Watu wana comment humu hawajui biashara ya dhahabu inavofanyika, ni kawaida wachimbaji wa dhahabu kupewa pesa ya kufanya process udongo ili dhahabu ipatkane, bila hivo ukiwa mnunuzi huwezi pata wakukuuzia, hii biashara ni ya kuaminiana
Jamani msishangae hii biashara niayaimani sana unampaa mtuu harta madini ya bilioni 1 nahujui hata kwake hiyoo nibaati mbaya kakutana na watuu sio waminifu
biashara ya dhahabu haiko kama biashara ya duka.mara nyingi biashara hii ni kuaminiana,kuna wakati watu wanapata jiwe ambalo lina dhahabu na hawana pesa ya kufanyia processing,hivyo matajiri hulazimika kuwapa pesa ili wamalizie processing,wakati mwingine wanakopeshwa vifaa.baada ya kumaliza kazi wanamaliziwa pesa iliyobaki na wanakabidhi mzigo.sasa kama kijana alienda kwa mwavuli wa kikundi chao,ni rahisi kupewa mzigo.
Wa nini muacheni aendelee na maisha yake msimsumbue nchi yenyewe hii kila mtu mwizi kuviziana mnasumbua serikali mshaambiwa pesa zote wekeni benki mzunguko uonekane nyie mnakaa na pesa ndani mtampaje mtu cash 115m alafu mzigo Hana.
Kwan utaribu si mtu aje na madini yathaminishwe alafu aende kwa dealer husika auze then alipwe saa inakuaje mtu anachukua ela au ni biashara ya magendo
Nyie wenyewe ndio mnakosa mmetiwa Mjini. Mie nisingesema ningemtafuta mwenyewe kimya kimya. Mshaharibikiwa kwa tamaa bila kufata taratibu. Sasa ndionawasumbua polisi. Atakujaje mtu akwambie ninadhahabu umpe pesa bila ya kuiona. Kwanini asijenayo.
Inakuwaje inakuwa hivyo inamaana mnafanya ujanja ujanja Tu kuna usili ndio maana yanatokea hayo.kwanini asilete dhahabu ndio mmulipe hiyo hera tatizo kuna Kona Kona nyingi
Haulijui soko la dhahabu tz. Macotas na dealers huwa wanafanya kazi kwa kuaminiana. Hii inatokana na competition kuwa kubwa na sometimes uhaba wa madini. Ni dangerous game
biashara ya madini haiko hivo kaka.kaa na pesa yako na hautapata mzigo.wachimbaji huitaji advanve kqa maboss ili wamalizie processing baada ya kupata jiwe.na baada ya kumaliza kazi humaliziwa pesa yao na wanakabidhi mzigo.utaratibu uko hivo
@Ebendentalclinic kuna haja gani ya kuwa na soko la madini?, na kwa Geita pale kuna ugumu gani?, brother kama biashara ni halali hutasita kufuata taratibu za biashara, nimekaa mgusu,nyarugusu najua haya mambo
Ndo faida yake kwa nini asiende ofisi ya madini akauziane huko , amekomeshwa alikuwa anakwepa kulipa kodi na kwa nini anamupa mtu hella bila kuona mzingo
Asante sana Afande umeongea vizuri sana. Hawa wafanyabiashara wanafanya biashara kizamani mno
Subhaanallah, pole sana akhuy fahad, Allah akufanyie wepes.
Mimi nimetapeliwa 15+m Sitaki upumbavu na watu wa madini... Waongo sana...
Subhanallah yarrab pesa nyingi mnoo sijui ilikuaje hadi akampa uaminifu
Watu wana comment humu hawajui biashara ya dhahabu inavofanyika, ni kawaida wachimbaji wa dhahabu kupewa pesa ya kufanya process udongo ili dhahabu ipatkane, bila hivo ukiwa mnunuzi huwezi pata wakukuuzia, hii biashara ni ya kuaminiana
Kwel kabsaa nahs wengi hawajui hiki kitu
Wekeni na picha yake sasa..tutamjuaje??
