MWANASHERIA wa YANGA AFAFANUA UKWELI RAIS HERSI KUNG'OLEWA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 272

  • @patrickfulano5282
    @patrickfulano5282 Месяц назад +4

    Big up My brother Hon. Patrick Advocate of the Champions

  • @abedihussenikhalfan4007
    @abedihussenikhalfan4007 Месяц назад +9

    Huyuuu mzeeee ananjaaaa sanaaa fanya kazi mzeeee uza ata kahawaaa

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 Месяц назад

    Team magoma - tukutane kwenye like apaaa. 👇

  • @muunganopetermtemi1535
    @muunganopetermtemi1535 Месяц назад +3

    Jamani yanga ilikuwa yabakili sasa imekuwa yanga imara watu wanaanza chocho chocho lengo kuturudisha nyuma,jamani tusikubari hali hiyo iendelee,

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 Месяц назад +9

    Nimegundua hata mimi nawezakuwa hakiku jamani... mnikumbuke!

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Месяц назад +9

    Juz mlicheka ya mangungu leo kwenu ama kweli mwenzio akinyolewa zako tia maji leo kwenu chekeni xaxa

  • @ZainulKiondo
    @ZainulKiondo 4 дня назад

    sio waliojiita wanachama wa Yanga hebu nyoosha kiswahili

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +3

    Haki itendeke na yanga yetu iendelee kuwa salama.Mungu na azidi kuibariki yanga.

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 Месяц назад +2

    Asante mwanasheria umefafanua vizuri

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 Месяц назад +5

    Kiukweli hawa watu sio wa kuwaacha salama lakini swali langu kwa viongozi kwanini timuyetu inakumbwa na mambo ya kisheria ya mala kwamala? Mnge tafakari hili kama panapwaya tafuteni watu sahihi inatuumiza sisi wanayanga

    • @peterphilipo5103
      @peterphilipo5103 Месяц назад +1

      Afuu kweli😂😂😂😂

    • @rajabukitego1662
      @rajabukitego1662 Месяц назад

      Kutishana,,Kama,kawaida

    • @rajabukitego1662
      @rajabukitego1662 Месяц назад

      Mwanasheria,hao,wazee,wanachama,na,ukienda,kitoto,atakushinda,na,kazi,yako,si,uchunguzi

    • @ipyanamwaisekwa8209
      @ipyanamwaisekwa8209 Месяц назад

      Hao wazee walimletea noma Marehem Manji, na kuna tukio manji aliwafokea waka nyamaza. Mie nnafikiri wanahisi kuna watu wanafaidika sana na mafanikio team inapofika kwenye pick wanasahau kuendesha team ni mziki mnene.

  • @AbdallahMgaya
    @AbdallahMgaya Месяц назад +2

    Kila la kher Inshallah😢

  • @johnmmbwanga5251
    @johnmmbwanga5251 Месяц назад +11

    Huyoooo mzee mchawii

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 Месяц назад +1

    Nyie siasa ni mbaya sana,
    Hawa wazee ukweli wametumwa na SIMBA na sio kitu cha ajabu 😂😂

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Месяц назад

    Kitaalamu imekaaje hii. Kesi ilishaamriwa na mpaka imefika kukazia hukumu ndio muombe kuingezewa muda. Lakini pili what if mahakama ikatupilia mbali ombi lenu. Lakini swali la kiakili ni kweli watu wanawezaje kuendesha kesi mahaka kuu taarifa zisiwafikie kipindi chote mpaka kumalizika kwake hasa ukizingatia ukubwa wa timu na upana wa mashabiki waliokuwepo katika kila kada? Nina wasiwasi na hili.

