Wali Wangu LATEST |Ukurasa wa 7| - Madebe Lidai (Official Bongo series)
HTML-код
- Опубликовано: 21 окт 2021
- Wali Wangu |Ukurasa wa 7| - Madebe Lidai (Official Bongo Movie) Madebe Lidai
Watch Part 4 Here: • Wali Wangu - Part 4 - ...
Watch Part 5 Here: • Wali Wangu | Ukurasa w...
Watch Part 6 Here: • Wali Wangu |Ukurasa wa...
CAST: Madebe Lidai, Ochu Kiota, Isiaka Ngokwe, Jumbe Safi, Rehema Chambuso, Pendo Ismail,
STORY/SCRIPT: Madebe Lidai
EDITOR: Master Lee
PRODUCER: LP Media, Madebe Lidai
DIRECTOR: Kayto Kae
Subscribe to Madebe Lidai Movie Channel Here: bit.ly/2MVPITK
Madebe, Madebe Lidai, Nabii, Nabii Mswahili, LP Media, Bongo Movies, Tanzania Movies, African Movies, Swahili Movies, New Bongo Movie 2021, Nabii Mswahili Series, Bongo Movie 2021 Кино
Film yenye uwalisia wa maisha yetu ya Africa👏👊❤ sio wale wavaa uchi na kuigiza maisha hadi kwenye jamii
Kazi nzuri sana mungu azid kukutia nguvu zaid na aibark kaz ako piah
Nic movie brother keep it up
Kali
Uyo mama bonge nampenda sana
Ht mmjmn
kata mbuga nakupenda sana unavio igiza. big up. wewe kalomo kweli
ina furaisha sana
Kuv za madebe yaan azielewek, Muendelezo wake kukupata mtihan kabisa
Vizuri sana kbs
Kazi yako nzuri, kwa kweli naikubali
Nimemuona danga lake Jike shupa 😃😃
Pamoja sana kaka madebe
Bonge nomaa
Ongera madebe hila Muna chelewesh sana
Nahisi kuhamia Tanzania kwa sasa ...nimefuatilia filamu za madebe lidai nazina uhalisia wadani Sana .shukran kwa waigizaji wote🙏🙏
Nimeridhi mengi ...Na Mungu akuongeze maarifa
Madebe kioo cha jamii
Safi sana kaka, kipenzi chetu chanuo cjamuona hapa kwenye wali wangu MADEBE uko vzr sana pamoja na safu yako, mwendelezo tafadhali...
Tam
Hahahahahaha jamani uyu mlevi ana maneno jamani
Mungu akusaidiye uzidi songa mbele madebe
Tunashkr sana napenda sana mafumbo yako madebe yananisaidia haswa
Jaman mm niwakwaza apa ebu nawaomben
Asante
Madebe lidai hongera unafanya kazii nzuri sanaa
Kazi nzuri ongera san
Good filim
Tamthilia ya kusubiri mwaka mzima ndio episode 8 itoke? Unatukatisha tamaa sana mashabiki wako.
Hadi vingine mtu haelewi jamani ndo ivyo
Mie hd nasahau ndo naangalia leo 😣
😂😂uyu mlev ananiacha hoi sana nmependa character yke
Uncle madebe nakuli sana filamu zako
Fantastic madebe Lidai
Dah nimependa Sana neno lá upepo auwege mewi...
yani nikiwa na huzuni nikiangalia flamu za madebe nasahaushida zote yani no.stress
Niliisubilia kwaham sana
Atar
Asha boko namba2 anamikwala
😁😁
We need episode 9
Walevi wamenogesha
Yes
Nimecheka sana unasema wanaake ambao hawja olewa hawana akili wakati dadaako hajaolewa
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
🔥🔥 umetukawiza saaan 👑 ila ata ivo saw
🔥🔥
Namuona baba mkwe baba ammary
Mwaliwangu sehemu ya 8
Ujaona vazi lakuvaa zaid yavazi lamawazo,🤣🤣🤣
😍😍😍😍😍😍😍
Ongera Kaka
GROUP LA MADEBE HONGERENI KWA KAZI NZURI , NIMEJIFUNZA MENGI SANA.
GROUP LA MADEBE HONGERENI KWA KAZI NZURI , NIMEJIFUNZA MENGI SANA.
kitambo sn hii filam mpk tumesahau
Jmn me sijaona kipande cha 8
hivi hiki kijiji ni wapi nimepa penda mazingira yake natamani kupajuwa
Masasi
Aga👣
Upewe tuzo yako bhn wengine hamna wanachokifanya
Mambo? Mimi naitwa jeniffer nigependa kuact na wewe, naeza pata chance?
Mfollow Instagram upate contact
Nimemuona danga lake Jike shupa 😃😃
Asha boko namba2 anamikwala