Macotas na dealers huwa wanafanya kazi kwa kuaminiana. Hii inatokana na competition kuwa kubwa na sometimes uhaba wa madini. Ni dangerous game
Half Kesho mnasikia kafa ndugu wanaanza kusikitika
Jamani msishangae hii biashara niayaimani sana unampaa mtuu harta madini ya bilioni 1 nahujui hata kwake hiyoo nibaati mbaya kakutana na watuu sio waminifu
Sio kweli utoe hela hiyo mmmmmh haiwezekani munataka kuibia serekali tu
Acheni uongo utatoaje pesa bila kuona mzigo ama kuna namna iyo itakuwa dhahabi ya uwizi
Hyo ni kawaida kwenye biashara ya madini
Uyo boss boya utampa vp mtu pesa bila mzigo bwege ww
Ulimpaje fedha kabla ya kupokea dhahabu au ndiyo jamaa katumia magic.power kuwarubuni
Ameenda kuhudumia familia yake maana kama ulimpa pesa bila kuona dhahabu. Hapo Serikali iangalie kwa kina xana
Kwanza Hy Mzee nimuongo, wampaje mtu Pesa kama hana mzigo, acha uwongo
Kawaida sana kwenye biashara hizi mambo na wala sio nyingi kihivyo unavyodhani kwenye soko la madini
Hiyo ilikuwa ni njia ambayo sio halali maana haiwezekani mtu anakuja bila dhahabu halafu unampa pesa huko ni kukwepa kodi.
Umewaza kama mimi nilivyo waza una nnuaje mzigo wa 115M Kienyeji
hujui biashara ya dhahabu
biashara ya dhahabu haiko kama biashara ya duka.mara nyingi biashara hii ni kuaminiana,kuna wakati watu wanapata jiwe ambalo lina dhahabu na hawana pesa ya kufanyia processing,hivyo matajiri hulazimika kuwapa pesa ili wamalizie processing,wakati mwingine wanakopeshwa vifaa.baada ya kumaliza kazi wanamaliziwa pesa iliyobaki na wanakabidhi mzigo.sasa kama kijana alienda kwa mwavuli wa kikundi chao,ni rahisi kupewa mzigo.
Sahihi kabisa
Safi sana madini yetu mnafaidi wakubwa acha maskini ajiongeze safi sana tumebaki na michanga na umaskini ndo dawa yenu matajiri
We unafirwa sio bure na anaekufira ni tajiri ndio maana unawachukia😅
Yaani Huyo jamaa kapiga kwenye mshono mwarabu ndio ajue kununua vitu bila utaratibu,,alizoea
Safi sana kijana mdogo ujaiba lkn umetumia akili zako za kuzaliwa hapo ndio Mungu alikuandikia riziki ya maisha toa line tupa fungua biashara zako
Mtihani jiulize umekoseya wapi kiboko kutoka kwa ALLAH
Sasa sheikh,pesa hizo nyingi c ungefanya bank transfer
Pesa nyingi hizo ni hatari hata yeye kubeba Cash
Wekenipicture zake katika mtandao kabla hajavuka mpaka wa kenya😢
Wa nini muacheni aendelee na maisha yake msimsumbue nchi yenyewe hii kila mtu mwizi kuviziana mnasumbua serikali mshaambiwa pesa zote wekeni benki mzunguko uonekane nyie mnakaa na pesa ndani mtampaje mtu cash 115m alafu mzigo Hana.
Baba tena ukiona mizinguo fanya kama hamza tu
🤪🤪🤪🤪🤪
Wewe uliamini nn mbaka kupatia hizo pesa
Mnyamwezi huyo.... Hawaibii walala hoi....
