ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 май 2024
  • ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 253

  • @tikitvog
    @tikitvog  18 дней назад +7

    Kutazama Pat 02 bofya link hii 👇👇
    ruclips.net/video/X8GdLxSBXOE/видео.html

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 15 дней назад +9

    NIKUPE NINI MHESHIMIWA MAKONDA NINAKUOMBEA SANA KAKA YANGU MOYO WAKO NI WAKIPEKEE SANA.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @joliapantaleo349
    @joliapantaleo349 15 дней назад +6

    Hii nchi inamengi makonda nakuombea kwa Mungu akulinde sana umetumwa na Mungu nahakuna atakaekutoa kwenye nafasi yako utakua Rais wa Tanzania cku moja Mungu akuinue nakukulinda sana

  • @rashidmsuya5721
    @rashidmsuya5721 17 дней назад +21

    Magufuli kaacha spirit yake thanks god usimchukue na huyu mapema

  • @user-sp3tm7tv4x
    @user-sp3tm7tv4x 18 дней назад +26

    Makonda hata ukingombea uraisi utapata🎉🎉

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 16 дней назад +9

    Makonda una kazi ngumu sana kiongozi watu. Mungu akujaalie na akuepushe na majanga

  • @LucyNyeura-op6mg
    @LucyNyeura-op6mg 11 дней назад +2

    Namuona mpendwa wetu Magufuli, kupitia ww Paul Makonda, Mungu akulinde na kkubariki

  • @mch.emmanuelpallangyo9967
    @mch.emmanuelpallangyo9967 9 часов назад

    Makonda Mungu akupe maisha marefu akutunze siku zote

  • @juliethmziray
    @juliethmziray 16 дней назад +10

    Daaa walimu ipoh kazi Hongera eana Makonda❤❤❤

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 13 дней назад +3

    Salute madam Teacher....Salute Paul makonda

  • @MageMollel-wb7ms
    @MageMollel-wb7ms 16 дней назад +7

    Mungu akubariki mheshimiwa mkuu wa mkoa wetu makonda

  • @user-gn2gb5ve2b
    @user-gn2gb5ve2b 14 дней назад +3

    Asante Mama Samia kwa kumuona Makonda anafaa kutumikia wananchi. Mwenyenzi Mungu awabariki sana.

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 17 дней назад +9

    Mambo ni mengi, (yanatisha), Makonda ni mmoja, nchi ni kubwa, dhuluma, wizi, uyang'anyanyi, na ufisadi vinazidi kila kona ! Peke yake ataviweza ?
    Bora uwepo mfumo wa kuikabili hali hii, isingoje utashi wa mtu, au karibu na uchaguzi mkuu.
    MASIKINI MAMA TZ !

  • @jacklineminja2022
    @jacklineminja2022 17 дней назад +7

    Makonda ofs zina madudu hatari Yesu akakufunike kwa damu yake . Amina asante baba kwa upendo wako kwa wananchi

  • @malakisilas6523
    @malakisilas6523 16 дней назад +5

    Uko vizuri mkuu wa mkoa ,Yan unaacha Alama kubwa.kufichua madudu ya wakadamizaji,Makonda oye,Samia oye.

  • @godwinbenedict4146
    @godwinbenedict4146 15 дней назад +4

    Mwalimu Beatrice Mungu ampiganie, alinifundisha Geography Njiro Secondary

  • @ombeniulime2768
    @ombeniulime2768 8 дней назад +1

    Makonda kazi unayoifanya na Mungu akushindie na akulinde
    Mungu akung’arishe na kukupigania
    Mungu amekuweka kwa wakati wake

  • @kingleorpad117
    @kingleorpad117 17 дней назад +6

    Makonda tunakuombea,ww ndio kiongozi tunaekuhitaji,hakika upo vizuri

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing653 15 дней назад +9

    Beatrice beautiful soul she was ahead of me couple of years very bright

  • @user-ud1hn9gt3j
    @user-ud1hn9gt3j 16 дней назад +7

    Bado Makonda Wanambeza Fanya kazi Paul

  • @FadhiliMboyi
    @FadhiliMboyi 15 дней назад +3

    Katika watumishi wa hii nchi Kwa muda wote Kwa kipindi cha magufuli na huyu mama..hakika makonda n mtu na nusu...kaka makonda wewe n magufuli wa pili hii nchi,hongera bro

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w 18 дней назад +8

    Duuuuuu pole sana mama,sasa haki yako utapata

  • @juliusndiyaine6601
    @juliusndiyaine6601 17 дней назад +7

    Umeigusa Moyo wangu na ya wanyonge wengi wanaopitia fadhila kama huyo Mwalimu. Hongera sana kiongozi. Mungu akupe maisha marefu akupe afya, nguvu na spirit hiyo hiyo ya kusaidia wanaonewa kupata haki yao. Nakuona ukiwa sauti ya Mungu iko ndani yako nimekupenda sana kiongozi wangu.

