Biriani/Biriyani ya Zanzibar - Kiswahili
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2016
- Ingredients: Kwa kiasi watu 6-8
For marination
5 lb vipande vya miguu na mapaja 12 pcs au kuku mzima alokatwa
Vijiko vikubwa 3 mtindi mzito
Vijiko vikubwa 4 tomato paste
Nusu 1/4 kikombe tomato ilosagwa
Vitunguu vikubwa 4
Vijiko 3 vikubwa vya thom & tangawizi ilosagwa
Ndimu/limao 1-2
1/2 Nusu kifungu majani ya kotmiri/gilgilani
1/4 kifungu majani ya nanaa
Pilipili za kijani 2 au zaidi
Vijiko 3 vikubwa bizari ya biriani ya kinyumbani au 2 garam masala
Vijiko 2 vikubwa chumvi
Vikombe 3 mafuta ya kukangia vitunguu
Nusu 1/2 kikombe mafuta ya ( kwa kuroeka kitoeo)
Zaafarani kidogo
Mbatata 2-3 kubwa kama utapenda
Mataarisho ya wali
Mchele mrefu wa basmati vikombe 5
mdalsini mzima vijiti 2
Hiliki nzima 5 pods
bay leaves 2
Karafuu nzima 3
Star anise 1
Kijiko 1 kikubwa pilipili manga nzima
Robo 1/4 kikombe vitunguu vilokaangwa
Chumvi kiasi
Zaafarani kiasi
Robo 1/4 kikombe maji ya mawardi ( sio lazima, kama utapenda)
Vikombe 7-8 maji ya kuchemshia wali
mafuta ya moto vijiko vidogo 6-8 kumwagia kwenye wali - Хобби
am from mombasa but live in london uk this woman i learn my native food from her i learned chapati from her people like it i swear shes is such a good teacher people thought have been cooking chapaties for years but i only learned once but i keep coming here alot thanks for teaching me how to still keep in contact with my home food alot of africans here have forgotten how to cook their food. i know shes from zanzibar but it just makes me want to go back home man am going to attempt this next week pray for me hope i get it lol
Tia Mo thank you so much for this wonderful comment am really grateful to Allah for giving me the strengh to be able to share what I love. Kenyan food and Zanzibar food is very similar some dishes are identical and this channel was meant to help and assist many like myself who live far from home not to loose touch we food that we grew up with x Do not stress about the biriani its very forgiving x be blessed
Aroma of Zanzibar what majani ya banaa and the colour you said you added did you add it in the safron and water and what amount please
Aroma of Zanzibar is that yoghurt and whats the the grinded spice you have ther
Here's the list of ingredients I used for the dish, its in the description box
Ingredients:
Serves 6-8
For marination
5 lb leg & thigh 12 pcs or full cut chicken
2-3 table spoons yogurt
3 table spoons tomato paste
1/4 cup crushed tomatoes
4 large red onions
3 tbs Garlic and ginger paste
1-2 lemons
1/2 bunch coriander leaves
1/4 bunch mint leaves
1 Green whole chilies (optional)
3 Tbl biriyani spices (home made) or 2 Tbs garam masala
2 Tbs salt (or as per your taste)
3 cups vegetable oil for frying the onions
1/2 cup oil
pinch saffron
2-3 large Potatoes (optional)
For the rice
5 cups basmati rice {Indian LONG grain rice}
2 sticks cinnamon
5 pods cardamom
2 bay leaves
3 cloves
1 star anise
1 Tbl black peppercorns
1/4 Cup golden fried onions
1 ½ table spoon salt (as per your taste)
1 pinch saffron
¼ cup rose water (optional but recommended)
7-8 cups water for boiling the rice
6-8 tsp hot oil or ghee to drizzle on the rice
.
