BILLNASS AFICHUA NANDY ALIVYOKUBALI KUWA MCHEPUKO WAKATI AKIWA NA MPENZI MWINGINE "NILIMCHAGUA YEYE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июл 2022

Комментарии • 187

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p 2 года назад +18

    Mi niwapongeze sana , kwakweli huu ni upendo wa hali ya juu, Na mungu awabariki Na kuwatangulia kwenye ndoa yenu , naamin mtadumu milele Na mtajenga familia ilobora zaidi kwenu nyinyi na kwa jamii kwa ujumla

  • @sazanahussen6715
    @sazanahussen6715 2 года назад +15

    Kila mtu anapangiwa mtu wake hongeraaa sana bill na mandy❤️❤️❤️❤️🥰

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w 2 года назад +18

    Hata pia Billnass umevumilia kumpata Nandi hongera

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 2 года назад +13

    Nandy she looks soo beautiful 😍❤️💕💕💕👍🏿🔥🔥❤️💕👍🏿

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 2 года назад +8

    Haha kajua kung'ang'ania uyu dada😂😂😂

    • @daimondelfina5689
      @daimondelfina5689 2 года назад

      Kwakweli,afu anasema kabisa eti akapigiwa akaambiwa it's over duh!!

  • @bahatijuma1626
    @bahatijuma1626 2 года назад +6

    Allah awabariki lnshaallah

  • @georgehaule158
    @georgehaule158 2 года назад +3

    Congrats Bilnas and Nandy you guys you love each other

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 2 года назад +7

    Nili juwa ni nandy kapenda sana ila sio issue , tuna watakia mema 🙏

  • @rymax7790
    @rymax7790 2 года назад +3

    Very genius bill nass💪🤞

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 2 года назад +4

    Nawapendaaaa nawapenda nawapendaaa tena ......jaah awabless na kuwaepusha na vijini kisiran

  • @hellenpaul2149
    @hellenpaul2149 2 года назад +9

    Nawapenda sanaaa

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 2 года назад +3

    Hongereni sana 😘

  • @kibeyomuhongo8451
    @kibeyomuhongo8451 8 месяцев назад

    Napenda sana kusikiliza story zinazumuhusu dadaangu Nand

  • @Hosspert
    @Hosspert 2 года назад +10

    Hongera yenu bhnaa..🙌🏽

  • @liliangood388
    @liliangood388 2 года назад

    Hongera sana ndany

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 года назад

    Nandy na billsnas hongerani sana mwijaku anapiga maswali 😀😀nawapenda husda zipite mbali

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184 2 года назад +2

    Nice one

  • @irenemtema4302
    @irenemtema4302 2 года назад +6

    Napenda hii couple jmn Mungu azid kueasimamia katika familia mtakayoanIsha

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 2 года назад +5

    we must respect the undefined
    Presence in the creation…

  • @rehemahigilo943
    @rehemahigilo943 2 года назад

    Nawapenda mungu awalinde

  • @ericahenock1867
    @ericahenock1867 2 года назад

    Pongezi Kwenu Mwenyezi Mungu awatangulie

    • @davidmbwilo4954
      @davidmbwilo4954 2 года назад

      Ericah hili jina namtafuta huyu sijui alipotelea wap or ni wew

  • @adbellar338
    @adbellar338 2 года назад +38

    A women's tears can never be another women's happiness.

