KUPAMBANUA ROHO(NDOTO) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Ubalikiwe sana mtumishi wamungu
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu nabarikiwa sana
Powerful message💪 Wakenya tunakupenda sana!
Pastor Amen tena congratulation umepunguka sana
ameen hongera yake kapungua vizuri sana
Asante kwa kutufafanulia hili jambo moja kwa moja...nimekuelewa visafi kabisa..Mungu akubariki
Barikiwa mno mtumishi wa Mungu zaidi upewe maono ya kutufunulia
Looking forward for the subsequent teachings . Listening in from Kenya
Amen mtumishi barikiwa sana
Ni mebariwa sana🙏🙏
Naomba Mutumishi wa mungu uniombee Maan hiyo kusahau ndo kwangu imekuwa zaidi sana at hua nakosa amani🙏🙏🙏
Amen, barikiwa mtumishi wa Mungu
Be blessed servant of Jehovah.
Amen 🙌🙌 barikiwa mchungaji
This is powerful
Glory be to God🙏🤲
Amen
Thank you man of God for the great insight
Ameen
Glory be to God 🙏🙏
Amen 🙏🙏
Amen and Amen
Ameeen 🎉🎉🎉
Amen mchungaji mungu akubariki.akulinde na kila adui maana tunapata kujuwa siri za mungu na siri za adui.
Amen be blessed man of God for this revelation
Amen Amen
Shalom mtumishi wa Bwana, nitajuaje kuwa ndoto n ya wakati ujao?
Hata mimi Naitaji number ya huyu mchungaji hii inanitokea sana naota ilanakosa fumbuzi ya hizo ndoto
Leo nimekusikiliza maana nilikuaga nimeacha kukusikiliza kwa sababu mnafundisha vizuri mnaweka no za sm lkn mtu akituma sms haijibiwi akipiga sm haipokelewi kwakweli inaumiza
😂😂 kwaiyo ulizira au
@@happynesslaurance6448 nilifanya nilichoona kina stahili
Kaka Amina sana
😂😂
Amen❤
Mungu akubariki sana
✍️🙏
Shalom, nitumie namba ya huyu mchungaji ni Léonard tka Drc Congo
Ameni
Mchunganji mimi huwa naumwa na miguu kwa vizigino na nimekua naombea minguu yangu kila wakati , sasa nikaota kuna mtu anefungua miguu yangu hapa kwa miguu na kunitoa vitu kama kamasi lakini alinifungua hapa chini ya vidole za miguu ila siumwi hapa sehemu ya chini ya vidole za mguu nila kwa vizigino , sasa mimi najiuliza inamaanisha ninii?
Pale kwenye namba, kulikua na namba 14 ambayo imegawanyika kwa mbili(kundi A na kundi B) yenye namba 7, ambayo yale makundi pia yamemaanisha namba mbili. Na naona kwenye tafsiri, ilimsaidia Yusufu kujua nimiezi au miaka au siku, kwa maana mwaka unagawika kwa 6 na sio saba, so saba ilimuongoza kujua miaka, na wanyama wale hawakua ndama so walioneka kua ni wenye zaidi ya mwaka mmoja .
Ulipofundisha kwenye issue ya Wanyama, umesema tuone na mahusiano yetu na wanyama.. na tabia zao.
Kama falao angeona kuku, kuna uwezekano tafsiri ingebadilika kabisa
Mbona hutulii unatembeatembea
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
😢
Hivi kwa nini wapiga vinanda huwa hawatulii kwenye kipindi cha Neno hawana kabisa utulivu kabisa wa kusikia yaani wanakuwa bize sana kupiga vyombo jamani kuweni watulivu sana muda wa kusikia Neno la Mungu
Lazima uwe na Eli wako????? Kweli?
Me sikumbukangi ndoto
Unapoota ndoto upo shule maana yake unarudishwa nyuma
Mtumishi mm nimeota natapika mavi nini maana yake
0
Naota Nipo shule mara kwa mara Sijui hiyo ndoto ina maana gani ? Na nilimaliza kitambo
Maana yake ni roho ya kuchelewa/kukwamishwa,kila utakachofanya hakifanikiwi(Spirit of delay)
Barikiwa mtumishi wa Mungu asante kwa somo hili lakuhusu ndoto, Roho mtakatafu,asidi kukupaka mafuta .
Kurudishwa nyuma kimaisha au kiroho
Ndugu yangu hiyo ndoto ni mbaya
Justus,,ndoto hii watu huitafsiri kua ni delay but mm Mungu alinifunza kuhs hii ndoto kwa upana.ukijiona shule saa nyngne Mungu anajaribu kuattract attention yko ujifunze mambo fulani anayotaka uyafahamu,saa zingine kazi unayofanya pia kwenye ndoto inaweza kuja km uko shule,saa zingine Hii ndoto humaanisha umekaa mahali pamoja siku nyingi kwahio niwakat uamke usonge mbele,pia humaanisha km una maono ya kurudi shule basi uchukue hatua yakuenda shule ili Mungu akuinue.
Ĺp
Some one to share number for sunbella to me i have sensitive issues
Ubalikiwe sana mtumishi wamungu
Ubarikiwe mtumishi
Amen
Amen 🙏🙌
Ubalikiwe sana mtumishi wamungu
Ubalikiwe sana mtumishi wamungu
Amen
Amen