OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 387

  • @ThomasMwinuka-kg5kz
    @ThomasMwinuka-kg5kz Год назад +2

    Ole sendeka katika watu au wabunge wa ccm nmubunge unajitambua unajua nn wananchi wako wamekutuma big up sana

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +15

    Waswahili ni nadra sana kusema ukweli na kukubali kosa , kuna uhusiano wa uswahili na uongo na kuwa na maneno mengi na midomo mirefu , na kuna uhusiano wa uswahili na uvivu na umasikini . Yaani waswahili wanaweza kukubaliana kusema uwongo tu.

    • @keretolakara462
      @keretolakara462 2 года назад

      Congralation my father mtetesi wamasai na munguu akusadia

  • @henrychaula1174
    @henrychaula1174 Год назад

    Dr. Tulia Ackson hongera sana kwa kuwabana wapotoshaji wenye Nia ya kuleta taharuki zisizo na msingi.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад +9

    Woooo eeee Mungu msaidie Mzee Sendeka asianguke kwa pressure😰

  • @busindevyote3519
    @busindevyote3519 2 года назад

    Asante Mh.Christopher Olesendeka.....Waziri hiyo ni mtoto.....mpe shule.........!!

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m Год назад +1

    Asante sana usiogope pigania haki zetu wamasai kwamateso mnayopitia kwaadenyi naleng ilalasha lang eminjosho eepi utupokei nikutunyanganya mapori yetu tusikubali kamwe kamwe na wataenda wapi atutaki

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 2 года назад +21

    Ila wamasai Sendeka amewakilisha vyema…..we love you Sendeka

  • @rashidmollel529
    @rashidmollel529 2 года назад +1

    Asante Mzee ole sendeka

  • @antonnymike529
    @antonnymike529 2 года назад

    Your excellent mheshimiwa sendeka kwa kweli hilo ninalofanywa sii ungwa yampasa Rahisi angilie kati kwani lengo la kuwahamisha wamasai kwa maeneo yao sii kanakwamba ni uboreshaji wa mbuga za wanyama Bali ni kuwapokonya wamasai Arthi yao wamasai walioshi hapo tangu za mababa na mabibi zao mbona wakuwahi kuharibu au kufanya mauwaji ya wanyama pori

  • @jameszephaniajames7299
    @jameszephaniajames7299 2 года назад +7

    Tulia Aksoni naona Unaliendesha Binge vizuri, tena kwa kipaji na Upeo, Naona kuna wabunge wanajikanyaja kanyaga kwa kuwapotosha Wananchi, Hongera🙏🙏

  • @josephsarunimollelmollel8815
    @josephsarunimollelmollel8815 2 года назад +1

    Mh olesendeka uko sawa kabisa mungu akuongezee miaka piin'gor engaji emaa

  • @mrolonana...2656
    @mrolonana...2656 2 года назад

    Mungu utusaidie

  • @kelvinstephano8
    @kelvinstephano8 2 года назад

    Safi kabisa Mzee UKo vizuri Sana 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @saitotikessoylesemu
    @saitotikessoylesemu Год назад

    Good mweshimiwa

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 2 года назад +22

    Wameshambana mzee wa watu kwa sababu zao wanazozijua wenyewe..Mungu anawaona

    • @shukrancharles7817
      @shukrancharles7817 2 года назад

      Tulieni kwan,,za tudai katiba mpya itakayomfanya mwananchi awe na haki

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 года назад

      Wamembana vipi, anaambiwa asome,hasomi

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 года назад +9

    Hii ya leo nimeipenda Kwa Sendeka kuwasemea wanainchi"
    Maana unakuwaga na kihelehele cha taarifa za kinafiki,
    Japo roho inaniuma kwa kunyanyaswa kwa wakazi wa loliondo kisa kupandisha twiga kwenye ndege.