These are the spices are used, thats the link on how to prepare them and the measurements will be in the description box ruclips.net/video/GvThvELD0iU/видео.html
Ok Asante sana kwa kutupatiya elimuuu nzuri kabisa ok Allah atupe kilalakher katika maisha yako inshallah ok 😃😃 ok
PROUDLY TANZANIAN/ZANZIBAR! PROUDLY SWAHILI
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Yummy Yummy 😂
Mashaallah....nitajaribu kupika biriani kwa familia yangu hapa Misri....Asante dada ♥️
Thank you for the lessons. I'm kikuyu so mapishi ya kwetu sio as appetizing as this. I try to make dishes from all over the continent but this channel has made me a winner in my household. ❤❤❤❤
My pleasure, congratulations for the efforts you have made and I am glad you are enjoying the recipes x thank you for your support
Maashaallah Asante sana dada yangu kipenzi, umenifanya nianze kukufuatilia kwa karibu zaidi... Kuanzia leo nimekuwa mwanafunzi wako wa mapishi tuletee madini kama haya mara kwa mara yaanii unajuwa sana ikiwezekana fungua college kabisa we ni professional wa hii kutu aisee
Shukran, dua zenu tu zinafaa
Allah akupe nuru katika maisha yako uweze kuwafahamisha watu namna ya kupika
habali Dada yan nilikuwa siwez ata maandaz ila kupitia aloma of zaziba nimeweza adi bilian mungu akubaliki Dada yetu
Ahsante sana nashkru
I I learned my cooking from her so beautiful cooking
Yaani we dada ni mtaalamu sana.Ubarikiwe sana kwa kutufundisha mapishi kwa Roho moja.
Amin
😂😂😂😂 ni kweli unasema okay sana ila ni nzuri... I like ur tutorials.. Blessed hands
Biriani Mashaallah
I just love this woman,she's made me the best cook,shukran sana ukhty,may Allah bless you,I'm from kenya
Thanks for your love and support
Aroma of Zanziba A very lovely lady with lots of respect in her way of talking. I enjoy your recipes with all my heart. Thank you for being generous and sharing all your recipes with us.
Wow, thank you
Mashaallah dada jiko limepata mpishi nimependa sana yaan nimekufuatilia kitambo sana wallah
I have been waiting for this all my life. Thank you so much for the recipe. Keep them coming.
not only do I like your cooking...I find your voice really soothing.
Thank you, ( blushing) lol, thank you for your support
Effie Awuor
She cooks well but the voice is irritating
@@aromaofzanzibar i wish I could understand you
@@sanabellojain9989 MUTE IT
nice nafurah kila siku kujifunza mapishi mingi zaidi thanks Allah akubarik
Jamani Wewe Mama.Nakushukuru sana ...Nilipika Biriani Tamu sana kufuatisha mafunzo yako.
Ahsante sana, na hongera pia kwa jitihada zako
Sema chapati nashindwa Mimi zina kaa ngumu ila nikizipasha zina lainika...Sijui nakosea wapi.. 😣 please teach me
I want to thank you sana as i used to HATE HATE COOKING.. but after coming across your tutorials and great explanations on how to make dishes from nyumbani i love cooking.. asante sang dada..
Thank you for taking time to write this wonderful comment and am so touched and humbled. I delighted to know that I have managed to get you cooking and hopefully you are enjoying the recipes just as much x than you, have a wonderful weekend
mashaAllah. im from malaysia..love love love this biryani..ive been try alot of biryani version. i think this is one of the best too😍👍👍
Thank you so much for the kind words, thank you for your support
Ahsante sana bibie mashaallah kila chkl unachotufundisha bc tukipika kinakua kizuri Mungu akupe ujuzi zaidi.!
Zafarani, mbatata, etc. ni vizuri kutimia majina ya kiingereza kwa baadhi ya viungo ndipo tuelewe vizuri. Hata hivyo shukrani sana kwa elimu ya mapishi.
Waswahili kila siku wanatichamba kwa kuchanganya lugha hapendi wanataka nikisema kiswahili ni kiswahili pekee, hapa kuna version ya English utapata ingredients zote kwa kiengereza ruclips.net/video/ToXULIDxuvc/видео.html
nimependa upishi wako. Na hasa ulipotumia mbinu ya kuvipunguza mafuta vitungu maji kwa kuvikamua kwenye kitchen towel. safi sana.
