Mohamed Issa alia na udalali kwenye dola, Mwigulu amtuliza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июн 2024
  • Mbunge wa Konde, Mohamed Said Issa amehoji udalali kwenye dola jambo ambalo limekuwa likileta madaraja kwa wafanyabiashara kwa wegine (wajanja) kupata fedha kwaajili ya kuagiza bidhaa nnje ya nchi huku wengine wakizipata kwenye mazingira magumu na bei ghali.
    Hayo yamejiri wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya fedha kwa mwaka 2024/25 ambapo akijibu hoja hiyo Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu nchemba amesema uwiano wa dola unakosekana kutokana na miradi mikubwa inayotekelezwa kwa pamoja.
    Mwigulu ameeleza kuwa kwenye Bajeti kuu ya Serikali inayotarajiwa kusomwa Alhamisi ya Juni 13, 2024 atakuja na suluhu ya kukabiliana na changamoto ya upungufu wa fedha fedha hizo.

Комментарии • 7

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 Месяц назад

    Cha kwanza kabisa acheni anasa, kuagiza v8 stop kwa ajiri ya watanzania

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Месяц назад

    Huyu Mwigoha ataua Tanzania kwa ujinga. Hafai.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Месяц назад

    Yani hii nchi suluhisho tubadili chama kingine tuone itakuaje

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Месяц назад

    Magufuli alijenga nakolona ipo

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Месяц назад

    Kuna uhusiano gani kati ya ayasemayo mbunge wa Zanzibar na uzalendo, au kumtia nguvu mama yake?
    Juu ya kukosekana dola ni uji mtupu ayasemayo hata anayejua basics za uchumi hasemi. Yaani dola haitapatikana hadi miradi yake mikubwa imalizike?

    • @PhilipoMwita-wc1ku
      @PhilipoMwita-wc1ku Месяц назад

      Kwakweli inasikitisha Wala hajajibu chochote wanajua ujinga wanaoufanya

  • @AMOSSILYVESTER
    @AMOSSILYVESTER Месяц назад

    Nikeeli ukiweka pesa bank inakuwa Mara uhojiwe T R A