  • @revocatusreuben4605
    @revocatusreuben4605 2 года назад +3

    Ilikuwa vizuri Sana dr tulia ungekuwa na lissu bungeni

    • @SaviorAfrica
      @SaviorAfrica Год назад

      Wakutane Tulia. Lisu. MWAMBUKUSI MDUDE na mjaidi

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 6 месяцев назад

    Hajui mfumo wa maisha ya maisha ya jamii ya kimaasai

  • @florameza1028
    @florameza1028 2 года назад +7

    Safi saana Mary, ole sendeka ana kitu ndani yake

  • @florameza1028
    @florameza1028 2 года назад +4

    Ole sendeka waachie vijana umezeeka , Dr Tulia safi saana inawezekana sendeka kithungu kinasumbua

  • @edsonmruma4833
    @edsonmruma4833 2 года назад +4

    Haya ndiyo madhara ya kiswahili,Waswahili hawasemagi kweli hata siku moja wanaweza kukubaliana kusema uwongo tu hata Kama wameapa.
    Inaotwa Elimu ya Taifa watanzania tunakosa hadhi kimataifa hata Kama Ni madoktwr au maprofessor.
    Mungu tuhurumie watanzania.

    • @fatmamunde5543
      @fatmamunde5543 2 года назад

      Uswahili no uongo hahahahahhh😸😸😸😸😸😸😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fatmamunde5543
      @fatmamunde5543 2 года назад

      Niuongo

    • @sogolamwishekhe5667
      @sogolamwishekhe5667 2 года назад

      Unaposema waswahili hawasemagi ukweli wewe unakuwa upande upi??

    • @epimackjohn6354
      @epimackjohn6354 2 года назад

      Looooo ! Kaaaaa ! Utamuu huu !

  • @modeehwamangodee4231
    @modeehwamangodee4231 2 года назад

    Ubarikiwe sana further

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 2 года назад +2

    Duh! Mhe. Ole Sendeka kubali yaishe! Lakini kupanga ni kuchagua una nafasi ya kujifakari kama bado unastahili kuzitetea kondoo zako katikati ya kundi la viumbe wengine wala nyama na huku wakiwa na njaa.

  • @anthonyakyoo8832
    @anthonyakyoo8832 4 месяца назад

    Anacho sema Ole Sendeka yuko sahihi tofauti na hapo inaonyesha ubaguzi wa ukabila

  • @meshackkamduli8507
    @meshackkamduli8507 2 года назад +3

    Sendeka mungu akupe Maisha marefu iserkali aina Niya nzuri na wananchi

  • @samwelnevele1029
    @samwelnevele1029 2 года назад

    Mzee kubari yaishe Mzee

  • @zakariamolel7447
    @zakariamolel7447 2 года назад +1

    Ole Sendeka safi sana,utetezi wa wananchi ni Kazi ya ziada

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 2 года назад +7

    Tanzania 🇹🇿 mwanasheria ni mmoja tu Check Bob Tundu Antipass lissu

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 2 года назад

      Mwalimu wa tundu antipass ni huyohuyo Tulia ackson

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 6 месяцев назад

    Kwa njinsi sendeka anavyojitahidii kuutetea jamii yake anayowakilisha anastahili kupewa heshima ya mbunge karne katika wabunge wote waliowahi kuwakilisha jamii ya kimaasai hili lifanyiqe kazi asanteni

  • @rehemaobedi1587
    @rehemaobedi1587 2 года назад

    Iko poa Sana hii nimeipenda

  • @zabroninyamba7235
    @zabroninyamba7235 2 года назад

    Safi sana ndugu mubunge

  • @kimbyarungwe4959
    @kimbyarungwe4959 2 года назад +19

    Wabunge wanao jitambua ni wachache sana ongera mzee baba

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 2 года назад

    Dr. Tulia fireeee

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 2 года назад +8

    Sheria tamu jaman, hongera spika

  • @silasmichael602
    @silasmichael602 2 года назад +6

    Baba yetu sendeka ni hazina kubwa sana

  • @silasmichael602
    @silasmichael602 2 года назад

    shule nzuri sana

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 2 года назад +17

    Hon speaker knows better to run her parliamentary activities🙏💚💛

    • @craywille6059
      @craywille6059 2 года назад +1

      She is not! She is only threatening the MP, the MP Sendeka quoted the letter from the former PM Pinda, which nullified the exercise. Now why madam spika threatening him by asking him to provide evidence? Is this to say The PM Pinda was wrong? Is this what she want to tell us? Feel shy to clap your hands when spika stand in the side of oppressors. Did ever ask yourself why OBC? Why madam presidaa payed a long visit to said Arabia and being welcomed by the royal family? Do you know why the OBC company was inactive during the magufuli regime? Think deep and not just grorify the exploitation of our wealth to the few. What do you benefit? Do you know how the maasai natural lifestyles contributed to national income? Simply because of the few people's interest, Do you want such kind of attraction be diluted with those from Tanga?