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 16 дней назад +5

    Daa makonda kiboko,kazi nzuri hata ukipewa uenyekiti wa Kijiji kazi unafanya tu

  • @aishamaulidi7425
    @aishamaulidi7425 14 дней назад +2

    Mungu akulinde makonda. Naakupe umri mrefu kila mwenye shari nawewe na asifanikiwe

  • @ZurehaMasoud
    @ZurehaMasoud 8 дней назад +1

    Wampe stahiki zake dada Yuko smart❤❤❤❤❤❤❤

  • @mussasaidhamad1891
    @mussasaidhamad1891 9 дней назад +1

    Mungu akujalie uingoze Tanzania siku Moja aaaamiin

  • @user-bt1en5fi8g
    @user-bt1en5fi8g 7 дней назад +1

    Mi makonda wewe nakukubari saana 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @CatherineKimoso
    @CatherineKimoso 12 дней назад +1

    Makona mungu akulinde.kweli unaponya nafsi za watu walioumizwa.na Kwa hili unaponya nchi. Barikiwa sana uishi miaka 200

  • @user-ou9up7kr9n
    @user-ou9up7kr9n 8 дней назад +1

    Pole sana mama ang Mungu atakulipa ty

  • @nzowemahenge1281
    @nzowemahenge1281 14 дней назад +3

    Ingekuwa ni maamuzi yangu,,mh.makonda angepewa ukuu wa mikoa yote kwa awamu Tanzania nzima apelekwe

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u 18 дней назад +9

    Yaani makonda umekuwa kama Magufuli Mungu akulinde baba wasije wakakuzima tunakuomba sana

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 18 дней назад +11

    Arusha imeoza kwa madudu mengi ndio maana Samia akampeleka Makonda komandoo

  • @ProductionWinderBulyanhulu
    @ProductionWinderBulyanhulu 17 дней назад +4

    Piga kazi. Makonda. Watanzania tunakufuatilia kwa karibu sana.

  • @AlfredMaingi-mb3ch
    @AlfredMaingi-mb3ch 13 дней назад +2

    Muheshimiwa RC unatisha unahitaji pongezi sana MUNGU AKULINDE UNATETEA HAKI ZA WANYONGE

  • @user-hn8wo7fw6d
    @user-hn8wo7fw6d 18 дней назад +7

    Kaka Mungu akubariki sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 16 дней назад +3

    Makonda Mungu akulinde❤🎉

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 15 дней назад +2

    Mkuu yaani walimu huku chini tunaonewa sana sana tusaidiwe duh asante Mungu kutuletea Makonda

  • @AllyMustapha-kq8fs
    @AllyMustapha-kq8fs 16 дней назад +4

    Makonda wewe noma sana bigup

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 18 дней назад +14

    Yaani kila Ofisi kuna uvundo wakutisha Makonda simamia M/Mungu yuko nawe

  • @DamariMkindi
    @DamariMkindi День назад

    Makonda Big up

  • @stevedossa4966
    @stevedossa4966 4 дня назад

    Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya kazi gani??,Makonda your the voice of the voiceless!

  • @lyidiakapapa7679
    @lyidiakapapa7679 17 дней назад +15

    Mungu awe pamoja nawe Makonda , mtetezi wa wanyonge.

  • @swaiagnes6696
    @swaiagnes6696 День назад

    Mungu akulinde makonda

  • @winiemajengo1679
    @winiemajengo1679 14 дней назад +2

    Kama hayo mambo ni ya kweli Mkuu wa mkoa anahitaji ulinzi wa kiroho...

