jinsi ya kupika biriani ya nyama
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- nimetumia nyama ya mbuzi nusu na robo nyanya ya kikopo kijiko kimoja ba nyanya maji kama tano maziwa mtinsi nusu kikombe na kitunguu saumu na tangawizi mbichi vijiko viwili rangi nyekundu na manjano na viazi 3 halafu na mchele vikombe 2 halafu
Izo rangi zina patikana wap,na ukiuliza madukan za Brian zinapatikana
Very cute
Salam alekum mapishi mazuri sana mashaallah
Maashaallah mimi ni mpenzi sana wa biriani ln Shaa Allah nitajaribu kupika, shukran nimekuelewa.
shukran
Mashallah mambo ya tanga hayo😋😘
Au vip ndo manaake ma hhhh
❤❤😊😊
mambo ya zanji hayo
Look so yummy 😋🥰 mashallah
Shukran dear
Yani
Asante sana dear
🤗🤗🤗
Ni kizuri sana👍
Mashaallah habibty yummy nzuri nimeipenda
shukran
MaashaaAllah da Aysha
Asante nawewe pia
i like it looks delicious have subscribe
Mashallah nnzur
Asante sana jazakallah kheir
Mashaallah
Nzur sana❤
Super👏👏hadi nimehisi njaa😂😂
Mashallah salo nimelielewa mashallah
Mashalla
Masha Allah
Delicious
shukran
rlly
mashallah😋
Mashallah dada
Asante sana dear
Mashallah.. samahan kilo 1 ya basmat inatakiwa utoe sahani ngapi kwa biashara
Salàm alekum mashallaah napenda sàna biriani
Yum yum
Unajua🎉
Woow such a delicious meal 😋🥰
👌🥰
MashaaAllah tabarakah Allah
shukran sana
Yummy
Shukran dear
🙋♀️🤩
Nimependa japo sijawahi kupika ila kwa kuangalia hivi
Uhakika asilimia mia
Naweza
❤❤❤❤❤
😅😅😅😅😅
💯💯😋
😋😋😋🤤
For how long do you need to marinate the meat if not overnight
Ntka n mm kufundishw odo😂😂
naomba kujua mchanganyiko huo wa spices kwa kizungu zinaitwaje....kama kuna mwenye anajua aniambie tu.hizo birari nyembamaba,iliki,mdalasini .....hizo kwa kizungu zaitwaje.?.
Cumin powder(bizari nyembamba), cardamon (iliki), cinnamon (mdalasini), tumeric (manjano)
Majina ya fiungo vya lojo naomba
Hizo rangi ukienda kununua zinaitwaje
Salam alekum
waaleikum msalam
Tunatumia mchele gani
Inamaana nyama huchemshi kwanza
Chunvi sijaona unatugonga mawzo
Kwhy akili yko haijiongez ...
ulikuwa unamawazo gani ?? ameweka kwenye Mchele
Sasa hbbty nyama isipolainika hatuongezi maji
Mashaallah
Asante sana
Mashallah
Mashallah
Mashallah
Mashallah
Mashallah
Shukran dear
@@ashayummy2299 ...naomba kujua hio mchanganyiko yako ya sahani ya spices zinaitwaje kwa kizungu ili tuweze kununua kulingana na sehemu ambazo tupo.....ile kitu najua hapo ni garlic,ginger,onions,tomatoes,yoghurt,.....hio iliki,bizari nyembamba,....huo mchanganyiko woote kwenye sahani hio ya spices zaitwaje kwa kiingereza.if possible nielezee.asante mami🙏