SHANGWE LAIBUKA BUNGENI OLESENDEKA KUWATAJA MAFISADI “NINGEKUWA WAZIRI HAKUNA AMBAYE ANGEBAKI”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 ноя 2023
  • Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Christopher Olonyokie Ole-Sendeka akichangia taarifa tatu za kamati za kudumu za bunge za Kamati ya kudumu ya bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)na kamati ya kudumu ya bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) kuhusu Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2022.

Комментарии • 176

  • @magembesitta5657
    @magembesitta5657 7 месяцев назад +42

    Magufuli ndo rais bora rip

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 7 месяцев назад +13

    Tunanza kufufuka taratibu lakini kwa uhakika.keep the spirit high, ole sendeka and other heroes and heroine of this Great Nation.it's never too late, God bless Tz

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 7 месяцев назад +3

      Hii ni nguvu ya kuelekea uchaguzi ndugu

    • @gabrielzakaria2810
      @gabrielzakaria2810 7 месяцев назад +1

      Uhun 2

    • @paulmabena5684
      @paulmabena5684 7 месяцев назад

      Mkuu Sendekaa nakuungaa mkono ❤mara mia nne Mungu akupe wepesi

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 7 месяцев назад +45

    Alisema mtanikumbuka Ni kweli kabisa wengi tunamkumbuka Magu

    • @Worldunite
      @Worldunite 7 месяцев назад +2

      Tena sana

    • @vitusjumah
      @vitusjumah 7 месяцев назад

      Trillion 1.5😂

    • @EvarimAdrian-xl5jq
      @EvarimAdrian-xl5jq 7 месяцев назад +1

      Wqsenge sana hawa na maza nae hatuna imani nae anawaangalia tu wanazunguka badala ya kumwambia ukweli

    • @Worldunite
      @Worldunite 7 месяцев назад

      @@EvarimAdrian-xl5jq ila matusi hayafai aisee,kwani hayajengi hoja, kweli upigaji umebainika na unatuumiza sote lkn tuwakosoe kwa hoja

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 7 месяцев назад

      ​@@EvarimAdrian-xl5jqwanamogopa atawatoa kazi yaani viongoz wakiafrica wapo radhi wamkosee Mungu ila wao wafaidi mali za dhulma na kuinjoy

  • @revocatusnyerenga5914
    @revocatusnyerenga5914 7 месяцев назад +9

    Magu alisema mta ni kumbuka sasa naamini😢😢

  • @kileobenard4907
    @kileobenard4907 7 месяцев назад +15

    Kuleni za mwisho maana ukombozi unakaribia maana Advocate Mwambukusi ndiye Raisi ajaye

    • @gabrielmwikanu1160
      @gabrielmwikanu1160 7 месяцев назад

      Akili Yako ni matope kabisa.
      Hao wanaojiita Sauti ya Watanzania ni waganga njaa tu.
      Kupitia Kwa Mwabukusi mmeshamsahau Mbowe
      Lissu
      Lema
      Lowasa
      Sasa Slaa kigeugeu na Mdude ndo mnawaona wapya.
      Jitahidini kuwa na misimamo.

    • @kileobenard4907
      @kileobenard4907 7 месяцев назад

      @@gabrielmwikanu1160 ha ha haa wewe ni wale wale maana umejiaminisha kutawala milele. Kiukweli 2025 hamtoboi kwa tume hii mmekwisha maana kibarua ni kwa usaili

  • @JaphasonSumar
    @JaphasonSumar Месяц назад

    Ukweli uwa unaumbuwa uongo Asante sana mh una misimamo iliyo na maslai mapama Kwa taifa Ili mungu akubariki sana

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 7 месяцев назад +2

    Dah tutachelewa sana aisee. Tume Tena wakati CAG ameshaweka wazi Kila wizi yaani unatafuta mwizi unamwalika mwizi kuchunguza wizi dah! Uzalendo uanzie mioyoni.

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x 7 месяцев назад

    Asante muheshimiwa kwa mchango wa hoja nzuri

  • @eliasjoseph8830
    @eliasjoseph8830 7 месяцев назад +1

    Hongera mbunge ole sendeka Kwa kuonyesha uchungu ulionao Kwa mawaziri mafisaxi nasi tunataka wa bunge kama wewe tuko nyuma yako

  • @reubenakyoo6449
    @reubenakyoo6449 7 месяцев назад

    Asante sana mbunge sendeka uko vizuri hongera wewe c muoga kwenye ukweli

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 7 месяцев назад +5

    Mawaziri kuleni Sana hela za walipa Kodi Mimi mnyonge hata nikikosa 2000 ya takataka nishitakiwa hao mawaziri wawajibike mama asiwaonee haya loo wanyonge tunaumia Sana