  • @MussaMathias-d1w
    @MussaMathias-d1w Месяц назад +3

    Hao wazee hawawezi kuiongoza yang ni njaa tu inawasumbuua

  • @Daniel_89_89
    @Daniel_89_89 Месяц назад +3

    Why press, kapambaneni mahakamani kwa hoja na nyie mahakama itoe hukumu

  • @amanimwalimu1293
    @amanimwalimu1293 Месяц назад +1

    Wazee noma sana

  • @geofreymwinuka-zu3fw
    @geofreymwinuka-zu3fw Месяц назад +2

    Mdaa wotee huu kesi inaendeleaa mlikuaa wapi kama wanasheriaa hadi hukumu inatokaa ya upandee 1

    • @barakamachard1944
      @barakamachard1944 Месяц назад

      Walikua hawajui kitu

    • @user-gy3wo2ez4d
      @user-gy3wo2ez4d Месяц назад

      Eti sain zimegushiwa ina maana mnataka kuwafanya mahakama kuu ni wajinga sana 😂😂😂 au hawana ueled na kaz yao

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Месяц назад +3

    Kama yanga sporting club haikuwa na wito wala taarifa yoyote kuhusu kesi hadi ikatolewa hukumu labda kuna yanga nyingine ilopelekwa mahakamani..

    • @user-gy3wo2ez4d
      @user-gy3wo2ez4d Месяц назад

      Uyo mwanasheria muongo sana ... yaan kaongea utumbo mtupu nna wasiwasi na elimu yake

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Месяц назад

      @@user-gy3wo2ez4d tatizo ni viongozi wa yanga kumdharau mzee magoma na team yake..mwanasheria anasubiri agizo la viongozi. Magoma alikaa na hukumu yake tangu mwaka jana akisubiri yanga wavurunde kwenye ligi,yeye achochee kuni..akaona kwa usajili huu, ni sawa na kusubiri meli Airport kwa yanga kupata matokeo mabaya.. akapata usaidizi wa simba ili kuitoa yanga kwenye mstari..ubaya ubwela. Mzee kayatimba

  • @benedictodaniel1842
    @benedictodaniel1842 Месяц назад +1

    Niwachawi hao mungu kuweka kifo alikuwa sawa,

  • @KitumbiAbraham
    @KitumbiAbraham Месяц назад +1

    Mbona unatumia nguvu nyingi kujieleza. Maneno yako yanaoneasha Kuna shida ndani ya Yanga.

  • @mkudemkoba1489
    @mkudemkoba1489 Месяц назад

    Wasizan kuongoza timu ni sawa na kuongoza familia. Safi mwanasheri kwa ufafanuz wako

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Месяц назад +8

    Wananchi tumfunge mtu tuweke mbali ubinadamu. Kufoji sahihi ya mtu tuikomalie maana wajinga wapo wengi ili tuwakomeshe

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Месяц назад

      Unaushaidi na hilo ?

    • @shaameshaame2837
      @shaameshaame2837 Месяц назад

      @@abdallahmzee4335 ukweli ukidhihiri uongo utajitenga mama Fatma karume yupo hai kama wamemsingizia atakuja na sahihi yake

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 Месяц назад +4

    Kaka magoma ana uwezo apeleke guu lake clubuni

  • @ErickRichard-kh7tj
    @ErickRichard-kh7tj Месяц назад

    Hakuna aliyebushi sahihi.
    Inavyoonesha walisaini kweli
    Lkn mmewatafuta mmewapa ela wakane sahihi zao
    Tena mnawakana wanayanga wenzenu
    Tena mnajificha kwenye kivuli cha kusema ety makombe na vyote ni batili
    Kiongozi kamili huwajibika ili kutoa funzo
    Mkiongea mbele za umma ni muhimu kuzingatia aina ya watu mnaowafikishia ujumbe sio wote ni akili kisoda

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Месяц назад +6

    Hao wazee hatuwataki kuongiza timu. Tunaupenda uongozi wetu wa sasa wa ENG Herse Saidi

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Месяц назад

    Wafungulieni kesi ya jinai hao matapeli hao namuwafukuze kabisa uwanachama hatuwataki fukuza hao wasitualibie timuyetu wehu hao

  • @AmirAbdul-v5f
    @AmirAbdul-v5f Месяц назад

    Mhhhhhhhh mpaka nimeshanga Kwan kuna panapovuja wambie wazee hao hawatofika mbinguni make ni wa hovyooooooooooo injinia jipange kuiongoza yanga miaka 100

