Askofu Gwajima alipua moto tena | Atokeza mbele tena kwenye vita
HTML-код
- Опубликовано: 25 фев 2021
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
" Kama unatamani 2025 achukue urais gonga like hapo
😂😂😂😂😂😂Yn kama mm namkubali xana huyu mwamba ni Mzalendo kwelikweli💪💪💪💪
Huyu mbona nirais wa nchi yetu ya Tz ajae??hilo tumelithibitisha na ndivyo lilivyoooooooooooooooooo????
Nanii?
Ana elekea huko huko!
@@simontamba1285 gwajima
Nafurahia sana mtumishi wa Mungu anavoongea kwa vitendo muda wote! Barikiwa Sana Sana Sana. We love you!
Tuko pamoja mtumishi was mungu
Nakataa hofu ya Corona ishindwe ktk jina na yesu 🇹🇿🙏
Yaan amen!!! Askofu kweli ww ni askofu yaan BWANA YESU akutie nguvu sana, ahsante sana kwasababu ww una moyo wa ushujaa sana.
May the Lord Jesus Christ of Nazareth Bless you Man of God
Kwa mtaji huwo wa kumutegemea Mwenyezi Mungu bwana gwajima hapo sina swali hapo msaidieni mkuu wetu wa nchi ili shutuma zidi yake zipunguwe niwaombeni ndugu kwa hili tushikamane sote tuwe kitu kimoja tutashinda MUNGU NIMWEMA...AMIIIYN...!
Amen Asante Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwakweli nmebarikiwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kenyan... Watching and following from Doha... Umenikuwa wa ufunuo na kweli katika maisha yangu...
MUNGU AKUTIE NGUVU UENDELEE KUOKOA WATU WA MUNGU... MANENO YAKO YANA NGUVU... YANAMEA KWA MOYO WANGU.
ni mbunge wa kawe now
@mathias sielewi
@@mathiasmsese6128 bado ni MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI
@@mathiasmsese6128 Ni mbunge na Ni Bishop hapo Sasa ,akienda bungeni anapiga injili akija kanisa injili inaendelea. Go deeper papa, mpaka korona iyeyuke Kama samli
@@neemamasimba2981 amen
Emen baba hakika wew ni sauti ya Mungu nakataa Covid19 katika jina LA Yesu🙌🙌
Wengi kama wewe walijifanya wana imani kali wakaperish. Walikunywa sumu wakidhani hawatokufa, waliogelea majini wakidhani watatembea juu, wote wakafa
Na nyie extremists ndio mtairudisha nchi nyuma
Ameeeeeeeeen my Daddy Gwajima napokea mapafu yasiharibika kamwe Kwa jina la Yesu
Asante mtumishi maana mwenye haki wangu ataishi kwa imani
Gwajima safiii mungu Akubariki nikweli mie niko uku oman nakuambia mwanzoni atamimi nimeuguwa tukaangaika kwenda kumuona DAKITARI AKUONA UGONJWA NIWAMUDA MLEFU UGONJWA BC TU WALIKUWA AWAJAUGUA WAOGA KWELI TENA
Amena baba! Nakataa corona kwa Jina la Yesu.
Tina usimsikilize kila anaye litaja jina la Yesu kuna wengine wanalitaja mdomoni na sio moyoni
Amen. Ishi Tanzania kwa nguvu za Mungu. Hama corona kwa jina la Yesu, hofu ondoka Alleluya🇹🇿
Very good Gwajima!!!!Ubarikiwe sana
A true man of God,,, natamani huku kenya tungepata watumishi kama hawa
Ubarikiwe zaidi askofu. Mungu akupe kuishi sikunyingi ili ufundishe ulimwengu kuelewa
AMINA AMINA KUBWA🙏🙏🙏 MUNGU ANASEMA YEYE NDIO KILA KITU YEYE NI ALPHA NA OMEGA
ⁿⁿ
0000000000
Yesu ni mshindi
You are so right Bishop,
Sema tukombolewe tupate kupona.
Ameelaniwa amtumainiye mwanadamu amen
Maasikofu wanatumaini barakoa!!!!! Badala ya Muumba wetu. Wanadiliki hata kuilaumu serikali!!!! Waumini tukimbilie wapi?
@@edwardmizambwa237 ni kweli
Thank you Mtumishi kusimamia Neno si kama wajiitao viongozi wa dini wanaokana Neno la Mungu. Mungu atatupigania sisi Mabaki yake. Tangaza ufalme tupo pamoja nawe.
Mchungaji Godda
Preach jemadari was Yesu Kristo asante can't have nami naafiki nawe Alleluia kweli kabisa🙏🇬🇧
Mtumishi naomba tuwasiliane wasap +255767204792
Amen mtumishi hakika wewe ni CHUMA, Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu💪💪💪
Nakataa
Nataa kwa jina la Yesu
Hallelujah. Amen Like mount Zion so we are, we shall not be moved.
