SHANGWE LAIBUKA BUNGENI OLESENDEKA KUWATAJA MAFISADI “NINGEKUWA WAZIRI HAKUNA AMBAYE ANGEBAKI”
HTML-код
- Опубликовано: 3 ноя 2023
- Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Christopher Olonyokie Ole-Sendeka akichangia taarifa tatu za kamati za kudumu za bunge za Kamati ya kudumu ya bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)na kamati ya kudumu ya bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) kuhusu Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2022.
Magufuli ndo rais bora rip
Mmmmh
sana ndugu
Tunanza kufufuka taratibu lakini kwa uhakika.keep the spirit high, ole sendeka and other heroes and heroine of this Great Nation.it's never too late, God bless Tz
Hii ni nguvu ya kuelekea uchaguzi ndugu
Uhun 2
Mkuu Sendekaa nakuungaa mkono ❤mara mia nne Mungu akupe wepesi
Alisema mtanikumbuka Ni kweli kabisa wengi tunamkumbuka Magu
Tena sana
Trillion 1.5😂
Wqsenge sana hawa na maza nae hatuna imani nae anawaangalia tu wanazunguka badala ya kumwambia ukweli
@@EvarimAdrian-xl5jq ila matusi hayafai aisee,kwani hayajengi hoja, kweli upigaji umebainika na unatuumiza sote lkn tuwakosoe kwa hoja
@@EvarimAdrian-xl5jqwanamogopa atawatoa kazi yaani viongoz wakiafrica wapo radhi wamkosee Mungu ila wao wafaidi mali za dhulma na kuinjoy
Magu alisema mta ni kumbuka sasa naamini😢😢
Kuleni za mwisho maana ukombozi unakaribia maana Advocate Mwambukusi ndiye Raisi ajaye
Akili Yako ni matope kabisa.
Hao wanaojiita Sauti ya Watanzania ni waganga njaa tu.
Kupitia Kwa Mwabukusi mmeshamsahau Mbowe
Lissu
Lema
Lowasa
Sasa Slaa kigeugeu na Mdude ndo mnawaona wapya.
Jitahidini kuwa na misimamo.
@@gabrielmwikanu1160 ha ha haa wewe ni wale wale maana umejiaminisha kutawala milele. Kiukweli 2025 hamtoboi kwa tume hii mmekwisha maana kibarua ni kwa usaili
Ukweli uwa unaumbuwa uongo Asante sana mh una misimamo iliyo na maslai mapama Kwa taifa Ili mungu akubariki sana
Dah tutachelewa sana aisee. Tume Tena wakati CAG ameshaweka wazi Kila wizi yaani unatafuta mwizi unamwalika mwizi kuchunguza wizi dah! Uzalendo uanzie mioyoni.
Asante muheshimiwa kwa mchango wa hoja nzuri
Hongera mbunge ole sendeka Kwa kuonyesha uchungu ulionao Kwa mawaziri mafisaxi nasi tunataka wa bunge kama wewe tuko nyuma yako
Asante sana mbunge sendeka uko vizuri hongera wewe c muoga kwenye ukweli
Mawaziri kuleni Sana hela za walipa Kodi Mimi mnyonge hata nikikosa 2000 ya takataka nishitakiwa hao mawaziri wawajibike mama asiwaonee haya loo wanyonge tunaumia Sana
Nenda kwenye point mzee
Mzee nimekukubari sana unajua kuongea vizuri alafu Kwa spider thanks
Nyie ni wezi bwana!! Mungu atawanyooshea mkono siku moja mkiwa hapo bungeni
Hawa wabunge wanacheza na akili zetu.