    • @kubwaichebestfriend8673
      @kubwaichebestfriend8673 2 года назад

      KiswaKinge

  • @jordankalinga3125
    @jordankalinga3125 2 года назад +2

    Safi sana kwakutetea wamasai

  • @samwelnevele1029
    @samwelnevele1029 2 года назад

    Mama tulia upo good sana

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 года назад +1

    Hongera sana Spika kwa kuondoa taharuki, kwa maelezo ya Mhe. Sendeka wengi tumeelewa watu wa Wilaya 4 wahamishwe wala hata hakusema wapelekwe wapi. Mhe. Sendeka akajipange vizuri anayo hoja nzuri lakini haijakaa vizuri.

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 2 года назад +8

    Mzee Tulia dawa ikuingie,haya yanapokuwa kwa wengine mnashangilia sana leo kwenu yamefika ,ngoma hii imefikia kwenu.

    • @walinaziontime7300
      @walinaziontime7300 2 года назад

      Huna akili nchiii moja ngozi Moja taifa Moja wewe bila Masai huna nyama huna maziwa Leo unachukulia Masai kama ni MTU kutoka nchi jirani huo sio uzalendo

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад

      @@walinaziontime7300 Imebaki historia.. nyama.. maziwa ipo bila mmasai. Kwanza mifugo ilioko huko inabebwa na fuso kurudishwa kwao.. Mmasai wa kawaida anaishi Kama ndorobo Hana kitu. Ole Sendeka na wenzie wa Kenya ndio wenye ng'ombe.

    • @shabaniduduma8885
      @shabaniduduma8885 2 года назад

      Kweli kabisa ,huwa wanapenda sana kupendelewa.

    • @SaviorAfrica
      @SaviorAfrica Год назад

      Koma

    • @SaviorAfrica
      @SaviorAfrica Год назад

      TUNATAKA HAKI

  • @SaviorAfrica
    @SaviorAfrica Год назад

    Mungu ameweka wawindaji wafugaji wakulima wavuvi siku moja yatakuja kwenu ndio utasema. Msitucheleweshe kuikomboa nchi labda we sio mtanganyika

  • @eliasjoseph8830
    @eliasjoseph8830 Год назад

    Tunakushukuru sana ole sendeka kwakuwakumbusha hao mawaziri wasiofuata sheria.
    Wakati sheria hizo tumeziweka wenyewe.
    Ardhi za vijiji haziwezi kubadilishwa kuwa pori tengefu😅

  • @DeusMbalamwezi
    @DeusMbalamwezi Месяц назад

    ❤🎉

  • @f.a6043
    @f.a6043 2 года назад +15

    🤣🤣🤣🤣 Vodaco kazi ni kwenu 😆😆😆👏🏽👏🏽👏🏽🤝🏽🤝🏽🤝🏽 lee Maaasai vs wanyama pori waje huku town tuwe wa Swazi wote tu🤣🤣🤣 huu mchakato ni changamoto,😂😂 hata hivyo Mh. Sendeka una Busara sana 👍🏽 Big up Baba

  • @robbiejerrson7437
    @robbiejerrson7437 2 года назад +15

    Mbona Spika anajaribu kupoka uhuru wa mbunge wa kuzungumza bungeni? Mbunge Ole Sendeka anahoja ya kutetea wananchi wake. Dr Tulia acha wabunge wazungumze matatizo ya watu wao

    • @smarty1064
      @smarty1064 2 года назад +2

      Umeliona na wewe hilo

    • @nyamwekomatoke9951
      @nyamwekomatoke9951 2 года назад +1

      Analipwa huyo
      Na nimwanasheria so anaweza kukuzungusha Mpka ukaona kanyabazongo

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 2 года назад +2

      Sasa tulia mnataka afute hizo sheria na yeye hajatunga, jamani sheria sio za tulia nashangaa mnamvamia, mmmmh bora waliweka spika mwanasheria maana angekuwa hajui sheria angepelekwapelekwa balaaaa

