🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Wakati wa Semina kwa wabunge kutoka kwa wataalamu wa Wizara ya Maliasili na Utalii kuhusu sakata la Mgogoro wa Wa Tarafa ya Ngorongoro ambapo kuna baadhi ya wabunge wanashauri watu wa jamii ya Wamaasai wanaoishi kwenye tarafa hiyo waondolewe na wengine wakitaka waachwe.
    Mwananchi Digital imekuletea baadhi ya hoja zao akiwemo mbunge wa Simanjiro Ole Sendeka, Mbunge wa Viti maalumu Ester Matiko pamoja na Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde maarufu kama Kibajaji.

Комментарии • 71

  • @lemalioltimbau8155
    @lemalioltimbau8155 2 года назад +3

    Lusinde hauna jipya wala hamuna mtu atakae toka hapo baba sendeka ogeza sauti usiwajali haw hawana lolote happy ni mpaka kufa

  • @barnabalushenshe5671
    @barnabalushenshe5671 2 года назад +3

    Shida ccm inashughhulika na wapinzani kuliko mambo ya msingi

  • @fatumamwalimu6135
    @fatumamwalimu6135 2 года назад +3

    Nakupenda sana lusinde maneno yako ni sahihi. Kunawabunge humo wanamifugo yao kule.

  • @stationerykinondoni7241
    @stationerykinondoni7241 2 года назад +2

    Ole Sendeka anahofia ng'ombe zake kule, yani anavyoongea tu anaonekana ana msalahi binafsi 🤣🤣

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +2

    Yaani...tutakulana na kukamiana Hadi kuumizana... Hekma... Hekma... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 2 года назад

    acheni kuwatesa Wana ngorongoro plz muogopegi mungu

  • @njironairabamollel710
    @njironairabamollel710 2 года назад +2

    Ongera sana kiongozi wetu

  • @kilamiko8299
    @kilamiko8299 2 года назад +3

    Imefika wakati sasa hii nchi iwe katika mfumo wa majimbo tuachane na ujima huu

    • @musayohana3274
      @musayohana3274 2 года назад

      Kabisa hii inchi itakua na majibisano sana watatuletea mambo ya kolonia

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150 2 года назад

    Kuna mhuni hapo..kalalaa.. hapa Nyuma ... Hahaha 😂😂😂😂

  • @charleschoma4216
    @charleschoma4216 2 года назад

    Wamasai was loliondo wananini mbona maeneo mengine watu wamehamishwa kulinda lasilimali za nchi iweje hao was loliondo

  • @jumberichardkilopa6465
    @jumberichardkilopa6465 2 года назад

    wengine hawana lolote sendeka tetea wanyonge mungu akuongezee nguvu ya kutetea watu wako pengine utakuja kugombea uraisi tutakupatia bila shaka

  • @thomasolodi1320
    @thomasolodi1320 2 года назад +2

    Ubarikiwe xana baba olesendeka mungu wambinguni akusaidia

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Una mbariki ndugu yako ilimuendele kuteketeza mbuga yetu

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni Месяц назад

    Wewe unafurahi kuhamishwa wamasai je weweukihamishwa kwenu tutafurahi? Acheni roho mbaya wamasai pale ni nyumbani kwao yiyi watu msio nakwenu mnamatatizo mmezariwa mijini tu

  • @LebahatiLaizer-b4q
    @LebahatiLaizer-b4q 8 месяцев назад

    Barikiwa sana mheshimiwa uko vizuri 🙏🙏

  • @nicksonoleleken6031
    @nicksonoleleken6031 2 года назад +2

    Mnausa Mali ghafi ya ngorongoro ndio maana sio tabu kulipa hizo pesa na sisi hizo pesa hatujui Kama wananchi

