Tunao ungana katika izi movie za mkojani nyimbo zao ni kali weka comments na kama tunaungana izi nyimbo aweke kwenye platform 1_Siri. 2_Sele weka like❤
Babaangu mkojani nakupenda mno nakuomba uwe babaangu wa hiari sikubahatika kuona baba kwa sasa natamani uwe babaangu wa hiari kutoka moyoni nitakubari masharti yote ya kuwa mwanao nitakuwa na nidhamu juu yako utakuwa mshauri wangu nitakusikiliza naamini wewe ni mtu mzuri mimi ni mkristo niko Simiyu nakukubali sana 😢😢😢❤❤❤❤❤
Huyu Mwa4 Mfikishieni habari.. Namkubali sanaaa.. Viola mtetezi kumbe pia anateswa na Mumewe🤣😎😁
namkubali viola ila amezingua jinsi alivyo geuza kisu mara anakibadilisha amepunguza utamu😂
Tunao ungana katika izi movie za mkojani nyimbo zao ni kali weka comments na kama tunaungana izi nyimbo aweke kwenye platform 1_Siri. 2_Sele weka like❤
Mkojani Ringo chandim iyi itakua Kali tuko pamoj mwanzo mwisho
Asante kaka nili misi sana Ringo naomba awepo na tin ni combination nzuri
Bila tin na Samofi hapo bado wakuje haraka🏃🏃🏃🏃
Hapo safi sana, na Ringo 🔥🔥🔥🔥
🇲🇿
Mwenye mume na mchepuko wabayaaaaaa😂😂
😅😅😅
Seleeee wapo wengi ao😅😅😅
Hii sele jaman achaa tyuu mbona naona kama chandim umeyatimba kwa mkee huyoo,, sio zinduna huyoo😅😅😅😅😂😂😂😂😂
😂😂😂
Niko bampa to bampa na team mkojani
Wakwanza leo kama unamkubali mkojani gonga like
Go get a job
pervert 545minutes 😮😮😮😢h@@criminalminds7723
Viola mtetezi amerudi mkojani gang ❤❤🎉
Wa kumi na 17 like zangu
Chandii kawa Mume wa mtuu😂😂😂
Kwa mara ya kwanza
kijan wa mbosso yupo kwa mkojani😂😂😂😂😂😂😂
Sele wee sele🎉🎉🎉🎉🎉wazee wa kazi
Zaka modise from dzonga 🇿🇦 hapa.....team mkojani bega kwa bega
Chuma hewani mkojani hujui kuzigua I say more love❤🇰🇪
Niceeee mkon
Nimekua wa kwanza nipeni likes zangu
Selemani wacha uma nice
King of soundtracks Baruti nimefurai kuiskia sauti yako tena bro 🔥🔥🔥
Sele wa mchongoo tumepigwa hapa😂😂😂😂😂
Sele on 🔥🔥🔥🔥❤
Kazi nzuri sana, Sele twende nalo hadi tamati watching from mombasa nani tuko pamoja
Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeee💪💪💪💪💪💪 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
.nakubali sanaa ss hvi mnamleta ringo uhakika
mambo yanaedelea🎉🎉🎉
First of All🎉😂
Team mkojani. Chandimu Ringo kazi iendeleeee 💯💯💯💯
Mkojaan bin daruwesh
Mapema leo
love From mozambique 🇲🇿❤😊🎉
Nawapenda bure❤❤❤
Baby unajua miguno😂😂😂😂
Nategemea kumuona Tin white na Samofi huko mbele
Hii ni kali ❤
Kila La Kheri Broo Na Team Nzima Ya Mkojani Gang 🙏
So respect my dada Viola, unajua hadi unaboaaa
Nzuri hii ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wadada wana sura ngumu jamanina ma wigi ya mwaka arobaini saba
We itakuwa labda ndio unaanza kuangalia team mkojani now afu kuhusu wigi mtu anavaa uhusika na sehemu ya mazingiraa anayoigizia
@@RosemaryPius-cs5lhusiwe unajibu washamba
