🙏🙏🙏🙏🙏oooh jamani...asante sana sana dear,Mungu atubariki sote...nafurahi sana video zangu kuwa za manufaa kwako...Mungu aendee kukufungulia milango ya rizki dear wangu...
Wow, this deseert dish looks so delicious! It's the best video I've ever! The shape is so pretty. I will make it this weekend. Thank you for sharing the good recipe! Have a good weekend. Friend!
Aaahhhaaa am back my dear,yaonekana nimekosa mengi mazuri hapa,maana naingia tu pap nakutana na maandazi kichapo duuu, yani wee acha tu dada mimi ninavyo penda mandazi ni Mungu tu anisaidie, si nyute mdomoni jamani wala silali bila kuyapika haya ndio kuwania hivi
Labda unayafunika kwenye chombo kisichopitisha hewa kabila hayajapoa,yakiwa ya moyo funika na kitambaa tu,yakipoa sasa weka kwa chombo kisichopitisha hewa,na ugumu wa nje labda donge linakuwa umelikata bila kuhakikisha ni laini kwa juu,..kama sio ivo nisaidie kujua unapikaje na kutunza ili nijue tushauriane..asante
Wewe ni malkia wangu wa nguvu!! Wewe ndosababu ya Mimi kuanza kuuza maandazi, yani ninavyokupenda na kukuombea heri Mungu ndoanajua my dear.
🙏🙏🙏🙏🙏oooh jamani...asante sana sana dear,Mungu atubariki sote...nafurahi sana video zangu kuwa za manufaa kwako...Mungu aendee kukufungulia milango ya rizki dear wangu...
@@kekiplus1andonly Nataka nijifunze mapishi kwa ajili ya biashara nipo dar, nakupataje
Dada me pia natamani kujifunza 0625566775.nisaidie
@@kpetres2872 ni DM instagram kekiplus.youtubechannel
Maziwa ya moto au baridi samahani
Auweki chapa mandashi, na Simba au sio lazima, na aukandii mafuta.asante
Nimepika Leo na yako very soft. Asantee
Wwow Mashallah tabarakallah.. asnte dad nampend n ntajarb
Nimepika leo asubh ndo nakula jamniiii matamuuu hatar malaini saana ubarikiwe🥰🥰🥰🥰🥰
Karibu sana dear,nafurahi sana kuskia ivo ,ubarikiwe
Ahsante dada yangu ubarikiwe sana
Amen,tubarikiwe sote dear
Ahsantee dada kwa video yako, Aiseee leo nimepika mandazi mazuri laini sana, Kila siku huwa napika mandanzi yanakuwa makavu kama hafu keki ❤😘🙏🏽
Nimeona hii recipe jana leo nimepika andazi limetoka vizuri sana kama sponge yaan mpk nimeenjoy,,thanks dia
Alhamdullillah dear,nafurahi kama umeenjoy.
Asante kwa sapoti yako
Hujaweka chapa mNdashi
Mashallah lazima nitajaribu hii recipe mungu azid kukubariki kwa kutuletea mambo mazuri
InshaAllah dear,inshaAllah🙏🙏🙏
Mansha Allah❤
Wow, this deseert dish looks so delicious! It's the best video I've ever! The shape is so pretty. I will make it this weekend. Thank you for sharing the good recipe! Have a good weekend. Friend!
Thank you friend..
Enjoy your weekend too
Very delicious
Nashukuru sana kwa hii recipe maandazi yalikuwa laini na matamu Sana, asanta nitakufollow kwa karibu Sana lots of love kutoka Nairobi❤️💖❤️💖💕!
Chapa mandashi au simba huwek
Niliangalia mara moja nikapika hakika ni mazuri sanaaa ,thnx mamy
Nimetumia njia yko mandazi yametoka mazuri sanaa nilitakujutumia njia ingine nikajaribu yko 🥰🥰 barikiwa🙏🙏
Ooooh kweli?nimefurahi sana ulichagua recipe yangu.
Asante sana,nafurahi umenjoy pishi lako
@@kekiplus1andonly 🙏🙏
@@kekiplus1andonly maziwa ya Moto au ya baridi
Barikiwa sana,cyo mchoyo wa ujuzi.
