Askofu Gwajima atoa ya moyoni kuhusu Mama Samia Suluhu | Atoa ushauri kwa serikali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 мар 2021
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Комментарии • 517

  • @timotheeciza1592
    @timotheeciza1592 3 года назад +4

    Tu me fortifie Frere Gwajima. Je suis pas Tanzanie suis burundais mais un burundais qui suivait de près les œuvre de notre Héros d afrique John Pomb Magufuli. Il etait un homme incroyable un Panafricaniste. Que le Seigneur exauce tes prières et que Maman Samia accomplisse ce que Magufuli a commence. Ninawapenda sana ndugu wa tanzania pigo hili msiba huyu sisi wote umedufikia. Poleni sa

  • @fannybuunda773
    @fannybuunda773 3 года назад +34

    Ninamushuru Mungu kwakututiya moyo baba nakutupa tumaini lakusonga mbele. Mimi si mu Tanzania lakini nilimepnda sana Magufuli baba ya wa nyonge

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 3 года назад +7

    Asante kwa kutufariji najua kunawatu awataki kusikiliza ukitupa mistar y mambo y siasa wanaumia mbona unaogea inawauma

  • @pamellahmark4822
    @pamellahmark4822 3 года назад +10

    MORE GRACE MAN OF GOD🔥🔥🔥🔥🔥❤

  • @masoyamanyasi8638
    @masoyamanyasi8638 3 года назад +2

    Bwana ni mwema hakika atatenda miujiza katika inch yetu ya Tanzania R,I,P. JPM. 🙏 asante askof gwajima Kwa uzalendo Wa kweli AMANI! 🕊🕊🕊🕊

  • @editornkonge7561
    @editornkonge7561 3 года назад +13

    From Kenya, may God bless Tz, May lord protect u

  • @angelinaomare3055
    @angelinaomare3055 3 года назад +8

    AMEN 🙏 ni vivyo hivyo kazi ya Magufuli Duniani imekwisha sasa nikusonga mbele na tuvipigane vita Vizuri....tumpe Support na LOVE❤️ MAMA .
    Habari Tamu sana ya Kufariji na Kip’s Matumaini...Asante sana YESU KRISTO NI YULE YULE ASIYEBADILIKA JANA LEO NA MILELE.

  • @costavalenci7699
    @costavalenci7699 3 года назад +18

    Amina baba nipo kenya nawaona vizuriii saana barikiwa mpaka ushangae

  • @bidayo1058
    @bidayo1058 3 года назад +13

    Kitaeleweka tu, hili taifa limewekwa na Mungu ili mataifa mengine wajifunze. Asante baba askofu kwa kulitia moyo taifa.

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 3 года назад +1

      Umeonaeee 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 3 года назад

      Mataifa yote ni ya Mungu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Hakuna taifa lisilo la Mungu usikashifu wengine kwasababu ya Magufuli

  • @nixonmaduhu3594
    @nixonmaduhu3594 3 года назад +5

    Bishop Dr. Gwajima unafaa sana kuwa makamu wa Rais na Mungu akalithibitishe neno hili.

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 года назад

      Yeah makamo wa rais anatakiwa kuwa mkali

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад

      Kama kawe mpaka sasa hatuoni reaction yoyote itakuwa makamu wa raisi

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад

      Kama kawe mpaka sasa hatuoni reaction yoyote itakuwa makamu wa raisi

  • @candydolly7726
    @candydolly7726 3 года назад

    Bishop Gwanjima is very very correct,i love this man of GOD?ANASEMANGA UKWELI HATA IWE NINI!!!

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 3 года назад +9

    Namshukur mungu ulichaguliwa n Rais pia ww mungu alikuwa n mpango kamili n we ivyo nyie shikaneni mikono viongoz sisi tuko nyuma yenu

  • @lindashadrack7470
    @lindashadrack7470 3 года назад +5

    Barikiwa sana mtumishi, watanzania mjichunge sana na hawa watu wanajifanya marafiki wanafiki sana, wanataka kuwapotosha na vibarakoa vyao, Mungu ailinde nchi nzuri ya Tanzania, muwe na msimamo kama baba yetu Magufuli..maana Mungu ameichangua Tanzania kuwa kama rescue ya watu duniani...our new president of Tanzania you're the Joshua of our generation, do not fear be courageous God is with you.