Chama kinajisafisha kuelekea uchaguzi
uko sahihi kabisa
Mda mwingi unaishia kupomgeza huna Cha maana kilasiku nikupongeza walioiba ni watoto wenu ndio wapo Benji juu wizara yafedha mnaundaga tume kilasiku mnamaliza Hela tu sio marayakwanza kuiba hela
Hawato kuunga mkono na kamati haitakuwa...spika atasimama na kutoa sababu za msingi za kutofanya unayotaka...pole sana baba
Hiyo kamati ikiwepo spika atapoteza kazi, na akifanya mchezo atakufa! Kuna watu wanao sababisha haya, rais anawafahamu, na kila kiongozi mkubwa ktk nchi hii anawajua. Tunaona kila siku anatoa maelekezo lakini hakuna anayechukua hatua. Tumekia pabaya sana.
Utakuwa waziri tu Bab mungu akuone
Hizi sifa mnazopeana kila uchao hazina maana yoyote na hilo halifanyiki kwenye bunge lolote duniani kwa kiwango hicho na kwa muda mwingi vile. Sifa zenyewe zinafuatwa na uozo ulioko katika mfumo ambao hao mnawasifu wapo. Jikiteni kwenye hoja acheni eti huyu au yule ni zawadi toka kwa Mungu . Mungu atupeje zawadi ya watu ambao hawana uwajibikaji katika nafasi zao?
You are absolutely right bro
Bravo bravo bravo bravo brother
ONE TRION OH MY GOD tumekukosea nini baba sisi Tunaomba huyu Mama ikiwezekana naye Afie Madarakani tu watanzania tunahangaika jamani daaaah Eee Mungu sisi wanaonao nakuomba baba
Nawe unaweza kufa usiwe na maneno makari hivyo
Acha hacra bwana mama samia hana tatzo shida majizi mengne yanamharibia tatzo mama hafukuzi anahamisha ss kuhamisha c kama kutoa pesa mfuko wa shat na kuweka wa surual jaman! Mama anawalea hawao majiz mbna kipindi cha maguful yalitulia
Sasa mama anakwepaje lawama
😂😂😂😂😂jamani nyie
Aise maisha haya watakao Baki tunaumia ni sisi Masikini daah
Hakuna haki kwa wanyonge je hamuyaoni haya mpangaji kumlipia Kodi ya jengo mwenye nyumba ni haki jameni wabunge wetu mbumbumbu tu
Unachosha nenda kwenye point Kila mara hongera hongera ndio nini sasa
Very wise... Respect Olesendeka.
Ole Sendeka oyeee
Yani hao mafisadi wasiishie kufungwa to wafilisiwe wasibakiwe na hata chupi
Hakuna haja ya Tume ya uchaguzi kazi ilishakamilika hatua Kali za kisheria zichukuliwe ili heshima iwepo katika nchi yetu hii.
Good speech
kiongozi akiwa sio muadilifu ni ngumu Sana kutoiba apatapo nafasi,wabunge wanaongelea matokeo wakati mzizi wanaujua.nani asiyefahamu namna hao viongozi wanavyopatikana? tunashangaa nn Sasa?
Safi mbunge wangu
Kwa ujumla yake,sehemu kubwa ya viongozi wetu, ni waharifu, ila uharifu wenyewe unatofautiana,Kuna ule wa
Nakosa ya jinai na ule wa makosa ya madai.
Bora hizo Hela mngewapa wadangaji mitaji nao watembelee magali
Hoja za msingi Kama hizo hazitiwi maanani ndiyo maana baada ya muda mfupi hoja inatupwa,na maisha yanaendelea.tatizo ni mfumo.tuna mfumo mbaya sana
Yani kutwaa kupongezana tuu hakuna kitu chochote ila ipo siku mtachomwa moto kwa vilio vyetu kwa kutumia hiloilo Neno la Mungu tu Mungu yuu pamoja nasi
Safii naona bungenii u CCM unaondoka,,semenii ata kama ni chama tawala.
Mmebaki wenyew bungeni maana mlisema upinzani unachelewesha maendeleo,ila waliobaki ndio wapigaji wapo humohumo
Hii ndo Tanzania wanajifchia kweny kivul Cha uzakendo lkin wanayoyfnya hayafai yn Sion mwenye afazal kuanzia juu had chini matokeo yake ndo hya mna juu wamewalea wezi na kuwapa madalaka makubwa.