  • @adolphdavid2572
    @adolphdavid2572 2 года назад

    WELL SAID OLE SENDEKA I

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 2 года назад

    Mh spikà Leo umemkamata mpotoshajiii Mzee ukubali yaaisheee Leo amepatikana

  • @filbetkalembe2806
    @filbetkalembe2806 2 года назад +5

    Mawazo ya wazee wetu good

  • @marcokanyama4533
    @marcokanyama4533 2 года назад

    Hilo li Mary Masanja ni Sukuma jinga sana linatoa taarifa ya kipumbavu tu

  • @PamelaJoseph-w1w
    @PamelaJoseph-w1w Год назад

    Kwa hiyo wanyama ni bora kuliko binadamue Mungu wasamehe wote wanaotete wasioelewa

  • @amonidafa9665
    @amonidafa9665 2 года назад +9

    Ole sema kimeumanaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 2 года назад +2

    Sema.Mzee.Umma.Utakusikia.Kulinda Uovu ni Dhambi .Bunge la Chama kimoja tu mmmh na hayo Makofi kumpigia huyo mama.Mmmhh.Ujamaa na kujitegemea irudishwe.Upya..tuyaonayo mnatupeleka Wapi..Pole.Mzee.kwa jasho likutokalo kupigania si lelemama.tetea Haki.Usiyumbe.

    • @johakhimu.mgembe.3297
      @johakhimu.mgembe.3297 2 года назад

      Sasa.Anatoa mada anaondoa hoja.Alijandaa au vipi lakini mpira unaendelea tuone Matokeo.

  • @miletuskgmiletus1563
    @miletuskgmiletus1563 2 года назад

    Safiii kabisaaa

  • @chazyjacks673
    @chazyjacks673 2 года назад +2

    Asant sana mzee

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 2 года назад +15

    tulia unakiherehere sana, unahisi kazi yako sio kuwatetea wananchi bali nikuisifia serikali

    • @shufaachagulasi3795
      @shufaachagulasi3795 2 года назад +4

      Yaani huyu supika sijui yupo hapo kutetea serikali tu

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 года назад +2

      Sasa hapo katetea nini? Sheria sio maji

    • @nailaty
      @nailaty 2 года назад +4

      Hii serekali ya wanawake ni mtihan kwa taifa

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 года назад +1

      hasaaa !

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 2 года назад +1

      Kwani tulia ndio alitunga hizo sheria? Na kasoma yeye? Kubalini kufundishwa kuwa sheria ni msumeno

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 2 года назад +5

    Spika smart sana aisee

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 2 года назад +1

    Asante mzee Ole Sendeka. Walau umehesabiwa

  • @ibrahthomas8208
    @ibrahthomas8208 2 года назад +3

    Ukimuona mama anachukua chakula cha watoto wake anampa mbwa wa jirani kwa kuamini iko siku atamfukuzia mwizi nyumbani kwake. Bas jua hao watoto ni. Wa ndungu zake na si wake

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 2 года назад

    Mzee kumbe umesoma vzuri

  • @itsjonahfather7941
    @itsjonahfather7941 2 года назад +8

    Watamuuwa kwa preshaa mzee wa watuu jamanii, mpaka anapumuaa kwa shidaaa yoote haya ya nini, Wanakuwa kama wanamdhalilisha vilee spika angeyamaliza tu kwa kumwambiaa kaa tu inatoshaa,

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 2 года назад +1

    Tulia umeshamchsnganya mmasai wetu

  • @devidmwakipunda1697
    @devidmwakipunda1697 2 года назад

    Mpe.muda mzee ajiereze unambana.sana.

  • @muhammedomer9256
    @muhammedomer9256 2 года назад

    Wanachanganya kiingereza na kiswahili

  • @suleimanimwinyimbegu4015
    @suleimanimwinyimbegu4015 2 года назад +1

    Wananchi wangu wa Ruvu same hawakushirikishwa tunalaani vikali sana Enela Ruvu kupanfishwa hazi kufanywa Pori la akiba Chama cha Ukomboz wa Umma Kilimanjaro tunalaani vikali Ruvu ya Same hayoni makazi ya watu wetu eavRuvu same

  • @elizabethcharles4902
    @elizabethcharles4902 2 года назад +2

    mzeee wangu tulia Mana binadamu wengi awapendi kuambiwa ukweli so kuwa kuwa mpole tu jembe tunacho juwa tulisha potezaga mda San jembe lawanyinge mungu ingilia kati tu Tanzania yetu

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 2 года назад +9

    Tuifanye Dar es salam mbuga za wanyama je, mtakubali

    • @fadhiliakida8609
      @fadhiliakida8609 2 года назад

      Umekielewa ulichokiandika we mwenyewe lakini?

