Asante sana sis Nmepata oda ya watu 40 kesho nkasema nikiingia kwa my wangu malkia sikos kitu kesho wateja wangu watajidai walah nitarud na bonge la feedback
Dada nyama zang ni ngumu atar .nifanyaje ili nyam isipoteze radha.wakat wa kuchemsha .na kipimo cha tangwiz nikam zijiko vingap. Nachumvi yake .nielekeze pls nachambw kila cku
mashaallah umeweza
Wat I know good cook cuts carrots,green peppers big size .I like it very nice. Blend tomatoes makes good results I hate cut tomatoes in sauces.
Thank you 😍
Mbn hujarudi
I am not the way you are looking
Thanks for your teaching❤❤😅
Nakupenda dd naomba nisaidie nipate viungo
Maashallah. Nice and simple❤
Nimzuri my 💞
Very simple recipe. .....and adorable
Me nilikuwa sijui kupika asante
Mungu akubariki sana sana ayakumbuke nakuyatimiza mahitaji ya maisha yako Asante kwa elimu
Amina mumy. Amina
Amen
ameeeen dear
Barakiwa pishi liko vizuri
Rosti nzuri sana 😋👌
Asante sana
Nimeipenda sana dada
Asnt 🙏 nice sanaaaaa
Thank you so much for the recipe ,I will ask for the link of how to get that cooking pot
Nakupenda najua kupika kwaajili akoo🔥🔥
Ubarikiwe ❤❤❤
Garama salad
Garamasala
MashaAllah shukran dear
Asante dada yummy ❤
Ubarikiwe ddngu
Afu ni mimi nilisema dada malkia hiko kitochi😅😅😅nilijua kinamulika nyama😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅Daaah we dada nakupenda basi tu umetuinuaaa
Hahahaa. Jamanii. Sante dear
😂😂😂😂😂
Haahhaa.. Asante dear
Barikiwa dear umebadilisha majiko yetu❤
Amina mumy 😍
Sanaaa
Sima Iko wapi,
Tamu saana
Nimependa Sana hiyo malkia
Nilipika hii na wali nazi weee👌😋
😊
❤❤❤
Asante sana sis
Nmepata oda ya watu 40 kesho nkasema nikiingia kwa my wangu malkia sikos kitu kesho wateja wangu watajidai walah nitarud na bonge la feedback
Nice najifunza sana kwsko
Mashallah dada nmependa sana hujaweka hata mafuta yan hd rah
Yummy
❤️❤️❤️❤️
Nimependa mpenzi nitajitaidi nipike ivyo
Imefanywa vizuri sana
Mashaalah napend sn kupik km wew
❤
Nice one
Ubarikiwe sana umenifundisha nashukuru
Hiisiyo supu 🤑🤑🤑💃
Hello sorry what company name for the cooking pot you are using???
Nkitaka kupata kidonge cha supu nakiuliziaje na vinapatikana wapi
❤😂🎉 it tas so is
Na hangaika jaman kupata viungo viungo vitamu vya mboga
Kitunguu making sijaona
Ahsante
Mungu akutunze dad
Kalimao je?😳
Umetisha una group ya wtsap
Chapati jamani
Asante
Mh michanganyiko mbona mingi
Asantee
Ginger kitungu saum onion magi star beef masala
Shukrani
Karibu❤
thanks dear
So nice napendaga mboga mboga zilizokatwa hivyo Nene nene
Dada nyama zang ni ngumu atar .nifanyaje ili nyam isipoteze radha.wakat wa kuchemsha .na kipimo cha tangwiz nikam zijiko vingap. Nachumvi yake .nielekeze pls nachambw kila cku
Nainahitaj iwe lain kabis
Yummy yummy
Gilliland ni nini?
Dadaaaaaaaaaaaaq ubarikiwe nimepika na me leo mwaka mpya wangu nmekula vzur
Hongera sana love. Enjoy
Mafuta uliweka wakati gani?
Sijaweka kabisa kz nyama Ina mafuta
Mafuta ya kula hujaweka boss
Imejikaanga na mafuta yake😂😂
Ndo maana watu magonjwa yamekuwa mengi kizazi hiki mix zinakuwa nyingi kwenye vyakula,kwangu Mimi sikubaliani na mix hizo
Hadi ladha ya nyama inapotea, mi sipendi makorokoro mengi just simple is enough
Ladha halisi ni ile inayotokana na mkono we neema achana na hayo ma mag tube mimi huwa ata sio shida zangu😅😅😅
Mm hivi Huwa zinanishinda
Viungo vingine km tomato pest,mag nk zinaleta cancer
Mbona haujaweka mafuta?
Kwasabu nyama ilikuwa na mafuta,hata mimi huwa napika kama anavyopika
Kitunguu kinawekwa wakat gani
Ameweka wkt anaanza kuchemsha
My 2023🏆🤍
New subscriber, nipitie pia
Inamaana mafuta ya kula sio lazima kutumia
Kama nyama zinafuta huna haja kutumia mafuta ukaongeza fat kwa mwili
Hiyo grinder ya pilipili manga umenunua wapi?
Malkiafoods hiyo mboga ujaweka mafuta
Si unaona imejaa mafuta yake dear?
Asante
❤❤❤
Asante dear
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