NGOMA NZITO BUNGENI: MPINA ABISHANA VIKALI NA SPIKA DKT. TULIA "WALIKULA NJAMA,"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июн 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 20

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliud 22 дня назад +1

    Wana ccm mbona hamko makini kulinda rasilimali za Tanganyika yetu. Hasa wewe mheshimiwa spika tunakutegemea. lakini unaonekana kuibeba mno serikali. Kuna hoja za msingi za akina Mpina. Bulaya. Salome makamba na mdee huzipi nafsi. Simamia vizuri taifa mama tegemeo na jicho letu watanganyika limebakia kwako.

  • @user-cu3cl4yy5s
    @user-cu3cl4yy5s 28 дней назад +2

    Hapa kuna ukweli mbona kauliza kitu cha maana hapa kuna ukweli unaofichwa

  • @LeahKazeni
    @LeahKazeni День назад

    Mmhhhh haya tutaona mengi mwaka huu duuu hawawezi kuunga mkono wako mbali kabisaa mwanangu acha tu

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 28 дней назад +2

    Kwani mbugan akiwepo tembo mkubwa kuliko wote hawez kufahamika? Mbona swali la spika linatia mashaka? Kwamba mwindaji hakujua kuwa kuna mamba mkubwa. Inasikitisha sna kuona viongozi wenye dhaman wakipindisha ukweli. Daah hii inch bhana!!!!

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 29 дней назад +3

    Kama kawaida Tanzania ni shamba la bibi

  • @christianlutego1288
    @christianlutego1288 29 дней назад +2

    Wabunge wetu hawa , hayaa

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 28 дней назад

    Huwa nakukubali ila kwenye mnrt huna data Bora utulie

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi 29 дней назад +1

    Huko wanakushangaa ufisadi na rushwa ndio mashujaa na huko toka haraka mpina

  • @g-abbastechnology1818
    @g-abbastechnology1818 28 дней назад

    hapo unaonekana huna la maana iksifia ndo deal

  • @MwanaIddy-oi7lb
    @MwanaIddy-oi7lb 29 дней назад

    Mwindaji jooshioiiiii😂😂

  • @sajadyusufu5150
    @sajadyusufu5150 29 дней назад +1

    Nilipogeuka

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 28 дней назад

    hb tanzania tuna spika kweli?

  • @jameshagwe3063
    @jameshagwe3063 28 дней назад

    Hakuna spika hapo a.k.a spika mbovu

  • @athumanimohamedi9921
    @athumanimohamedi9921 28 дней назад

    😂😂 mwanangu uyo mpina

  • @Worldunite
    @Worldunite 29 дней назад +1

    Viongozi wetu mtetee na kuthamini vya kwetu, penye makosa turekebishe na sio kupingana

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 28 дней назад

    haaaahaaaaa, mpina uko visor,naspika changamoto kweri ipo yakutokuwa na aramaza mazao yetu

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 29 дней назад +3

    Ujinga, uvivu, na kutothamini vyako, Tanzania

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 29 дней назад +1

    Tayari waziri na spika lao moja

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 28 дней назад

    Spika huyu anahusika?