VANESSA ALICHOKA/HAPAKUWA NA MAPENZI TENA/MAMA YANGU AMEUMIA SANA: JUX

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #CloudsMedia ipo Mubashara kutoka kwenye studio za Clouds Fm ambapo ngoma yake ya Sumaku imesimama kama jiwe la wiki. Tazama hapa.

Комментарии • 116

  • @hasnaabduly4945
    @hasnaabduly4945 5 лет назад +32

    Wangap hawataki kupitwa na interview za jux na vanesa ili kuskia wanazungumziana vp😂😂😂😂

  • @estherjoshua2250
    @estherjoshua2250 5 лет назад +31

    Wanaoamini Vanesa na Jux ipo siku watarudiana, na haya manenno ni mbwembwe tu ebu tujuane

  • @ashaofficialtz6872
    @ashaofficialtz6872 5 лет назад +20

    Yaan hii kapo itabaki kuwa nzur ata kama hawapo pamoja yaan ilibamba na kubamiza in twn sana big up jux with vanessa

  • @aishamawalla1839
    @aishamawalla1839 5 лет назад +8

    Kwann mnadete muda mrefu namna hiyo mpaka mnachokana hivyo?je mngeowana mngeachana kisa mmechoka?kaaah wazazi wetu wangeishi kweli

  • @fettylaj3913
    @fettylaj3913 5 лет назад +17

    Mmh jomon nilipenda mahusiano yenu jomon

  • @darisshadracklovetanzania8579
    @darisshadracklovetanzania8579 5 лет назад +25

    Jux n mwanaume anajielewa sana alafu Kama mimi ningekua rais ningempa ukuu wamukoa

    • @derrickmatenga4804
      @derrickmatenga4804 5 лет назад +3

      Eeeeh bwane bratha chukua soda na nyama choma nitalipia😍

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 лет назад

      d boy dhesnista wote wanajielewa ndo maana ups and downs

    • @zamizozamy5528
      @zamizozamy5528 5 лет назад

      kama makondra 😀

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 5 лет назад

      wacha upimbi sio dogo kufanya vizuri kywenye burudani sio kuzikabili changamoto za uongozi hasa kwa level ya ukuu wa mkoa

    • @zakarianyakisera9484
      @zakarianyakisera9484 2 года назад

      Umetisha

  • @vanessaaisha705
    @vanessaaisha705 5 лет назад +12

    Mwisho wasiku ukweli munaujuwa nyinyi 😒😒😒🤔🤔🤔

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 5 лет назад +9

    Yani me clouds ndio maana naipenda wanauliza maswli vzr hadi raha pia na jux anajibu ipasavyo hongereni sana

  • @alphoncemndeme6009
    @alphoncemndeme6009 5 лет назад +10

    Cku zote ukishaachana na mtu ndo unajuwa umuhimu wake

  • @zakariakudeli1676
    @zakariakudeli1676 5 лет назад +13

    Duuuh kweli mapenzi ni shida 🙄🙄🙄🙄

  • @yasmenoozm8094
    @yasmenoozm8094 5 лет назад +11

    Mapenzi yanashida jamani

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 5 лет назад +25

    Mi naona kama huyu kijana hakumpenda huyu bint wa kithailand anae. Ni basi tu Hana lakufanya. Ila bado a nampenda Vanessa Sana

  • @catherinelimandola9897
    @catherinelimandola9897 5 лет назад +4

    iloo libibi ulilonaloo nw n kibayaaa braaa Vanessa yan ukiendelea na uyoo xitakuwa shabki akoo tenaaa

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama8193 5 лет назад +12

    *vannesa ndo alimbwaga jux afu roho ikamuuma yeye*

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 5 лет назад +5

    MAPENZI nishushie apo mbele kwa mangi ninywe COCA BIG 1🙈

    • @buddahlyimo5526
      @buddahlyimo5526 5 лет назад

      Nawe pia una ogopa k2 kama hcho kkutokee?????

