Wali Wangu LATEST |Ukurasa wa 8| - Madebe Lidai (Official Bongo Series)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • Wali Wangu |Ukurasa wa 8| - Madebe Lidai (Official Bongo Series) Madebe Lidai
    Watch Part 4 Here: • Wali Wangu - Part 4 - ...
    Watch Part 5 Here: • Wali Wangu | Ukurasa w...
    Watch Part 6 Here: • Wali Wangu |Ukurasa wa...
    Watch Part 7 Here: • Wali Wangu LATEST |Uku...
    CAST: Madebe Lidai, Ochu Kiota, Isiaka Ngokwe, Jumbe Safi, Rehema Chambuso, Pendo Ismail,
    STORY/SCRIPT: Madebe Lidai
    EDITOR: Master Lee
    PRODUCER: LP Media, Madebe Lidai
    DIRECTOR: Kayto Kae
    Subscribe to Madebe Lidai Movie Channel Here: bit.ly/2MVPITK
    Madebe, Madebe Lidai, Nabii, Nabii Mswahili, LP Media, Bongo Movies, Tanzania Movies, African Movies, Swahili Movies, New Bongo Movie 2021, Nabii Mswahili Series, Bongo Movie 2021

Комментарии • 85

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 2 года назад +2

    Made be lidai ndio actor anae act pamoja na team yake Mambo mazuri ju ya maisha na ndoa kwa ujumla uyu jamaa anaitaji BARAZA LA SANAA TANZANIA LIMPE TUZO ANAUPIGA MWINGI SNA MADEBE LIDAI

  • @mosemutisya1834
    @mosemutisya1834 2 года назад +4

    Mtu tu anieleze kuamba ngoma nikufanya nini Sana Sana wa TZ ,your fan from Kenya 🇰🇪

    • @mrfashion1687
      @mrfashion1687 2 года назад +2

      Kuwamba ngoma maana Yake ni kukaza ngoma na moto, yaani unawasha moto alafu ngoma unaiweka karibu, lakini kuwamba ngoma ya hapo kwenye movie ni imewekwa tafsida, kwa kawaida wapiga ngoma wanapigaaa alafu ikifika kati kati yule Mpiga ngoma mkuu anasitisha kupiga ngoma anatataka apewe mwanamke wa kutomba, hivo wenye shughuli wanamchagua mwanamke yoyote wanampa Mpiga ngoma na chumba, Mpiga ngoma anaenda kutomba huku nje watu wanamsubiri, akimaliza kula vyake anatoka nje kazi iendelee

  • @thomasnyarugembe1533
    @thomasnyarugembe1533 2 года назад +1

    Madwbw na we unacheleweshq Sana bana tunakaa adi tunasahau bwana

  • @saidmoshi3733
    @saidmoshi3733 2 года назад +1

    Kiukweli ningekuwa naruhusiwa kutowa tuzo ninggekupa tuzo madebe na waivizaj wako kila mmoja anaitendea haki sehemu yake xhisha Sana kakaaaaa firéeeeeeeee

  • @nixonokumu9377
    @nixonokumu9377 2 года назад +2

    Hongera kwa hii sehemu ,usicheleweshe hiyo nyingine

  • @christizarzak1173
    @christizarzak1173 2 года назад

    Kile napenda kwa mandebe hana masifa eti yeye ni star,,,, nishawahi ongea nae kwa simu na tukaelewanwa kabisa..... I love the way he is educating us.

  • @inno5242
    @inno5242 2 года назад +6

    From kenya: braza kazi njema japo unachelewesha sana

  • @user-pz9el8hf7h
    @user-pz9el8hf7h Год назад

    Nafuraia sana filam najifunza sana.

  • @twamanjatwasini4200
    @twamanjatwasini4200 2 года назад +1

    Paoja sana mungu akuzidishie ujuz insha allah

  • @gideonodoyo-wk5cw
    @gideonodoyo-wk5cw 2 месяца назад

    Tangu nianze kutazama movie za madebe na team yake,,imenitamanisha kuoa ili nijifunze kupitia yeye,,,

  • @hidayanassor9675
    @hidayanassor9675 2 года назад +1

    Unacherewesha saaana jitahidi usiwe unachelewesha

  • @maitreomari2941
    @maitreomari2941 Год назад

    Big UP madebe

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад

    Waah hii kali yaani huyu mpiga ngoma amelala na mke wa mtu 🔥🔥🔥

  • @stanleymuller6214
    @stanleymuller6214 2 года назад

    Kaka mm nishabikiyako Sana ila kakaunachelewesha kutoka mwendelezo tumemiss kazi zako baba boss

  • @hamisishabalala_sneper6991
    @hamisishabalala_sneper6991 2 года назад

    Mwendelezo kaka

  • @hamidabaliyanga2584
    @hamidabaliyanga2584 2 года назад +1

    Hongereni washiriki wote

  • @Abuu_Maysarah
    @Abuu_Maysarah 2 года назад +1

    Naomba kuelekezwa hili la kuamba ngoma mbona sijaifahamu maana yake nimeona tuu jamaa anatoka anafunga zipu sijaelewa.

