BIRYANI YA KUKU TAMU NA RAHISI KULIKO ZOTE YOUTUBE
HTML-код
- Опубликовано: 23 мар 2021
- video ya leo tutajifunza jinsi ya kupika biriani ya kuku tamu na rahisi kuliko zote youtube haswa kwa wasiojua kabisa na mabachela.
biryani hii ya kuku ni tamu sana na rahisi sana kupika naomba ujaribu recipe hii hasa msimu huu wa sikukuu na uniambie umeipenda kiasi gani na ilikuwa rahisi kiasi gani.
kwa recipe nyingine ya birian bonyeza link hii
BIRYANI YA NYAMA
• BIRIANI YA NYAMA
Na recipe za pilau bonyeza link hizi
PILAU YA NYAMA TAMU SANA
• JINSI YA KUPIKA PILAU ...
PILAU YA KUKU
• PILAU LA KUKU TAMU SAN...
WALI WA MAUA
• WALI MAUA |WALI MTAMU ...
kwa recipe zingine za wali bonyeza link hizi
WALI WA MAYAI
• WALI WA MAYAI|EGG PILA...
WALI WA NYANYA NA NYAMA ZAKE
• WALI MTAMU SANA WA NY...
Pia unaeza kutumia nyama ila upishi wake tofauti,pika nyama yako kwanza....halafu ufanye kama ivo,usiogope kuiacha nyama yako jikoni baada ya kutia maji kama tulivofanya kwenye kuku ili aive sababu nyama ya biriani inafaa kuwa laini sana. Kwaiyo pika kwa amani
Naweza kutumia mchele wa kawaida?
Naweza kupikia mchele wa kawaida?
Ahsante sana hii kitu nilikua na shida nayo. Sana na pizza
Gyyyyyyyyyy
Hggyyy
Maziwa mtindi nimaziwa gan hay
Maziwa mtindi yoyote yanafaa au kunamengine
Mashaallah Mashaallah Mashaallah dearest..This is sooo good ntajaribu kupika hivi InShaaAllah..Allah (swt)akuzidishie kwa kila jambo la kheir,Aamin.Nakupenda kwa kutufunza
Mashaa ALLAH tamu sana nimeijaribu
Yaan Dada nmependa maelezo yako mashallah ♥️
Mashallah kwakweli haya nimapish rahisi thanks my dada Allah akupe umri mrefu na afya njema
Napika leo hii🤤🤤❤️❤️
Mashallah jazakillahu khair
Masha Allah 👍
Mashaallah Shukran sana
Simple nzur,maashaallah hongera IPO siku ntajaribu inshaallah
Wow haki nimejaribu nitamu kweli nimefata maelezo
That was 👌🏾,thank you chief
Very easy and tasty receipy❤️ Thanks for sharing!!
Mashallah Mashallah zuri😊
Shukran nimependa
Good food
Mashallah Nimenda sana sijaamin kilicho tokea mwisho sijakipika ila ntakipika inshallah nimekipenda vibaya mnoo
Mashallah hngera kipenz nitapik inshallah hivi punde
Maa Shaa Allah
❤❤❤❤❤ pishi zur sana mashaallah
Mashaa. Allah
Mashallah mumy nmepnda
Maashallah 😍😍😍😍
This is my dish of the year 2021 mashallah very beautiful
Maashallah 🌹🌹mungu akuzidishie mamy
Wow 👍👍👍👍 I like it
Asante sana dada nimeweza mungu akulindeee tamu bala❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Masha Allah
Masha'ALLAH 😋😋
Wow mashalaah mashalaah
Nimeipenda sana ety
Asante Dana I will try doing the same
Tried n came out well thanks.