  • @michaelchizoza3759
    @michaelchizoza3759 5 лет назад +5

    Jux uko vinzur piga kaz mapenz nn Kwan

  • @khadijakhadija6212
    @khadijakhadija6212 5 лет назад +11

    Mapenz Shikamoo marahaba🤣🤣

  • @jacksonjumasemrengwa.6246
    @jacksonjumasemrengwa.6246 5 лет назад +8

    Kiukweli bro nilikuw napenda sana kukuon uko na vee money lkn bc mapenz hayaingiliw hat sk moj watu wakisha chokan bc hakuna namna maisha yaendelee brother 🤝

  • @samutehogun6671
    @samutehogun6671 5 лет назад +3

    These two are just taking a vacation their chemistry is too strong for them to waste I hope Vee be strong and get her man for good one thing also she’s focused

  • @furahamialano85
    @furahamialano85 5 лет назад +11

    Jux kwa nini ulimuasha vanas mulikua munapendeza mujitahindi murudiwane kweli kaka wangu nini nisabiki yenu

  • @felixchigalika1820
    @felixchigalika1820 5 лет назад +5

    chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho, vannesa aliamua mwenyewe kumuacha #jux sasa Leo hii anaumia yeye

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 лет назад +1

      felix Chigalika usipende kusikia upande mmoja, tungemsikia na Vanessa ndo tungeamini kwa sababu hata pale mwanzo tulijua kwa nn waliachana?

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 5 лет назад +9

    Ww dazen mashabik zake jux tupo, mwacheni jux aenjoy

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 лет назад

      Tausi Ngomeni kama kweli atai enjoy kutoka moyoni.

    • @merymery7394
      @merymery7394 5 лет назад

      Jamani Mimi ctaki kujua ugomviwenu ninachoomba mrudiane tafadhar

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 5 лет назад +4

    Mmeachana bado kuna mapenzi ndani yenu,thats why all that happening,lakini pia kwa upande wangu naona jux ame move on but vannessa am sure not.

  • @felystarzorwaru6157
    @felystarzorwaru6157 5 лет назад +3

    Veee is bae 💕💕💕💕💝😍

  • @kagoggoalfred2730
    @kagoggoalfred2730 5 лет назад +4

    mature talk jux ,I like it

  • @givensanga3524
    @givensanga3524 5 лет назад +4

    Ndio tatizo la kukaa uchumba miaka mingi

  • @samialindo3775
    @samialindo3775 5 лет назад +23

    jux nimsir sana nmefatlia intervw zake anaficha meng nainaonekana yy ndoaliyeamua waachane bcz kunavit inaonekana alichoka kuviona vikitendeka

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 лет назад

      Samia Lindo vitu alichoka? Kwa nn haviongei? Jamaa mizinguo.

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 5 лет назад +8

    Msiba mkubwa wallah yaani mama anasikitika kwa zinaa kuachika badala yakukushauri ukaowa kijana wakiislamu kesho utajibu nn kwa Mola wako

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 5 лет назад +3

    Mi nilikuwa na envy penzi lako na vee bt all in all all the best with your new mching chong....
    Sisi macho tuu

  • @mosesdaniel600
    @mosesdaniel600 5 лет назад +5

    Jiwe la week sio sumaku

  • @fahdybakari5969
    @fahdybakari5969 5 лет назад +2

    Jux mnyamwez kinoma huwa hapendi mambo mengi

  • @afyayako5507
    @afyayako5507 5 лет назад +3

    Ni Dini tu hakuna kingine

    • @hassanmsellem5302
      @hassanmsellem5302 5 лет назад +1

      Dini ndiyo kitu cha msingi sana chakuzingatia ktk maisha coz hakuna chenye thamani zaidi ya dini kwa mtu anaejielewa