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 7 месяцев назад +3

    Nenda kwenye point mzee

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 7 месяцев назад

    Mzee nimekukubari sana unajua kuongea vizuri alafu Kwa spider thanks

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 7 месяцев назад +2

    Nyie ni wezi bwana!! Mungu atawanyooshea mkono siku moja mkiwa hapo bungeni

  • @prospermushi8392
    @prospermushi8392 7 месяцев назад +13

    Hawa wabunge wanacheza na akili zetu.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 7 месяцев назад +5

    Mda mwingi unaishia kupomgeza huna Cha maana kilasiku nikupongeza walioiba ni watoto wenu ndio wapo Benji juu wizara yafedha mnaundaga tume kilasiku mnamaliza Hela tu sio marayakwanza kuiba hela

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 7 месяцев назад

    Hawato kuunga mkono na kamati haitakuwa...spika atasimama na kutoa sababu za msingi za kutofanya unayotaka...pole sana baba

    • @leobalige7069
      @leobalige7069 4 месяца назад

      Hiyo kamati ikiwepo spika atapoteza kazi, na akifanya mchezo atakufa! Kuna watu wanao sababisha haya, rais anawafahamu, na kila kiongozi mkubwa ktk nchi hii anawajua. Tunaona kila siku anatoa maelekezo lakini hakuna anayechukua hatua. Tumekia pabaya sana.

  • @user-dg7fy8vz3d
    @user-dg7fy8vz3d 3 месяца назад

    Utakuwa waziri tu Bab mungu akuone

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 7 месяцев назад +5

    Hizi sifa mnazopeana kila uchao hazina maana yoyote na hilo halifanyiki kwenye bunge lolote duniani kwa kiwango hicho na kwa muda mwingi vile. Sifa zenyewe zinafuatwa na uozo ulioko katika mfumo ambao hao mnawasifu wapo. Jikiteni kwenye hoja acheni eti huyu au yule ni zawadi toka kwa Mungu . Mungu atupeje zawadi ya watu ambao hawana uwajibikaji katika nafasi zao?

  • @edsoniminani
    @edsoniminani 7 месяцев назад +5

    ONE TRION OH MY GOD tumekukosea nini baba sisi Tunaomba huyu Mama ikiwezekana naye Afie Madarakani tu watanzania tunahangaika jamani daaaah Eee Mungu sisi wanaonao nakuomba baba

    • @jamesjahasa4726
      @jamesjahasa4726 7 месяцев назад +1

      Nawe unaweza kufa usiwe na maneno makari hivyo

    • @gabrielzakaria2810
      @gabrielzakaria2810 7 месяцев назад +1

      Acha hacra bwana mama samia hana tatzo shida majizi mengne yanamharibia tatzo mama hafukuzi anahamisha ss kuhamisha c kama kutoa pesa mfuko wa shat na kuweka wa surual jaman! Mama anawalea hawao majiz mbna kipindi cha maguful yalitulia

    • @mwinyikadhi2870
      @mwinyikadhi2870 7 месяцев назад +1

      Sasa mama anakwepaje lawama

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 7 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂jamani nyie

  • @SILVIANOBATI-pr6gw
    @SILVIANOBATI-pr6gw 7 месяцев назад +1

    Aise maisha haya watakao Baki tunaumia ni sisi Masikini daah

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 7 месяцев назад +1

    Hakuna haki kwa wanyonge je hamuyaoni haya mpangaji kumlipia Kodi ya jengo mwenye nyumba ni haki jameni wabunge wetu mbumbumbu tu

  • @JosephAtanazi-hs3gw
    @JosephAtanazi-hs3gw 7 месяцев назад +3

    Unachosha nenda kwenye point Kila mara hongera hongera ndio nini sasa

  • @RafikimediaTZ
    @RafikimediaTZ 7 месяцев назад +1

    Very wise... Respect Olesendeka.

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h 7 месяцев назад +1

    Ole Sendeka oyeee

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 7 месяцев назад +1

    Yani hao mafisadi wasiishie kufungwa to wafilisiwe wasibakiwe na hata chupi

  • @andreap.assenga8480
    @andreap.assenga8480 7 месяцев назад +1

    Hakuna haja ya Tume ya uchaguzi kazi ilishakamilika hatua Kali za kisheria zichukuliwe ili heshima iwepo katika nchi yetu hii.