Asalam aleikum just wanted to say you are a big inspiration to me. I tried doing a biriani on a rice cooker because of this recipe I even deep fried onions and potatoes in the rice cooker the results were amazing. Jazakh Allah kheir sis may Allah SWT bless you always Ameen
Mashallah thats wonderful to hear that you found the technique that works for you Alhamdulilha, glad you enjoyed the biriani
@@aromaofzanzibar
P
Shukran aroma nimepikia mume wangu Leo aniambia nimekula kitu Tamu Leo ebu na kessho pika Tena.....Asante saana Allah hifdhu.i love your cooking
Hongera sana kwa jitihada zako
Nikweli kabisa nakini ni mchemsho tu namafuta hupunguwa kwakiasi nimeipenda zaidi kuliko ile yakukaanga vyote mafuta huwa nimengi
hv nyie mnaodislike hapo juu knawakera nn mbn somo zur sana?achen wivu
ddaty leo nimepika birihan yako mashaallah si kwa hutamu huo mashaallah Allah akupe afya ameen nimependa saana chakula yako😘😘😘😘😘
Mashallah, nimefurahi sana kwa kusikia mameno matamu , amin kwa dua zako na ahsante kwa kwa support
mashaAllah Allah akujaze na akulipe kwa haya mafundisho
Amin ya Rabb
Mashallah uko vizuri mama hila kwa muonesho ningependa kila unacho kigusha na jina lake zaidi mwelewa hapate kuelewa vyema japo kunao wengine wanajua.lkn nimejifunza kupika biri
Ahsante , hiyo ni video ya zamani sana nimebadili mengi sasa
hapo nimekula online kweli aaah chakula kitamu kweli .Allah akujalie mama kwani umenifunza kupika biriani ..Mashkuru na nakusihi uendelee kutusaidia kwa mafunzo .Ahh kweli ndo manake nahitaji mswahili ka mke wangu
Shukran, Mumgu atakujaalia mke utakaye mpenda in every aspect Inshallah
Mohamed Hassan Tawakkal ala Allah فصالحۃ قنتاۃ حافضاۃ............
Hapo sawa kweli mbona hata mimi nisha ila online
Mohamed Hassan
Mohamed Hassan hahahaa
mashalah baraqallah fih
Amin
+Aroma of Zanzibar wee mwarabu ama..maana majina mengne nikama nimezoea kuskia huku gulf countries
Nzuri sana unajitahidi dada yang allah akufanyie wepesi
Amina
MashaALLAH wjua kueleza vzuri mtu akaelewa
Shukran
Asant
your such an amazing channel thanks for sharing ur cooking knowledge. I am requesting a video of jinnsi ya kupika mchuzi wa kawaida wa kuku au wanyama please. Thanks.
Thank you dear, am glad you appreciate that. Inshallah nitkueletea mchuzi wa kawaida, ngoja tumalize hizi harakati za Ramadhani na Eid Inshallah
Aslkm hbbty,mashallah we are proud of u,Mabrouq dear,Allah akubarik na Kaz yako,ameen
مشاءالله تبارك الرحمن ❤️❤️🌹🌹💎💎👑👑
Nakupenda bureee
We're at 1million views!!! Congratulations!
(100 are mine 😂)
Yes indeed! Thank you for the love ❤💕💕
Hi naomba utufundishe mikate ya ufuta hatuijui
Naomba utufundishe mikate ya ufuta
@@ghaniyemaulid75 mikate ya ufuta nimefanya zamani sana, tafuta humu kwenye chanel yangu utaona
saut hiyo mama zuriiii
Gonja Dunus mh
Hahaha
Mashaaalllaah asannte wow
Asalam alaikum napenda unavyo ongea sauti mashallah hata mapishi pia ni mtoto
i feel like i have a big sister. Much love from Kenya!
Most welcome
Mashallah your awesome cooking nakula na macho tuuh 😋 bless u🙏🏽
Thank you dear....usile kwa macho tu, ingia jikoni sister lol ;)
Fida Alman
+Aroma of Zanzibar dada mi ntumie videos iyo watsaap ili ninunue viungo ivyo ili npike kma wee
Masha Allah Habipty uko vzr sana
mashallah najihisi nimerudi tunguu
this dish is nice mashallah
Naomb namb ya whatsap
masha Allah...pishi zuri.(OK)...hehe
Shukran, thank you for your support OK...;)
Aroma of Zanzibar kclhkvlb
Abdallah Mohammed mmm umenifurahisha kweli
I love Biriyani!!! Yani u know so many different food.
mashaallah Allah akuzidishie ujuzi
Amin
Watched this before going out for lunch. Too delicious. 12 minutes of torture.🙈
Poor you, thank you for stopping by though
Nlikua sijui wapi pakucoment sory dear. Yaan nimekupenda my dada. Masha Allah habibty wangu. M/Mungu akuzidishie Afya njema, furaha na kila la kheri ktk maisha yako. Aaamin.
Amin, shukran kwa support na mapenzi na dua njema
mashaallah habibty
nmefurah kujua kupika,ahsante
My favorite RUclipsr manshaalah I laern everything I need my allah bless you sister
Thank you for your support 😘
Nashukuruu kwa recepie hii....ntapika na mimi...yako rahisi kuliko nyingine ziko complicated sanaa.