  • @eshialabonita7736
    @eshialabonita7736 5 лет назад +13

    I think these people still love eachother ki2 nlichogundua ni wivu ndio unawasumbua

  • @nessa4899
    @nessa4899 5 лет назад +5

    Bora vanessa amejielewa amesepa, hamuendani, na kiki amekupa usikatae.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 лет назад

      Saved Jackson well said 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @saumuhamic8894
    @saumuhamic8894 5 лет назад +1

    Kiukwel m nilipenda .....couple yenu sana kwa sababu hamkuw na dramas zozote jaman

  • @tonnymusic9396
    @tonnymusic9396 5 лет назад +4

    Kama umerogwa unataka kuwa mtu mwenye MVUTO wa kimapenzi,biashara n.k nimekusogezea link hii apa
    ruclips.net/video/zWfrdgmB0Rk/видео.html

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 лет назад

      Tonny Music kweli kuna watu wanaamini uchawi karne hii? Mmmh!

    • @fadhally6273
      @fadhally6273 5 лет назад

      Hatutaki

  • @huserehema8618
    @huserehema8618 5 лет назад +7

    😭😭😭😭jamni jamn

  • @elizabethsaimon9964
    @elizabethsaimon9964 5 лет назад +3

    Muliniboa sana kuachana

  • @rosebaraka313
    @rosebaraka313 5 лет назад

    M nko very disappointed jamn hakuna mahusiano ambayo hayana kasoro uvumiliv ndo jambo bora tunapenda kuona mnakuwa pamoja tena imagine kwa miaka 6 mmekuw pamoja alafu...inaumza jamn em angalien tena na mrekebshe tofaut zenu all n all imekuwa ilivyopangwa n mungu😭😭 love u guyz nawaombea muwe pamoja tena❤

  • @dolamaleko7157
    @dolamaleko7157 5 лет назад +1

    jamani interview tamu sana hongera sana kwa mamy baby Kwa maswali mazuri

  • @tauceddie7048
    @tauceddie7048 4 года назад

    Guyz mnajiendekeza ,eti mpnz yanaixh ,,et mazoea ad kwny ndoa sa si utawachoka wapnz wot

  • @rosebaraka313
    @rosebaraka313 5 лет назад

    M nko very disappointed jamn hakuna mahusiano ambayo hayana kasoro uvumiliv ndo jambo bora tunapenda kuona mnakuwa pamoja tena imagine kwa miaka 6 mmekuw pamoja alafu...inaumza jamn em angalien tena na mrekebshe tofaut zenu all n all imekuwa ilivyopangwa n mungu😭😭 love u guyz nawaombea muwe pamoja tena❤

  • @kellyuwimana726
    @kellyuwimana726 5 лет назад +4

    Mapenzi yamuda murefu sio mazuri

  • @rukiabeltway4341
    @rukiabeltway4341 5 лет назад +1

    Angekuwa Diamond apo angejisifia yy mpk mwisho

  • @mwasitially2104
    @mwasitially2104 5 лет назад

    jux kama fikilia ukwel unampenda Vanessa nakupenda ww nampenda v money na niny ndo mfano Wang ktk mahusiano be naumia km mm ndo uloniacha plz fikilia

  • @aminiaabdallah301
    @aminiaabdallah301 5 лет назад +1

    Dini nadhani ndo sosi kubwa!!

  • @sophieaden5367
    @sophieaden5367 5 лет назад +5

    V atafute wa class yake!

  • @kennix6457
    @kennix6457 5 лет назад +1

    Jux mwanangu mwanaume Sana yaani.

  • @seciliarabson2247
    @seciliarabson2247 5 лет назад

    Itakuwa ni dini tuu hakuna kingine tena

  • @josephinengoda2858
    @josephinengoda2858 5 лет назад +3

    Nimependa Jux anavyomuita mama Vanesa this shows respect. ...

