Ole Sendeka alipuka bungeni akitaka shingo ya mtu, Venant akichangia; Mwigulu na Mhagama wasimama

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Mbunge wa Simanjiro (CCM) Christopher Ole Sendeka amewataka Mawaziri ambao Wizara na taasisi zilizochini yao zimetajwa katika ubadhirifu, wawajibike wenyewe.
    Ole Sendeka amesema kama hawatawajibika basi bunge liondoke na alichokiita shingo ya yule ambaye wanamamlaka naye kwa alichosema “wanachezea sana.”
    Mbunge huyo ametoa kauli hiyo bunge leo Alhamisi Novemba 2,2023 alipokuwa akichangia kwenye taarifa za Kamati za bunge kuhusu ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
    Mkongwe huyo ametoa kauli hiyo alipoomba kutoa taarifa wakati mbunge wa Igalula Venant Protas alipokuwa akichangia.
    “Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba kumpa taarifa mzungumzaji ambaye anachangia vizuri sana, napendekeza kuwa, mawaziri wote ambao taasisi zilizochini yao zimetajwa wawajibike haraka lakini wasipowajibika twendeni na shingo ya yule ambaye tuna mamlaka naye, wasituchezee,” amesema Olesendeka.
    Katika mchango wake Protas amemuomba Naibu Waziri Mkuu kwenda na kalandinga (gari la polisi) akabebe watumishi wote wa kampuni ya Tan Oil isipokuwa mhudumu pekee ndiye anastahili kubaki.
    Protas kwenye mchango wake amesema kuna mashaka hata katika ofisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo nayo amepombe ifanyiwe ukaguzi maalumu.
    Kwa mujibu wa mbunge huyo, kwenye kesi ya Escrow kampuni ya IPTL ilichukua mabilioni ya fedha lakini Mwanasheria alisimama hadharani na kusema kuwa fedha hizo hazikuwa za Serikali lakini inashangaza muda mfupi imekuja taarifa kuwa Serikali inadaiwa.

Комментарии • 67

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 11 месяцев назад +2

    Halafu mwigulu angetuacha kabisa tukimkamata kwenye kumi na nane we ngoja

  • @DianaDaud-b1f
    @DianaDaud-b1f 11 месяцев назад +3

    Jizi kubwa et Tàarifa

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 11 месяцев назад +1

    Hvi kweli kwastaili hii Nchi hii kwa uongozi wa CCM hatutoboi na hata hivyo Bunge hili haliwezi tena kuishugilikia Serikali hata KIDOGO! Watanzania tujipange tu kupata Bunge lingine!

  • @ErickJohn-c3h
    @ErickJohn-c3h 11 месяцев назад +2

    😂😂mzee wa tozo,trab na trat, kodi ya stoo. 😅 😅 mwigulu mwizi wa kutupa.***Mwigulu mwizi afukuzwe kazi huyooo....kazoea kuhamishwa hamishwa.

  • @SimeonCharles-j5x
    @SimeonCharles-j5x 11 месяцев назад +2

    Kazi kumfungia mwambukusi

  • @marymchina6557
    @marymchina6557 11 месяцев назад +1

    Kwani huyu Mwigulu nyuma yake kunanani? Subirini 2025 mtatujua vizuri

  • @mlumez
    @mlumez 11 месяцев назад +1

    Kwa bunge hili, wakichukua hatua nmekaa palee👉👉

  • @tusajigwe7491
    @tusajigwe7491 10 месяцев назад +1

    Best speech mbunge, Mungu akulinde

  • @chademaelfhasmolell
    @chademaelfhasmolell 11 месяцев назад +2

    Apo funika kikombe mwanaharamu apite wapigaji ni ccm haohao

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 11 месяцев назад +3

    Akina Tundu Lisu wakisema juu ya mikata mibovu mnawatukana mlikuwa wapi.

