MFANYABIASHARA WA MADINI ATAPELIWA MILIONI 115 GEITA, AFUNGUKA BAADA YA KUTAPELIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 149

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 8 месяцев назад +4

    Asante sana Afande umeongea vizuri sana. Hawa wafanyabiashara wanafanya biashara kizamani mno

  • @salumjazaa5595
    @salumjazaa5595 8 месяцев назад +7

    Subhaanallah, pole sana akhuy fahad, Allah akufanyie wepes.

  • @martinlema7328
    @martinlema7328 8 месяцев назад +3

    Mimi nimetapeliwa 15+m Sitaki upumbavu na watu wa madini... Waongo sana...

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 8 месяцев назад +5

    Subhanallah yarrab pesa nyingi mnoo sijui ilikuaje hadi akampa uaminifu

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 8 месяцев назад +10

    Watu wana comment humu hawajui biashara ya dhahabu inavofanyika, ni kawaida wachimbaji wa dhahabu kupewa pesa ya kufanya process udongo ili dhahabu ipatkane, bila hivo ukiwa mnunuzi huwezi pata wakukuuzia, hii biashara ni ya kuaminiana

    • @saeedmagoda9651
      @saeedmagoda9651 8 месяцев назад

      Kwel kabsaa nahs wengi hawajui hiki kitu

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 8 месяцев назад +6

    Wekeni na picha yake sasa..tutamjuaje??

  • @letthedeadburythedead2148
    @letthedeadburythedead2148 8 месяцев назад +7

    Macotas na dealers huwa wanafanya kazi kwa kuaminiana. Hii inatokana na competition kuwa kubwa na sometimes uhaba wa madini. Ni dangerous game

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 8 месяцев назад

      Half Kesho mnasikia kafa ndugu wanaanza kusikitika

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 8 месяцев назад +3

    Jamani msishangae hii biashara niayaimani sana unampaa mtuu harta madini ya bilioni 1 nahujui hata kwake hiyoo nibaati mbaya kakutana na watuu sio waminifu

  • @Msomali-o7f
    @Msomali-o7f 8 месяцев назад +1

    Sio kweli utoe hela hiyo mmmmmh haiwezekani munataka kuibia serekali tu

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 8 месяцев назад +4

    Acheni uongo utatoaje pesa bila kuona mzigo ama kuna namna iyo itakuwa dhahabi ya uwizi

    • @edsongamuga7375
      @edsongamuga7375 8 месяцев назад +3

      Hyo ni kawaida kwenye biashara ya madini

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 8 месяцев назад +1

    Uyo boss boya utampa vp mtu pesa bila mzigo bwege ww

  • @abduliabdallah9197
    @abduliabdallah9197 8 месяцев назад

    Ulimpaje fedha kabla ya kupokea dhahabu au ndiyo jamaa katumia magic.power kuwarubuni

  • @martinemifuko71
    @martinemifuko71 8 месяцев назад +2

    Ameenda kuhudumia familia yake maana kama ulimpa pesa bila kuona dhahabu. Hapo Serikali iangalie kwa kina xana

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 8 месяцев назад

    Kwanza Hy Mzee nimuongo, wampaje mtu Pesa kama hana mzigo, acha uwongo

    • @judithfrancey7068
      @judithfrancey7068 8 месяцев назад

      Kawaida sana kwenye biashara hizi mambo na wala sio nyingi kihivyo unavyodhani kwenye soko la madini

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 8 месяцев назад +9

    Hiyo ilikuwa ni njia ambayo sio halali maana haiwezekani mtu anakuja bila dhahabu halafu unampa pesa huko ni kukwepa kodi.