Barikiwa sana baba Askofu, nimebarikiwa na ujumbe wako, tangu nianze kufuata maagizo yako na kufunga na kuomba hapa kwetu Bungoma Magharibi nchini Kenya korona haijaua watu kwa maeneo yetu. Nilizunguka eneo hili na ukuta wa moto.
Asante mtumishi hapo umeinua imani yangu maana tumechoshwa n.a. watu wasiyomwamini Mungu ubarikiwe
Sauti hiyo inatosha kabsa, haina haja ya kuongeza baba, imefikaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisa mm huwa ananitia nguvu sana Mtumishi
Mwenyezi Mungu atatuvusha katika hili janga. Asante kwa kutokomeza woga kwa Watanzania Askofu. Hakuna kinachomshinda Johova. Tuzidi kumuomba Baba aliye hai na kumtegemea. Alleluya
Izo bangi tu? Kwamba nawewe ni mchungaji sasa apo ndo umehubili nn
Gwajima wewe usituchanganye wewe ni waupande gan serkali am upande wa Mungu
Ameeen ...sitakufa wala familia yangu uzao wangu na watu waTaifa hatutakufa na co19
Imeandikwa mji usipolindwa na BWANA alindae Akesha BURE ( Ameen mtumishi wa Mungu)
Nimekubali ana nawe waondoe uvivu Hao Wana kawe God motivational Asikofu AMEN
Tatizo anategemea kisicho tegemeka tegemeeni Elohim Yahuwah alietegemewa na Ibrahim isaka na yakobo mulungu wa watanzania hataweza hilo
Mungu wa watz ndie MUNGU wa Isaka na yupo hai mpaka leo. Upooooo
@@kahungu1able MUNGU wetu ndie MUNGU wa waTZ. Upooooooo
@@edinanchimbi702 Nili Manisha kwamba vijana waondoe uvivu wamsikilize Asikofu Ni Maono mazuri Kwa Maisha Yao Good motivational Ni uhamashishaji Bora kwao
@@edwardmsongelwa5455 sasa nimeelewa. Ubariwe
Kanyaga twende babaaaa.......mtumishi wa Mungu.
Amen mtumishi wa Mungu aliye hai, sintakufa nakorona Mimi pamoja na familia yangu na ndugu zangu kwajina la Yesu,sintaogopa Yesu ameshinda mauti hata milele
MUNGU akubaliki sana Tundulisu ndiye anawatisha wa Tanzania kwa hasira yake yakijinga
Hill tundu ni mbwa koko na lilegee.
Ni kweli kabisaa Baba hii Mitandao hii ndiio balaaa ya kila kitu . Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike Milele . Yaani ni Mungu pekee ndio tegemeo letu. Tumeshaumwa wote basi tu haya Mahofu ndio balaa. Siogopi kwa Jina la Yesu.
Be blessed pastor. God still loves Tanzania
Askofu Gwajima nisamehe nilikuwa nikuelewagi ila kwa hili Umenitia Imani na MUNGU Akupe Afya njema 🙏
Imani tunayo, ila tunati tu sheria. Kama vile Kristu anasema yakaisari mupe kaisari. Ila tuombeyane. Safari ni ngumu. Pia korona hakuna ila tukuze imani. Kwa sababu hari ya munyama inatisha. Fuguweni masho. Na Mungu wa rahisi Magufuli apewe sifa. Tena kubukeni kumuombea Magufuli Mungu akulinde sana.
Asante mtumishi wa Mungu kwa kukaza imani, nimepata jambo, tumtumaini na kumwamini Mungu kuwa anaweza.
Amina
Only those who are in true spirit of God can understand what this man is saying.
Natal an in wekeyutubu
Ameni
Amen mtumishi
Ameen
@@charlesmapunda5905 ni vizur kuwa mhumili
Ubarikiwe sana Askofu kwa kweli umenisaidia sana
Umenipea nguvu sana.. watching from Kenya...
Mm. Mwiislam. Ila kweri timuamini Mungu pia tuache kufanya zambi Mungu atatutolea maladhi yoote lnshallah
Hapo nimekupenda bure,unasapoti vitu unavyoona vinakusaaidia
@@sarahmsangi7243 hakuna ujanja nikuruditu kwa Allah yy ndiye katuletea malazi na atayatoa lnshallah
Safii Dr nafatilia maubiri yako mimi islam pia mpiga kura wako
Dunia inahitaji watumishi wa Mungu Kama huyu...haleluya
Siyo kina Bagonza
Amtumaniae mwanadamu amelaani roho ya uogaah Hamaaa kwa jina la yesu
Asante baba sema napenda kazi yako
Tumeirudisha corona
kwa la Yesu.⚓👩👦🙏
Asante sana mtumishi wa mungu kwa msimamo wa imani ulio nayo
sauti ya mtumishi wa mungu
AMEN AMEN AMEN this is a powerful message
Real
Preach it ask if I wangu ni kweli kabisa ongea pasua kabisa🙏🙏🇬🇧
Amen inaeleweka man of God (methali :20:5) God blss you.