  • @mwalolove1553
    @mwalolove1553 2 года назад

    Fantastic madebe lidai

  • @trumptz6821
    @trumptz6821 2 года назад

    Una cherewesha sana series

  • @nibigiramwajuma7925
    @nibigiramwajuma7925 2 года назад

    Asante sana kwakuteya sehem ya 8 mbarikiwe sana

  • @justinchai7911
    @justinchai7911 2 года назад

    Shukran sana Bwana Madebe_kilicho baki sasa nikutumia macho na sikio wakati mmoja

  • @hamisishabalala_sneper6991
    @hamisishabalala_sneper6991 2 года назад

    Lete ya 9 kaka

  • @munnababygal8460
    @munnababygal8460 2 года назад

    Asante sana broo ila naomba utuletee muendelezo wa vilaza

  • @luqmanidrisa7727
    @luqmanidrisa7727 2 года назад

    Nakupa pongez Sana ktk Kaz yako

  • @zuhuramkwanywe2155
    @zuhuramkwanywe2155 2 года назад

    Kazi mzuri Sana

  • @khadijakassim4361
    @khadijakassim4361 2 года назад +1

    😂😂😂kaenda kuwamba ngoma

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 2 года назад

    Mlevi ana changamsha sana mzee wa Nyokoo

  • @shamimibrahim1089
    @shamimibrahim1089 2 года назад +1

    ❣️❣️❣️❣️madebe tunakupenda

  • @aishatanzania1194
    @aishatanzania1194 2 года назад

    Tunashukur please msitucheleweshee mwendelezo🤝🤝😘😘😘😘hongereni washiriki wote kiujumla

  • @mwanahawasaid1561
    @mwanahawasaid1561 2 года назад

    Ahsante kaka kwa muendelezo

  • @mihadimihanju2255
    @mihadimihanju2255 2 года назад +1

    Conguratuation for good movie%%%@%

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 2 года назад

    Asante sana kabisa kazi nzuri

  • @rehan1497
    @rehan1497 2 года назад

    Upo vizur

  • @deuskalistus9368
    @deuskalistus9368 2 года назад

    Naelewa sana kazi zako bro madebe

  • @wazilikilanda4944
    @wazilikilanda4944 2 года назад

    saf sana kaka

  • @jamilasaidi3749
    @jamilasaidi3749 2 года назад

    Kaz nzur

  • @neemaluoga1045
    @neemaluoga1045 2 года назад

    Nataka nikuone azam tv sikumoja huna kazi mbovu🔥🔥🔥🔥

  • @rashidmkomange6035
    @rashidmkomange6035 2 года назад

    congratulations brother 🎉👍

  • @margaretmay5840
    @margaretmay5840 2 года назад

    Nimependa madera mm

  • @hanspambakali2877
    @hanspambakali2877 2 года назад

    Unachelewesha kino

  • @ogpharayakenya5466
    @ogpharayakenya5466 2 года назад

    Mad support brother

  • @nellytsuma7519
    @nellytsuma7519 2 года назад

    Twasubiri mwendelezo

  • @michaeljohn2593
    @michaeljohn2593 2 года назад

    Eti nyoko

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g 2 года назад

    😃😃😃galagabao

  • @maulid1950
    @maulid1950 2 года назад +1

    Eti nyokooo 😂😂😂

  • @sulekato8493
    @sulekato8493 2 года назад

    Yani hapo kwenye ngoma unanikumbusha nyumbani 🙇🙇🙇

  • @amisabakari1263
    @amisabakari1263 2 года назад

    Madebe tunakupenda bule

  • @abdulhalimhassan7057
    @abdulhalimhassan7057 10 месяцев назад

    Wali Au wari ?

  • @lnnocentgoodman8100
    @lnnocentgoodman8100 2 года назад

    I pity the true love from suruali ♥️

  • @franknurudin5959
    @franknurudin5959 2 года назад

    Hawa wanawake awachelewi kubadilika badilika 😰😰😰

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад

    🤣 🤣 🤣 🤣 Kumbe bonge kwenye umbea unaweza kukimbia 😂😂😂😂

  • @gracefundi1480
    @gracefundi1480 2 года назад

    Mkn xana

    • @hadijabute1851
      @hadijabute1851 2 года назад

      Mdebe mwanaume kufanya maendeleo mpaka atakemwenyewe na awe akushirikisha na kipato chake kama akuficha utafanya vp

  • @aminimkadimbamkadimba9712
    @aminimkadimbamkadimba9712 2 года назад

    kwampalange

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 2 года назад

    Atar

  • @araphanassa1561
    @araphanassa1561 2 года назад

    Muendelezo pls

  • @latifajabil1707
    @latifajabil1707 2 года назад

    🔥🔥💯

  • @tabithamutisya6664
    @tabithamutisya6664 2 года назад

    Huyu madebe mbona sizipati movie zake za recent?nifanyeje ili niziangalie ama nizipate??

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 2 года назад

    Samahani nini Maan ya kuamba ngoma?

    • @maulidimohamedi5326
      @maulidimohamedi5326 2 года назад +2

      Kuamba ngoma maana yake kuziweka kwenye moto ili ngozi ikaze, maaana inavyopigwa ngizi ulegea ila maaana ya kuzipasha moto tuu chombo inarudi kwa hewa.

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 года назад +4

      @@maulidimohamedi5326 apa hamaanish. Ivyo kuwamba ngoma ni mapumzko na kwenda na mtu kimapenz apo mkubwa wa ngoma uwa anachagua msichana na kwenda nae kimapenz

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 года назад +1

      @@maulidimohamedi5326 c unaona apo kasema unawamba nanani na akaagiza chumba kikafunguliwe

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 года назад +1

      Kwaiyo inamaana mbili kuwamba kwingne ndio uko moto unawashwa apo apo ngoma znapashwa

    • @radhiaomary5591
      @radhiaomary5591 2 года назад +1

      @@mahmoodalghefeili5370 SubhanAllah kumbe ndo Maan jamaa yule mlevi kachukia kwa kusema inawezekanaje mke wake akaambe ngoma 🤔🤔

  • @abdulhalimhassan7057
    @abdulhalimhassan7057 10 месяцев назад

    Wali Au wari ?

  • @abdulhalimhassan7057
    @abdulhalimhassan7057 10 месяцев назад

    Wali Au wari ?