RAIS WA YANGA ENG HERSI AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA SAKATA LA MAGOMA, AJIBU HUKUMU YA MAHAKAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 окт 2024
  • RAIS WA YANGA ENG HERSI AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA SAKATA LA MAGOMA, AJIBU HUKUMU YA MAHAKAMA

Комментарии • 16

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 2 месяца назад +1

    Yanga bingwa adi 230🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 2 месяца назад

    Nadhani huyo mzee akapimwe akili hapo pana stofahamu kuivuruga yanga ila watashindw tu

  • @AbdulazizYope
    @AbdulazizYope 2 месяца назад

    Apa kuna kitu apa tunaomba mahakama kuwafatilia yanga na takukuru nayo ifanye kaz pia kufatilia kinacholalamikiwa

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 2 месяца назад

    Naona yanga pameanza kuchangamka hahaha

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 2 месяца назад

    Mahakama ipo sahihi

  • @MorosKatunzi
    @MorosKatunzi 2 месяца назад

    Mimi labda kwa sababu sijasoma hivi kesi inafunguliwa inasikilizwa zaida ya Mara 1 ofisi za yanga hazikuwa na taarifa? Je mahakama haikupokea Katiba ya yanga kujua uongozi wa yanga?

  • @LucyDaniel-s3k
    @LucyDaniel-s3k 2 месяца назад

    Njaa itamuu huyo mzee

  • @KeemTitanium
    @KeemTitanium 2 месяца назад

    Kuna kikundi hapa kinagushiii/kiligushi either viongozi wa yanga....au mahakama.....kama mwananchi changanya na akili yako

  • @MorosKatunzi
    @MorosKatunzi 2 месяца назад

    Abeid ni Nani ndani ya yanga

  • @MasaligaMaduhu-wl8sr
    @MasaligaMaduhu-wl8sr 2 месяца назад

    Utoporoo hoyeeeeeeeee

  • @MorosKatunzi
    @MorosKatunzi 2 месяца назад

    Hapana Kuna kitu hapa

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 2 месяца назад

    Kwan Mahakama imesemaje ? C mkate rufaa hiyo conference haiwez kubadili maamuz ya mahakama.

  • @edwardkipenye9965
    @edwardkipenye9965 2 месяца назад

    Inamana kwa maelezo yenu mahakama haipo makini au

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 месяца назад

      Wanajichanganya acha waendelee kudanganya umma 😂😂😂😂

  • @zulfafengu3783
    @zulfafengu3783 2 месяца назад

    Ondoka atukutak el said