Simulizi, mahojiano kuhusu gwiji wa soka Tanzania David Mwakalebela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024
  • SIMULIZI YA MWAKALEBELA: Isikie simulizi pamoja kuyatazama mahojiano maalumu kumhusu nyota wa zamani wa soka aliyeanzia Mwadui FC kisha akaenda kutamba na Pamba FC na Yanga SC, David John Mwakalebela.
    Nyota huyo ambaye pia alitamba na Timu ya Taifa ya Tanzania, kwa sasa anasumbuliwa na maradhi ambayo yameathiri uwezo wake wa kumbukumbu.
    Alifanya mahojiano haya na mtangazaji @MahmoudZubeiry wakati huo akiwa na afya njema.
    #SportsAM #Soka
  • СпортСпорт

Комментарии • 2

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 13 дней назад +2

    Pole sana Mwakalebela David, lakini kuna haja gani kuleta wagonjwa aina hiyo kwenye kipindi, lengo la azam ni nini au kumdhalilisha

    • @clementiddi5708
      @clementiddi5708 12 дней назад

      Aisee nimeshangaa kwa kweli. Ana Dementia brother wetu