  • @mamboleoomary2723
    @mamboleoomary2723 Месяц назад +5

    Yanga bhana eti Kila kitu wanakanusha wanasheria gan wanasubiri hadi kesi itolewe uamuzi ndio wanaamka usingizin,wanasheria wa utopolo sijui kama wana vyeti halali

    • @DStarTz-if2ko
      @DStarTz-if2ko Месяц назад

      Hawana akili inamana wanatuaminisha mahakama haijui vitu fek

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Месяц назад

    Mwanasheria umepuyanga sana yan umejaribu kupindisha ukweli lakin hayo mambo ni ya kisheria sio ya kishabiki na mahakama kuu imeamua kisheria , maelezo yak hayaoani pili unaelezea uko unakwama kwama ni waz unajarib kuongea kuwalizisha wanayanga that is too bad lete hoja lete fact lete evidence

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 Месяц назад +1

    Huyu mwanasheria anayeongea hapo ana njaa Kali anatetea kibarua chake wakat ameshindwa kutetea kisutu

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Месяц назад +7

    Wapolowapolo wahuniii!

  • @user-mi3jn7rq3k
    @user-mi3jn7rq3k Месяц назад

    Jopo hili ndiyo lilimshindwa Bm3 Wanasheria uchwara hawa

  • @masoudmpenda9058
    @masoudmpenda9058 Месяц назад +3

    Ss tunataka maendelee ya yanga hao wazeee njaaaa ila muwasameee yanga ilivyo moto hata kama waliingia kwa mtutu wa bunduki kwetu ........ ❤❤

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Месяц назад

    Rita nao wanasema hii katiba ya 2020 iliyowaweka viongozi kwenye madaraka ni batiri kwa maana haijasajiliwa je hii nayo Rita niwahuni pia?

  • @David-mq6cs
    @David-mq6cs Месяц назад

    Wewe ni mwanasheria wa Klabu au wewe pia ni mwajiriwa unayepoteza kazi yako kwa hii hukumu? Huwezi kuwa fair… step out and speak from outside.

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 Месяц назад

    Kama timu ni yao wapeni, mushakula pesa sana ni mda wao sasa

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Месяц назад

    Jaman aje mikoan uyo ndo atajua Kaingia Cha jeshi

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Месяц назад

    Wapumbafu hao, wametumwa kufanya uhuni ,katika Kilabu ya Yanga? Wafutwe kwanza uwanachama alafu wachukuliwe hatua kali,wahaini nafikili wametumwa na wahuni

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 Месяц назад

    Ukubwa wa taasisi ya yanga uendane na uwezo wa wanasheria wake kukabiliana na maswala ya kisheria, iwe kitaifa au kimataifa. Kujirudia rudia kwa matatizo yanayohusu mikataba na kesi za ndani na kimataifa ni kiashiria tosha kuwa tunahitaji kujiongeza capacity, exposure na experience ya ku handle legal matters za klabu kubwa tena kisasa. Kitengo kiongezewe nyenzo na competent supporting staff.

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Месяц назад

    Ww mwanasheria usifanye mahakama kuu yetu haina akili wala ueledi ina maana watu wagushi sain wagush uanachama alafu mahakama isijue 😂😂😂😂

  • @SurprisedAstronomicalMod-lp7eh
    @SurprisedAstronomicalMod-lp7eh Месяц назад

    Huyu mzee magoma anadhani timu inaendeshwa kwa bei ya kofia ama?yani hawezi hat kumlisha msheri kwa siku halafu anaitak timu,huyu mchawi tutamponda mawe

  • @adelnabukuku7144
    @adelnabukuku7144 Месяц назад +1

    Wasione vyaelea vimeundwa jamani tamaaa itawauwa kiukweri yaani time imekaa vizuri wanaanza kuleta chokochoko

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 Месяц назад +1

    Unasema sio wanachama wa yanga halafu mnachunguza muwapeleke mkutano mkuu wa club ??? 😂😂😂 sema KIMEUMANA