  • @isayakazimoto3192
    @isayakazimoto3192 7 месяцев назад

    Good speech

  • @peterkilala2547
    @peterkilala2547 7 месяцев назад +1

    kiongozi akiwa sio muadilifu ni ngumu Sana kutoiba apatapo nafasi,wabunge wanaongelea matokeo wakati mzizi wanaujua.nani asiyefahamu namna hao viongozi wanavyopatikana? tunashangaa nn Sasa?

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara 7 месяцев назад

    Safi mbunge wangu

  • @amossisangu
    @amossisangu 7 месяцев назад +1

    Kwa ujumla yake,sehemu kubwa ya viongozi wetu, ni waharifu, ila uharifu wenyewe unatofautiana,Kuna ule wa
    Nakosa ya jinai na ule wa makosa ya madai.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 7 месяцев назад +3

    Bora hizo Hela mngewapa wadangaji mitaji nao watembelee magali

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi9019 7 месяцев назад

    Hoja za msingi Kama hizo hazitiwi maanani ndiyo maana baada ya muda mfupi hoja inatupwa,na maisha yanaendelea.tatizo ni mfumo.tuna mfumo mbaya sana

  • @godblessmbowe317
    @godblessmbowe317 7 месяцев назад

    Yani kutwaa kupongezana tuu hakuna kitu chochote ila ipo siku mtachomwa moto kwa vilio vyetu kwa kutumia hiloilo Neno la Mungu tu Mungu yuu pamoja nasi

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi5528 7 месяцев назад

    Safii naona bungenii u CCM unaondoka,,semenii ata kama ni chama tawala.

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 7 месяцев назад +1

    Mmebaki wenyew bungeni maana mlisema upinzani unachelewesha maendeleo,ila waliobaki ndio wapigaji wapo humohumo

  • @daudimgonde2967
    @daudimgonde2967 7 месяцев назад +1

    Hii ndo Tanzania wanajifchia kweny kivul Cha uzakendo lkin wanayoyfnya hayafai yn Sion mwenye afazal kuanzia juu had chini matokeo yake ndo hya mna juu wamewalea wezi na kuwapa madalaka makubwa.

  • @jomba6514
    @jomba6514 7 месяцев назад +1

    Siku zote wachangiaji wakifika kwenye point nzito mda unaisha

  • @user-oq6tm8iy5j
    @user-oq6tm8iy5j 7 месяцев назад

    Watanzania wanalipa Kodi, Kodi hzo zinatumika kuendesha serekali, lakini chakushangaza wananchi hawapongezwi Kwa uzalendo badala yake sifa Zina na shukrani zinakwenda Kwa viongozi pekee , hivi huu ni uungwana, ni vema walipa Kodi wapongezwe,

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 7 месяцев назад +1

    Viongozi wote mafisadi hakuna ata mmoja asie fisadi jiandane na moto wa mungu maharamia wakubwa nyinyi

  • @vicentjohnmabalamabala1492
    @vicentjohnmabalamabala1492 7 месяцев назад

    Kazi imeanza

  • @ViolethMazengo-nd8cy
    @ViolethMazengo-nd8cy 7 месяцев назад

    Kodi zetu uwiiii Jaman mm roho inauma sana dahhh,

  • @zillytash693
    @zillytash693 7 месяцев назад

    Kama nina uhuru wakuongea nakam sivunji sheria ya inch yangu bac naomba kusema MH RAIS MAGUFUR (MAREHEM) Ndiye rais bora zaid Tanzania toka tupate uhuru💯

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 7 месяцев назад

    Unaleta habari za ujamaa Karne hii umekwamia, wakulima ni matajiri ila TZ tunadhani eri mkulina ni maskini

  • @user-dg7fy8vz3d
    @user-dg7fy8vz3d 3 месяца назад

    Wamaasai hoyee

  • @fidelthomas2155
    @fidelthomas2155 7 месяцев назад

    vichwa vya wabunge wote vinazidiwa na kichwa kimoja cha magufuli ambacho kinaendelea kutuongoza ile hali kimekwisha kulala

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 7 месяцев назад +1

    Kusifia ziwe na Bunge lake la pekee,tujue kikao fulani ya kusifia watu.

  • @delgadomusalva4015
    @delgadomusalva4015 7 месяцев назад

    Asaad Prof , alisema bunge la Tanzania ni dhaifu , kama cAg alitaja mafisad na bado rais anayewateua akaedelea kuwakumbatia au kuwanyamanzia na bado bunge nalo likashindwa kumwambia raisi , basi mfahamu kuwa Assad hakusema bulongo

  • @WilsonLaizer-wq1nh
    @WilsonLaizer-wq1nh 7 месяцев назад

    Kweli tutakukumbuka Magufuli.Tume ya kuchunguza CAG tena? Ina maana aliyewateua hafai. Acheni kumdanya wananchi ili mjitengenezee nafasi ya kuomba kura hatudanganyiki tena. Mwigulu keshapata pesa za kununua kura jimboni kwake. Wabunge wa kweli tumesha wajua.