A real businessman will never do this mistake. You can't buy fish in the water.😎🇺🇲
Pole sana
Pole Sana bosi
Leta picha Bwana
Duuuh ..maisha yakuaminiaana kumbe yapo mpka huko juu😂😂😂nikajuwa nisisi wahuku wachini tuuh
Wahenga walisema "short cut is a long cu ". Wafanyabiashara tubadilike. wanadamu kwa sasa hawana huruma.
Hiyo nipesa hata Mimi ukinipa natokomea ..nipenikupe.serikali itakusaidia pale unapokuwa umevamiwa namajambazi.sambazeni picha zake
Mnamuamin mtu kias hicho kwann msipeane pesa na mzigo kwa wakat
Kwan utaribu si mtu aje na madini yathaminishwe alafu aende kwa dealer husika auze then alipwe saa inakuaje mtu anachukua ela au ni biashara ya magendo
Camera zipo?
Hyo ndyo tapel mzr syo mwiz wakuku, saf mwiz mzur
Nyie wenyewe ndio mnakosa mmetiwa Mjini. Mie nisingesema ningemtafuta mwenyewe kimya kimya. Mshaharibikiwa kwa tamaa bila kufata taratibu. Sasa ndionawasumbua polisi. Atakujaje mtu akwambie ninadhahabu umpe pesa bila ya kuiona. Kwanini asijenayo.
Dah poleni sanaa
Komba Mnyamwezi aisee
Uwo ni ujinga unatoa vp ela kabla mzigo ujauwona
Yaani Kama kijana angerudi tu mtaani maana hata akienda mahakamani hamna KESI hapo aise
Inakuwaje inakuwa hivyo inamaana mnafanya ujanja ujanja Tu kuna usili ndio maana yanatokea hayo.kwanini asilete dhahabu ndio mmulipe hiyo hera tatizo kuna Kona Kona nyingi
Haulijui soko la dhahabu tz. Macotas na dealers huwa wanafanya kazi kwa kuaminiana. Hii inatokana na competition kuwa kubwa na sometimes uhaba wa madini. Ni dangerous game
Kuaminiana kwenye biashara halali😅😅
biashara ya madini haiko hivo kaka.kaa na pesa yako na hautapata mzigo.wachimbaji huitaji advanve kqa maboss ili wamalizie processing baada ya kupata jiwe.na baada ya kumaliza kazi humaliziwa pesa yao na wanakabidhi mzigo.utaratibu uko hivo
@Ebendentalclinic kuna haja gani ya kuwa na soko la madini?, na kwa Geita pale kuna ugumu gani?, brother kama biashara ni halali hutasita kufuata taratibu za biashara, nimekaa mgusu,nyarugusu najua haya mambo
Mtupe picha yake, turahisishe kazi
Nyie ndo wezi WAJINGA sana ndo maana mkaibiwa kizembe tu farasi
Semeni nikimleta mtanipa shingapi??
biashara ni nipe nikupe..hii sio biashara ...ni kanjanja!
Sijawaelewa kabisa sasa kazitelekeza na mmezikuta ametapelije. wakati pesa mmezikuta mtafuteni inawezekana Mme muuwa
Kwanini mlimpapesa bila yakuleta dhahabu au nanyinyi mlitaka mzungukane?
Wee hujui biashara ya madini
@@zahakiosward1575 kwanini nisijue wakati nipo mgodini
Hizi biashara tunaweza wasukuma,wamasaai na wakurya wengine fanyeni kilimo tu ushauri bure huu
Ametapeliwa kwa njia ya wizi?
siku mwanadamu akiacha tamaa, ndiyo siku utapeli utaisha🥲
Utampaje mtu press hujaona amigo?
