UPEPO UNAOTUMWA NA ADUI KUHARIBU MAISHA YAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 71

  • @nonveroniquejohn
    @nonveroniquejohn 4 дня назад +1

    Bwana mungu wangu niwezeshe katika kipondi hiki kizito baba usiache mkono wako kwenda mbali

  • @SYDEYLINET
    @SYDEYLINET 17 дней назад

    HALLELUJAH BWANA niwe na ujasiri na ushuujaa ndani yangu,nitie nguvu kwako niko salama AMEN AMEN AMEN

  • @magrethkivugo4527
    @magrethkivugo4527 18 дней назад

    Eeh MUNGU baba yangu nisaidie katika uharibufu wowote uliofanywa, unaofanywa na maadui katika maisha yangu.

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 17 дней назад

    Mwenyezi Mungu wapondeponde maadui wetu chini ya miguu yetu ktk jina la Yesu Kristo.

  • @EvalynePendo
    @EvalynePendo 18 дней назад +5

    Eee Bwana niepeshe na maadui ninaowajua na nisiowajua,nifunike kwa damu yako, amen amen and ameeeeeeeennnnnn 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @WarulyaSimeon
    @WarulyaSimeon 17 дней назад

    Ninakushukuru sana MUNGU wangu kwa ku kunielimisha.. Niepushe na watesi wangu wasijaribu tena kuupenya UISHI wangu.

  • @ElinaLungu-t4g
    @ElinaLungu-t4g 18 дней назад

    Eee Mungu niepushe na maadui ninaowajua na nisiowajua ktka jina la yesu kristo Amen.

  • @nataliapeter2852
    @nataliapeter2852 17 дней назад

    Bwana wangu Yesu Kristo ninaomba neema na kibali ya ulinzi wa KiMungu nikawe salama kwa jina la Yesu mimi pamoja na familia yangu na wote wanipendao kwa jina la Yesu, ninaomba neema ya Usalama Mungu wang ❤

  • @NellyKombe
    @NellyKombe 18 дней назад

    Amen MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU 🙏

  • @SarhKinia
    @SarhKinia 17 дней назад

    Mungu niepushe na upepo wa madui ninao wajua na nsio wajua mungu nipiganie kwa jina la yesu

  • @kissafungo
    @kissafungo 18 дней назад +2

    Ee Mungu nisaidie katika uhalibifu uliofanyika katika biashara yangu kwakumwamini mfanyabiashara mkubwa zaidi yangu kumbe amekuja kiniangamiza Katia biashara

  • @DONATHA-en2qr
    @DONATHA-en2qr 17 дней назад

    Asante mtushi, Ivo ndivyo naweza sema🙏 Mungu na aendelee kukutumia kama chombo chake kutuponya kwa njia ya mafundisho ya roho mtakatifu, Mungu akutunze kwa ajiri ya wengi UBARIKIWE

  • @FeliciteNiybitanga
    @FeliciteNiybitanga 18 дней назад

    Asante MUNGU wangu kwa KUNIPA nisikie mandisho ya leo

  • @SaumuChengo
    @SaumuChengo 18 дней назад +2

    Amen asantw mchungaji ak umenena nami ujumbe huu n wangu mungu aachilie neema ya ulinzi 15:00 kwangu ata kW familia yngu zaidi sana kwako mtumishi ili wengi wapate kusaidia kupitua kwa roho mtakatifu nfan yko,be blessed

  • @AnnaZabron-d5p
    @AnnaZabron-d5p 18 дней назад +3

    Amen sana pastor

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 18 дней назад

    Sylvia mungu tusaidie Aki utufiche Kwa damu YA yesu pamoja Na familia zetu,mungu akubari mtumishi🙏🙏❤️

  • @aliciaprojestus2336
    @aliciaprojestus2336 18 дней назад +2

    MUNGU ATUSAIDIE SANA

  • @LenistaHaule
    @LenistaHaule 17 дней назад

    Ee Mungu endelea kunipigania na kujishindia kwenye vita viinukapo zidi ya familia yangu

  • @pamphilasunzu6183
    @pamphilasunzu6183 18 дней назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana akuongezee nguvu

  • @GeofreyJones
    @GeofreyJones 18 дней назад +1

    Eh Mungu tuepushie Kila hira ya Adui

  • @نيجي-ن1د
    @نيجي-ن1د 18 дней назад +2

    Amen Bwana tusaidie tupate upenyo katikati ya maadui zetu

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 17 дней назад

    Sylvia mungu nisaidie maana ni wengi wanao pinga maisha yangu ,baba wewe mtetezi wangu🙏🙏🙌

  • @Eacko87
    @Eacko87 18 дней назад +2

    Ameeen

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 18 дней назад

    Eee mungu wangu naomba uwe ngao ya maisha yangu yote milele

  • @Shosho-b1q
    @Shosho-b1q 18 дней назад +2

    Amean mungu atusaidiye

  • @SaraMpozi-nf1yk
    @SaraMpozi-nf1yk 18 дней назад +2

    Amen

  • @SevAl-p9k
    @SevAl-p9k 18 дней назад

    Sylvia amen Asante mungu🙌baba tusaidie na utupe hikima pia utufundishe jinsi tutaishi nao ili tupone🙏🙏♥️

  • @PeaceSajilo
    @PeaceSajilo 18 дней назад +1

    Mungu tusaidie kwa hili, adui asipate upenyo wa kuturudisha nyuma

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 18 дней назад +1

    Emeeeen

  • @EvalynePendo
    @EvalynePendo 18 дней назад +1

    Ukweli kabisa pastor

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 18 дней назад

    Tuepushe yesu🙌🙌

  • @RistaMwambete
    @RistaMwambete 17 дней назад

    Mungu mwenye Nguvu na Uweza wote tusaidie kuwashinda maadui zetu wote. Amina.

