Mi niwapongeze sana , kwakweli huu ni upendo wa hali ya juu, Na mungu awabariki Na kuwatangulia kwenye ndoa yenu , naamin mtadumu milele Na mtajenga familia ilobora zaidi kwenu nyinyi na kwa jamii kwa ujumla
Mwanamke hashuki hadhi ata siku moja ni mwanaume mwenyewe ndio anajushusha akiongelea vibaya kuhusu wanawake anajionyesha mwenyewe kwenye jamii jinsi anavyowaangalia wanawake kwasababu hata yeye ametoka kwa Mwanamke.Kama Mwanamke anajitegemea hakuna cha ziada unachoweza kumpa ni ameamua tuu kukuchagua amna cha hadhi hapa.
Mm nachukia mwijaku hayuko professional anauliza maswali ovyo tu jamani swala la uandishi wa habari serikal iweke msimamo anawezaje kumuambia mtu msanii kwa kucomand toa sauti basi hii ni ya wapi @millard Ayo
Harusi bci mambo mengi kweli paka mnaboo haya heri nawaombea muoane mkadumu s vimambo kibao alafu mwisho muachane nyote MA artist sioni ndoa hapa mume ywakaa ameboeka
Yani girlfriend tu ndio iwe kesi..Tena ukiona mtu kaweza kuondoka maanake hakukuwa na cha ajabu hapo kati ya hao wawili so Nandy hana kosa lolote..Billnas aliamua kutokana na kupima situation iliyokuwepo
Axa Kama alikubari kuwa mchepuko wako kipindi una mtu mwingine Basi tambuwa kuwa bado anaweza kuwa na mchepuko mwingine pia akiwa naww, pia usisahau yule mzee wa mabolingo alivyo fanya ndivyo hivyo hivyo itakuwa na nikama szon inaendelea Kaka 😅😅😅 afu utakuja kutusimlia Tena
Mi niwapongeze sana , kwakweli huu ni upendo wa hali ya juu, Na mungu awabariki Na kuwatangulia kwenye ndoa yenu , naamin mtadumu milele Na mtajenga familia ilobora zaidi kwenu nyinyi na kwa jamii kwa ujumla
Kila mtu anapangiwa mtu wake hongeraaa sana bill na mandy❤️❤️❤️❤️🥰
Kabisaaa
Hata pia Billnass umevumilia kumpata Nandi hongera
Nandy she looks soo beautiful 😍❤️💕💕💕👍🏿🔥🔥❤️💕👍🏿
True
Haha kajua kung'ang'ania uyu dada😂😂😂
Kwakweli,afu anasema kabisa eti akapigiwa akaambiwa it's over duh!!
Allah awabariki lnshaallah
Congrats Bilnas and Nandy you guys you love each other
Nili juwa ni nandy kapenda sana ila sio issue , tuna watakia mema 🙏
Very genius bill nass💪🤞
Nawapendaaaa nawapenda nawapendaaa tena ......jaah awabless na kuwaepusha na vijini kisiran
Nawapenda sanaaa
Hongereni sana 😘
Napenda sana kusikiliza story zinazumuhusu dadaangu Nand
Hongera yenu bhnaa..🙌🏽
Ata mimi nawapenda na nawaombeyaa jamani jamani
Hongera sana ndany
Nandy na billsnas hongerani sana mwijaku anapiga maswali 😀😀nawapenda husda zipite mbali
Nice one
Napenda hii couple jmn Mungu azid kueasimamia katika familia mtakayoanIsha
we must respect the undefined
Presence in the creation…
Nawapenda mungu awalinde
Pongezi Kwenu Mwenyezi Mungu awatangulie
Ericah hili jina namtafuta huyu sijui alipotelea wap or ni wew
A women's tears can never be another women's happiness.
True
Unakosea sio lazima unayempenda akupende
Kuna huu usemi unasema kufa kufaana.ukiuelewa basi jibu ndio hilo.
One mistake one goal
Kwani amemuiba?