  • @abdiridhiwani3396
    @abdiridhiwani3396 5 лет назад +2

    🙄😥😥

  • @ashiratymakulunga4081
    @ashiratymakulunga4081 5 лет назад

    ooooooooh jux , asante kwa kumuelewa zaid vanessa

  • @mariamfredy9531
    @mariamfredy9531 4 года назад

    Duh mlipendeza kweli

  • @neemanyamhanga1775
    @neemanyamhanga1775 5 лет назад +3

    Natamni ifikapo 2021 mrudiane na ndoa juu jamn😨

  • @MrFrankwaa
    @MrFrankwaa 5 лет назад

    Religion i thinks dats it no other reason

  • @nyasindemiggo4684
    @nyasindemiggo4684 5 лет назад +3

    Hivi hamuwezi kuwauliza maswali mengine ya kazi zao za music tuh bila mapenzi mapenzi Mana inaonesha na nyie waulizaji ni shiidah

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 5 лет назад

      @nyasinde miggo Mapenzi ndio maisha yetu ya kila cku.Mapenzi yanarun dunia

  • @tumainiobedi3029
    @tumainiobedi3029 3 года назад

    Coz nazipend mm

  • @sadamosses9763
    @sadamosses9763 5 лет назад

    jux jux jux love u mwanamme na nusu kiukweli

  • @hussenmishamo1963
    @hussenmishamo1963 5 лет назад

    Poa sanaaaaaaaaaa.

  • @sophienico4736
    @sophienico4736 5 лет назад

    We jux mmeboa yaan mfyuu

  • @othman4978
    @othman4978 5 лет назад

    Safi sana

  • @doctorukia
    @doctorukia 5 лет назад

    Musidanganyane mkiwa na dini tofauti mapenzi yanakua mtihani. Huyu Juma angetafuta musilamu mwenzake akaoa yakaisha. Mwenzenu RJ yule kakake Diamond ameoa muislamu mwenzake hana stress.

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 5 лет назад

      kweli kbisaa.Inakaa vee money hakua tyari kuacha dini yke ili aolewe na jux

  • @stevenkingu6219
    @stevenkingu6219 5 лет назад

    hahahhh

  • @anastaziaquenberth9443
    @anastaziaquenberth9443 5 лет назад +3

    Kila la kher jux

  • @antaraly9163
    @antaraly9163 5 лет назад +2

    Nimeanza kujua jux kabla ya Vanessa, in Kenya jux is a big name.

    • @jonaswingodmushi2608
      @jonaswingodmushi2608 5 лет назад

      My dear really love it's never based in age. Cha msingi.ni mapenzi ya dhati hata kama mmezidiana miaka kumi

    • @onyangoirene1787
      @onyangoirene1787 5 лет назад

      Kenya gani unaongelelea?

  • @raymondmahotara7203
    @raymondmahotara7203 5 лет назад

    Nice

  • @samgaya
    @samgaya 5 лет назад +2

    Interview moja yakizazi Sana maswali yalikuwa mazuri sana na majibu pia yamenyooka, clouds mkiamua mnaweza hakika nyie ni media kubwa ila fanyeni mpango wa kubadilisha camera na kuongeza taa iyo video muonekano wake kama imechukuliwa mwaja juzi.

    • @rick_bey
      @rick_bey 5 лет назад

      Supermweuc wana studio mpya nahis hazina muda mrefu watazindua nahisi ndo mana hawajaweka effort kubwa huku

  • @lilodilly703
    @lilodilly703 5 лет назад

    Ego

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 5 лет назад

    Dis man😜

  • @sidemathias1700
    @sidemathias1700 5 лет назад +9

    Anazigua kujibu maswali anaonekana jux ndoo anamakosa maana sikuhiz anapost utumbo kabisa picha zauchi uchi2 hajui ata maadir yetuuu cyoo bifuu mtazamo2 tusitafutane nimm side boy from nzega