  • @pythagorasgibson3305
    @pythagorasgibson3305 2 года назад +5

    mzee yuko sawa lkn watu wanamalengo yao tu pumbavu.

  • @sebastianonesphory8055
    @sebastianonesphory8055 Год назад

    Na huyu Tulia huwa akiongoza bunge yaani haruhusu mbunge ajieleze hadi mwisho, unaharibu hoja! Hovyo sana huyu, nikikumbuka alivyoendesha bunge la bandari ndio alikua wa hovyoo zaidi 😢😢

  • @mwanjalimfaume6380
    @mwanjalimfaume6380 2 года назад +1

    Jamani Nyerere all maliza shabaha yake na isiwe sababu za kuharararisha Mambo kwa wakati huu tofauti

  • @isaacjaphet1314
    @isaacjaphet1314 2 года назад +3

    Mimi siwez kuwaonea huruma Hawa wabunge wanaotoka umasaini... Ndo waelewe mkipenda kula vya shetani kubali kudhalilika... Sasa hivi wanawarusha kama njugu.... Mbona tutaelewana tu!!

    • @theosaimon6933
      @theosaimon6933 2 года назад

      Unamaana gani kwamba unapenda wamasai wanavyoteseka ndio furaha yako?? Poa bwana

  • @benodeemay8443
    @benodeemay8443 2 года назад

    Ongera bab

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g Год назад

    Kwa bunge hili mzee utahangaika sana chama chako hicho,sisi hatupo.

  • @januarymwashambwa6698
    @januarymwashambwa6698 2 года назад

    Njoo tubid

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 года назад +1

    Hahahahaha Hahahahaha wasiokuwa na edu,,wanatoa macho tu

  • @lukamkogwe6252
    @lukamkogwe6252 2 года назад

    Yanga bingwaaaaa

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 года назад

    Mzee hakujipanga, unaenda kushindana na mwanasheria

  • @wilsongaabusha5664
    @wilsongaabusha5664 2 года назад

    Mgandamizaji wa wamasai

  • @meshakikaffee3789
    @meshakikaffee3789 2 года назад +1

    Da kweli tunaitaji katiba mpya mnazingua Sana Shelia hinasomwa kwa kingeleza he,wakina sisi tusichokijua hicho kiluga daaaaaaa

  • @neemarenaida6667
    @neemarenaida6667 2 года назад

    Jamani baba wa watu msimpandishe pressure

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 2 года назад +19

    Hapo ndio tutaona umuhimu wa uchaguzi huru maana kwa sasa inaonekana mzee ole sendeka anabanwa kwenye uhalali lakini wabunge wengine hawana uwezo wa kumsapoti mzee pamoja na wamasai hao..hivi mmasai ni mkimbizi kwenye hayo maeneo?

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад

      Burigi huko Biharamulo (Walikoanza kuita Burigi-Chato) walipopandishwa kuwa Hifadhi ya Taifa walikuwa wakimbizi?

    • @officialmubytz1076
      @officialmubytz1076 2 года назад +1

      True

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 года назад

      Hajuikujieleza huyo mbunge,na pili kuhamishwa wananchi kupelekwa sehemu nyengine sio ukimbizi? Mbona kila sehemu yapo?

    • @jacksonmollel5106
      @jacksonmollel5106 2 года назад

      Eyeeee mwenyezi mung tunakuomba tunakuomba msaada wako maan wew tu ndiyo muweza wa yote

    • @cosmaswilliam3805
      @cosmaswilliam3805 2 года назад

      Mzigo mkubwa kwa wana CCM.

  • @zakariamolel7447
    @zakariamolel7447 2 года назад

    Udhoefu wa kuwa bungeni mda umekusadia ole Sendeka

  • @Abelyjohn-b5l
    @Abelyjohn-b5l Год назад

    ccm kwa heti

  • @Abelyjohn-b5l
    @Abelyjohn-b5l Год назад

    Jamani mimi niko mbali kidogo, nomba mniagie ccm

  • @miletuskgmiletus1563
    @miletuskgmiletus1563 2 года назад

    Huyu mama Hana taarifa yoyote

  • @ip_header
    @ip_header 2 года назад +11

    Kwa muda mfupi tu Ndugai ameshafunikwa na Dr. Tulia, yaan anajua kujenga na kubomoa hoja

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад

      Huyu ni kichwa sio Ndugai kichaa.. tena anajitamkia ana cheti Cha milembe hospital .