    • @Machozihussen-er8cp
      @Machozihussen-er8cp Месяц назад

      Mpira wa Bongo ni siasa na upuuzi mtupu uchunguzi gani ufanyike kuhusu uanachama wao? Wakati ukiingiza jina tu kwenye system itaonyesha kwamba huyu si mwanachama au huyu ni mwanachama halali mwenye kadi ooxxy hivyo y mnawafanya wadau wa soka hawajitambui hata kidogo? Issue ya kughushi sahihi huenda nikakuelewa kidogo, baadhi ya viongozi wa soka Bongo janjajanja nyingi sana na hiyo AFCON ambayo tutakuwa wenyeji kama hatutobadilika tutatolewa mapema sana, klabu tunazotegemea sana kutoa wachezaji wenye uwezo wa kupambana kwenye international football ni simba, yanga na nyinginezo, mara Leo uwekazaji wa batili, mangungu na try again hawafai, kesho Hersi na jopo lake la uongozi wapo kibatili yaani! Stupid kabisa!!!

  • @user-kv8sq6qz7g
    @user-kv8sq6qz7g Месяц назад

    Matapeli walizani wataingusha Yanga hahahaha Yanga iko pale pale

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +1

    Akakae ndani huyu Mzee mchawi huyo sio bure

  • @BatistaNgwiso
    @BatistaNgwiso Месяц назад

    Mimi nilijua tu kwenye msafara wa mamba na kenge wamo huyozee hafai kwa lolote

  • @chescomolla5557
    @chescomolla5557 Месяц назад +1

    Uongozi wa yanga uko kiboya sana inakuaje jambo limeanza 2020 hadi leo hawalijui ngoja wangolewe na midude isiyojua hata kusoma na kuandika ndio itajua

  • @britishsaid1700
    @britishsaid1700 Месяц назад +4

    Ali komwe kibarua kimeota nyasi

  • @FloraMunis-nt7lf
    @FloraMunis-nt7lf Месяц назад

    Jamani wafatilieni hao watu wanataka kututoa kwenye mudi yetu tena wnatakiwa watuache kbis

  • @hakimundabila7940
    @hakimundabila7940 Месяц назад +4

    Hayo unaonaje ukayapesleka mahakani badala ya kwenye vyombo vya habari

  • @ManenoMwakyoma
    @ManenoMwakyoma Месяц назад

    Watoke TU yanga ni yawatu wengi sio ya kikundi

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS Месяц назад

    Hapa kuna walakini, hata kitengo cha sheria cha sheria kujitathimini maana Yanga sc kuna kesi nyingi klabu imeshndwa kwenye kesi za wachezaji. Hapo kuna kitu.

  • @MkuuuJafari
    @MkuuuJafari Месяц назад

    Anawatetea mabosi zake nawe ni batili😂wazee hawakujuwi😂
    (Principle )

  • @herbertluoga2904
    @herbertluoga2904 Месяц назад

    Huo ni mpango wa Simba,siyo wazee wa yanga.mamluki hai

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q Месяц назад

    Mi nawatakia kila la heri chama langu

  • @RevoVkiiza
    @RevoVkiiza Месяц назад +1

    Injiner hersi piga kazi mwamba usitishiwe nyau

  • @ayubunangigi829
    @ayubunangigi829 Месяц назад

    Mmeyatimba ujanjaujanja mwingi,kama munaweza muipinge mahakama kenge nyie ,haiwezekani mtu mmoja afoji saini ya watu watatu,pia kama viongozi makini kwanini kesi tangu 2022 ndio ijulikane leo,mpaka muda wa rufaa umeisha nyinyi hamjakata rufaa mmejichanganya.

