ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA
HTML-код
- Опубликовано: 9 май 2024
- ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA
.
.
.
.
.
.
.
.
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo - Развлечения
Kutazama Pat 02 bofya link hii 👇👇
ruclips.net/video/X8GdLxSBXOE/видео.html
Ba0
NIKUPE NINI MHESHIMIWA MAKONDA NINAKUOMBEA SANA KAKA YANGU MOYO WAKO NI WAKIPEKEE SANA.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii nchi inamengi makonda nakuombea kwa Mungu akulinde sana umetumwa na Mungu nahakuna atakaekutoa kwenye nafasi yako utakua Rais wa Tanzania cku moja Mungu akuinue nakukulinda sana
Magufuli kaacha spirit yake thanks god usimchukue na huyu mapema
Amina tumwombeee sana
Mh Makonda rudi dar utuokoe kuna Madudu huku
Makonda hata ukingombea uraisi utapata🎉🎉
Makonda una kazi ngumu sana kiongozi watu. Mungu akujaalie na akuepushe na majanga
Namuona mpendwa wetu Magufuli, kupitia ww Paul Makonda, Mungu akulinde na kkubariki
Makonda Mungu akupe maisha marefu akutunze siku zote
Daaa walimu ipoh kazi Hongera eana Makonda❤❤❤
Salute madam Teacher....Salute Paul makonda
Mungu akubariki mheshimiwa mkuu wa mkoa wetu makonda
Asante Mama Samia kwa kumuona Makonda anafaa kutumikia wananchi. Mwenyenzi Mungu awabariki sana.
Mambo ni mengi, (yanatisha), Makonda ni mmoja, nchi ni kubwa, dhuluma, wizi, uyang'anyanyi, na ufisadi vinazidi kila kona ! Peke yake ataviweza ?
Bora uwepo mfumo wa kuikabili hali hii, isingoje utashi wa mtu, au karibu na uchaguzi mkuu.
MASIKINI MAMA TZ !
MAKONDA UTACHOKA SANA. BUT KEEP GOING
Makonda ofs zina madudu hatari Yesu akakufunike kwa damu yake . Amina asante baba kwa upendo wako kwa wananchi
Uko vizuri mkuu wa mkoa ,Yan unaacha Alama kubwa.kufichua madudu ya wakadamizaji,Makonda oye,Samia oye.
Mwalimu Beatrice Mungu ampiganie, alinifundisha Geography Njiro Secondary
Makonda kazi unayoifanya na Mungu akushindie na akulinde
Mungu akung’arishe na kukupigania
Mungu amekuweka kwa wakati wake
Makonda tunakuombea,ww ndio kiongozi tunaekuhitaji,hakika upo vizuri
Beatrice beautiful soul she was ahead of me couple of years very bright
Bado Makonda Wanambeza Fanya kazi Paul
Katika watumishi wa hii nchi Kwa muda wote Kwa kipindi cha magufuli na huyu mama..hakika makonda n mtu na nusu...kaka makonda wewe n magufuli wa pili hii nchi,hongera bro
Duuuuuu pole sana mama,sasa haki yako utapata
Umeigusa Moyo wangu na ya wanyonge wengi wanaopitia fadhila kama huyo Mwalimu. Hongera sana kiongozi. Mungu akupe maisha marefu akupe afya, nguvu na spirit hiyo hiyo ya kusaidia wanaonewa kupata haki yao. Nakuona ukiwa sauti ya Mungu iko ndani yako nimekupenda sana kiongozi wangu.