    • @allymsafi1716
      @allymsafi1716 8 месяцев назад

      Umewaza kama mimi nilivyo waza una nnuaje mzigo wa 115M Kienyeji

    • @kibirarizione5165
      @kibirarizione5165 8 месяцев назад

      hujui biashara ya dhahabu

    • @Ebendentalclinic
      @Ebendentalclinic 8 месяцев назад

      biashara ya dhahabu haiko kama biashara ya duka.mara nyingi biashara hii ni kuaminiana,kuna wakati watu wanapata jiwe ambalo lina dhahabu na hawana pesa ya kufanyia processing,hivyo matajiri hulazimika kuwapa pesa ili wamalizie processing,wakati mwingine wanakopeshwa vifaa.baada ya kumaliza kazi wanamaliziwa pesa iliyobaki na wanakabidhi mzigo.sasa kama kijana alienda kwa mwavuli wa kikundi chao,ni rahisi kupewa mzigo.

    • @Filmfanfare_int
      @Filmfanfare_int 8 месяцев назад

      Sahihi kabisa

  • @LameckZakaria-m2b
    @LameckZakaria-m2b 8 месяцев назад +1

    Safi sana madini yetu mnafaidi wakubwa acha maskini ajiongeze safi sana tumebaki na michanga na umaskini ndo dawa yenu matajiri

    • @fauzibinzoo6563
      @fauzibinzoo6563 8 месяцев назад

      We unafirwa sio bure na anaekufira ni tajiri ndio maana unawachukia😅

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 8 месяцев назад +1

    Yaani Huyo jamaa kapiga kwenye mshono mwarabu ndio ajue kununua vitu bila utaratibu,,alizoea

  • @bonifacemollel87
    @bonifacemollel87 8 месяцев назад +1

    Safi sana kijana mdogo ujaiba lkn umetumia akili zako za kuzaliwa hapo ndio Mungu alikuandikia riziki ya maisha toa line tupa fungua biashara zako

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 8 месяцев назад

    Mtihani jiulize umekoseya wapi kiboko kutoka kwa ALLAH

  • @damasiibrahimu8892
    @damasiibrahimu8892 8 месяцев назад

    Sasa sheikh,pesa hizo nyingi c ungefanya bank transfer
    Pesa nyingi hizo ni hatari hata yeye kubeba Cash

  • @abumasoud1996
    @abumasoud1996 8 месяцев назад +3

    Wekenipicture zake katika mtandao kabla hajavuka mpaka wa kenya😢

    • @katabaroonlinetv9688
      @katabaroonlinetv9688 8 месяцев назад +1

      Wa nini muacheni aendelee na maisha yake msimsumbue nchi yenyewe hii kila mtu mwizi kuviziana mnasumbua serikali mshaambiwa pesa zote wekeni benki mzunguko uonekane nyie mnakaa na pesa ndani mtampaje mtu cash 115m alafu mzigo Hana.

  • @redtk2971
    @redtk2971 8 месяцев назад +7

    Baba tena ukiona mizinguo fanya kama hamza tu

  • @johnchrisbrown-b5g
    @johnchrisbrown-b5g 8 месяцев назад +1

    Wewe uliamini nn mbaka kupatia hizo pesa

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 8 месяцев назад +1

    Mnyamwezi huyo.... Hawaibii walala hoi....

  • @aby21111
    @aby21111 7 месяцев назад

    A real businessman will never do this mistake. You can't buy fish in the water.😎🇺🇲

  • @saidomary6414
    @saidomary6414 8 месяцев назад

    Pole sana

  • @songambelebutobo8920
    @songambelebutobo8920 8 месяцев назад

    Pole Sana bosi

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg 8 месяцев назад +1

    Leta picha Bwana

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 8 месяцев назад

    Duuuh ..maisha yakuaminiaana kumbe yapo mpka huko juu😂😂😂nikajuwa nisisi wahuku wachini tuuh

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 5 месяцев назад

    Wahenga walisema "short cut is a long cu ". Wafanyabiashara tubadilike. wanadamu kwa sasa hawana huruma.

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 8 месяцев назад

    Hiyo nipesa hata Mimi ukinipa natokomea ..nipenikupe.serikali itakusaidia pale unapokuwa umevamiwa namajambazi.sambazeni picha zake

  • @ZainabuMsengec
    @ZainabuMsengec 8 месяцев назад +1

    Mnamuamin mtu kias hicho kwann msipeane pesa na mzigo kwa wakat

  • @tituscostas7
    @tituscostas7 8 месяцев назад

    Kwan utaribu si mtu aje na madini yathaminishwe alafu aende kwa dealer husika auze then alipwe saa inakuaje mtu anachukua ela au ni biashara ya magendo

  • @jomba6514
    @jomba6514 8 месяцев назад +1

    Camera zipo?