Woow mashallah nitajaribu imetokea poa
Asante sana nimejifunza
MaashaAllah
Mashaallah sn lahisi na nzur
Super pour cette-fois je le fairai moi-même chez-moi merci
Masha Allah ❤️ umesema viungo ikizidisha biriyani yawa chungu. Tupe kipimo za viungo daa . Shukran
Ahsante sana
Dada Mashaallah 👍😊🤗tunaomba basi viedo ya tips and tricks katika upishi wa michele ya basmati mfano ukitumika kupikia biryani,wali wa maji,wali wa kukaanga,pilau etc
,jazzakallahukhair
Baarakallahu fiiqu
Mapishi yako ni level nyingine. Asante sana✅❤️
I love your cooking
Biriyani nzuri sana nimeipenda
Mashallah❤
Nimeipenda hii sana nitajaribuuu
Shukran
Mashaallah 😘
Good lecture
Machibusa amaizing chakula changu pedwa
Nimejaribu inetoka mwaa👌
Ahsante Saba
Nimefurahia nimependa
Naomba unifundishe mapishi ya keki rahis na sweaty
Namaanisha vitafunwavvitamu
Mashallah
Asante let me try
Bravoo!!
Mashaallah Asante dd chakula kitamu sn
Asante mpenzi
I loved it
Looking good & delicious 👌
Thanks love😘😘😘
Ongera my pishi mashallha nimelipend
Asante Sana Dada
Good 👍
Nakupenda bure💞💞💞😋
Asante kwa somo zuri kipenzi chetu
Shukran sana kwa sapot dear wangu😘😘
😋😋😋😋😋😋asante sana
Wooow mashallah
Nitajaribu
delicious🥰
Jaman nahis nimepitwa na mapishi napenda san
Yaan xixter yanGu umenifurahixha na nmejifunza kwa xana
Nimependa sana ntapika nam
Nimeipenda nitajarib
Nomeipenda sanaaaaa
congrats👏👏👏
Thanks
Yanii kitamuu tena umefundisha vizuri
Ngoja nijaribu tu kwakweli nimevutiwa na pishi lako
Mh nitamu sana ❤
Yaani hili pishi nilikuwa nalitafuta kwasababu chakula Kama Hiki dada mmoja alikuwa akiwapikia maboss zangu wakati huo me nilikuwa office assistant hongera dada natamani nilike mara Mia 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sasahivi we ni nani?😅
Nimeipenda mnoo , Mimi ni mwanaume lakini lazima nijaribu hivi karibuni
Jaman Dada wew mim nakupendaga bureee tuu uko vzr sanaaa haswa na hiyo sauti yako ndio balaa unajua kuelekeza hadi mtu anaelewa asee hongera Dada angu ckumoja nitajaribu ingawa cjawahi kupika biriani nalisikiaga tuu
Alhamdullilah🙏🙏Alhamdullilah Wooow😘😘😘😍😍😍jamani😘😘😘😍asante sana,sasa na mimi nakupenda pia,umeweka tabasamu kubwa sana kwenye uso wangu🙏🙏🙏Allah akuinue,akufanyie wepesi katika shughuli zako na familia yako🙏InshaAllah siku pika my,utaenjoy sana, InshaAllah🙏
@@kekiplus1andonly sawa Dada asante
Asante kw mapishi mazur
Asante sana deae
Shukran
uyo kuku kienyeji au kizungu
Habari dada yaani sijawahi kabisa kupika pishi Hilo
Pishi nimelipenda
Pambeeel👌😘
Wawoooooow 😊
Hey!!! this is so delicious wow I love ua cooking,so simple and it comes out fantastic
Namshukuru Mungu dear,asante sana kwa sapoti
Ua welcome
@@kekiplus1andonly do my best hi
Unaweza kupikia mchele wowote.
Mchele wa kawaida unafaa je rangi ya Chakula ni hzi hizi wanazoweka kwenye ubuyu
Ak mapishi yako rahisi ak
Nimependa na nitapka na mm
Nasikia Michele huu hua unavimba je, nikweli
Yes
Ntapika soon
Napenda kujua Hizo rangi za chakula ni zipi??? (Unga au Maji)
MashaAllahh
Asante kwa maujuzi Dada
Karibu
Limejua
Pishi zuri dada
Dada nae kipind cha mapishi radio sengerema nicheki tufanyekazi pamoja upate madili