    • @hasnaabduly4945
      @hasnaabduly4945 5 лет назад

      Yani sijui kawaje😀😀😀

    • @darisshadracklovetanzania8579
      @darisshadracklovetanzania8579 5 лет назад

      Side Mathias jux ni mwanaume jasili sana

    • @sideboy4909
      @sideboy4909 5 лет назад

      Wajinaaaaaa ayo ndo mapenzii mchezo mchafu

    • @fatmarashid3137
      @fatmarashid3137 5 лет назад

      Mnapendana bado nyiee.ila mlikuwa mnapendeza bwana

    • @beatriceannamaria8106
      @beatriceannamaria8106 5 лет назад +1

      Fatma Rashid hayo mahusiano yao yalikua mazuri sana sasa mmefanya nn yn mmeshuka thamani bora hata mahusiano y navy kenzo yanaheshima

  • @siwemamichael690
    @siwemamichael690 5 лет назад +4

    Ila jux vanesa alikuzidi umri bora umepata saizi yako

  • @pendozenda5764
    @pendozenda5764 5 лет назад +1

    Mafahari wawili hawawezi kaa sehemu moja

  • @babasapna
    @babasapna 5 лет назад

    Tatizo jux ni kibamia

  • @hijaumbra8831
    @hijaumbra8831 5 лет назад +2

    Toka zamn nlikuwa sipend ulipokuwa na yule bibi v

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 5 лет назад

      🤣🤣🤣🤣🤔🤔

    • @antarsangali4456
      @antarsangali4456 5 лет назад

      Jux kuseparate na V ni upuuzi gharama. Acha manjonjo na mbwbwe zitakazokupa majuto

    • @rosamkingautajutiamamuziiy6657
      @rosamkingautajutiamamuziiy6657 5 лет назад

      Hakuna lolote wew jux muhuni tu ulijifa waenda soma kumbe muhuni tu ulikua nae muda sana tu huyo mwanamke huku v huko ni huyo mzungu wako kifupi hukutulia

  • @africanbeauty649
    @africanbeauty649 5 лет назад +1

    AFRICAN BEAUTY PRODUCTS
    je unahitaji kuwa na shape bomba?unahitaji miguu minene?unahitaji Kupungua?je unakibamia?mechi moja hoi🙊usijali nitatizo dogo sana ,dawa za kukurekebisha unavyohitaji zipo tena bei rahisi,na matokeo ni haraka sana,hazina madhara maana nizaasili,CHAGUA UNACHOHITAJI👇🍀🔥
    1)kuongeza hips,makalio,mapaja na miguu,DAWA hii inapunguza juu(mashavu,mikono tumbo,na nyama zembe)yakunywa@200000/=
    (b)kuongeza hips,makalio na mapaja tu@150000
    2)kuwa mweupe mwili mzima bila michiriz, chunusi,makovu,madoa@180000
    3)Kupungua(weight loss) up to 20kg per 1wiki@150000
    4)kunenepesha miguu,kuondoa vigimbi,kuondoa matege@130000
    5)kuongeza urefu na unene wa UUME
    (a)inch7urefu,cm3unene@100000
    (b)inch8cm4@130000
    6)kuongeza au kupunguza matiti@120000
    7)kurefusha nywele @120000
    8)kuondoa mvi milele@120000
    9)pink lips cream@100000
    10)meno kuwa meupe@100000
    Ndugu wateja dawa zetu nizaasili hazina madhara kabisa,na matokeo ni wiki moja baada ya kutumia dawa,dawa zetu ni uhakika100% ,products zetu utazipata popote🌎,kwa dar utaletewa popote,mikoani tunatuma kwa mabasi,nje ya nchi tunatuma kwa DHL $80,tunapatikana KKOO KONGO, na DAR FREE MARKET
    wasiliana nasi WhatsApp+255756697906,piga+255716805391 anaweza kutufollow👇👇
    @afric_is_beauty
    @afric_is_beauty
    @afric_is_beauty