    • @yusuframadhan4744
      @yusuframadhan4744 3 года назад

      Amen ndugu! Ubarikiwe sana kwa maneno yako mazuri na yenye ujumbe mzuri kwakila mmoja wetu anaethamini maslahi ya nchi yetu Tanzania

  • @mwaumark4372
    @mwaumark4372 3 года назад +22

    Kusema kweli Gwajima umebarikiwa sana

    • @neemalambo9790
      @neemalambo9790 3 года назад +1

      Nampenda sana anajua kufariji na kutia moyo

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 3 года назад +1

      Ila asitudanganye tena kama anafufua watu

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 3 года назад

      @@machintangachibwena5922 Hahahaaa tushajua janja yao

    • @alisaid4380
      @alisaid4380 3 года назад

      Piya ana uweezo wa kufufua lakini sijuii kwanini hakufanya hivyo pls niuliziye broo

    • @mwaumark4372
      @mwaumark4372 3 года назад +1

      Je wakati Yesu alikua duniani alifufua kila mtu!!!!?.
      Only few were resurrected. So stop this nonsense of trying to undermine God's power

  • @evelynkunga5402
    @evelynkunga5402 3 года назад +4

    Holy Spirit speaking through you MOG, more grace so powerful

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 года назад +3

    Nakukubali xana Mzalendo mwenzangu 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @estasage5506
    @estasage5506 3 года назад +17

    I was waiting to hear from you Baba.

    • @edwardmsongelwa5455
      @edwardmsongelwa5455 3 года назад

      Kumbukeni huyu MAMA ALIFANYA KAZI KWA KARIBU. SANA NA JPM Sasa mengi wamekuwa wakiyafanya PAMOJA Sina Shaka Na Mama Samia huyo Ni JPM KWENYE MWILI WA MAMA bila Shaka MSI hadaike Na Urembo wake MAMA JPM YUPO KIUTENDAJI NA UFANISI MKUBWA KWANI MAMA YEYE NI MWEPESI KUONA KAMA MAMA TUSIWE NA SHAKA

    • @edwardmsongelwa5455
      @edwardmsongelwa5455 3 года назад

      Ni Kweli lakini nimepigwa Na butwaa kutokana na jemedari wetu kututoka hata hivyo bado tupo kwenye mikono Salama ya MAMA SAMIA kwani Ni mwanafunzi mzuri sana hata ukifatilia jinsi ALIVYO fika hapo alipo utaona kwamba huyu mama Ni Chuma cha Pua kama sio JPM mwenyewe Atafanikisha Kila unacho kifaham tusiwe Na Shaka kwani usitegemee Approach to be the same but you will see the movement

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 3 года назад +2

    Amina mtumishi kwa kumbariki Rais wetu Samia na kutupa faraja! Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai wa Magufuli apumzike kwa amani

  • @amissemwenetombwe3236
    @amissemwenetombwe3236 3 года назад +10

    Bwana Yesu asifiwe!!!

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga1642 3 года назад +1

    Ameeeeen Joshua.Samia Suluhu Hasani tupeleke nchi ya ahadi Mungu alipo tukusudia Mungu akupe Afya njema 🙏🙏

  • @erickdidas9088
    @erickdidas9088 3 года назад +8

    Nice preaching profit gwajima.

  • @petermkongo3079
    @petermkongo3079 3 года назад +11

    Unanibariki Sana mtumixhi natamani uwe Joshua wa badae

    • @gerardkeleba3218
      @gerardkeleba3218 3 года назад

      Tunatamani Joshua wasasa pia ajikite kuwatetea wanyonge piamwenye moyo wakuthubutu Kama magufuli

    • @japhethojiambo6449
      @japhethojiambo6449 3 года назад

      Nayo yatende vivyo hivyo katika jina la yesu

  • @salmamrembo4360
    @salmamrembo4360 3 года назад +11

    Nimekuelewa sana askofu viongozi wetu wanatakiwa wawe makini sana maana inaonekana vibaraka wa hao mabeberu tunao umu umu nchini inatakiwa tuzidishe sana kumuomba Mungu ili atushindie vita hii tuwaunge mkono viongozi wetu na wao km kunatokea tatizo lolote LA nchi wawaite viongozi wa dini ili tuliombee tatizo litaondoka kwa uwezo wa mungu watanzania tushikamane tuliombee taifa letu na Africa yetu

    • @jayzeem14
      @jayzeem14 3 года назад

      Dawa ni kusali na kuomba kwa Imani ili Mungu atuepushe na mabaya yote yanayopangwa na afui wetu wanaoonekana na wasioonekana! Kila mmoja akae kiroho. Tusamehe na kuwaachilia wote waliotuumiza.