  • @ngwasikilulu2590
    @ngwasikilulu2590 2 года назад +1

    Background music inafanya tusisikie vizuri jamani, miwe mnapunguza kidogo

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 2 года назад

    Nancy looks very beautiful

  • @salmaedwin9845
    @salmaedwin9845 2 года назад

    Hongereni

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji9405 2 года назад +1

    steve akheee anatetemek kiuongo hapo😅😅😅😅😅

  • @godwinaloyce7342
    @godwinaloyce7342 2 года назад

    Hongeren sana

  • @bronzehke
    @bronzehke 2 года назад +2

    Hekima ya Hali ya juu sana..salute you guys

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 2 года назад +1

    Mmmh kweli mumetoka bari

  • @zimbwerajabu1894
    @zimbwerajabu1894 2 года назад +2

    Saw nengaaa

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 2 года назад

    Triomphe de l'amour❤😍😘

  • @fredymasawe2862
    @fredymasawe2862 2 года назад +1

    Hongera bro karibu wf yang

  • @estersilvester423
    @estersilvester423 2 года назад +5

    jamani sura nandy imejaa hadi kabadilika ila atarudi sawa

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 2 года назад

    ❤️❤️❤️❤️

  • @suejohn9135
    @suejohn9135 2 года назад +1

    Huyo mwijaku😂😂🙌jmn

  • @dariuskasitu5594
    @dariuskasitu5594 2 года назад +5

    Kama umesikia sumbawanga piga kelele

  • @kasianatarusis7438
    @kasianatarusis7438 2 года назад

    Ongeleni sana

  • @heriaskyakimwa9372
    @heriaskyakimwa9372 2 года назад +2

    Nawapongeza sana kwakuvumiliana mpaka hapo mumefikia

  • @jfineisaac6219
    @jfineisaac6219 2 года назад +6

    MUNGU nisaidie nisitumie nguvu kuielezea ndoa 🙏🏾

  • @nightwishisthegreatestband6355
    @nightwishisthegreatestband6355 2 года назад +16

    Bora ungekaa kimya kuhusu hilo. Sio kila kitu ni cha kutuambia. Unamshusha hadhi nandy.

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 2 года назад +5

      Hadhi gani anamshusha?? Hakuna jipya chini ya Jua

    • @pamanyango8917
      @pamanyango8917 2 года назад +1

      Kweli kabisa hakuna kitu jipya

    • @goldengirltanzania.458
      @goldengirltanzania.458 2 года назад +3

      Mwanamke hashuki hadhi ata siku moja ni mwanaume mwenyewe ndio anajushusha akiongelea vibaya kuhusu wanawake anajionyesha mwenyewe kwenye jamii jinsi anavyowaangalia wanawake kwasababu hata yeye ametoka kwa Mwanamke.Kama Mwanamke anajitegemea hakuna cha ziada unachoweza kumpa ni ameamua tuu kukuchagua amna cha hadhi hapa.

    • @mwanaidsalehe1109
      @mwanaidsalehe1109 2 года назад +2

      Hakuna binadamu aliyemkamilifu anamshusha hadhi gani yote yaliyotokea imebidi yatokee huo ni mpango wa Mungu.

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 2 года назад +1

      @@goldengirltanzania.458 weeeh weeeh weeeh futa kauli yako mweeh! Mwanamke akikazwa na kufirwa sawa sawa! Basi no mtumwa tuuu! Weee vipi? Unajifanya hujui? Mbona unatombwa gari??? Tena junanyonyeshwa mbooo nyau wewe!!!

  • @ladymoretaboraprincess6190
    @ladymoretaboraprincess6190 2 года назад

    Nandy superiority WOMEN

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +1

    Mmmmmmh

  • @aminaomary5656
    @aminaomary5656 2 года назад

    Nawapend sana

  • @barakakephasi4741
    @barakakephasi4741 2 года назад +8

    Mm nachukia mwijaku hayuko professional anauliza maswali ovyo tu jamani swala la uandishi wa habari serikal iweke msimamo anawezaje kumuambia mtu msanii kwa kucomand toa sauti basi hii ni ya wapi @millard Ayo

  • @missmwemba6094
    @missmwemba6094 2 года назад +7

    Harusi bci mambo mengi kweli paka mnaboo haya heri nawaombea muoane mkadumu s vimambo kibao alafu mwisho muachane nyote MA artist sioni ndoa hapa mume ywakaa ameboeka