Looks yummy
Safi sana dear Dada!
Wow Looking amazing 👌. Big like dear 💕💕
Thanks dear
Siku hizi uko wapi
Super recipe Thank you
🙏🙏🙏🙏🙏
Nimeyapenda hayo 😋 nitatapika
InshaAllah dear,ukila utayapenda zaidi
Mazur Sana mpaka nmetaman kupika nw👏
Pliz pika😋
Salàm alekum mashallaah
Asante going to try this today
Nice Mashallah
Asante sana mamy kwa mafunzo yko naenjoy saaana maandazi ayo
Masha Allha shukran nimeyapenda sana
🙏🙏🙏🙏
Asante kwa recipe dear nimeipenda nataka kupika ila huwa sipendi mayai naweza itumia bila yai?
Hiyo napika jioni, Asante sana
Aaaw inshaAllah dear,enjoy
Maziwa yawe ya moto
Nip apa mdg wako nimefika ❤
Oooh jamani naah wangu ,shukran sana mdogo wangu,upo na mimi kila hatua..Allah aendelee kukuweka ,na dua za heri nakuombea.
@@kekiplus1andonly Amiin ❤
Sio lazima kuweka chapa mandazi?mandazi mazuri sana
Duh!kweli yakishua
Maa Shaa Allah dear😘, lkn hujawek chapa maandashi & amira?
Maziwa umetumia ya moto ama baridi
Yummy perfect snacks.
Hapo umeelezea
Mpz mm nikikanda unga mlaini sana maandaz yanajaa mafuta ndan sjui nakwama wapii eti 😣
Mmmmh,ulaini wa kawaida tu,sio mteke,mteke lazima unywe mafuta
@@kekiplus1andonly thank you
Please can you write the subtle in english for those they don't know your language
Mamy ko chapa mandashi sio lzm
Aaahhhaaa am back my dear,yaonekana nimekosa mengi mazuri hapa,maana naingia tu pap nakutana na maandazi kichapo duuu, yani wee acha tu dada mimi ninavyo penda mandazi ni Mungu tu anisaidie, si nyute mdomoni jamani wala silali bila kuyapika haya ndio kuwania hivi
😂😂😂😂jamani @rossa Mengo nilikumiss,karibu sana..hujakosa,mengi kiivo..
Miss you more my darling, stay safe and take care of your self
Chapat ya maj
Kama auna Amira amavanila una
Nashukuru Sana Ni matamu nimejaribu kuyapika
kweli
👏👏👏👏👏❤❤❤❤😍
Baking powder sio lazima please nijibu nimesikiliza mala nne sion baking powder
Kwakweli ni ya kishua
😂🙏🙏🙏🙏
Baomba nsaidie dada jins ya kuyaweka mandaz yawe lain na yasiwe na ukungu kwa nje mana yakikaka hata siku 2 yanaweka hiyo hal
Labda unayafunika kwenye chombo kisichopitisha hewa kabila hayajapoa,yakiwa ya moyo funika na kitambaa tu,yakipoa sasa weka kwa chombo kisichopitisha hewa,na ugumu wa nje labda donge linakuwa umelikata bila kuhakikisha ni laini kwa juu,..kama sio ivo nisaidie kujua unapikaje na kutunza ili nijue tushauriane..asante
Unakandia maziwa ya barid??
Asante nimeyapenda
Kama huna vanilla my unatumia nini kukata harufu
Unadarasaa la kufundishaa watu
Hv siagi ndo blueband?
Tumia tu
Asanteee
Unaweza kukanda bila kutia mayai? Au mayai huchangia mahambri kua malaini? Please nijibu
Unaweza toa mayai,ni sawa
Naam.
🙏🙏🙏
Shukran
❤❤
jaman kama sina siag niwekee nn
blueband/au chochote cha kufanana na blueband/mafuta
@@kekiplus1andonlymm nina shida na we nitafute wasapp dada angu
No yk plz nahitaji kuongea n ww
Sorry,maziwa yabaridi au yamoto?hayatakuwa magumu ukikandia vyote baridi?
Mandaxi matamu
I tried today hope yatatoka vizuri nikiwa nayachoma its my first time 🥱😋🤣