Background music inafanya tusisikie vizuri jamani, miwe mnapunguza kidogo
Nancy looks very beautiful
Hongereni
steve akheee anatetemek kiuongo hapo😅😅😅😅😅
Hongeren sana
Hekima ya Hali ya juu sana..salute you guys
Mmmh kweli mumetoka bari
Saw nengaaa
Triomphe de l'amour❤😍😘
vraiment
Hongera bro karibu wf yang
jamani sura nandy imejaa hadi kabadilika ila atarudi sawa
Mimba ndio inafanya
❤️❤️❤️❤️
Huyo mwijaku😂😂🙌jmn
Kama umesikia sumbawanga piga kelele
Ongeleni sana
Nawapongeza sana kwakuvumiliana mpaka hapo mumefikia
MUNGU nisaidie nisitumie nguvu kuielezea ndoa 🙏🏾
Bora ungekaa kimya kuhusu hilo. Sio kila kitu ni cha kutuambia. Unamshusha hadhi nandy.
Hadhi gani anamshusha?? Hakuna jipya chini ya Jua
Kweli kabisa hakuna kitu jipya
Mwanamke hashuki hadhi ata siku moja ni mwanaume mwenyewe ndio anajushusha akiongelea vibaya kuhusu wanawake anajionyesha mwenyewe kwenye jamii jinsi anavyowaangalia wanawake kwasababu hata yeye ametoka kwa Mwanamke.Kama Mwanamke anajitegemea hakuna cha ziada unachoweza kumpa ni ameamua tuu kukuchagua amna cha hadhi hapa.
Hakuna binadamu aliyemkamilifu anamshusha hadhi gani yote yaliyotokea imebidi yatokee huo ni mpango wa Mungu.
@@goldengirltanzania.458 weeeh weeeh weeeh futa kauli yako mweeh! Mwanamke akikazwa na kufirwa sawa sawa! Basi no mtumwa tuuu! Weee vipi? Unajifanya hujui? Mbona unatombwa gari??? Tena junanyonyeshwa mbooo nyau wewe!!!
Nandy superiority WOMEN
Mmmmmmh
Nawapend sana
Mm nachukia mwijaku hayuko professional anauliza maswali ovyo tu jamani swala la uandishi wa habari serikal iweke msimamo anawezaje kumuambia mtu msanii kwa kucomand toa sauti basi hii ni ya wapi @millard Ayo
Tatizo anauliza kimbea mbea
@@princekarani7836 kama alivokua mmbea
Mwijaku is a disappointment to the manhood
Harusi bci mambo mengi kweli paka mnaboo haya heri nawaombea muoane mkadumu s vimambo kibao alafu mwisho muachane nyote MA artist sioni ndoa hapa mume ywakaa ameboeka
Umetoaaa mchango 😂😂
Acha wivu Taft mume uolew uon km itaboa🥴
Bilnas sio umnyanyase mwenzako Lisa kukubali kuwachepuko
Mungu aibariki ndoa yenu
Wewe nandy umemuiba mwanaume wa watu, yatakutokea puani Mfyuuuuuueee
hajamuiba sababu hakua ameoa
Yani girlfriend tu ndio iwe kesi..Tena ukiona mtu kaweza kuondoka maanake hakukuwa na cha ajabu hapo kati ya hao wawili so Nandy hana kosa lolote..Billnas aliamua kutokana na kupima situation iliyokuwepo
Have realized today kuna nandy na Nadia mukami
Nawatakia maisha marefu
Kwahiyo ni kama nandy aliiba mwanaume wa mtu?? Maana kilichosababisha bilnass akagombana na mdada (ex wake) ni huyo nandy. Mmmhhhh😵😵😵💔
Siyo kweli
Sio kweli!!Mwanaume huwa haibwi..
Kampokonya mwenzake
Duuh kwan bill nenga umempa nin uyu dada na me ntumie kwa mtu wang
Haha ili akugande au
😂😂😂sa apo ncheke kwanza
Anampelekea Moto wa kiukwel
😂😂😂😂
Tigo tuuu ndo mambo yooote! Tena akiharisha unakula pia!