Siku zote wachangiaji wakifika kwenye point nzito mda unaisha
Watanzania wanalipa Kodi, Kodi hzo zinatumika kuendesha serekali, lakini chakushangaza wananchi hawapongezwi Kwa uzalendo badala yake sifa Zina na shukrani zinakwenda Kwa viongozi pekee , hivi huu ni uungwana, ni vema walipa Kodi wapongezwe,
Viongozi wote mafisadi hakuna ata mmoja asie fisadi jiandane na moto wa mungu maharamia wakubwa nyinyi
Kazi imeanza
Kodi zetu uwiiii Jaman mm roho inauma sana dahhh,
Kama nina uhuru wakuongea nakam sivunji sheria ya inch yangu bac naomba kusema MH RAIS MAGUFUR (MAREHEM) Ndiye rais bora zaid Tanzania toka tupate uhuru💯
Unaleta habari za ujamaa Karne hii umekwamia, wakulima ni matajiri ila TZ tunadhani eri mkulina ni maskini
Wamaasai hoyee
vichwa vya wabunge wote vinazidiwa na kichwa kimoja cha magufuli ambacho kinaendelea kutuongoza ile hali kimekwisha kulala
Kusifia ziwe na Bunge lake la pekee,tujue kikao fulani ya kusifia watu.
Asaad Prof , alisema bunge la Tanzania ni dhaifu , kama cAg alitaja mafisad na bado rais anayewateua akaedelea kuwakumbatia au kuwanyamanzia na bado bunge nalo likashindwa kumwambia raisi , basi mfahamu kuwa Assad hakusema bulongo
Kweli tutakukumbuka Magufuli.Tume ya kuchunguza CAG tena? Ina maana aliyewateua hafai. Acheni kumdanya wananchi ili mjitengenezee nafasi ya kuomba kura hatudanganyiki tena. Mwigulu keshapata pesa za kununua kura jimboni kwake. Wabunge wa kweli tumesha wajua.
Leo baada ya kuona uchaguzi uleee wameanza kujionyesha kuwa wapo watanzania juu ya upigaji duh 🙄
Imina iyee. Koree engishui oomasai.
Yani sasaivi mpo wenyewe mpaka raha
Mifumo ya Ajjira za serikali inatoa mwanya kupata watu wa ovyo
Toka kipindi cha speaker Samuel sitta wamekuwa wakitajwa hao hao lakini hakuna meno ya kuwashughulikia
Pongezi nyingi huku mabilion ya pesa yameibiwa kwel mfano huyu mzee akute account zake kaibiwa hela zote atampongeza meneja wa benk kwanza kweli duu hatari sana
Jamani Jamani,,
Wanao fanya makosa ni watoto wa viongozi.
Jamani Jamani
Yeye mwenyewe mwizi tu
Time inachelewesha
Hamna kiongozi Bali ni watoto wenu watu mliokwenye exposure uongozi mm naona hakuna mtazamo na dira ya usawa
Kesi ya nyani kumpelekea ngederee hiyooo
Principal ya ccm ni kwamba kila unaposhika mic adharan sifia uwezavyo 😂😂😂 ukishindwa unapigiwa vita
Shida ni mfumo aseeh.
Acha kusifu bhana
Power
Walipita bila kupingwa hawawezi kuchukuliana hatua., hao watampa Makonda wakati mgumu 2025
TUME YA NINI WAKATI WANAJULIKANA?
Wasenge sana hawa tulishasahau mambo ya tume kwa jpm
Ole sendeka akiwa Hana cheo wa Moto sana
Mpo wote miaka yote kwani sheria sizipo kwanini hadi.leo wapo mnaujinga wa kufanya kazi kwa kujuana kuliko kuisimamia utekelezwaji wa mambo ya msingi wengine ndui hao wakiamka wanakuja na kumwambia broo kasim nimesema mara chama kimesema kilisema kupitia kikao gani uhuni tuu msitusumbue kama mnataka leteni katiba mpya mafisadi tuanze nao jumla.
