KUPAMBANUA ROHO(NDOTO) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
    #sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist

Комментарии • 72

  • @KoletaMab
    @KoletaMab 3 месяца назад

    Ubalikiwe sana mtumishi wamungu

  • @RozinaMollen
    @RozinaMollen 4 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu nabarikiwa sana

  • @edithsangai4779
    @edithsangai4779 Год назад +8

    Powerful message💪 Wakenya tunakupenda sana!

  • @niyonkurufreddy1984
    @niyonkurufreddy1984 Год назад +6

    Pastor Amen tena congratulation umepunguka sana

  • @ruthmutiso4772
    @ruthmutiso4772 Год назад +5

    Asante kwa kutufafanulia hili jambo moja kwa moja...nimekuelewa visafi kabisa..Mungu akubariki

  • @naomiemasoka
    @naomiemasoka Год назад +2

    Barikiwa mno mtumishi wa Mungu zaidi upewe maono ya kutufunulia

  • @mercywambua3505
    @mercywambua3505 Год назад +2

    Looking forward for the subsequent teachings . Listening in from Kenya

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Год назад +3

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @beatricefuraha6471
    @beatricefuraha6471 Год назад

    Ni mebariwa sana🙏🙏

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 Год назад

    Naomba Mutumishi wa mungu uniombee Maan hiyo kusahau ndo kwangu imekuwa zaidi sana at hua nakosa amani🙏🙏🙏

  • @beatricefuraha6471
    @beatricefuraha6471 Год назад

    Amen, barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @paulmwangi294
    @paulmwangi294 Год назад +1

    Be blessed servant of Jehovah.

  • @favoureddaugher4596
    @favoureddaugher4596 Год назад

    Amen 🙌🙌 barikiwa mchungaji

  • @pamelamabeyo3476
    @pamelamabeyo3476 11 месяцев назад

    This is powerful

  • @geofreykangaho1149
    @geofreykangaho1149 Год назад

    Glory be to God🙏🤲

  • @AnnaMbeya
    @AnnaMbeya Год назад

    Amen

  • @mercywambua3505
    @mercywambua3505 Год назад

    Thank you man of God for the great insight

  • @NemaaBayu
    @NemaaBayu Год назад

    Ameen

  • @yunispatrick8613
    @yunispatrick8613 Год назад +2

    Glory be to God 🙏🙏

  • @jedidawambui6817
    @jedidawambui6817 Год назад

    Amen 🙏🙏

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 Год назад +1

    Amen and Amen

  • @madamleticia94
    @madamleticia94 Год назад

    Ameeen 🎉🎉🎉

  • @narggdhdv765
    @narggdhdv765 Год назад

    Amen mchungaji mungu akubariki.akulinde na kila adui maana tunapata kujuwa siri za mungu na siri za adui.

  • @alphoncekahindi5383
    @alphoncekahindi5383 Год назад +2

    Amen be blessed man of God for this revelation

  • @denisemafebo7871
    @denisemafebo7871 Год назад

    Amen Amen

  • @gbi380
    @gbi380 Год назад

    Shalom mtumishi wa Bwana, nitajuaje kuwa ndoto n ya wakati ujao?

  • @nsenguwerarachel2805
    @nsenguwerarachel2805 Год назад

    Hata mimi Naitaji number ya huyu mchungaji hii inanitokea sana naota ilanakosa fumbuzi ya hizo ndoto

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Год назад +15

    Leo nimekusikiliza maana nilikuaga nimeacha kukusikiliza kwa sababu mnafundisha vizuri mnaweka no za sm lkn mtu akituma sms haijibiwi akipiga sm haipokelewi kwakweli inaumiza

  • @ivomillinga6714
    @ivomillinga6714 Год назад

    Mungu akubariki sana

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад +1

    ✍️🙏

  • @Jenvier-jz2lg
    @Jenvier-jz2lg Год назад

    Shalom, nitumie namba ya huyu mchungaji ni Léonard tka Drc Congo

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Год назад

    Ameni

  • @joycekaphevemba7215
    @joycekaphevemba7215 Год назад +1

    Mchunganji mimi huwa naumwa na miguu kwa vizigino na nimekua naombea minguu yangu kila wakati , sasa nikaota kuna mtu anefungua miguu yangu hapa kwa miguu na kunitoa vitu kama kamasi lakini alinifungua hapa chini ya vidole za miguu ila siumwi hapa sehemu ya chini ya vidole za mguu nila kwa vizigino , sasa mimi najiuliza inamaanisha ninii?