Bas kudakia muacheni mtu ajibu anachoulizwa🤣🤣
Mbeya oyeee
Huyu mwanaume kichwa kimetulia
Muda yuko vizuri
Iyee
Waliandikiwa kuwa p 1
Rizki yake
Heheee billnass nakupenda sana na pia Nandy my African princess hehee nifanye na mm mke wa pili jmni 🤣
Nmexhekaa😂😂😂
@@sashoright8213 🤣😅
Umenifuraisha sana
Ila hili lijamaa linapendwa dah😂😂😂kmmae
Hadi wivu 😀😀😀
😂😂😂😂😂
hahah na pesa iwepo.ikikosekana yanapungua
@@princekarani7836 🤣🤣🤣 you
Huyu muha mwijaku jaman 🤣🤣
Me wakwanza jaman
Jamani billinas mbona kama hayupo
Au macho yangu
Hayupo kbsaaaaaq😂😂😂
Apana billnas anaaibu sana
Usanii mwingi
Badala ya nandy kumsaidia bilnass adumishe mahusiano yake yeye anamuiba Mfyuuuuuueee umenikwaza
Hahahaha..ukiona hivyo ujue mwanaume hakuwa kafika hapo..
Axa Kama alikubari kuwa mchepuko wako kipindi una mtu mwingine Basi tambuwa kuwa bado anaweza kuwa na mchepuko mwingine pia akiwa naww, pia usisahau yule mzee wa mabolingo alivyo fanya ndivyo hivyo hivyo itakuwa na nikama szon inaendelea Kaka 😅😅😅 afu utakuja kutusimlia Tena
Haha
Mungu atakuwa pamoja nao
Haswaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Apa naona kabsaa mbele majanga akishazaliwa mtt
Huyu anaechagua kamati ni nani yaani mpk akachaguliwa Mwijaku Si angechaguliwa mrisho tu🤣🤣
huyo chizi mwijaku anafanya nn huyo chizi
Chizi ni wewe unaemfuatilia Chizi!!!
Mimi more
Inshort mwanaume ajatulia
Billnas nakumbali
Kwalugha fupi jamaa ali cheat, interesting and ridiculous.
Ndoa takatifu ni ile watu wanafunga harusi wakiwa weupe Kama pamba
Acha wivu, wamesha tubu kwa mungu ndiyo maana wamepata kibal cha kufunga ndoa
Kwaiyo ulitaka waitoe ili Sisi tuwaone weupe hapana mungu anajua kila kitu na amewaseh pia
Wewe ulivyofunga yako ulikuwa mweupe hakuna binadamu asie na dhambi Acha uboya wewe wivu tu nyie Ndo mnatakiwa mrogwe watu Wenye wivu
😂😂😂😂Kwanza nichek na watu watakatifu hawapo you tube wajua hilo
Msituchoshe
Basi ni vile tu Gigi Money alikua anasema huyu bilnas hakupenda nandy bila pesa ya nandy bilnas atachomoka.
I tydhdjdeih
❤❤❤❤❤❤😂
😳😆😆😆😆😆
Wangapi waliskia hii 👇👇
ruclips.net/video/KgvKJ0gI_Js/видео.html
DADA NANDY NAOMBA UR DIALS
Geah kua mtulivu basii
Nimejifunza kuto kukata tamaaa
Daah Miriam unitafute nikupe uchawi!
@@AliAli-rx6wu 😅😅
🤣🤣🤣🤣
@@AliAli-rx6wu hehehe
mimba ileeeee
Mwanamke amebeba dhamana ya uhai wetu kabla hatujaja rasmi Duniani 🙏 ruclips.net/video/iYjijfV-YRw/видео.html
Billnass karate Ugali wa Foustina
😑😑
MUNGU awayunze siku zote
WIMBO WA MAJIRA YOTE.. KARIBU KUTAZAMA. #TUNAMWAMINI
ruclips.net/video/ZhY-T8wk4Do/видео.html
Kumbe hizo fiesta ni kufanya uhuni
Sio fiesta hata kwenye nyumba za ibada uhuni unafanyika tuu!!!
😂😂😂
😂😂😂😂
😂
Too much acting..sioni future hapo
Acha ujinga
Shindwa pepo
Mwapenda kutakia wengine mabaya
@@dorisjessy5960 yaaani uchawi tu.
Pole😜😜
ruclips.net/video/QN5ACFcSBIE/видео.html
DAWA YA KUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM,
HUTIBU NA MAJIPU SUGU#*
Nawapenda sanaaa
Hafuslyanandt
🤔
Tutafute hela tuoelewe na agemate wetu😂
ruclips.net/video/QN5ACFcSBIE/видео.html
DAWA YA KUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM,
HUTIBU NA MAJIPU SUGU#*