Daa makonda kiboko,kazi nzuri hata ukipewa uenyekiti wa Kijiji kazi unafanya tu
Mungu akulinde makonda. Naakupe umri mrefu kila mwenye shari nawewe na asifanikiwe
Wampe stahiki zake dada Yuko smart❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akujalie uingoze Tanzania siku Moja aaaamiin
Mi makonda wewe nakukubari saana 🙏🙏🙏🙏🙏
Makona mungu akulinde.kweli unaponya nafsi za watu walioumizwa.na Kwa hili unaponya nchi. Barikiwa sana uishi miaka 200
Pole sana mama ang Mungu atakulipa ty
Ingekuwa ni maamuzi yangu,,mh.makonda angepewa ukuu wa mikoa yote kwa awamu Tanzania nzima apelekwe
Yaani makonda umekuwa kama Magufuli Mungu akulinde baba wasije wakakuzima tunakuomba sana
Arusha imeoza kwa madudu mengi ndio maana Samia akampeleka Makonda komandoo
Piga kazi. Makonda. Watanzania tunakufuatilia kwa karibu sana.
Muheshimiwa RC unatisha unahitaji pongezi sana MUNGU AKULINDE UNATETEA HAKI ZA WANYONGE
Kaka Mungu akubariki sana
Makonda Mungu akulinde❤🎉
Mkuu yaani walimu huku chini tunaonewa sana sana tusaidiwe duh asante Mungu kutuletea Makonda
Makonda wewe noma sana bigup
Yaani kila Ofisi kuna uvundo wakutisha Makonda simamia M/Mungu yuko nawe
Makonda Big up
Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya kazi gani??,Makonda your the voice of the voiceless!
Mungu awe pamoja nawe Makonda , mtetezi wa wanyonge.
AMEEN
Mungu akulinde makonda
Kama hayo mambo ni ya kweli Mkuu wa mkoa anahitaji ulinzi wa kiroho...
pole sana mama makonda unafanya kazi wew ni mfano wa kuigwa
God bless you Mr Makonda
tunaomba makonda awe mkuu wa wa wakuu wa mikoa Tanzania
Mungu akubariki tupo wengi huku
Huyu mh Mungu amtangulie kwa kila jambo..... Halmashauri kuna uonevu sana
Hiv wakuu wengine mnajickiaje mwenzenu anapotenda haki hivi
Haya ndiyo majipu ya nchi hii makonda tetea wanyonge mungu yupo pamoja na ww
Makonda yupo vzuli kufatilia changamoto za wananchi ongela sana mzee
Watu wanaonewa jamani dah!😢😢😢
Dhuluma dhuluma. Utafikiri hizo pesa ni zao
DAMU YA YESU IKULINDE KIJANA MAKONDA UNAENDELEZA KAZI HAKI HUINUA TAIFA
Hapo makonda nimekukubali
mungu mlinde sana makonda dhidi ya wote waounda shauri la chuki juu yake na utumishi wake
Hapa RC wa ARUSHA MAKONDA Anaonyesha KUSUDIO lake la kutetea haki za wanyonge ! Utendaji huu ungeagizwa ufanyike kote nchini na WAKUU wote husika uonevu uishe haki itawale watu wawajibike kuchapa kazi kwa furaha na AMANI .
Uyo mama atawaumbua mpe haki yake mtumbuka uyo mama jasiri sana
Jasiri,msimi,anajuwa kujieleza,anajuwa kufuata taratibu yani yupo contented,wataenda nae mbali sana.
Mh. Makonda! Baadhi ya Wanawake watumishi wa Umma Wazuri, wanaojipenda, au Ni wafanyaji kazi ki ukweli, wengi wao wanapitia haya kwa namna tofauti. kesi za kupandikiziwa za Rushwa,Uzembe n.k Mafaili yao ya siri ni Makubwa kuliko mwonekano wao.
Ndio maana tunaomba Viongozi wengine watenge Muda wao Kwa Mungu awaongoze kusikiliza watu.
Narudia tena, baadhi ya maafisa utumishi wanatesa sn wenzao, Wanachukua nafasi ya Mungu kiaina ya kwamba bila yeye "hautoki" au "hautoboi" Wanaumiza sn Familia za wenzao, hakuna maendeleo,hata kama ulijiendeleza kwa kunyima familia mkate wao ukitegemea mchumiajuani lkn wapi wanakushikiria shingoni unaendelea kua chini na miaka inaenda.