  • @antoinetteuwanyiugira34
    @antoinetteuwanyiugira34 3 года назад

    God bless you watching from Salt Lake City ,Utah 🇺🇸 Amina❤️🙏🏽

  • @jescarwegoshola7231
    @jescarwegoshola7231 3 года назад +2

    Amen kubwa ,kamanda wa Yesu,💪
    Mungu wetu yuko hai tuko pamoja🙏

  • @eliakimchaiikobellah358
    @eliakimchaiikobellah358 3 года назад +5

    Ameen Askof
    Ila ulikuwa kimya Sana'a
    Mungu ni mwema

  • @meryololo5410
    @meryololo5410 3 года назад +9

    Asante baba tuungane kama wana wa MUNGU

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 3 года назад +1

    Hallelujah hallelujah Glory to God.Jehovah Nisi bendera yetu ya Ushindi

  • @edithambetsa5696
    @edithambetsa5696 3 года назад +5

    Good advice indeed.

  • @editornkonge7561
    @editornkonge7561 3 года назад +2

    Amen, they is hope , hallelujah hallelujah hallelujah ❤️

  • @plasinapius5421
    @plasinapius5421 3 года назад +6

    Ooh yes!am happy 4this and this will happen in the name ov Jesus

  • @journeywithjesus
    @journeywithjesus 3 года назад +7

    This man is anointed!!!!

  • @rhodaademba4451
    @rhodaademba4451 3 года назад +1

    Asante MUNGU MKUU kwaajili ya mtumishi wako.

  • @innoboy6768
    @innoboy6768 3 года назад

    Godbless you paster
    Tuangazie nuru aliyo kuwezesha Mungu kuiona,,maana kuna Watu
    hawana Uzalendo wa hofu ya Mungu
    ktk nafsi za

  • @user-ws2sg7un7z
    @user-ws2sg7un7z 3 года назад +6

    Amen daddy God bless u pastor

  • @donkorosso1302
    @donkorosso1302 3 года назад +2

    Ameeen So powefully surmon

  • @evabiyela8554
    @evabiyela8554 3 года назад +1

    Amen we believe in Jesus Christ name.

  • @blessedone5834
    @blessedone5834 3 года назад +1

    Your anointing is in another level, I'm blessed so much with this sermon,may Almighty God uplift you from glory to glory

  • @pastornongoli4388
    @pastornongoli4388 3 года назад +9

    Like this nchi ya BWANA YESU, nchi ya MUNGU

  • @gracemunyana7804
    @gracemunyana7804 3 года назад +1

    Amen tumesha fanya maombi kuusu mama samia Mungu wetu atamuongoza vzuri

  • @eradiushenry7766
    @eradiushenry7766 3 года назад +9

    Maneno ya madhabau tuliyangoja na tulitegemea maelekezo kutoka mbinguni we love you Daddy

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 3 года назад +2

    Asante sana mpakwa mafuta Haleluyah,Amina Amina..

  • @johnsimon1280
    @johnsimon1280 3 года назад +5

    Kweli kabisa mungu huwajuza watumishi habari ili kutujuza bwana wa majeshi akubariki bishop gwajima nimekuelewa

    • @baaliyanuun416
      @baaliyanuun416 3 года назад

      Ww unataka sadaka tu huna uwezo wakumsimamisha mtu wala kumlaza mtu MUNGU pekeee ndo anaejua maisha yetu sio ww na kelele zako hizo

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 3 года назад +2

    Siasa na dini ni vit tofauti usituletee usengeeee

  • @aiysharamdhan899
    @aiysharamdhan899 3 года назад +5

    Waaooo askofu mbunge umenena

  • @mordally
    @mordally 3 года назад

    Kwa hili mm nakupongeza sana Askofu Gwajima, utumishi unatakiwa hivi sio kuwatenganisha watu