Nikuomba Mungu tu hili lisikukute na usidhurumu mtu unapofanya hii biashara
Ofisi haina camera inamiliki mabillion ya pesa lkn hakuna camera hata picha yake
Maelezo Yenu Yanababaisha Sana Unampaje mtu Hela bila hujaona bidhaaa
Watu wanaaminiwa mbaka mabilioni kwenye biashara ya dhahabu
Tunahitaji namba alizokuwa akizitumia aupichayake tukimkamata mtamkuta police
Unatoa pesa hiyo keshi mali kauli mmmmmh mbona kinyume nyume 115 million keshi hapo hapo wapo wenzake
😂😂😂😂😂dah tusipende Mambo ya madili.. Basi tena imeenda hiyo
Hiyo sio zawadi Nono ya 20M toeni Zawadi ya Million 90m
Kweli kabisa nyinyi ni waizi mnaletewa Mali za wizi mnakwepa kulipa ushuru yeye anamachimbo ya dhahabu
Mzee huo ni uzembe wenu wenyewe kaeni tu kimya mmeshapigwa kiboya.
Huwez kuelewa hii biashara jinsi ilivyo
Wekeni picha zake
Tupeni picha pengine yuko Zanzibar anakula pata
Ferez mwenyewe tapeli tu
Blanket mmeshafunikwa
Bora umetapeliwa safi yohana
Kwann tena unasema hivyo😂
@@AbuuAsmahwewe hao wahindi wanatunyonya tu sisi ngozi nyeusi,Acha watu nao wajisavie
Daah yani pesa nyingi kiasi icho mnamuamini mtu
Wekeni Picha!
Mtakuwa mnanunua magendo SOKO LA MADIN C LIPO MNAKWEPA MRABAHA WA SERIKALI
Sambazeni picha zake itasaidia pia kumuona
Kumbe na ww mhujum uchumi takukuru mko wapi
Mbona hamjatoa namba
Nyie ndo WAJINGA hamna KESI hapo
Watu wakitoa adhabu Yao mnaanza kusema watu Wana roho mbaya
Kuna kitu hapo wafatiliwe aliyeiba na aliyeibiwa
Duuh,,, hatakama ni uaminifu huez mpa mtu miliion 100 na yye kaacha ahadi tu,,, huo naona ni uzembe wa taasisi
Wote wizi vibaka tu.
Wameyapika hayo alafu wanatuektia.
Hapo kulikuwa na upigaji lazima
Ogopaa
Waarabu wametutapeli mnoooo acha atapeliwe
Wekeni picha yake sasa watu watamlipotije wakati hawamjui?
Komba labda karudi kwao songea😢😅
Nimecheka sana mngoni wa mjini huyo
Tumeni na picha yake tumjue. Au mnategemea apatikane kupitia kwa watu wanaomjua tu???
Wekeni picha yake tumtambue
Mbona hamkutoa hizo namba maana tunazo taarifa za siri
Asalamu ghalaikumu warahmatullah wabarakatuh, albadiri ichukue nafasi yake mnasubiri nn
Hakuna kitu kama hicho Ahal badir hawakufanya wema walio tangulia he uipata wapi hy
Chali yangu nakuona hapoo mi jonh cena wa singida
Nimekuona cena
@@ahmedysalah2957 vipi bado uko ukoo
Picha ake kwa tusiomfahamu kwa jina
Ndo faida yake kwa nini asiende ofisi ya madini akauziane huko , amekomeshwa alikuwa anakwepa kulipa kodi na kwa nini anamupa mtu hella bila kuona mzingo
Shamba la bibi...!!😢😢
Polisi hakuna kitu utaliwa tu ela zako
picha ndo mhim
Wekeni hadharani picha zake tumfahamu
Ni hatari ogopaaaa
Picha zake au jina tu
Vipi umupe mutu hela na haujaona zahabu?
Pesa halali haipotei kama ya mipango itapotea tu.
Wekeni picha mnazani yeye ni maarufu kila mtu anamjua wekeni picha.
Itakua mipango imefanyika hapahapo
uaminifu ni mtaji tosha maana huu ni udhamini ili kuuziana dhahabu iweje utokomee
Unampaje pesa kabla ya kupata dhahabu
Mlimuamini gafla
Wazembe nyie yaan unampa mtu hela nyingi hvyo kwann asngeleta dhahabu ndo mlipe?