Bwana wangu Yesu Kristo ninaomba neema na kibali ya ulinzi wa KiMungu nikawe salama kwa jina la Yesu mimi pamoja na familia yangu na wote wanipendao kwa jina la Yesu, ninaomba neema ya Usalama Mungu wang ❤
Ee Mungu nisaidie katika uhalibifu uliofanyika katika biashara yangu kwakumwamini mfanyabiashara mkubwa zaidi yangu kumbe amekuja kiniangamiza Katia biashara
Asante mtushi, Ivo ndivyo naweza sema🙏 Mungu na aendelee kukutumia kama chombo chake kutuponya kwa njia ya mafundisho ya roho mtakatifu, Mungu akutunze kwa ajiri ya wengi UBARIKIWE
Amen asantw mchungaji ak umenena nami ujumbe huu n wangu mungu aachilie neema ya ulinzi 15:00 kwangu ata kW familia yngu zaidi sana kwako mtumishi ili wengi wapate kusaidia kupitua kwa roho mtakatifu nfan yko,be blessed
Jamana mtumishii hapa kwetu ndugu zangu ndivyo wanavyo nifanyia mm ni mekatwa mguu lakini wanavyo niongelea mm na mtoto wangu nimaneno tu awana msaada kuni kwanza tu
Eee bwana naomba maombi yako pastor niko kwa shinda sahii niko iraq nafanya na dem mwingine hapa tunafanya na yeye kazi sijui aliambia nini ma boss wangu hadi boss wangu amenikataza kufanya kazi akanifungia kwa room akasema nimpee pesa zenye alininunu ndio anirudishe kwa office hata chakula sina😢😢😢😢tafadhali naomba maombi yenu
Bwana mungu wangu niwezeshe katika kipondi hiki kizito baba usiache mkono wako kwenda mbali
HALLELUJAH BWANA niwe na ujasiri na ushuujaa ndani yangu,nitie nguvu kwako niko salama AMEN AMEN AMEN
Eeh MUNGU baba yangu nisaidie katika uharibufu wowote uliofanywa, unaofanywa na maadui katika maisha yangu.
Mwenyezi Mungu wapondeponde maadui wetu chini ya miguu yetu ktk jina la Yesu Kristo.
Eee Bwana niepeshe na maadui ninaowajua na nisiowajua,nifunike kwa damu yako, amen amen and ameeeeeeeennnnnn 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Ninakushukuru sana MUNGU wangu kwa ku kunielimisha.. Niepushe na watesi wangu wasijaribu tena kuupenya UISHI wangu.
Eee Mungu niepushe na maadui ninaowajua na nisiowajua ktka jina la yesu kristo Amen.
Bwana wangu Yesu Kristo ninaomba neema na kibali ya ulinzi wa KiMungu nikawe salama kwa jina la Yesu mimi pamoja na familia yangu na wote wanipendao kwa jina la Yesu, ninaomba neema ya Usalama Mungu wang ❤
Amen MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU 🙏
Mungu niepushe na upepo wa madui ninao wajua na nsio wajua mungu nipiganie kwa jina la yesu
Ee Mungu nisaidie katika uhalibifu uliofanyika katika biashara yangu kwakumwamini mfanyabiashara mkubwa zaidi yangu kumbe amekuja kiniangamiza Katia biashara
Asante mtushi, Ivo ndivyo naweza sema🙏 Mungu na aendelee kukutumia kama chombo chake kutuponya kwa njia ya mafundisho ya roho mtakatifu, Mungu akutunze kwa ajiri ya wengi UBARIKIWE
Asante MUNGU wangu kwa KUNIPA nisikie mandisho ya leo
Amen asantw mchungaji ak umenena nami ujumbe huu n wangu mungu aachilie neema ya ulinzi 15:00 kwangu ata kW familia yngu zaidi sana kwako mtumishi ili wengi wapate kusaidia kupitua kwa roho mtakatifu nfan yko,be blessed
Amen sana pastor
Sylvia mungu tusaidie Aki utufiche Kwa damu YA yesu pamoja Na familia zetu,mungu akubari mtumishi🙏🙏❤️
MUNGU ATUSAIDIE SANA
Ee Mungu endelea kunipigania na kujishindia kwenye vita viinukapo zidi ya familia yangu
Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana akuongezee nguvu
Eh Mungu tuepushie Kila hira ya Adui
Amen Bwana tusaidie tupate upenyo katikati ya maadui zetu
Sylvia mungu nisaidie maana ni wengi wanao pinga maisha yangu ,baba wewe mtetezi wangu🙏🙏🙌
Ameeen
Eee mungu wangu naomba uwe ngao ya maisha yangu yote milele
Amean mungu atusaidiye
Amen
Sylvia amen Asante mungu🙌baba tusaidie na utupe hikima pia utufundishe jinsi tutaishi nao ili tupone🙏🙏♥️
Mungu tusaidie kwa hili, adui asipate upenyo wa kuturudisha nyuma
Emeeeen
Ukweli kabisa pastor
Tuepushe yesu🙌🙌
Mungu mwenye Nguvu na Uweza wote tusaidie kuwashinda maadui zetu wote. Amina.
Ee mungu tuepushe na madui 🙏🙏
Amen 🙏 thank you pastor
Mungu wangu naomba unisaidie na uharibifu unaofanyika kinyume na biashara yangu nifunika Kwa damu ya Yesu amen 🔥🙏
Amen mtumishi 🙏
Baba vidéo zako nizaukweli kabisa
Ameen
Mungu wangu nisadie katika hili maan hya nkweli kbc mambo haya yamenirudisha nyuma bila kujua mpk najitambue mmbo n yakunganngn tu
Mungu nikumbuke
Amen Amen
Amina mungu aturehemu
Sylvia 🙏🙏🙏🙌🙌🙌 Asante bwana🙏♥️🙌
Ameeen 🙏
Aneeeeeeeeeeeen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏
Rom16:20
Ameen 👏🏽
Amen 🙏🙏
Isaya 54 ni kitabu changu pendwaa sana na cha ushuhuda
Jamana mtumishii hapa kwetu ndugu zangu ndivyo wanavyo nifanyia mm ni mekatwa mguu lakini wanavyo niongelea mm na mtoto wangu nimaneno tu awana msaada kuni kwanza tu
Naukweli mchungungaji.
Mung nisaidie
Shalom
Eimen 🙌
True
Isaya 54:17 huu ni mstari ninao upenda sana na umenikaa sana akilini mwangu
Naombeni link ya group watu wa Mungu
Eee bwana naomba maombi yako pastor niko kwa shinda sahii niko iraq nafanya na dem mwingine hapa tunafanya na yeye kazi sijui aliambia nini ma boss wangu hadi boss wangu amenikataza kufanya kazi akanifungia kwa room akasema nimpee pesa zenye alininunu ndio anirudishe kwa office hata chakula sina😢😢😢😢tafadhali naomba maombi yenu
So painful indeed 😢😢😢may God protect you wherever you are dr and answer your prayer
Ameni
Ameen
Ameeen
Amen🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏
Ameen
Ameen
Amen...Amen 🙏
Amen
Amen