  • @alexkatama4341
    @alexkatama4341 11 месяцев назад

    Kuchekacheka kwenye vitu serious ni ujinga

  • @aud548
    @aud548 11 месяцев назад +1

    Mliye na mamlaka naye ....😂😂😂😂 yani mumpige chini Majaliwa

  • @patrickngumbi2766
    @patrickngumbi2766 11 месяцев назад +1

    Mwigulu kumbuka hapo hukujiweka, kwa nn mnadharau hivi au mnafikiri hatuon wala kusikia?!!! Au mnahisi hatuwezi chukua hatua za ghafla endeleeni tu

  • @partysekemi5
    @partysekemi5 11 месяцев назад +1

    Mbona wabunge wote kwenye ripoti ya CAG ya mwaka huu wote wamenyooka uchaguzi imekaribia e tunawaona vizuri sasa kila mwaka watanzania wenzangu kamati ya CAG inaleta taarifa za wizi na hakuna hatua kana kwamba mnafanya chombo hicho cha CAG na takukuru ndio zinatoa ripoti za uongo na kama ni wao sio waaminifu tuanze na hao!!!

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 29 дней назад

    Mbunge Venant nimekupenda gafra misjawahi mpenda mbunge waccm ila wewe umeongea point sana tunachangishwa michango kila cku alafu watu wachache wananugaika nahela zanchi hii

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 29 дней назад

    Mwiguluu acheni kuiibia nchi hii mwigulu nakundi lako muache kuiba nchi zawananchi

  • @HusseinseifSachirama-tn2fj
    @HusseinseifSachirama-tn2fj 11 месяцев назад +2

    Mwigulu yani simpendi

  • @MatelephonLukumay
    @MatelephonLukumay 9 месяцев назад

    Sekali ya ahamu ya tano inanyanyasa masikini kama ngombe zinauzwa efu kweli ni halalo tungalie hila

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 11 месяцев назад +1

    Huyu mwigur ajinyamauie tu maana kwenye wiz wa serekalini ni Nr 1, alafu hanaga huruma kabisa kwenye swala hilo.

  • @amizatibakari7385
    @amizatibakari7385 11 месяцев назад

    Hatujawahi ona hatua zote zinachukuliwa juu ya ufisadi mna kazi yakupia kelele tu Kila siku kumeibiwa matilion ya hela wakati huku mtaan mtu Hana hata buku ya kula hanjui ni dhambi kubwa lkn mjue Kuna kufa na hukumu ipo Kodi za masikin Kila kukicha zinaibiwa watu wenye vyeo wale Bata na familia zao hii ni haki

  • @MatelephonLukumay
    @MatelephonLukumay 9 месяцев назад

    Mali ya masikin tu ndiyò ya selikali lakin majiri niyakao

  • @LUKASKALEY-y7s
    @LUKASKALEY-y7s 9 месяцев назад

    Serikali wenyewe ndio wezi wetu sasa

  • @musayohana3274
    @musayohana3274 10 месяцев назад

    Ongera sana kiongozi olesendeka

  • @IsraelMgilitwe
    @IsraelMgilitwe 11 месяцев назад +1

    Sisi wananchi tunapambana kutafuta msosi kwa jasho ninyi mpo kivulini tusaidieni

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 11 месяцев назад

    Huyo Jennifer anaongea nini?

  • @francismwantolwa2329
    @francismwantolwa2329 11 месяцев назад +1

    Wezi wakubwa hawa

  • @epiphanmsolina5321
    @epiphanmsolina5321 11 месяцев назад

    CCM wote ni wezi watupu

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 11 месяцев назад +1

    Wacha mungu aitwe mungu wapinzani hawamo.

  • @patrickngumbi2766
    @patrickngumbi2766 11 месяцев назад +1

    Mbunge anaongelea wizi , huyu mama anataka kutufunika na maendeleo ya mchongo bado mnafikiri kuna watanazania wa hivyo kweli?!!!