  • @YustardNkongoki
    @YustardNkongoki Месяц назад

    Wafukuzwe na tena wachukuliwe hatua kali ya kisheria wanataka kuvurugia furaha zetu

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Месяц назад

    Yani izi timu zetu zinapenda kiki, jambo linatengenezwa tu ili kufuraisha watu

  • @dullaswahiba843
    @dullaswahiba843 Месяц назад

    NYIE MAKO MNAPO MZUNGUMZIA RAIS WA YANGA MNAZUNGUMZIA DUDE KUBWA LINALOISHI ANGANI SIKU LIKISEMA LISHUKE LITAIFUNIKA DUNIA MZIMA 💪

  • @NyorokaNyenge
    @NyorokaNyenge Месяц назад

    Mimi ni wa simba lakin wazo langu naomba haki itendeke.hawa wazee wanyooshwe ili iwe fundisho kwa wengine.

  • @kazinaimwishehe-ec3xu
    @kazinaimwishehe-ec3xu Месяц назад

    Acha ujanjaujanja watu tunajua kinachojiri

  • @ntulloboy2916
    @ntulloboy2916 Месяц назад

    Unaongea maajabu mzee asikilizwe anahoja za msingi acheni dhalau

  • @amiroamiroboa8724
    @amiroamiroboa8724 Месяц назад

    Wazembe sana Yanga yaani Kesi inafikia hatuwa hiyo nyiye Viongozi Hamuelewi nini kinaendelea 😦😦😦 Club itauzwa na Hamuna Habari 😀😀😀Hata mukishinda kesi hii lakini Munafaa Kujiuzulu na Kuwaomba Radhi Wanachama na Wapenzi wa Yanga..

  • @batistamkwele2061
    @batistamkwele2061 Месяц назад

    Wanamchango gani katika yanga hao wazee wala mihogo

  • @MalakiaMwantage-y5c
    @MalakiaMwantage-y5c Месяц назад

    Mbona timu iliyumba hamkugombania hivo viti

  • @FaridahKisalu
    @FaridahKisalu Месяц назад

    Wazee noma na nusu eti Tiwakabiz timu; hadi Chama na Azizi k? Dube, Pacome hata mdaka mishale?
    Weee unataka kuwauza kkkk
    Wazee nyie no shikamo from kwangu lakin mume trend

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Месяц назад

    Yaaan kama wakijitokeza hazaran du Bora tuwapige mawe

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Месяц назад

    Ili swala sio swala la propaganda ni swala la kisheria..... note this points wanayanga

  • @nathanmateow9455
    @nathanmateow9455 Месяц назад

    Mwanasheria gani anasema wamegushi kabla jeshi alijasema na anasema wamefanya kosa la jinai kabla vyombo husika havijasema,yeye ni polisi yeye mahakama.chuo gani Cha Sheria kasoma.

  • @VictorChangula
    @VictorChangula Месяц назад

    Daa kidogo roh imetulia maana duu

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 Месяц назад

    Unakes,mahakaman,hadi,hukumu,inatolewa,wewe,haujui?inamaana,,mahakama,,haiwajui,yanga,duuu,kuna,kitu😊😅😮

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje Месяц назад

    Hivi ile kesi ya mkuu wa wilaya na changudoa imeishaje jamani , kesi ya mwijaku na kipanya imeishaje jamani, kesi ya mkuu wa mkoa imeishaje jamani

  • @EkaeliNassari
    @EkaeliNassari Месяц назад

    Hao watu wanaoibua uvunjivu wa amani Kama wakidhibiti bc Sheria ifuate mkondo wake wanakuwa Kama watu waliotumwa

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Месяц назад +1

    Mzee huyu sio mzima kabisa

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Месяц назад

    Yaaan ata alivyo kaaa tu kama katuni

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Месяц назад +3

    Mimi ni mkenya lakini NI Yanga damu! Hao wazee wasiwatishe,mkitaka tuwaletee GenZ huko wa deal nao!!