  • @tsumiduwe1406
    @tsumiduwe1406 17 дней назад +2

    pole sana mama makonda unafanya kazi wew ni mfano wa kuigwa

  • @barakavalencendola1117
    @barakavalencendola1117 12 дней назад +1

    God bless you Mr Makonda

  • @kigogosmart4121
    @kigogosmart4121 13 дней назад +2

    tunaomba makonda awe mkuu wa wa wakuu wa mikoa Tanzania

  • @stellaselli6287
    @stellaselli6287 16 дней назад +3

    Mungu akubariki tupo wengi huku

  • @davidkamando9630
    @davidkamando9630 12 дней назад +1

    Huyu mh Mungu amtangulie kwa kila jambo..... Halmashauri kuna uonevu sana

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 10 дней назад +1

    Hiv wakuu wengine mnajickiaje mwenzenu anapotenda haki hivi

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 10 дней назад

    Haya ndiyo majipu ya nchi hii makonda tetea wanyonge mungu yupo pamoja na ww

  • @AleckMilinga
    @AleckMilinga 10 дней назад

    Makonda yupo vzuli kufatilia changamoto za wananchi ongela sana mzee

  • @beatricesamwel6136
    @beatricesamwel6136 18 дней назад +7

    Watu wanaonewa jamani dah!😢😢😢

  • @rev.thobias2756
    @rev.thobias2756 12 дней назад

    DAMU YA YESU IKULINDE KIJANA MAKONDA UNAENDELEZA KAZI HAKI HUINUA TAIFA

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 3 дня назад

    Hapo makonda nimekukubali

  • @lyricszonetogo2502
    @lyricszonetogo2502 9 дней назад

    mungu mlinde sana makonda dhidi ya wote waounda shauri la chuki juu yake na utumishi wake

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 18 дней назад +2

    Hapa RC wa ARUSHA MAKONDA Anaonyesha KUSUDIO lake la kutetea haki za wanyonge ! Utendaji huu ungeagizwa ufanyike kote nchini na WAKUU wote husika uonevu uishe haki itawale watu wawajibike kuchapa kazi kwa furaha na AMANI .

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 18 дней назад +6

    Uyo mama atawaumbua mpe haki yake mtumbuka uyo mama jasiri sana

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 17 дней назад

      Jasiri,msimi,anajuwa kujieleza,anajuwa kufuata taratibu yani yupo contented,wataenda nae mbali sana.

  • @rehemamkude6766
    @rehemamkude6766 10 дней назад

    Mh. Makonda! Baadhi ya Wanawake watumishi wa Umma Wazuri, wanaojipenda, au Ni wafanyaji kazi ki ukweli, wengi wao wanapitia haya kwa namna tofauti. kesi za kupandikiziwa za Rushwa,Uzembe n.k Mafaili yao ya siri ni Makubwa kuliko mwonekano wao.
    Ndio maana tunaomba Viongozi wengine watenge Muda wao Kwa Mungu awaongoze kusikiliza watu.
    Narudia tena, baadhi ya maafisa utumishi wanatesa sn wenzao, Wanachukua nafasi ya Mungu kiaina ya kwamba bila yeye "hautoki" au "hautoboi" Wanaumiza sn Familia za wenzao, hakuna maendeleo,hata kama ulijiendeleza kwa kunyima familia mkate wao ukitegemea mchumiajuani lkn wapi wanakushikiria shingoni unaendelea kua chini na miaka inaenda.

  • @RichardlohayDagharo
    @RichardlohayDagharo День назад

    Yesu ni mzima

  • @lilianmungure8374
    @lilianmungure8374 11 дней назад

    Wakati wa Bwana ukifika,adui lazima aaibike,haki ya MTU haipotei,za mwizi Ni 40,Mungu akutunze Mh.Makonda

  • @peninabernardo2504
    @peninabernardo2504 5 дней назад

    Makonda ni mtu na nusu🙌

  • @denismsanzya
    @denismsanzya 16 дней назад +1

    mung akubariki Sana Lea Kari nzuri

  • @bahatevagre933
    @bahatevagre933 14 дней назад +1

    No comments mama apewe hakim yake,yaani tunaiabisha Tanzania sasa kama mtumishi anafanyiwa hivyo na ameajiriwa na serikali sisi part time siukilalama utafungwa

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 18 дней назад +4

    Kazi ya Maghufuli ni kubwa sana.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 15 дней назад +1

    Makonda wetu Mungu akutunze kuna watu wanavilio vikubwa hawajui wakashitak wapi

  • @rabsonmichael9720
    @rabsonmichael9720 15 дней назад +1

    Mama yupo makinu sana.hii nchi ina watu wa hovyo sana,manyanyaso ni mengi mno.kama hayajakukuta huwezi elewa.

