Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
Sema ni muhimu sana mjitahidi kutuwekea updates nyingi hasa hapa youtube hasa kwa sisi tuliyopo mbali hili huduma ya neno la Mungu itufikie kwa wakati ni muhimu sana. imagine tunakaa wiki nzima hadi wiki mbili atupati neno la uzima dah fanyieni kazi hili na MUNGU atawabariki masomo yaje kwa wakati yan bandika bandua tuzidi kujifunza. MUNGU AWABARIKI.
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo
Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
Am really blessed MUNGU akuzidishe pastor
Sema ni muhimu sana mjitahidi kutuwekea updates nyingi hasa hapa youtube hasa kwa sisi tuliyopo mbali hili huduma ya neno la Mungu itufikie kwa wakati ni muhimu sana. imagine tunakaa wiki nzima hadi wiki mbili atupati neno la uzima dah fanyieni kazi hili na MUNGU atawabariki masomo yaje kwa wakati yan bandika bandua tuzidi kujifunza. MUNGU AWABARIKI.
Nabalikiwa na Neno la Mtumishi napenda sana mifano yake
AMINA MUNGU Katika Jina la YESU Kristo wa Nazareth alie hai NENO LA MUNGU Li hai tena lina Nguvu
God bless man of God
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. Mungu nirehemu nimepata ufahamu sasa ntaanza upya una kusudi namm kunipa somo hili. ❤
My pastor my Teacher hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu na nakupenda umenisaidia mengi kwa mafundisho yako unayoyatoa.
Wow...manifestation of the Power through the Word of God. GLORY...
Simple but powerful, may God give you more pastor.
Amina hallelujah 🙌🙏
Mungu wa Israeli.
What a powerful sermon
Powerful man of God thank you 🙏 my Lord Jesus 🙏
Amen mungu nitie ngufu wakati niko jikone
Ameeeeeen. Toka Congo drc
Ameen, hili neno ni langu..
Nimebalikiwa amen
Amen napokea ni langu
Nabarikiwa sana na neno lako
Asante sana Mungu akubariki
Nimepokea kitu cha ziada Sana barikiwa Sana
Neno la MUNGU ❤❤❤
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo
Amen
Powerful
Amen, hakika mtumishi Sanbella ni mwalimu wa neno la MUNGU. MUNGU akubariki baba
Umefundisha vizuri kuhusu meditation lakini hauja rejea kwenye biblia kuhusu iyo meditation.