Mungu mlinde mtumishi na rais wetu magufuli.
Mungu akutie nguvu mtumish bishop kwa ujumbe mzuri
Ameeeen, barikiwa mtumish wa Mungu
Baadhi ya Maaskofu wenzako hawakuelewi!!!! Sijui ufanyeji Askofu wangu. Kwa mazingira haya tumaini liko kwa MUNGU TU.
Amen Mungu ndie kimbilio na nguvu na msaada.
Yeeeeeeeeees !! Hongera sana .
Amen Baba sitakufa na corn kwa Jina la Yesu
Haya mahubiri yanatufaa sana hasa kwa wakati huuu
Asante mchungaji upo vizuri sana!!!!
Amina,watumishi wote wangekuwa na Imani Hii.Tanzania tungepona
That's my only man of God. I so love this vessel of God almighty.
Eimeeeen Bishop God is with us as a nation
No Fear No Corona
Amen semasema Baba mtumishi
Wooo! Woow! This is right and fabulous
Amina Mchungaji. ww bingwa!!
Ameeeeeen!!Yesu atasmama.
Sauti inatosha mtumishi upo sahihi ujasiri useme kwa vitendo kwa nn? Hofu? Mungu yupi mabaya yote yarudi kwao waliyopanga na kutufanya watumwa kwa magonjwa na mengine yaliyotarajiwa na yamegeuka yawe yooooo!!!!!
Massege saa ufufu na uzima uwa sinaninjenga sana
Umenena HAKIKA 🙏🙏🙏
Nakataa kwa jina la YESU Ameeen
Haleluyah Haleluyah Haleluyah Utukufu Sifa Heshima na Adhama anastahili Mungu Mwenyeenzi corona bye bye hakuna Corona nakataa kwa Jina LA YESU Mungu Baba katushindia asante Baba na Mungu wetu kwa Kutushindia
Hongera babà.
Huyu ni askofu wa kweli tofauti na wale
Congratulation my brother wewe ni shujaa
Amina mchungaji Mungu atuwezeshe kumtegemea na hofu ishindwe kwa Jina la Yesu
Ameeeen jina la bwana lihimidiwe daima
Tupo pamoja tunaomtegea BWANA JEHOVAH
Hakika nimetiwa nguvu na maneno ya mtumishi wa MUNGU.
TANZANIA TUMEPENDELEWA NA TUNA VIONGOZI WENYE IMANI NA TANZANIA ITASIMAMA KWA JINA PEKEE LA YESU KRISTO WA NAZARETH
Mungu wetu hapendi wajinga kama huyu mch
Moto juu ya Moto gwajima tuko nyuma yako
Ameen kwajina la yesu hatupatwi na corona
MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KAMANDA WA YESU KRISTO SHETANI AMEONA WEWE NI RUNGU LA BWANA NDO MAANA AKAONA AKUZAWADIE UBUNGE WEWE ULITAKIWA UKAE KWENYE NAFASI YAKO YA KUMTUMIKIA MUNGU TU SIYO BWEBWE ZINGINE.
Hongera sana .
Barakoa sivaagi
Ameen baba Askofu gwajima Mungu wetu wambinguni akulinde
WAWOOOOooooooooooooo 😁😁👏😁👏 Apigweeeeeeee! Corona Rudi ulikotokaaaaaaaaaaa!!
Haleeeeeelujah
Siogopi kwa jina la YESU Ameeeeeen
AMINAAAA
Ameeeeeen 🙏
Barikiwa mtuele wa MUNGU
👊👊👊👊kula tano baba ss huku ulaya tunavaatu kufata sheria ila tunamsimamo kama huu ndani mwetu maana aliendani yeti ni mkuu kuliko covid hallelujah!
Am greatly aspired
AMEN 🙏🏽
Amen
Tuombee taifa la Tanzania. Mungu awafariji mioyo kwaajili ya kifo cha Raisi wa nguvu sana Magufuli.
Mimi mkenya nilimpenda sana sana
Asanteee japo katuacha mapema sanaaa 😭😭😭😭😭
Yes very true man of God "they might kill the leader but they will kill his vision" Magufuli vision will leave on
PLOUD of you dady🙏🏽🇹🇿🇹🇿
Yeah, you right man of God