Hivi mbona mnazunguka sana mawaziri wana uwezo gani wa kufukuza au kumuadabisha mwizi fisadi??? Hapo mwambieni Rais mnaogopa nini kumwambia ukweli?? Mbona jpm alikuwa anawawajibisha mwenyewe?? Au tengenezeni sheria waziri mkuu apewe mamlaka ya kutumbua!! Maana mama yenu nae tunaamini mwizi tu.. Pumbavu kabisa mnatupa hasira sana!!
Hello
Yani iyo tume iundwe na spika, hapana atawachagua wale wale
Kuwaamini wana siasa ni upuuzi wengi wao ni waganga njaa tena hawana tofauti wawe wa ccm au upinzani.
Aisee ukiwasikiliza wabunge na kuwatazama hapo bungeni kumbe hata mkulima au mfugaji wa kawaida anaweza akatoa mchango bora wa kuiletea nchi maendeleo kuliko POROJO na kipiga meza kama HARUSINI , Hivi mikono imezoea kupiga makofi bila sababu au ni KANUNI mojawapo bungeni kupiga makofi kila baada sentensi yoyote ya mbunge anayeongea ?
Safi oleSendeka tunataka viongozi wanaosaidia rais
Wambeya hawampendi Tulia nyinyi msifieni kma kawaide yenu kusifia hta ujinga
Hamna kazi majizi wote tokeni
Kupongezana hukoooooo😮
ccm bana wajanja yani wana viapo vya uadilifu alafu wenyewe ni wezi 😂😂ata kwenye uchaguzi ndio wanao ongoza kutoa na kupokea lushwa
Namngojea spika hapa
Shda utakuta waliotajwa ndo wezi wenyew halafu km biashara zinafanywa na hao amviongoz unategemea nn hapo Hakuna hatua
Mbona kila utawala ni ufisadi mutuachia ambao hatujasoma
Hakika akinenacho huyu mbunge ni kweli kabisa.
Chamaaa iko mwish
Mwizi atamchunguzaje mwizi mwenzie subilini kiama ndo haki itatendeka
Uchaguz unakaribia ,mskelele mengi
Me nna wasiwasi na tulia akison kupata uongozi dunia! Hv kwel wazungu wamemwachia hyu dad kuwa kiongoz wa mabunge dunian? Jamn africa hasa tanzania tuwe makin isije ikawa wazungu wanataka roho zetu ! Hv kwel mwafrica tena mtanzania mh!! Au wanajenga urafiki na cc kinafki hawa wazungu
Hivi hawa ni binadamu au ni wanyama leo rais kamata wananchi kuchangia majengo ya shule lakini kuna baadhi ya sehem wamekula hela za majengo sasa wanarudisha tena michango sasa ss hatujui mwizi labda ni wale wanaoiba kuku na mkoba ya wamama hawa wengine labda watuvuna sisi ni mashamba
Wachama
Mnatumarizia bandle tuu hakuna xha maana wizi kra wizara
Hakika maneno yako yatabaki kuwa miongoni mwa michango bora kufanyika bungeni.
Mzee ole sendeka your stay should show your standard,, what's your comment about your fellow tribe mate..who are forced to leave there mother land into musomero,,and what is your comment about our ports
Yaani tangu niko mdogo nasikia ufisadi Bungeni mpaka sasa ufisadi nyie hamta weza kuacha nchi salama
Siasa ni wendawazim
Mutaunda kamati ngapi?
Hacha porojo toa hoja
Mkaa kusifia tu amna hoja Yan nyie wazee 😢😢😢
samia mwenyewe fisadi
Bungen mnaongea mengi lakini hamna maamuzi magumu kulikomboa taifa
Nukuu za kale sana zisizo na maaana
Kingine Mzee ma heshima zako za busara..mbona mnajificha kwenye watendaji?wameteuliwa na nani?wanawajibishwa na nani?