Yesu ni mzima
Wakati wa Bwana ukifika,adui lazima aaibike,haki ya MTU haipotei,za mwizi Ni 40,Mungu akutunze Mh.Makonda
Makonda ni mtu na nusu🙌
mung akubariki Sana Lea Kari nzuri
No comments mama apewe hakim yake,yaani tunaiabisha Tanzania sasa kama mtumishi anafanyiwa hivyo na ameajiriwa na serikali sisi part time siukilalama utafungwa
Kazi ya Maghufuli ni kubwa sana.
Makonda wetu Mungu akutunze kuna watu wanavilio vikubwa hawajui wakashitak wapi
Mama yupo makinu sana.hii nchi ina watu wa hovyo sana,manyanyaso ni mengi mno.kama hayajakukuta huwezi elewa.
Kafanyiwa vibaya adi nimetetemeka
Jiji la Arusha lilikuwa ni shida sana
makonda mama samia huyu jamaa atembee mikoa yote,akitoka hapo arusha aende mkoa mwngne
Wangekupa uwaziri mkuu nchi ingetulia wanyonge wangepona
Uyu mama yuko smart sn
Mji huo wawatani zangu sijui nani Ali towa jina lahuo mji mambo yao ya kurusha rusha tu pole sana mkuu
CWT jichunguzeni walim wanao lala Mika awakosi kuwatajenii 😮
Piga kazi makonda urud kwenye ukatibu
RC makonda hoyeeee kwa jina la YESU pokea URAIS
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! HAKIKA UNASTAHILI KUWA RAIS WA TANZANIA! TAFADHALI CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS TANZANIA 2025! TUTAKUPA KURA ZOOOOTE!! TUNAKUOMBEA SANA MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA AKULINDE!
Mama katulia kama ruban wa ndege anawanyoosha matapel wa kazin
Hakika makonda wewe nimridhi WA magufuli mungu akutangulie popote pale unapopita
Tanzania nnchi yangu na haki zetu pia za kupigania?
MUNGU mzuri AKULINDE MTU WA MUNGU.... KWA KILA ENEO
Waaaa eemungu naomba akili yahali ya juuu kama huyu mama amen
Hivi ndivyo wengi wetu wanaona ni sawa hatahuyo mama nadhani ni mmojawao ilakimemkuta anajuta mkuki kwa .............
Madudu ni mengi sana CCM. Watanzania waende wapi kupata msaada?. Upuuzi mtupu
Serikalini kuna watu wanatakiwa kunyongwa
Mheshimiwa tunaomba ukagombee urais iwe kwa chama gan kura utazoa zote
Makonda wewe ndo unaefaa kua rais wa tz ata ukaanzisha chama chako mm ndo mfuasi wako wa kwanza
Nchi hii haki akuna ata wajane wanazulumiwa na maafisa utumishi .
Haya Mambo yanayolingana nami.Nchi hii Ina watendaji wanaotumia nafasi kunyanyasa watumishi wa umma.Nilitolewa kwenye Payroll na wenye madaraka mpaka Sasa Mimi na familia yangu hatupo sawa kimaisha.
Pole sana kiongozi
Wangepatikana km makonda kila mkoa ujinga usingekuwepo
Viongozi ni waajabu hadi shetani anashangaa 😢😢😢😢
Yesu nimzima
Waaaaoooo mkuu wa mkoa uko vizuri
Yani Tanzania 🇹🇿 Nchi ngumu sana kiukweli, roho mbaya tu dah😢
Nawaonea wivu Arusha, chauma hichooo!
Ccm yote hiyo dawa ni kupiga chini
wakuu wa mikoa wangefanya kama makonda anavyofanya hslimashali zote zingeenyooka
Angee kua magufuli Inge kua chapu
Hawa afisa utumishi na mabosi wananyanyasa mno watu tunaomba mkuu wa mkoa makonda atetee haki za watu. Wengi tumefukuzwa kazi kwa unyanyasaji😢😢