  • @emmanuelndeso3247
    @emmanuelndeso3247 2 года назад

    Mungu ibariki ole Sendeka nangorongoro

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 года назад

    Ole sendeka toa mifugo yako

  • @fahmaali8945
    @fahmaali8945 2 года назад

    Mnajadili upuunzi wachini wsmasai

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад

    Kumbe CCM mkiguswa mko sawa

  • @jumberichardkilopa6465
    @jumberichardkilopa6465 2 года назад

    Baba sendeka mungu akulinde

  • @alexlaizer17
    @alexlaizer17 2 года назад

    😭😭😭hatuna imani na inchi

  • @emanuellyatuu731
    @emanuellyatuu731 2 года назад

    Masai anatetea mifugo kuliko mafanikio ya tàifa

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 2 года назад +1

    Kuna umuhimu nchi hii iwe na mfumo wa majimbo hongera ole sendeka kwa kujenga hoja juu ya ngorongoro..

  • @kisotasekwang7754
    @kisotasekwang7754 2 года назад +1

    Mbunge unaitwa kibajaji ,,
    Afu anaongea usumbufu tupu halina akili kabisa yaani

  • @jamesmaiko9208
    @jamesmaiko9208 2 года назад +2

    Yaani hiyo ni jambo la kujaza maji kwenye gunia pambana baba ndo maana tumekuchagua sendeka guu

  • @ezekieltate4877
    @ezekieltate4877 2 года назад +1

    Umeongea point baba yangu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад

    Duuu wateteee baana

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 2 года назад +1

    Sendeka inawezekana naye anamifugo yake kule,hifadhi gani inachanganyikana na binadamu?

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад

    COVID 19 hoyeee

  • @ezekieltate4877
    @ezekieltate4877 2 года назад +1

    Tatizo wanasikiliza upande mmoja tu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад

      Hivi ni kweli kuna Watu wanaopelekewa BILIONI 8 kwa mwaka, wakati kuna Halmashauri hata Bilioni 1 hazifikishi mapato ya ndani? Kumbe Serikali ina upendeleo?! 🤔🤔

  • @reginaosward6170
    @reginaosward6170 2 года назад

    Wabunge wengine wamelala usingizi iringa vijijini mbona huwa hatuwaoni mkichangia chochote?nyie wabunge

  • @cosmasparkire1837
    @cosmasparkire1837 2 года назад +2

    😥😥😥😥😥 Mungu wangu naomba utulinde sisi wanangorongoro Mungu ibariki olesendeka

  • @cristinadanila9149
    @cristinadanila9149 2 года назад

    Nakupenda Sana Baba yangu Christopher Ole sendeka

  • @lameckmbelle8128
    @lameckmbelle8128 2 года назад

    Hunalolote sedeka mzee wa kujipendekeza ondokeni ngorongoro

  • @emanuellyatuu731
    @emanuellyatuu731 2 года назад

    Mkimßikiliza huyu mtapàtà hasara kubwa

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 2 года назад

    Mbn Mtwara haukujitokeza kuwatetea watu wa Mtwara? Mtwara waliuwawa na kufungwa walipothubutu kutetea gasi yao, Ngorongoro kuna nn na wamasai Tanzania ni nani? Kwa nn waogopwe? Lzm waondoke kwa manufaa ya Taifa letu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 года назад

    Huyo masai ni chizi anataka wanyama wapote kwasababu yamifugo yao ya mchongo huyo mzee hafai ata kidogo

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala7530 2 года назад

    Uyo wa nyuma kalala Anakula2 mshahala hajui hata Nini kimejadiliwa

  • @emanuelmolell4927
    @emanuelmolell4927 2 года назад

    Mungu tuna kmlilia akulinde olesendeka mtetezi wa wanyonge

  • @titussimiyu7645
    @titussimiyu7645 2 года назад

    Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero

  • @charlesmelami8028
    @charlesmelami8028 2 года назад

    Ilamukiogea.sana..jueni.munyàma.hana.kura.