  • @MagrethEvarist
    @MagrethEvarist 2 месяца назад

    Bilnas sio umnyanyase mwenzako Lisa kukubali kuwachepuko

  • @emmanuelngomale889
    @emmanuelngomale889 2 года назад +3

    Mungu aibariki ndoa yenu

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 2 года назад +3

    Wewe nandy umemuiba mwanaume wa watu, yatakutokea puani Mfyuuuuuueee

    • @anethgodwin3224
      @anethgodwin3224 2 года назад +1

      hajamuiba sababu hakua ameoa

    • @barakaalecnathaniel3716
      @barakaalecnathaniel3716 2 года назад

      Yani girlfriend tu ndio iwe kesi..Tena ukiona mtu kaweza kuondoka maanake hakukuwa na cha ajabu hapo kati ya hao wawili so Nandy hana kosa lolote..Billnas aliamua kutokana na kupima situation iliyokuwepo

  • @marianbakeske6830
    @marianbakeske6830 2 года назад

    Have realized today kuna nandy na Nadia mukami

  • @danielgozibert-ve3kw
    @danielgozibert-ve3kw Год назад

    Nawatakia maisha marefu

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 2 года назад +2

    Kwahiyo ni kama nandy aliiba mwanaume wa mtu?? Maana kilichosababisha bilnass akagombana na mdada (ex wake) ni huyo nandy. Mmmhhhh😵😵😵💔

  • @calveenykevoo5399
    @calveenykevoo5399 2 года назад +13

    Duuh kwan bill nenga umempa nin uyu dada na me ntumie kwa mtu wang

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 2 года назад

    Bas kudakia muacheni mtu ajibu anachoulizwa🤣🤣

  • @tumpeernest9690
    @tumpeernest9690 2 года назад +2

    Mbeya oyeee

  • @azizamtoi3468
    @azizamtoi3468 2 года назад +6

    Huyu mwanaume kichwa kimetulia

  • @matembo2145
    @matembo2145 2 года назад +10

    Waliandikiwa kuwa p 1

  • @poshiah
    @poshiah 2 года назад +4

    Heheee billnass nakupenda sana na pia Nandy my African princess hehee nifanye na mm mke wa pili jmni 🤣

    • @sashoright8213
      @sashoright8213 2 года назад

      Nmexhekaa😂😂😂

    • @poshiah
      @poshiah 2 года назад

      @@sashoright8213 🤣😅

  • @urumakafwijya3388
    @urumakafwijya3388 2 года назад +2

    Umenifuraisha sana

  • @immaboy8153
    @immaboy8153 2 года назад +7

    Ila hili lijamaa linapendwa dah😂😂😂kmmae

  • @fatmaramadhan762
    @fatmaramadhan762 2 года назад

    Huyu muha mwijaku jaman 🤣🤣

  • @LizzyMadangi-zq2dc
    @LizzyMadangi-zq2dc 4 месяца назад

    Me wakwanza jaman

  • @agnesshonga7570
    @agnesshonga7570 2 года назад +2

    Jamani billinas mbona kama hayupo

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 2 года назад +1

    Badala ya nandy kumsaidia bilnass adumishe mahusiano yake yeye anamuiba Mfyuuuuuueee umenikwaza

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 2 года назад +17

    Axa Kama alikubari kuwa mchepuko wako kipindi una mtu mwingine Basi tambuwa kuwa bado anaweza kuwa na mchepuko mwingine pia akiwa naww, pia usisahau yule mzee wa mabolingo alivyo fanya ndivyo hivyo hivyo itakuwa na nikama szon inaendelea Kaka 😅😅😅 afu utakuja kutusimlia Tena

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 года назад +1

    Huyu anaechagua kamati ni nani yaani mpk akachaguliwa Mwijaku Si angechaguliwa mrisho tu🤣🤣

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 2 года назад +2

    huyo chizi mwijaku anafanya nn huyo chizi

  • @estherkajiru5830
    @estherkajiru5830 2 года назад +1

    Mimi more

  • @niselascarion9489
    @niselascarion9489 2 года назад +1

    Inshort mwanaume ajatulia

  • @silvanusjames8984
    @silvanusjames8984 2 года назад

    Billnas nakumbali

  • @ritahenry9756
    @ritahenry9756 Год назад

    Kwalugha fupi jamaa ali cheat, interesting and ridiculous.