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf4928 11 месяцев назад

    Uyu jamaa kiboko

  • @bahatiangle4424
    @bahatiangle4424 4 месяца назад

    Ongea baba

  • @SimeonCharles-j5x
    @SimeonCharles-j5x 11 месяцев назад

    Pesa kapeleka fountain gates

  • @MungaOlekukule
    @MungaOlekukule 8 месяцев назад

    Paulo siria

  • @kristiankitali5505
    @kristiankitali5505 11 месяцев назад +1

    Huyu Mwigulu huyu sijui

  • @KashindyeGidion
    @KashindyeGidion 6 месяцев назад

    Tudamani

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад +1

    Mwigulu katubu umetuibia sana

  • @IsaacSengunda
    @IsaacSengunda 11 месяцев назад

    Wewe mwigulu ni mpumbavu tu mwehu,watanzania wanaumia halafu unaleta ushuzi wako we mwehu

  • @raymondkafyulilo6636
    @raymondkafyulilo6636 11 месяцев назад

    Wote mliokaa hapo ni wezi tu. Mwigulu ndiyo mwizi mkubwa huyo. Mbunge Venant yupo sahihi

  • @joelramadhan6062
    @joelramadhan6062 11 месяцев назад

    Mambo ya system nchi hii ya wandwale😂😂😂😂

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 11 месяцев назад

    Hamnalolote kilasiku hayohayo mbona enzi zamagufuli yalikoma raiya hatuna Imani nawabunge ninyi ibenitu kulenitu sisi hatuna chakufanya

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 11 месяцев назад +1

    Mwigulu mwigulu mungu anakuona

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад

    Mwiguru nchemba wewe chanjo ya korona inakusumbua mwizi wewe

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 11 месяцев назад +2

    ....among the worst Govt ever this country got, never even foreseen

  • @CharlesKapuga
    @CharlesKapuga 11 месяцев назад

    Mnaheshimika kwa wizi tokeni huko ndio maana mnatia Aibu sana

  • @IsraelMgilitwe
    @IsraelMgilitwe 11 месяцев назад

    Tunaomba wabunge mtusaidie wananch

  • @AgustinJustin-j9e
    @AgustinJustin-j9e 11 месяцев назад

    Ni vizuri tukienda hvi

  • @benedictchagula8739
    @benedictchagula8739 11 месяцев назад +1

    Safi sana! Wote wangekuwa na mtazamo kama huyu mbunge tungekuwa mbali

  • @HappinessminjaHappysiami-xx4df
    @HappinessminjaHappysiami-xx4df 11 месяцев назад

    Tunaomba mheshimiwa sendeka uweze kuongelea swala la Barbara ya simanjiro ni mbaya mno

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 11 месяцев назад

    Bunge la chama wanachoongea hata hakina utekelezaji hayo maneno ya hapo

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 11 месяцев назад

    Huyu sendeka nae hajui chochote mlarusha wa simanjiro

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 11 месяцев назад

    We mama umechanjwa chanjo ya korona hakuna kizuri

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 11 месяцев назад +1

    Asante sana mh mbunge wa igalula

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 11 месяцев назад

    Ole Sendeka asante

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 11 месяцев назад

    ,🤣🤣🤣🤣

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 11 месяцев назад +1

    Mwigulu muogope mungu.

  • @emmanueljoseph3812
    @emmanueljoseph3812 11 месяцев назад +1

    Tuwapeni Chadema hii Nchi

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 11 месяцев назад

    Hongera ole sendeka

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 11 месяцев назад

    Sasa mmeanza kazi

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 11 месяцев назад

      Hamna kazi yeyote hawaniwapigaporojo hamna bunge hapa kazi Yao ndiyoooooo

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 11 месяцев назад

    Kazi iendelee

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 11 месяцев назад

      Weusidanganywe na Hawa kuku niporojotu

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 11 месяцев назад

    Ninaamini muda si mrefu bandari mtajirarua nyie wenyewe, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