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 3 года назад +6

    Inna lilah wainna lilah rajiun Jpm alale salama. Tuliobaki tumshukuru mungu kwa yote tusonge mbele watanzania amin

  • @makambatvshow
    @makambatvshow 3 года назад +2

    Burundi tunawasikiriza sana wapendwa wabwana Tanzania ibalikiwe sana mlitusaidia Na mpaka Sasa mnatu support mungu azidi kuwaongoza namuungane Kwa Vita hii hakika mtashinda Na Sisi tupo nyuma yenu

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 года назад +2

    Do not fight what you cannot change,,Gwajima anaweza sana sana..anaonaga mbali mapema sana.

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 3 года назад +2

    Asante baba Askof kwa maneno yako ya faraja. Tunakutegemea wewe baba kupitia kwa MMungu In Shaa Allah

  • @edinasosteness3182
    @edinasosteness3182 3 года назад +3

    Ahsante Mtumishi wa Mungu

  • @glorianshimanyi1545
    @glorianshimanyi1545 3 года назад

    Haleluya. Mtumishi umenena vema sana. Wakati wa Musa wetu umeishia hapa sasa tunaongozwa na Joshua yani Mh. Samia. Kweli Mungu amewasuka kila moja kwa namna yake. Tutafika tuendako kwa jina la Yesu. amen

  • @ausonjustinian5494
    @ausonjustinian5494 3 года назад +1

    Mtumishi wa Mungu unarofanya ni zuri kumwombea raisi. Ila sasa una maadui wengine wanaukua against na ww na wanajiita watumishi w Mungu. Hawataki kusamee wala kuwa na upendo wa Yesu. Ila Mungu yupo.

  • @joshuaemanuel2577
    @joshuaemanuel2577 3 года назад +8

    Ameni Baba mkono wa Mungu Uko juu yetu

  • @stevenmatheo7134
    @stevenmatheo7134 3 года назад +13

    Unatia moyo Baba

  • @mussamchena9595
    @mussamchena9595 3 года назад +7

    Amen

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 3 года назад +1

    Amina Amina tunayashika kwa Jina la YESU ALIYEHAI

  • @LRocks
    @LRocks 3 года назад +4

    Tafadhali msimame na mama na mumuunge mkono.

  • @zainabwickam7857
    @zainabwickam7857 3 года назад

    Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki ndugu kwa kuleta uwiano na undugu TZ

  • @aminalimu5150
    @aminalimu5150 3 года назад +1

    Amina amen Amen 🙏

  • @lucasharison2441
    @lucasharison2441 3 года назад

    Mungu akuangazie akuna shaka kwa hili usemalo mtumishi

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 3 года назад +1

    Amina mtumishi ubarikiwe

  • @jameshamistakadin5159
    @jameshamistakadin5159 3 года назад +1

    Mungu na akubariki kwa kutiamoyo taifa.

  • @Byeragordian3572
    @Byeragordian3572 3 года назад

    Spoken well man of God

  • @sherryshazala7123
    @sherryshazala7123 3 года назад +3

    AMEN ..AMEN

  • @obadiasanare8338
    @obadiasanare8338 3 года назад

    Ameizing message

  • @vicentndole3805
    @vicentndole3805 3 года назад

    Tumuenzi J.P. M kwa kuongeza muda zaidi wa kuchapa kazi zaidi.

  • @sadickjumaaismail1772
    @sadickjumaaismail1772 3 года назад

    Nakuelewa sana Mchungaji, neno lako na liwatie moyo na faraja TANZANIA

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 3 года назад +3

    Baba kwa kweli ww Ni faraja hafu nikiona we nahisi namwona magufuli barikiwa Sana baba

    • @neemanziku5403
      @neemanziku5403 3 года назад

      Amekufa na ametuahidi kwamba tusiogope korona ameniachia iman kubwa Sana siogop korona, ww na baba magufuli mmenifanya nisiogope korona asante

  • @naomichambo458
    @naomichambo458 3 года назад +4

    Gwajima wewe ni mtumishi wa Mungu

    • @ns9940
      @ns9940 3 года назад +1

      Askofu gwajima magufuli his pacemaker was hacked by lisu to switch his devise if you know his hospital data you can kill some one lisu is a person who killed by lisu and his friend

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      MTUMISHI WA KAWE.