  • @DulaMudi
    @DulaMudi Месяц назад +1

    uyu akimu inabidi apimwe akiri

  • @JescaMartha
    @JescaMartha Месяц назад

    Mzeeeee fanya kazi bwana

  • @abdillahimohd8614
    @abdillahimohd8614 Месяц назад

    Kweli kizuri hakidumu
    Kweli njaa mbaya

  • @user-sq1pg2fe6l
    @user-sq1pg2fe6l Месяц назад

    Kama nikosa la jinai kugushi nyaraka za club ya Taasisi ya Yanga na kugushi sahihi hili nikosa la jinai inatakiwa kuchukuliwa hatua

  • @isaiahtzee975
    @isaiahtzee975 Месяц назад

    Kama kesi imeendeshwa na watu feki, na kufoji sahihi za watu, mi nadhani kesi imeisha na hao jamaa wahukumiwe kwa mujibu wa sheria!

  • @kharashbabar7393
    @kharashbabar7393 Месяц назад

    Mmh nyie wanasheria niwaongo kinoma....munauwezo wakugeuza ukweli kuwauongo nauongo kua ukweli....mm sinaimani nahawa watu....

  • @vom84
    @vom84 Месяц назад

    Mwanasheria anatishia watu,

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 Месяц назад

    Mwanasheria anatapatapa ngoma nzito. Anaongea kuwapoza wananchi lakini ukweli usemwe viongozi ni batili

  • @user-ty5uo3pp9f
    @user-ty5uo3pp9f Месяц назад +1

    Tupeni location wanapoishi tuachieni sisi kazi

  • @user-vp6ol3kq6g
    @user-vp6ol3kq6g Месяц назад

    Kwa hiyo yanga inakatiba mbili nyosheni maelezo

  • @amanimwalimu1293
    @amanimwalimu1293 Месяц назад

    Sio 2013 ni 2023 boya ww

  • @danielandrew9892
    @danielandrew9892 Месяц назад

    Ndio kwanza mechi bado mbichi utopwinyo mmekosa wanasheria

    • @bakarirajabu3783
      @bakarirajabu3783 Месяц назад

      Hatutoki relini kamwe nyie fanyeni yenu hao wa zee ni wachawi wametumwa na makolo njaa nyingi

  • @fredymasuka8685
    @fredymasuka8685 Месяц назад

    nina mashaka makubwa na uwezo wa huyu mwanasheria. kila kesi anashindwa. hakuna mwanasheri hapo.

  • @imanimhagama4647
    @imanimhagama4647 Месяц назад

    UTOPOLO wamejaa uhuni na usela safi sana mr Magoma 😂😂😂😂

  • @veraisaria
    @veraisaria Месяц назад

    Ikiwa kweli walifoji sahihi aisee jela inawaita😂😂😂

  • @MataulaMikusi
    @MataulaMikusi Месяц назад

    Wataiweza Tim au wanatafuta migogolo,2

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye1548 Месяц назад

    Hàpo hamna wanasheria inawezekanaje club kila wakati timu inafanya vitu bila kuzingatia sheria? Angalia huku kwetu huwezi kusikia vitu kama hivyo

  • @DStarTz-if2ko
    @DStarTz-if2ko Месяц назад

    Mh kwa ss weny akili tunaona unatuingiza chaka iv mahakama mnaichukuliaje na inamaniaha kesi haikusikilizwa pande pande 2 .kiufup wale wasioelew hakuna mahakama inayohukumu bila kusimama pande 2 mpka wameshinda ujue mahakama imejiridhisha mpka hapo mnatakiwa muikosoe mahakama koz washhkumu wadangany mbuz wenzio

  • @msamiseleman4255
    @msamiseleman4255 Месяц назад

    sisimashabikiwayanga atumtakiuyuraisiwayanga aondoke😢😢😢

  • @tanzaniahabarleotv1424
    @tanzaniahabarleotv1424 Месяц назад

    Nyumba ya jilan imeangukaa huko 🤣🤣😁 uwiii

  • @jumamkwelengala4599
    @jumamkwelengala4599 Месяц назад

    Hilo zee ambalo halina akili lifikishwe mahakamani

  • @manyotanyanguleti2058
    @manyotanyanguleti2058 Месяц назад

    Hao ni njaa zinawasubua hao wakamatwe haraka hao arafu wafutwe uanachama