  • @user-qp2pq1uq4k
    @user-qp2pq1uq4k 7 месяцев назад

    Leo baada ya kuona uchaguzi uleee wameanza kujionyesha kuwa wapo watanzania juu ya upigaji duh 🙄

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 месяцев назад

    Imina iyee. Koree engishui oomasai.

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje 7 месяцев назад +1

    Yani sasaivi mpo wenyewe mpaka raha

  • @rashidinakumbya8613
    @rashidinakumbya8613 7 месяцев назад

    Mifumo ya Ajjira za serikali inatoa mwanya kupata watu wa ovyo

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 7 месяцев назад

    Toka kipindi cha speaker Samuel sitta wamekuwa wakitajwa hao hao lakini hakuna meno ya kuwashughulikia

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg 7 месяцев назад +1

    Pongezi nyingi huku mabilion ya pesa yameibiwa kwel mfano huyu mzee akute account zake kaibiwa hela zote atampongeza meneja wa benk kwanza kweli duu hatari sana

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 7 месяцев назад

    Jamani Jamani,,

  • @leobalige7069
    @leobalige7069 4 месяца назад

    Wanao fanya makosa ni watoto wa viongozi.

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 7 месяцев назад

    Jamani Jamani

  • @lorivimbile45
    @lorivimbile45 7 месяцев назад

    Yeye mwenyewe mwizi tu

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 7 месяцев назад +1

    Time inachelewesha

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 7 месяцев назад

    Hamna kiongozi Bali ni watoto wenu watu mliokwenye exposure uongozi mm naona hakuna mtazamo na dira ya usawa

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 7 месяцев назад

    Kesi ya nyani kumpelekea ngederee hiyooo

  • @danieljoseph7120
    @danieljoseph7120 7 месяцев назад

    Principal ya ccm ni kwamba kila unaposhika mic adharan sifia uwezavyo 😂😂😂 ukishindwa unapigiwa vita

  • @jumamdaki9691
    @jumamdaki9691 7 месяцев назад +1

    Shida ni mfumo aseeh.

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 7 месяцев назад

    Acha kusifu bhana

  • @hamisisande5909
    @hamisisande5909 7 месяцев назад

    Power

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 7 месяцев назад

    Walipita bila kupingwa hawawezi kuchukuliana hatua., hao watampa Makonda wakati mgumu 2025

  • @nsajigwamwakalonge5702
    @nsajigwamwakalonge5702 7 месяцев назад +1

    TUME YA NINI WAKATI WANAJULIKANA?

    • @EvarimAdrian-xl5jq
      @EvarimAdrian-xl5jq 7 месяцев назад

      Wasenge sana hawa tulishasahau mambo ya tume kwa jpm

  • @ramadhanichumbi2914
    @ramadhanichumbi2914 7 месяцев назад

    Ole sendeka akiwa Hana cheo wa Moto sana

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 7 месяцев назад

    Mpo wote miaka yote kwani sheria sizipo kwanini hadi.leo wapo mnaujinga wa kufanya kazi kwa kujuana kuliko kuisimamia utekelezwaji wa mambo ya msingi wengine ndui hao wakiamka wanakuja na kumwambia broo kasim nimesema mara chama kimesema kilisema kupitia kikao gani uhuni tuu msitusumbue kama mnataka leteni katiba mpya mafisadi tuanze nao jumla.

  • @EvarimAdrian-xl5jq
    @EvarimAdrian-xl5jq 7 месяцев назад

    Hivi mbona mnazunguka sana mawaziri wana uwezo gani wa kufukuza au kumuadabisha mwizi fisadi??? Hapo mwambieni Rais mnaogopa nini kumwambia ukweli?? Mbona jpm alikuwa anawawajibisha mwenyewe?? Au tengenezeni sheria waziri mkuu apewe mamlaka ya kutumbua!! Maana mama yenu nae tunaamini mwizi tu.. Pumbavu kabisa mnatupa hasira sana!!

  • @TobikokimeshwaLaitayo
    @TobikokimeshwaLaitayo День назад

    Hello

  • @user-ey8zi1es4p
    @user-ey8zi1es4p 7 месяцев назад

    Yani iyo tume iundwe na spika, hapana atawachagua wale wale

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 7 месяцев назад

    Kuwaamini wana siasa ni upuuzi wengi wao ni waganga njaa tena hawana tofauti wawe wa ccm au upinzani.