Thank you for your support
Sasa anty nikuulize kama kuku wakienyeji unafkiri wataiva kuwaweka usiku mpaka asubuhi et lakini unafundisha vizur sana mpaka unafahamu
Thank yor zidi kutifahamisha habbty
mashallah mashallah nzri😘
Maa shaa Allah habibty baaraka llah
Mashaalaah, nitajaribu na mie
ASANTE SANA NIME JIFUNZA NA NIME PENDA SANA RECIPES YAKO YA BIRIANI
Ni kweli hata mimi nimependa sana mapishi yake
you need to show us kate ya mayaye and its cooked with mince meat, eggs and flours but I dont know how to mix it
Inshallah its in my list already
Nimepensa asante
Mashaallah hongera sanaa
Thats a great video. Any chance you have the ingredients in English?
Kwasababu Swahili yangu sio nzuri saana (?) -- heh. :) Asante saana!
Thank you Santosh, I have the same video in English as well here's the link ruclips.net/video/ToXULIDxuvc/видео.html
Ah - thank you so much!
:)
Aroma of Zanzibar F
hata mm najuwa kupika biriyani ya kisomali hahaha
Nayafatilia mapishi yako ni mazuri sana na unaelezea vizuri sana Allah akubariki kwa kuelimisha jamii inshaallah utafanikiwa
Ahsante sana, nashkuru
mashalalh asante kwa recpy.... 😘😘😘moza
sawaa nimeshakaribia kwenye Chanel yako tupo pamoja
Am not sure hiyo mix spices ina nini to be safe tumia za pilau
You are welcome
Aroma of zanibar..... You are very beautiful and wonderful eyes. Do you speak Arabic Language
Aroma of Zanzibar have you done bajia za kunde recipe
Aroma of Zanzibar
Aroma of Zanzibar mie penda sana mapishi yako mama
Looks yummy Mashalla I like it
asante sana kwa biriani nimejaribu tamu sana
MASAHALLAH I will try In Sha Allah
Looks yummy Masha Allah
nimeitamani mash allah
woow....always so simple to follow...💖👍👌
Sauti nzuri.will try this
Maa shaa Allah
wow thanks , I will try it!
Mashallah ukhty nilikua sijui jinsi yakuipika nikasema kimoyo acha nikutafute Aroam of zanzibar huenda ikawa ulishaifundisha wallah huwez amini jinsi najiskia furaha kukuta mafunzo yako humu Allah akupe afya na moyo huo huo wakujitolea habibt insha Allah kesho nitajaribu nami nitalitoa kama lako insha Allah
Shukran, amin kwetu sote
Naipenda sana recipe hii na ndo nnayoitumia, maashallah Allah akulipe dada
Amin , shukran
Woow i lyk it..U teach well aunt
shukran kw ujuz hakika nimejifunza mengi kupitia ww and i wish one day niwe mwalimu kama ww , mola akuzidishie ujuz zaid
Shukran Amin kwetu sote
Allahumma Barik
Hii ni tamu zaidi asantee Sana sis
Nmeipenda kabisa, ok!ha
Nimeipenda
Nimeyipenda sana nimejinza nayitwa sada
Je salive tellement c'est bon le riz et une bonne sauce c'est la base.
woow yummmiiiii🙌🙌na kama huna mahutaji hayo yote pia itafaa
Sauti nzuri kweli...
Ahsante, nashkuru
asante sana aunt yangu nakupenda sana napenda sana kuangalia sn mapishi yako kwa kweli unatufunza vzr mapish mbalmbal jazakallah kheir..
Shukran
nitajaribu kupika napenda sana nilikuwa sijui kupika asante nimeelew sasa
Mashaa Allah habibty Allah atuhifadhi ujuzi wako
mashallah dada kwa elimu hio
Asalam aleykum.shukran sana habbty kwa mapishi ya biriani nakushukuru sana mungu akuzidishie kwa kutufundisha.nimefurahi sana niliingia ktk mashindano ya kupika biriani nimeshinda nikapewa zawadi.yote sababu ya kuangalia mapishi yako.shukran sana sana
Hongera kwa jitihada zako
@@aromaofzanzibar shukran
Maa shaa Allah, I appreciate you mom
Jameni,yummy 😋
Wawo nimeipenda hio
Nc birian