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 2 года назад

    Sendeka unaongea nn, unatetea ujinga, tunahitaji jamii ya kimasai iondoke kwa faida ya nchi yetu. Uzee unakusumbua ww jinsi gn inaonyesha una mifugo yako Ngorongoro

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 2 года назад

    Huyu anatetea wamasai wenzake tu bila kufikiri a maslahi ya nchi. Wamezaliana wameongezeka wanataka eneo la ziada na hivyo kuwafukuza wanyama. Waondoke.

  • @matayhando6519
    @matayhando6519 2 года назад

    Wasaka tonge wanakaza midomo acha tu...Watanzania tuombeni sana haya mambo

  • @laizerkosopa8986
    @laizerkosopa8986 2 года назад

    Baba Wetu Mungu Pekee Akubariki Daima Milele

  • @cristinadanila9149
    @cristinadanila9149 2 года назад

    We mwanamke mkurya ndio maana umeisaliti chadema huna akili

  • @glorymarima5611
    @glorymarima5611 2 года назад

    Mnajali pesa instead of people.
    Mwogopeni Mungu

  • @allynazareth4988
    @allynazareth4988 2 года назад

    Kumbe kibajaji yupo vizuri sana

  • @sinjoreyamat8258
    @sinjoreyamat8258 2 года назад

    Mungibariki ngorongoro

  • @kilamiko8299
    @kilamiko8299 2 года назад

    hii ndio inaonesha uwezo mdogo wa wabunge heheh

  • @benedictkayombo4780
    @benedictkayombo4780 2 года назад

    Swala Hawa watu waondokr

  • @nicksonoleleken6031
    @nicksonoleleken6031 2 года назад +2

    Mungu akubariki baba yangu

  • @barnabalushenshe5671
    @barnabalushenshe5671 2 года назад

    Lisendeka si life

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 года назад +2

    Huyu mzee anajidhalilisha kwa kutetea hoja ya wamasai kutohama. Hawa watu wanatakiwa kuhamishwa haraka. Swali la kujiuliza ni kwamba "wasipohamishwa hatima yake nini huku idadi yao inaongezeka kila kukicha"; na ikilojia ya mahala pale inazidi kuharibika! Ni fedheha hawa wamasai wanatetea suala ambalo halina maslahi yoyote kwa taifa.

    • @jramadhanmgonja6110
      @jramadhanmgonja6110 2 года назад +1

      Brother Umeongea Kishule Ya Msingi Sanaaa!!

    • @gladysalbinus7646
      @gladysalbinus7646 2 года назад +1

      @@jramadhanmgonja6110 umemuona Ni empty brain kabsa

    • @jramadhanmgonja6110
      @jramadhanmgonja6110 2 года назад

      Nmeon Maelezo Mengi Nakijua Kaandika nitajifunza au Nitaelewa Kitu Kumbe Ndo Kwanza Ameshiba Ugali Maharagwe Daah!!

    • @elizabethjakobo279
      @elizabethjakobo279 2 года назад

      MUNGU akusameeh sababu wew ukiamishwa Mahali umeishi mda mrefu wew utaenda wapi!? lbda

  • @cosmasparkire1837
    @cosmasparkire1837 2 года назад

    Engai tadamu iyoko Mungu wa mbinguni tunaomba utukumbuke sisi wana wako wanao teswa na viongozi Mungu ibariki NGORONGORO nitakufa nitasikwa NGORONGORO

    • @matayhando6519
      @matayhando6519 2 года назад

      Huyu ole sendeka nipeni namba yake nimpongeze sana kwa utetezi huu aliofanya maana sasahv na tangu zamani huyu baba mtetezi sana....Mungu ampe miaka mingi sana

  • @raymond5175
    @raymond5175 2 года назад

    Mungu akubariki baba OLESENDEKA

  • @joelkiyiapi6256
    @joelkiyiapi6256 2 года назад

    Well put. The Maasai can live with Animals and can conserve the environment. Build schools for the the Maasai and provide water for them. You can not just go and use force to evict Wamaasai from their ancestors land.

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu7983 2 года назад

    Wahame TU hawa wamasai