  • @samsonabel2031
    @samsonabel2031 Год назад +1

    Pale kwenye namba, kulikua na namba 14 ambayo imegawanyika kwa mbili(kundi A na kundi B) yenye namba 7, ambayo yale makundi pia yamemaanisha namba mbili. Na naona kwenye tafsiri, ilimsaidia Yusufu kujua nimiezi au miaka au siku, kwa maana mwaka unagawika kwa 6 na sio saba, so saba ilimuongoza kujua miaka, na wanyama wale hawakua ndama so walioneka kua ni wenye zaidi ya mwaka mmoja .
    Ulipofundisha kwenye issue ya Wanyama, umesema tuone na mahusiano yetu na wanyama.. na tabia zao.
    Kama falao angeona kuku, kuna uwezekano tafsiri ingebadilika kabisa

  • @RebekaMpaki-k4o
    @RebekaMpaki-k4o Год назад

    Mbona hutulii unatembeatembea

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    😢

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 6 месяцев назад

    Hivi kwa nini wapiga vinanda huwa hawatulii kwenye kipindi cha Neno hawana kabisa utulivu kabisa wa kusikia yaani wanakuwa bize sana kupiga vyombo jamani kuweni watulivu sana muda wa kusikia Neno la Mungu

  • @josephmukhwanawilliam9487
    @josephmukhwanawilliam9487 2 месяца назад

    Lazima uwe na Eli wako????? Kweli?

  • @lucykiende-hj4ny
    @lucykiende-hj4ny Год назад

    Me sikumbukangi ndoto

  • @RecholPhilemon
    @RecholPhilemon 6 месяцев назад

    Unapoota ndoto upo shule maana yake unarudishwa nyuma

  • @happynessisack7918
    @happynessisack7918 Год назад

    Mtumishi mm nimeota natapika mavi nini maana yake

  • @rosemwanzi883
    @rosemwanzi883 Год назад

    0

  • @Jastus100
    @Jastus100 Год назад

    Naota Nipo shule mara kwa mara Sijui hiyo ndoto ina maana gani ? Na nilimaliza kitambo

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Год назад

      Maana yake ni roho ya kuchelewa/kukwamishwa,kila utakachofanya hakifanikiwi(Spirit of delay)

    • @gfydfdf8869
      @gfydfdf8869 Год назад

      Barikiwa mtumishi wa Mungu asante kwa somo hili lakuhusu ndoto, Roho mtakatafu,asidi kukupaka mafuta .

    • @dicksonkarani7217
      @dicksonkarani7217 Год назад

      Kurudishwa nyuma kimaisha au kiroho

    • @anithasanga6015
      @anithasanga6015 Год назад

      Ndugu yangu hiyo ndoto ni mbaya

    • @tabby6064
      @tabby6064 Год назад

      Justus,,ndoto hii watu huitafsiri kua ni delay but mm Mungu alinifunza kuhs hii ndoto kwa upana.ukijiona shule saa nyngne Mungu anajaribu kuattract attention yko ujifunze mambo fulani anayotaka uyafahamu,saa zingine kazi unayofanya pia kwenye ndoto inaweza kuja km uko shule,saa zingine Hii ndoto humaanisha umekaa mahali pamoja siku nyingi kwahio niwakat uamke usonge mbele,pia humaanisha km una maono ya kurudi shule basi uchukue hatua yakuenda shule ili Mungu akuinue.

  • @AnnaKamili-bp1yw
    @AnnaKamili-bp1yw Год назад

    Ĺp

  • @RaheliEmmanuel-b3u
    @RaheliEmmanuel-b3u 8 месяцев назад

    Some one to share number for sunbella to me i have sensitive issues

  • @KoletaMab
    @KoletaMab 3 месяца назад

    Ubalikiwe sana mtumishi wamungu

  • @JKGJICHOMAKINIONLINE
    @JKGJICHOMAKINIONLINE Год назад

    Ubarikiwe mtumishi

  • @charlesmarijani6806
    @charlesmarijani6806 Год назад

    Amen

  • @missAdeline-xr8bf
    @missAdeline-xr8bf Год назад

    Amen 🙏🙌

  • @KoletaMab
    @KoletaMab 3 месяца назад

    Ubalikiwe sana mtumishi wamungu

  • @KoletaMab
    @KoletaMab 3 месяца назад

    Ubalikiwe sana mtumishi wamungu

  • @rehemakiteu
    @rehemakiteu Год назад

    Amen

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 Год назад

    Amen