  • @yusuphandrew9389
    @yusuphandrew9389 3 года назад +1

    Blessed 🙏

  • @emmamwakagile473
    @emmamwakagile473 3 года назад +1

    Thanks dady

  • @mwakisukuli2124
    @mwakisukuli2124 3 года назад

    Amen barikiwa sana Bishop

  • @edinasosteness3182
    @edinasosteness3182 3 года назад +1

    Amina baba Mungu akubariki

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 3 года назад +4

    Aleluyaaa. Babaa

  • @dikisonikisau5239
    @dikisonikisau5239 3 года назад +1

    Mungu akubariki mtumishi

  • @whitewolfmedia6761
    @whitewolfmedia6761 3 года назад +6

    Greaty

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 3 года назад

    Barikiwa Dr Bishop Ngwajima

  • @ntambalalubangila2774
    @ntambalalubangila2774 3 года назад

    Umeongea ya busara sana,una muono Kama wa kwangu nami ndivyo nilivyo hongera sana Mungu akubariki,

  • @paulomndeme4145
    @paulomndeme4145 3 года назад +5

    Ameeeen

  • @magrethpius8566
    @magrethpius8566 3 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @joelymairamurungu1138
    @joelymairamurungu1138 3 года назад +5

    Actually B shop you too much Daddy!!!😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌👍👍👍👍👍👊👊👊👏👏👏👏👏👏👏

  • @monicanelisha1299
    @monicanelisha1299 3 года назад +5

    AMEN

  • @barakanyagawa9257
    @barakanyagawa9257 3 года назад +9

    Tunanguvu katika Mungu, vita ni kubwa lakini Mungu ni mkubwa kuliko mambo yote. Tuko na Mungu.

    • @jelemiakalekezi7334
      @jelemiakalekezi7334 3 года назад

      Ningekuwa na mda wa kuongea na Gwajima ningemshauli asihubri siasa sana kwani hapo kunawengeni hawapendi siasa

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 года назад

      Siasa Ni sehemu yamaisha haiepukiki Samia Ni msimamizi wa ardhi hi tunayoikanyaga na hakuna ubaya kumuombea kiongozi

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 3 года назад +9

    AMENI

  • @ngoyatvonline1181
    @ngoyatvonline1181 3 года назад +1

    Safi Sana mchungaji gwajima

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 3 года назад +7

    Vita vipo kweli kweli

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 года назад +1

    Safi sana kaka mchungaji gwaj boys

  • @johncondrad6258
    @johncondrad6258 3 года назад

    Amina Mh Gwajima tunashukuru kwa maneno mazuri ya kututia Moyo na kutufariji hasa sisi wenye mawazo mengi Mara baada ya kuktutoka baba yetu Kipenzi Magufuli wetu

    • @binyamina8850
      @binyamina8850 3 года назад

      Gwajima anaweza kufufua watu, amfufue raisi

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@binyamina8850 HATA KUKU HAWEZI.

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 3 года назад

    Amina Amina hapa 🇺🇸 nimepata nguvu saana kukusikiliza asante saana mpakwa mafuta ....

  • @gracembaka5689
    @gracembaka5689 3 года назад

    Sasa mtumishi wa mungu ninaomba mungu akupe maono ya kugombea urais kwa uchaguzi ujao..

  • @apostlejeremiahmwasenga5291
    @apostlejeremiahmwasenga5291 3 года назад +2

    Powerful

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo 3 года назад

    Amen amen 🙏🏻🙏🏻.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @marympemba1829
    @marympemba1829 3 года назад

    Ubarikiwe mtumishi wa bwana

  • @betkyasio6848
    @betkyasio6848 3 года назад +3

    Mama mama mama huyo mama mama huyo mama huyo mamaaa

  • @calebjorry
    @calebjorry 3 года назад

    Yes Pastor ....

  • @PatronLulihoshiShangalume
    @PatronLulihoshiShangalume 3 года назад +4

    Mungu aibariki Afrika na Tanzania na jirani zake wote

  • @kenyagoldenlionacrobats8927
    @kenyagoldenlionacrobats8927 3 года назад

    Powerful words

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 года назад +1

    🙏JESUS ❤️

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 3 года назад +1

    Mungu niumbie moyo mpya kupitia mtumishi wako