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 2 года назад +2

    Ndoa takatifu ni ile watu wanafunga harusi wakiwa weupe Kama pamba

    • @czechzyamwaga1088
      @czechzyamwaga1088 2 года назад +2

      Acha wivu, wamesha tubu kwa mungu ndiyo maana wamepata kibal cha kufunga ndoa

    • @mwajumamilanzi9440
      @mwajumamilanzi9440 2 года назад +2

      Kwaiyo ulitaka waitoe ili Sisi tuwaone weupe hapana mungu anajua kila kitu na amewaseh pia

    • @neemanyimbi2355
      @neemanyimbi2355 2 года назад

      Wewe ulivyofunga yako ulikuwa mweupe hakuna binadamu asie na dhambi Acha uboya wewe wivu tu nyie Ndo mnatakiwa mrogwe watu Wenye wivu

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад

      😂😂😂😂Kwanza nichek na watu watakatifu hawapo you tube wajua hilo

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 года назад +1

    Msituchoshe

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 2 года назад +1

    Basi ni vile tu Gigi Money alikua anasema huyu bilnas hakupenda nandy bila pesa ya nandy bilnas atachomoka.

  • @agnessisack7147
    @agnessisack7147 2 года назад

    ❤❤❤❤❤❤😂

  • @bentez911
    @bentez911 Год назад

    😳😆😆😆😆😆

  • @muzikiprofile
    @muzikiprofile 2 года назад +1

    Wangapi waliskia hii 👇👇
    ruclips.net/video/KgvKJ0gI_Js/видео.html

  • @neemaalex6404
    @neemaalex6404 2 года назад

    DADA NANDY NAOMBA UR DIALS

  • @tumpeernest9690
    @tumpeernest9690 2 года назад +1

    Geah kua mtulivu basii

  • @miriamalute1540
    @miriamalute1540 2 года назад +7

    Nimejifunza kuto kukata tamaaa

  • @felistamashinga123
    @felistamashinga123 2 года назад +1

    mimba ileeeee

  • @johnnytravo
    @johnnytravo 2 года назад +1

    Mwanamke amebeba dhamana ya uhai wetu kabla hatujaja rasmi Duniani 🙏 ruclips.net/video/iYjijfV-YRw/видео.html

  • @camilahazal7119
    @camilahazal7119 2 года назад

    Billnass karate Ugali wa Foustina

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад

    😑😑

  • @atanaskafwimb8955
    @atanaskafwimb8955 2 года назад

    MUNGU awayunze siku zote

  • @sakinanaftali7929
    @sakinanaftali7929 2 года назад

    WIMBO WA MAJIRA YOTE.. KARIBU KUTAZAMA. #TUNAMWAMINI
    ruclips.net/video/ZhY-T8wk4Do/видео.html

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 2 года назад +3

    Kumbe hizo fiesta ni kufanya uhuni

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 2 года назад +2

    Too much acting..sioni future hapo

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад +3

    ruclips.net/video/QN5ACFcSBIE/видео.html
    DAWA YA KUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM,
    HUTIBU NA MAJIPU SUGU#*

  • @kissesmariesydney1523
    @kissesmariesydney1523 2 года назад

    Nawapenda sanaaa

  • @sarahlimbu9305
    @sarahlimbu9305 Год назад

    Tutafute hela tuoelewe na agemate wetu😂

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад +1

    ruclips.net/video/QN5ACFcSBIE/видео.html
    DAWA YA KUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM,
    HUTIBU NA MAJIPU SUGU#*