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 8 месяцев назад

    Hyo ndyo tapel mzr syo mwiz wakuku, saf mwiz mzur

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 8 месяцев назад

    Nyie wenyewe ndio mnakosa mmetiwa Mjini. Mie nisingesema ningemtafuta mwenyewe kimya kimya. Mshaharibikiwa kwa tamaa bila kufata taratibu. Sasa ndionawasumbua polisi. Atakujaje mtu akwambie ninadhahabu umpe pesa bila ya kuiona. Kwanini asijenayo.

  • @denicegaspar9479
    @denicegaspar9479 8 месяцев назад

    Dah poleni sanaa

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 8 месяцев назад

    Komba Mnyamwezi aisee

  • @hassansalimmntjjggk9403
    @hassansalimmntjjggk9403 8 месяцев назад +1

    Uwo ni ujinga unatoa vp ela kabla mzigo ujauwona

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 8 месяцев назад +1

    Yaani Kama kijana angerudi tu mtaani maana hata akienda mahakamani hamna KESI hapo aise

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 8 месяцев назад +4

    Inakuwaje inakuwa hivyo inamaana mnafanya ujanja ujanja Tu kuna usili ndio maana yanatokea hayo.kwanini asilete dhahabu ndio mmulipe hiyo hera tatizo kuna Kona Kona nyingi

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 8 месяцев назад +3

      Haulijui soko la dhahabu tz. Macotas na dealers huwa wanafanya kazi kwa kuaminiana. Hii inatokana na competition kuwa kubwa na sometimes uhaba wa madini. Ni dangerous game

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 8 месяцев назад

      Kuaminiana kwenye biashara halali😅😅

    • @Ebendentalclinic
      @Ebendentalclinic 8 месяцев назад

      biashara ya madini haiko hivo kaka.kaa na pesa yako na hautapata mzigo.wachimbaji huitaji advanve kqa maboss ili wamalizie processing baada ya kupata jiwe.na baada ya kumaliza kazi humaliziwa pesa yao na wanakabidhi mzigo.utaratibu uko hivo

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 8 месяцев назад

      @Ebendentalclinic kuna haja gani ya kuwa na soko la madini?, na kwa Geita pale kuna ugumu gani?, brother kama biashara ni halali hutasita kufuata taratibu za biashara, nimekaa mgusu,nyarugusu najua haya mambo

  • @Stan-103
    @Stan-103 8 месяцев назад +4

    Mtupe picha yake, turahisishe kazi

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 8 месяцев назад +1

    Nyie ndo wezi WAJINGA sana ndo maana mkaibiwa kizembe tu farasi

  • @HusseinNgendanyi
    @HusseinNgendanyi 8 месяцев назад

    Semeni nikimleta mtanipa shingapi??

  • @hasfayusuph4891
    @hasfayusuph4891 8 месяцев назад +2

    biashara ni nipe nikupe..hii sio biashara ...ni kanjanja!

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 8 месяцев назад

    Sijawaelewa kabisa sasa kazitelekeza na mmezikuta ametapelije. wakati pesa mmezikuta mtafuteni inawezekana Mme muuwa

  • @IYEGU-p3n
    @IYEGU-p3n 8 месяцев назад +2

    Kwanini mlimpapesa bila yakuleta dhahabu au nanyinyi mlitaka mzungukane?

    • @zahakiosward1575
      @zahakiosward1575 8 месяцев назад

      Wee hujui biashara ya madini

    • @IYEGU-p3n
      @IYEGU-p3n 8 месяцев назад

      @@zahakiosward1575 kwanini nisijue wakati nipo mgodini

  • @danielmussa6944
    @danielmussa6944 8 месяцев назад

    Hizi biashara tunaweza wasukuma,wamasaai na wakurya wengine fanyeni kilimo tu ushauri bure huu

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 8 месяцев назад

    Ametapeliwa kwa njia ya wizi?

