMEN

  • @gracy05ful
    @gracy05ful 2 дня назад

    Asante YESU, ibilisi hakutaka nisikilize hili somo siku ya day 1, lakini Roho wako aliye mwaminifu ameniwezesha kulisikia leo, siku nne mbele. This was my portion! Sifa na utukufu zikurudie wewe peke yako Bwana. 🙏

  • @LucasGara-r5x
    @LucasGara-r5x 5 дней назад +5

    Baba mimi nipo boda ya zambia na kongo napitia maribu mpaka sielewi sasa iviwamenitumia pepo mauti nipo kwa watu nimekimbia hata ninapo kaa naomba maombi yko baba nakuomba

  • @godblesskaoneka
    @godblesskaoneka 4 дня назад +1

    Mungu akubariki mwalimu

  • @neemabakari9223
    @neemabakari9223 5 дней назад +2

    🙌🙌🙌🙌

  • @monizotunes2099
    @monizotunes2099 5 дней назад +4

    🙏

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 4 дня назад +1

    Amina baba kwa neno

  • @LusticaKiwovele
    @LusticaKiwovele 4 дня назад +1

    Amen

  • @ZenaAsas-v9d
    @ZenaAsas-v9d 4 дня назад +5

    Baada yakufuatilia iba hii usiku wasatisa sikuwa nimelala ilanilijikuta kama kausingizi kamenipitia nikajikuta nikochooni akatikea mtoto mweusi amevaa baibuijeusi akanikumbatia tumboni nikagundua simtotonijinini nilimshikanikamsukuma nakumpiga sanahukunikinyunyiza damu yayesu mara tu nikazinduka

  • @beatricesalvatory1100
    @beatricesalvatory1100 5 дней назад +2

    Asante. Mungu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 дней назад +1

    Mifumo wa ndoa😢🙌🙌Yesu nakushukuru Kwa kuyasikia haya na sijaolewa bado

  • @Gelishomtv
    @Gelishomtv 4 дня назад +1

    Ameen God bless

  • @SELEMANJOHN-y5n
    @SELEMANJOHN-y5n 5 дней назад +5

    Mungu abariki Kaz yake

  • @Pearlarthur1
    @Pearlarthur1 5 дней назад +1

    Ahsante Yesu

  • @meshackmahrina1492
    @meshackmahrina1492 День назад

    Roho Mtakatifu 🕊️🙏🏿

  • @user-db8yd4oy9p
    @user-db8yd4oy9p 2 дня назад

    Barikiwa sana baba kwa mafundisho mazuri na Mungu wa mbinguni akubariki...

  • @user98771
    @user98771 4 дня назад

    Kumbe mapepo yanasmamia mifumo ya giza na kupata uhalali.Damu ya Yesu tunaimimina kwenye mifumo yooote ya familia afya matumbo ya uzazi elimu biashara ndoa nafsi zetu

  • @GiftNgoda
    @GiftNgoda 5 дней назад +1

    najiunganisha na myngu anae hudumia watu wake katika uwanja huu

  • @ZenaAsas-v9d
    @ZenaAsas-v9d 4 дня назад +1

    Baadayamaombi sakuminikajikuta kama nikosebleni mkonowakuliaunabangili langiyakinyonga nikashangaa mbonasijawahikuwanazo nikanzakukemea kwadami yayesu kafra zikawa zazahabu zinaunguzaa nikafanikiwakuzifua nikashituka sonaamini kupitia ibada yajana nimefunguliwa

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 дней назад +1

    😂😂😂nacheka km mazuri
    Ss SI tutakufa tumefungwa sn 🙌

  • @tedyjoseph1394
    @tedyjoseph1394 4 дня назад

    Waebrania 12:24_25

  • @tedyjoseph1394
    @tedyjoseph1394 4 дня назад

    1corintho 14:10

  • @tedyjoseph1394
    @tedyjoseph1394 4 дня назад

    Zaburi 103:20

  • @NicholasChristine-w4l
    @NicholasChristine-w4l День назад

    Martinez Linda Martin Kevin Young Melissa

  • @DuBoisEdmund-r1t
    @DuBoisEdmund-r1t День назад

    Thompson Ruth Johnson Jessica Clark Jason

  • @laita8218
    @laita8218 5 дней назад +1

    Ameeen

  • @evarisaernest2146
    @evarisaernest2146 5 дней назад

    AMEN

  • @lusianbenedict6166
    @lusianbenedict6166 4 дня назад

    Amen

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je 4 дня назад

    Amen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 4 дня назад

    Ameen