@@elizabethkamwaro1425 Thank you. I'll try to do that. You can visit my English channel where the same recipes are in English. ruclips.net/video/FTUQWZC2x8w/видео.html Chapati English ruclips.net/video/53uIKsE3KTg/видео.html
Unaweza kuuliza Google vikombe vingapi ni kilo ngapi. Pengine utapata jibu. Miye kubadilisha vikombe kwenda kilo au kilo kuja vikombe siwezi sina ujuzi huo
Maandazi hasa asili yake ni hamira. Siku hizi ndo tunaweka baking powder. Kawaida ilikuwa baking powder inatumika kufanya half keki si Maandazi. Lakini ukipenda unaweza kuchanganya na hamira. Maandazi yanayowekwa baking powder tu ni kama half keki na kamwe hayavimbi na ndani yanakuwa mazito. Mi nimezoeya sanasana haya ya hamira
@@Mapishi_TVthanks for this response manake na mimi I had the same question after seeing other people wanaweka. I used machine kukanda, the dough wasn’t soft kivile. How long kuacha the dough iumuke? I used an hour
Maandazi asili yake hasa ni hamira na si baking powder. Lakini unaweza kuitumia ukiamua. Recipe ijayo nitapika Maandazi ya hamira na backing powder insha'Allah.
Sijambo. Ndiyo unaweza ila yatakuwa tofauti na ya hamira. Hii hapa recipe ya baking powder. Mayai si lazima kuweka ruclips.net/video/FM77L7MLhes/видео.html
Muzurii
@@naturelle1097 thank you
🎉🎉🎉napenda hii
Mashalllah tabarakllah 💕💕💕💕
Asante sana🙏
Good job ❤❤❤
@@MareMa-kb3iy Asante sana
Masha Allah twabaraka llah😙😙😙😙
@@Teddyauma-y6c Asante sana🙏
Mashaalh❤❤
Napenda Sana jamani ❤❤❤❤
Asante sana🙏. Ukipika tupe mrejesho
Masha Allah
@@rahmahasan32 🙏🙏❤️
Wow
Asante🙏
Nimenda kweli
Asante
Yummy👍😋🎉
@@meowzna thank you❤️❤️
Very clean mama,with gloves on.
Asante mpendwa♥️
Asante sana my tamuu😊
@@ellahjonas4881 ♥️♥️asante
Good stuff. Please translate into english language and teach us more ❤, especially chapati
@@elizabethkamwaro1425 Thank you. I'll try to do that. You can visit my English channel where the same recipes are in English. ruclips.net/video/FTUQWZC2x8w/видео.html
Chapati English ruclips.net/video/53uIKsE3KTg/видео.html
Yaan me sielewi kbs ukisema vikombe kadhaa
Naomba uniambie kwa kg
Unaweza kuuliza Google vikombe vingapi ni kilo ngapi. Pengine utapata jibu. Miye kubadilisha vikombe kwenda kilo au kilo kuja vikombe siwezi sina ujuzi huo
Masha Allah ❤❤❤ how about baking powder mbona hujawaeka nambie
Maandazi hasa asili yake ni hamira. Siku hizi ndo tunaweka baking powder. Kawaida ilikuwa baking powder inatumika kufanya half keki si Maandazi. Lakini ukipenda unaweza kuchanganya na hamira. Maandazi yanayowekwa baking powder tu ni kama half keki na kamwe hayavimbi na ndani yanakuwa mazito. Mi nimezoeya sanasana haya ya hamira
@@Mapishi_TVthanks for this response manake na mimi I had the same question after seeing other people wanaweka. I used machine kukanda, the dough wasn’t soft kivile. How long kuacha the dough iumuke? I used an hour
@@Amani715 hiyo saa moja ni sawa. Ila kama unakoishi kuna baridi mara nyingine unga huchelewa kuumuka unaweza kufika hata 2 hours.
Woooooooooow
Jaman mm Naomba kuuliza kwann mm nikipika hayo Mandazi yanakuwa na shimo ndan
Unasukuma sana. Andazi linakuwa flat kabla hujachoma
Na unaacha unga unaumuka sana@@Mapishi_TV
MashaAllah
❤️❤️
Hich kiung kinacho fanya maandaz kuw laini kinauzwaj
@@EstarKomba-k5l unamaanisha siagi? Sijui bei yake huko ulipo
❤️❤️❤️❤️
@@claratawete1568 🙏🙏❤️
Mimi napenda ya nyama
@@MareMa-kb3iy Hata mimi pia
Nimependa iyo fresh ninini
@@MwanahamisiIsmail-o2l hamira (yeast)
Yummy
Asante sana🙏
👍😆❤"
@@bas2823 🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤
Asante sana♥️♥️
Yeast
Naona ni Kama ukutumia baking powder. So you don’t have to use it?
Sikutumia. Maandazi ya Kiswahili hasa hupikwa na hamira tu bila baking powder.
@ Asante sana. Napenda hiyo sana nitaijaribu pia
Cjaona packing powder,ayo mandaz ayawekwi hyo chapa mandash?
Maandazi asili yake hasa ni hamira na si baking powder. Lakini unaweza kuitumia ukiamua. Recipe ijayo nitapika Maandazi ya hamira na backing powder insha'Allah.
Kama nakuwa sna siag ntaeka nn
Mafuta
Ni yeast kwa kingereza
yeast
Hujambo, naweza tumia baking powder badala ya hamira?
Sijambo. Ndiyo unaweza ila yatakuwa tofauti na ya hamira. Hii hapa recipe ya baking powder. Mayai si lazima kuweka ruclips.net/video/FM77L7MLhes/видео.html
@@Mapishi_TV ahsante
Mamy naeza ongeza mayai??😁😁
@@sylviaisutsa unaweza 1 au 2 my dear
@@Mapishi_TV thank you dear
MaashaAllah
🙏🙏
Maziwa ya Unga naeza tumia au
Ndiyo, unaweza kutumia maziwa ya unga
Jmn rudia kdg 5:52
Shika hicho kimstari chekundu kinachoonyesha muda kwenye video kirudishe nyuma hiyo sehemu itarudia
Hamira -yeast
Matamu
Nifundishe
Somo ndo hiyo video yenyewe
Hamira ni nn kwa kiingereza
Hamira ni yeast
Yeast
Yeast
Yeast
Yeast
Woooooooooow
Thank you♥️