  • @DAVINDAVID-d3u
    @DAVINDAVID-d3u 8 месяцев назад

    siku mwanadamu akiacha tamaa, ndiyo siku utapeli utaisha🥲

  • @rodasanga1312
    @rodasanga1312 8 месяцев назад

    Utampaje mtu press hujaona amigo?

  • @florakwambaza9338
    @florakwambaza9338 8 месяцев назад

    Nikuomba Mungu tu hili lisikukute na usidhurumu mtu unapofanya hii biashara

  • @Msomali-o7f
    @Msomali-o7f 8 месяцев назад

    Ofisi haina camera inamiliki mabillion ya pesa lkn hakuna camera hata picha yake

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 8 месяцев назад +1

    Maelezo Yenu Yanababaisha Sana Unampaje mtu Hela bila hujaona bidhaaa

    • @elijahfresh5985
      @elijahfresh5985 8 месяцев назад +1

      Watu wanaaminiwa mbaka mabilioni kwenye biashara ya dhahabu

  • @JohanneslaurianRwebugisa
    @JohanneslaurianRwebugisa 8 месяцев назад

    Tunahitaji namba alizokuwa akizitumia aupichayake tukimkamata mtamkuta police

  • @Msomali-o7f
    @Msomali-o7f 8 месяцев назад

    Unatoa pesa hiyo keshi mali kauli mmmmmh mbona kinyume nyume 115 million keshi hapo hapo wapo wenzake

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂dah tusipende Mambo ya madili.. Basi tena imeenda hiyo

  • @bonifacemollel87
    @bonifacemollel87 8 месяцев назад

    Hiyo sio zawadi Nono ya 20M toeni Zawadi ya Million 90m

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan71 8 месяцев назад +2

    Kweli kabisa nyinyi ni waizi mnaletewa Mali za wizi mnakwepa kulipa ushuru yeye anamachimbo ya dhahabu

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 8 месяцев назад +1

    Mzee huo ni uzembe wenu wenyewe kaeni tu kimya mmeshapigwa kiboya.

    • @paulmboje2677
      @paulmboje2677 8 месяцев назад +1

      Huwez kuelewa hii biashara jinsi ilivyo

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 8 месяцев назад

    Wekeni picha zake

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 8 месяцев назад

    Tupeni picha pengine yuko Zanzibar anakula pata

  • @Osma77tv
    @Osma77tv 8 месяцев назад

    Ferez mwenyewe tapeli tu

  • @mangaikwelamatengo8556
    @mangaikwelamatengo8556 8 месяцев назад

    Blanket mmeshafunikwa

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 8 месяцев назад

    Bora umetapeliwa safi yohana

    • @AbuuAsmah
      @AbuuAsmah 8 месяцев назад

      Kwann tena unasema hivyo😂

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 8 месяцев назад

      ​@@AbuuAsmahwewe hao wahindi wanatunyonya tu sisi ngozi nyeusi,Acha watu nao wajisavie

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 8 месяцев назад

    Daah yani pesa nyingi kiasi icho mnamuamini mtu

  • @PatricMasengwa
    @PatricMasengwa 8 месяцев назад +2

    Wekeni Picha!

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 8 месяцев назад

    Mtakuwa mnanunua magendo SOKO LA MADIN C LIPO MNAKWEPA MRABAHA WA SERIKALI

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 8 месяцев назад +1

    Sambazeni picha zake itasaidia pia kumuona

  • @matikowambura7657
    @matikowambura7657 8 месяцев назад

    Kumbe na ww mhujum uchumi takukuru mko wapi

  • @FaisalyFlorah
    @FaisalyFlorah 8 месяцев назад

    Mbona hamjatoa namba

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 8 месяцев назад +2

    Nyie ndo WAJINGA hamna KESI hapo

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 8 месяцев назад

      Watu wakitoa adhabu Yao mnaanza kusema watu Wana roho mbaya

  • @GONGALIFESTYLE
    @GONGALIFESTYLE 8 месяцев назад

    Kuna kitu hapo wafatiliwe aliyeiba na aliyeibiwa

  • @bossykalewa
    @bossykalewa 8 месяцев назад

    Duuh,,, hatakama ni uaminifu huez mpa mtu miliion 100 na yye kaacha ahadi tu,,, huo naona ni uzembe wa taasisi

  • @hamadhamdan64
    @hamadhamdan64 8 месяцев назад

    Wote wizi vibaka tu.
    Wameyapika hayo alafu wanatuektia.

