Weee kibajaji ,unaongea sana lakini mbona barabara ya mvumi dodoma bado mbovu haina lami? Tangu uingie ni miaka kadhaa sasa ,Ebu umieni ipendeni dodoma yenu amani, Mungu amewakumbuka Dodoma lakini viongozi wenyeji mlopewa dhamana ni kama hamuelewi hii Neema kwanini?
Huyu hawezi kuwa mbunge wangu ..maneno mengi ya hivyo ila ni wale wale wakina Ndugai . Wagogo hovyo wakipata uongozi
Weee kibajaji ,unaongea sana lakini mbona barabara ya mvumi dodoma bado mbovu haina lami? Tangu uingie ni miaka kadhaa sasa ,Ebu umieni ipendeni dodoma yenu amani, Mungu amewakumbuka Dodoma lakini viongozi wenyeji mlopewa dhamana ni kama hamuelewi hii Neema kwanini?