  • @justuskirongosi6859
    @justuskirongosi6859 2 года назад

    Tetea haki ya watu wako🔥🔥🔥

  • @lazarosule7761
    @lazarosule7761 2 года назад

    Haa

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Год назад

    Spika usiwe mwepesi sana wa kukosoa kuamwepesi wakusikiliza na kuandika na kuweka rekodi .unatupigia kelele .huwezi kuzuia fikra za wabunge .unaonyesha kuwa .....
    ........

  • @gurishamsollo8923
    @gurishamsollo8923 2 года назад +1

    Njeree amenyongewa chini ikabidi aingize mambo ya wese hahaha 😂🤣🤣

    • @micumass1989
      @micumass1989 2 года назад

      Hahah

    • @murshidhajji4715
      @murshidhajji4715 2 года назад

      yale majembe ya kujenga hoja na kuikosoa serikali hayamo mjengoni waliyapiga chini yangekuwemo pasingetosha

  • @abdurahmannjemo573
    @abdurahmannjemo573 2 года назад

    hamna nkawaida2

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 2 года назад

    Hawa wamasai Kama hamuwajui vizuri wanatabia ya kung'ang'ania maeneo na kuyamiliki na niwape angalizo hasa mikoa mnaowakaribisha wamasai na kuawauzia maeneo au kugawiwa miaka si mingi mtawajutia wamasai na mjiulize kwanini maeneo ya wamasai yawe ya wamasai tu hawana muingiliano na makabila mengine halafu wao wanatoka kwao nakwenda kuwa na mwingiliano na mikoa mingine na halafu wanavyojua kazaliana kwa makusudi Kuna kitu wanakitengeneza kwa baadaye

  • @ZuberiMani-u7g
    @ZuberiMani-u7g Месяц назад

    Ole uko sahibi

  • @williammollel97
    @williammollel97 2 года назад

    Sendeka aishiwa hoja kazeeka vibaya

  • @mkosianga6826
    @mkosianga6826 2 года назад +4

    Huyu waziri jamani anajitakia laana bure hayo maeneo aliyotajwa yana watu na makazi.mim nipo loliondo huyu mama namwangalia tu

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 2 года назад

      Kwa hiyo zile bikon ziliwekwa kwenye makazi ya watu na je wananchi wamehamishwa?

  • @josephsarunimollelmollel8815
    @josephsarunimollelmollel8815 2 года назад

    Tanyua papa lang' olesendeka mekitoponiki engai ilarin pee iret iyoock

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 2 года назад +6

    Mbona bunge letu kwa ishu sirias hawapigi makofi lkn kwenye mambo ya kishabiki na isiyo na manufaa kwa wananchi wanapiga makofi?

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa8360 Год назад

    Hawa ni wawakilishi wa jamii watokako,nadhani waheshimiwe kwani waliapa kusimamia na kuwasemea wananchi huko watokako. Wasibezwe.

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 2 года назад +5

    😂🤣😂😂HUYU DR TULIA SIYO MTU MZURI.
    KAMUWEKA KWENYE KUMI NA NANE MH! DAAAAAAH! HATARI SANA

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 2 года назад

      Sasa tulia kafanya nini? Sheria hata hajatunga yeye na Olisendeka hajapewa na tulia asome hizo sheria au kasoma mwenyewe?

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 2 года назад

      @@leticiachunga9118 SIJAPINGANA NA ALICHOFANYA DR TULIA.
      ILA NIMEFURAHISHWA NA UBOBEZI WAKE KWENYE SHERIA KIASI KWAMBA INATOFAUTISHA BUNGE KUONGOZWA NA MWANASIASA ANAEJUA SHERIA KWA SEHEMU NA KUONGOZWA NA MTU MBOBEZI.

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 года назад

      @@leticiachunga9118 kaambiwa asome hizo sheria mbona hasomi?

    • @shabaniduduma8885
      @shabaniduduma8885 2 года назад

      Watu wanataka umimi,Njeree hoiii😃

  • @adieladielemojah3062
    @adieladielemojah3062 2 года назад +1

    Ole sendeka wambie ukweli