  • @simonkitaly9767
    @simonkitaly9767 8 месяцев назад

    Hapo kulikuwa na upigaji lazima

  • @TumainMosha
    @TumainMosha 8 месяцев назад

    Ogopaa

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 8 месяцев назад +2

    Waarabu wametutapeli mnoooo acha atapeliwe

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 8 месяцев назад

    Wekeni picha yake sasa watu watamlipotije wakati hawamjui?

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 8 месяцев назад +4

    Komba labda karudi kwao songea😢😅

    • @elizasamuel910
      @elizasamuel910 8 месяцев назад

      Nimecheka sana mngoni wa mjini huyo

  • @collinsulomi1008
    @collinsulomi1008 8 месяцев назад +2

    Tumeni na picha yake tumjue. Au mnategemea apatikane kupitia kwa watu wanaomjua tu???

  • @abinelgaitan2428
    @abinelgaitan2428 8 месяцев назад +2

    Wekeni picha yake tumtambue

  • @tazamamaajabuyaulimwengu2786
    @tazamamaajabuyaulimwengu2786 8 месяцев назад

    Mbona hamkutoa hizo namba maana tunazo taarifa za siri

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 8 месяцев назад +1

    Asalamu ghalaikumu warahmatullah wabarakatuh, albadiri ichukue nafasi yake mnasubiri nn

    • @abdallahmmary8591
      @abdallahmmary8591 8 месяцев назад +1

      Hakuna kitu kama hicho Ahal badir hawakufanya wema walio tangulia he uipata wapi hy

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 8 месяцев назад

    Chali yangu nakuona hapoo mi jonh cena wa singida

  • @jessymabula8867
    @jessymabula8867 8 месяцев назад +1

    Picha ake kwa tusiomfahamu kwa jina

  • @ashurakiduba9910
    @ashurakiduba9910 8 месяцев назад +1

    Ndo faida yake kwa nini asiende ofisi ya madini akauziane huko , amekomeshwa alikuwa anakwepa kulipa kodi na kwa nini anamupa mtu hella bila kuona mzingo

  • @VaderChetan-ju7xu
    @VaderChetan-ju7xu 3 месяца назад

    Polisi hakuna kitu utaliwa tu ela zako

  • @mangunkinda
    @mangunkinda 8 месяцев назад

    picha ndo mhim

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 8 месяцев назад

    Wekeni hadharani picha zake tumfahamu

  • @denicegaspar9479
    @denicegaspar9479 8 месяцев назад

    Ni hatari ogopaaaa

  • @Msomali-o7f
    @Msomali-o7f 8 месяцев назад

    Picha zake au jina tu

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 8 месяцев назад

    Vipi umupe mutu hela na haujaona zahabu?

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 8 месяцев назад

    Pesa halali haipotei kama ya mipango itapotea tu.

  • @richardrobert9480
    @richardrobert9480 8 месяцев назад

    Wekeni picha mnazani yeye ni maarufu kila mtu anamjua wekeni picha.

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 месяцев назад

    Itakua mipango imefanyika hapahapo

  • @makandaigarobi4765
    @makandaigarobi4765 8 месяцев назад

    uaminifu ni mtaji tosha maana huu ni udhamini ili kuuziana dhahabu iweje utokomee

  • @mageuzijumamakungwa4778
    @mageuzijumamakungwa4778 8 месяцев назад

    Unampaje pesa kabla ya kupata dhahabu

  • @FelixUppina
    @FelixUppina 8 месяцев назад

    Mlimuamini gafla

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 8 месяцев назад

    Wazembe nyie yaan unampa mtu hela nyingi hvyo kwann asngeleta dhahabu ndo mlipe?