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 7 месяцев назад

    Aisee ukiwasikiliza wabunge na kuwatazama hapo bungeni kumbe hata mkulima au mfugaji wa kawaida anaweza akatoa mchango bora wa kuiletea nchi maendeleo kuliko POROJO na kipiga meza kama HARUSINI , Hivi mikono imezoea kupiga makofi bila sababu au ni KANUNI mojawapo bungeni kupiga makofi kila baada sentensi yoyote ya mbunge anayeongea ?

  • @danielmalambugi
    @danielmalambugi 7 месяцев назад +2

    Safi oleSendeka tunataka viongozi wanaosaidia rais

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 7 месяцев назад

    Wambeya hawampendi Tulia nyinyi msifieni kma kawaide yenu kusifia hta ujinga

  • @benardbwakitare-wj1hr
    @benardbwakitare-wj1hr 7 месяцев назад

    Hamna kazi majizi wote tokeni

  • @JohnManyilizu-jz2qu
    @JohnManyilizu-jz2qu 7 месяцев назад

    Kupongezana hukoooooo😮

  • @yassinrajabu6511
    @yassinrajabu6511 7 месяцев назад

    ccm bana wajanja yani wana viapo vya uadilifu alafu wenyewe ni wezi 😂😂ata kwenye uchaguzi ndio wanao ongoza kutoa na kupokea lushwa

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 7 месяцев назад

    Namngojea spika hapa

  • @user-qw9jc2cz9o
    @user-qw9jc2cz9o 7 месяцев назад

    Shda utakuta waliotajwa ndo wezi wenyew halafu km biashara zinafanywa na hao amviongoz unategemea nn hapo Hakuna hatua

  • @user-qm8lr1oz9p
    @user-qm8lr1oz9p 7 месяцев назад

    Mbona kila utawala ni ufisadi mutuachia ambao hatujasoma

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 7 месяцев назад

    Hakika akinenacho huyu mbunge ni kweli kabisa.

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 7 месяцев назад

    Chamaaa iko mwish

  • @user-mp2sf5sm4o
    @user-mp2sf5sm4o 7 месяцев назад

    Mwizi atamchunguzaje mwizi mwenzie subilini kiama ndo haki itatendeka

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 7 месяцев назад

    Uchaguz unakaribia ,mskelele mengi

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 7 месяцев назад

    Me nna wasiwasi na tulia akison kupata uongozi dunia! Hv kwel wazungu wamemwachia hyu dad kuwa kiongoz wa mabunge dunian? Jamn africa hasa tanzania tuwe makin isije ikawa wazungu wanataka roho zetu ! Hv kwel mwafrica tena mtanzania mh!! Au wanajenga urafiki na cc kinafki hawa wazungu

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 7 месяцев назад +1

    Hivi hawa ni binadamu au ni wanyama leo rais kamata wananchi kuchangia majengo ya shule lakini kuna baadhi ya sehem wamekula hela za majengo sasa wanarudisha tena michango sasa ss hatujui mwizi labda ni wale wanaoiba kuku na mkoba ya wamama hawa wengine labda watuvuna sisi ni mashamba

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 7 месяцев назад

    Mnatumarizia bandle tuu hakuna xha maana wizi kra wizara

  • @user-ng5mp8jx5c
    @user-ng5mp8jx5c 7 месяцев назад

    Hakika maneno yako yatabaki kuwa miongoni mwa michango bora kufanyika bungeni.

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 7 месяцев назад

    Mzee ole sendeka your stay should show your standard,, what's your comment about your fellow tribe mate..who are forced to leave there mother land into musomero,,and what is your comment about our ports

  • @lungusii
    @lungusii 7 месяцев назад

    Yaani tangu niko mdogo nasikia ufisadi Bungeni mpaka sasa ufisadi nyie hamta weza kuacha nchi salama

  • @danieljoseph7120
    @danieljoseph7120 7 месяцев назад

    Siasa ni wendawazim

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps 7 месяцев назад

    Mutaunda kamati ngapi?

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 7 месяцев назад +1

    Hacha porojo toa hoja
    Mkaa kusifia tu amna hoja Yan nyie wazee 😢😢😢

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 7 месяцев назад

    samia mwenyewe fisadi

  • @SamsonMalisa
    @SamsonMalisa 7 месяцев назад

    Bungen mnaongea mengi lakini hamna maamuzi magumu kulikomboa taifa

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 7 месяцев назад

    Nukuu za kale sana zisizo na maaana

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 7 месяцев назад

    Kingine Mzee ma heshima zako za busara..mbona mnajificha kwenye watendaji?wameteuliwa na nani?wanawajibishwa na nani?