  • @neemangowi6839
    @neemangowi6839 4 дня назад

    Kafanyiwa vibaya adi nimetetemeka

  • @barakafanuel5015
    @barakafanuel5015 13 дней назад +1

    Jiji la Arusha lilikuwa ni shida sana

  • @PriscaBarnabas-qg7ex
    @PriscaBarnabas-qg7ex 13 дней назад +1

    makonda mama samia huyu jamaa atembee mikoa yote,akitoka hapo arusha aende mkoa mwngne

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 16 дней назад +2

    Wangekupa uwaziri mkuu nchi ingetulia wanyonge wangepona

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 11 дней назад

    Uyu mama yuko smart sn

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 18 дней назад +6

    Mji huo wawatani zangu sijui nani Ali towa jina lahuo mji mambo yao ya kurusha rusha tu pole sana mkuu

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 12 дней назад

    CWT jichunguzeni walim wanao lala Mika awakosi kuwatajenii 😮

  • @TumainMahimbo
    @TumainMahimbo 10 дней назад

    Piga kazi makonda urud kwenye ukatibu

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 14 дней назад +1

    RC makonda hoyeeee kwa jina la YESU pokea URAIS

  • @user-eg2nb1ml7w
    @user-eg2nb1ml7w 13 дней назад +1

    MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! HAKIKA UNASTAHILI KUWA RAIS WA TANZANIA! TAFADHALI CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS TANZANIA 2025! TUTAKUPA KURA ZOOOOTE!! TUNAKUOMBEA SANA MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA AKULINDE!

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 7 дней назад

    Mama katulia kama ruban wa ndege anawanyoosha matapel wa kazin

  • @YohanaClement-sd9vx
    @YohanaClement-sd9vx 14 дней назад +1

    Hakika makonda wewe nimridhi WA magufuli mungu akutangulie popote pale unapopita

  • @francismulokozi3483
    @francismulokozi3483 11 дней назад

    Tanzania nnchi yangu na haki zetu pia za kupigania?

  • @vickgrace4487
    @vickgrace4487 14 дней назад +1

    MUNGU mzuri AKULINDE MTU WA MUNGU.... KWA KILA ENEO

  • @elizabethnaih5455
    @elizabethnaih5455 15 дней назад +1

    Waaaa eemungu naomba akili yahali ya juuu kama huyu mama amen

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl 13 дней назад

    Hivi ndivyo wengi wetu wanaona ni sawa hatahuyo mama nadhani ni mmojawao ilakimemkuta anajuta mkuki kwa .............

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 14 дней назад +1

    Madudu ni mengi sana CCM. Watanzania waende wapi kupata msaada?. Upuuzi mtupu

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 17 дней назад +3

    Serikalini kuna watu wanatakiwa kunyongwa

  • @josephatdionisii
    @josephatdionisii 13 дней назад +1

    Mheshimiwa tunaomba ukagombee urais iwe kwa chama gan kura utazoa zote

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 13 дней назад +2

    Makonda wewe ndo unaefaa kua rais wa tz ata ukaanzisha chama chako mm ndo mfuasi wako wa kwanza

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j 18 дней назад +2

    Nchi hii haki akuna ata wajane wanazulumiwa na maafisa utumishi .

  • @georgemwapela1654
    @georgemwapela1654 13 дней назад +2

    Haya Mambo yanayolingana nami.Nchi hii Ina watendaji wanaotumia nafasi kunyanyasa watumishi wa umma.Nilitolewa kwenye Payroll na wenye madaraka mpaka Sasa Mimi na familia yangu hatupo sawa kimaisha.

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 10 дней назад

    Wangepatikana km makonda kila mkoa ujinga usingekuwepo

  • @josephatdionisii
    @josephatdionisii 13 дней назад +1

    Viongozi ni waajabu hadi shetani anashangaa 😢😢😢😢

  • @RichardlohayDagharo
    @RichardlohayDagharo День назад

    Yesu nimzima

  • @marthajoseph4928
    @marthajoseph4928 13 дней назад

    Waaaaoooo mkuu wa mkoa uko vizuri

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x 13 дней назад

    Yani Tanzania 🇹🇿 Nchi ngumu sana kiukweli, roho mbaya tu dah😢

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 17 дней назад +1

    Nawaonea wivu Arusha, chauma hichooo!

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 17 дней назад +2

    Ccm yote hiyo dawa ni kupiga chini

  • @bangarocky8925
    @bangarocky8925 13 дней назад

    wakuu wa mikoa wangefanya kama makonda anavyofanya hslimashali zote zingeenyooka

  • @JonasJohn-rd2ee
    @JonasJohn-rd2ee 5 дней назад

    Angee kua magufuli Inge kua chapu

  • @ninayamat8213
    @ninayamat8213 12 дней назад

    Hawa afisa utumishi na mabosi wananyanyasa mno watu tunaomba mkuu wa mkoa makonda atetee haki za watu. Wengi tumefukuzwa kazi kwa unyanyasaji😢😢