  • @JenetSmith-y5b
    @JenetSmith-y5b 17 дней назад

    Ee mungu tuepushe na madui 🙏🙏

  • @waitheramwangi3558
    @waitheramwangi3558 18 дней назад +1

    Amen 🙏 thank you pastor

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo 18 дней назад

    Mungu wangu naomba unisaidie na uharibifu unaofanyika kinyume na biashara yangu nifunika Kwa damu ya Yesu amen 🔥🙏

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo 18 дней назад

    Amen mtumishi 🙏

  • @PaulBahati-p7i
    @PaulBahati-p7i 16 дней назад

    Baba vidéo zako nizaukweli kabisa

  • @faidhandaiga935
    @faidhandaiga935 17 дней назад

    Ameen

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 18 дней назад

    Mungu wangu nisadie katika hili maan hya nkweli kbc mambo haya yamenirudisha nyuma bila kujua mpk najitambue mmbo n yakunganngn tu

  • @lamekmakoye4109
    @lamekmakoye4109 17 дней назад

    Mungu nikumbuke

  • @denisedward2983
    @denisedward2983 18 дней назад

    Amen Amen

  • @WinnerAtieno
    @WinnerAtieno 18 дней назад

    Amina mungu aturehemu

  • @SevAl-p9k
    @SevAl-p9k 18 дней назад

    Sylvia 🙏🙏🙏🙌🙌🙌 Asante bwana🙏♥️🙌

  • @aminajuma1156
    @aminajuma1156 18 дней назад

    Ameeen 🙏

  • @JolleetNiaze
    @JolleetNiaze 16 дней назад

    Aneeeeeeeeeeeen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GloriaHaule-m4c
    @GloriaHaule-m4c 18 дней назад

    Amen 🙏

  • @Tinahtinash
    @Tinahtinash 18 дней назад

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 17 дней назад

    Rom16:20

  • @modestamedard8901
    @modestamedard8901 18 дней назад

    Ameen 👏🏽

  • @DelaneyWambui
    @DelaneyWambui 18 дней назад

    Amen 🙏🙏

  • @DONATHA-en2qr
    @DONATHA-en2qr 17 дней назад

    Isaya 54 ni kitabu changu pendwaa sana na cha ushuhuda

  • @MiriamMlele-j8p
    @MiriamMlele-j8p 18 дней назад

    Jamana mtumishii hapa kwetu ndugu zangu ndivyo wanavyo nifanyia mm ni mekatwa mguu lakini wanavyo niongelea mm na mtoto wangu nimaneno tu awana msaada kuni kwanza tu

  • @ReubenSimwanza-z7d
    @ReubenSimwanza-z7d 17 дней назад

    Naukweli mchungungaji.

  • @ShadyaMulumba
    @ShadyaMulumba 18 дней назад

    Mung nisaidie

  • @ZakinaMakokha-fe1sq
    @ZakinaMakokha-fe1sq 17 дней назад

    Shalom

  • @Lovenessimon-zz8qg1jz6j
    @Lovenessimon-zz8qg1jz6j 18 дней назад

    Eimen 🙌

  • @noelymasawe5663
    @noelymasawe5663 8 дней назад

    True

  • @maryTz-il8sb
    @maryTz-il8sb 18 дней назад

    Isaya 54:17 huu ni mstari ninao upenda sana na umenikaa sana akilini mwangu

  • @IbraIbra-z9t
    @IbraIbra-z9t 18 дней назад

    Naombeni link ya group watu wa Mungu

  • @sarahjohn8515
    @sarahjohn8515 17 дней назад +1

    Eee bwana naomba maombi yako pastor niko kwa shinda sahii niko iraq nafanya na dem mwingine hapa tunafanya na yeye kazi sijui aliambia nini ma boss wangu hadi boss wangu amenikataza kufanya kazi akanifungia kwa room akasema nimpee pesa zenye alininunu ndio anirudishe kwa office hata chakula sina😢😢😢😢tafadhali naomba maombi yenu

    • @christinemoranga7598
      @christinemoranga7598 17 дней назад

      So painful indeed 😢😢😢may God protect you wherever you are dr and answer your prayer

  • @JohnAlagwa
    @JohnAlagwa 18 дней назад +1

    Ameni

  • @EddaAivan
    @EddaAivan 18 дней назад

    Ameen

  • @faustamumbee9160
    @faustamumbee9160 18 дней назад

    Ameeen

  • @WeeleAll
    @WeeleAll 18 дней назад

    Amen🙏🙏🙏🙏🙏

  • @linet6663
    @linet6663 18 дней назад

    Amen 🙏🙏

  • @FaithKwamboka-i5h
    @FaithKwamboka-i5h 18 дней назад

    Ameen

  • @faidhandaiga935
    @faidhandaiga935 17 дней назад

    Ameen

  • @wisemelodytz589
    @wisemelodytz589 17 дней назад

    Amen...Amen 🙏

  • @HhNn-f5s
    @HhNn-f5s 18 дней назад

    Amen

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa 18 дней назад

    Amen