Sasa mdada mbaya yuko wapi wadada wazuri rangi nzuri shepu nzuri au ndo wale washamba ukiwa mweusi mbaya mfyuuu
Chandimu sele😂😂😂😂
Gonga like kama unamkubali mama❤
Go get a job machawa wameanza kubadiki jinsia
@@criminalminds7723😂😂😂
Violaa utauaaaa😂😂😂
Babaangu mkojani nakupenda mno nakuomba uwe babaangu wa hiari sikubahatika kuona baba kwa sasa natamani uwe babaangu wa hiari kutoka moyoni nitakubari masharti yote ya kuwa mwanao nitakuwa na nidhamu juu yako utakuwa mshauri wangu nitakusikiliza naamini wewe ni mtu mzuri mimi ni mkristo niko Simiyu nakukubali sana 😢😢😢❤❤❤❤❤
Tuma namba yako
@@ZaiduGillah kwako au
We tuma namb nikuunganishe na mkojan
@@ZaiduGillahacha uzinzi kijana
RINGO FUNDI ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uyu jamaa mkojani anavaaga vibagarashia kihuni😂😂😂
Boss wangu👊
Nakubali viola uko vzr
Uwakika sana mkojani 🎉🎉😂
Bin darweshi katupa nduano mbali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Viola na mackintosh karibuni
Tunawapenda
🫁🫁🫁😂😂😂😂😂
🎉mkojan gang🎉🎉
Nimeanza nayo mapema tyu
Wamwisho like zangu
Kazi nzuri
ila sele una hatarii
Sele 1 haya tuchangamsheni
❤❤❤
Ringo Unajua sana 😂😂😂😂😂 daaah
Sele umepigaje hapo
Ringo ndani ya game 😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
SELEMANI EEEH❤❤❤
💣💣🔥
Yaani iz movie nikali mno ...but waa daaji warekebishe umaliziaji uwe mtamu zaid.....❤
Ringo yupo 🎉🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳
Seleewweee
Viola in the house
tunaisubiri yapili kaka epsode
Soundtrack ✌
🔥🔥🔥🎉
Mi staki likes na ni wakwnza
😂😂
Ringo respect
Kufanya experiment hhhh😂 mkojan wee mbavu zangu
Ringo..... salamu fupi bro pokea
viola mtetezi wa wanaume 🙌
Bado poa ati ntaaa !!
Ok p1
Oyawee me niwakwanza tupa like 👍 hapa tuendeleeee🎉
Dah maisha hkn anaejua kesho yake, yani leo Chandimu yupo na kina Ringo,safi kabisa Chandimu,kac yako ni zaidi ya 7G👏👏👏👏👏
wivu wameumbiwa wanawake weupe tuuu
Ilaaa ringoooo😅😅😅falaaa sna
Good good 👍🏾
KUMBE FUNDI RINGO YUPO BHANA BAC HILI DUDE LITAKUWA NOMA SANA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sigara inavutwa lakina aikwami kwenye matope😂😂
Hhhh Ringo mtu mbaad
Nakubali sana piga like
To be honest I always watch mkojani comedies 🎉❤ just to make my day happy 😊
Hatupoi😅
Viola mtetezi❤❤
Baruti❤❤🙌🙌🙌
Mwanne amepotea sana tangu movie ya Umbambamba ila karibu tena katika Mkojani gang🇰🇪🇰🇪
Kwa mara ya kwanza mkojani juu ya maumivuuu😢😢 compare na Ile mahabuba alivyofiwa na mwanae 😢😢
Viola anajua Sana mkojani hongera kwa kumkumbuka Viola Tena maana Mkojani gang ndo sehemu sahihi kwake
Namuona dada Viola mtetezi,nmkbl sn huyu dada,ww mwa4 muache mume wa dada yetu❤❤❤🤛👊👏👏👏
Patamu hapo 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣hapa tumefika na hatumbanduki
😂😂😂
Ati hivi mume wangu kwanini unapenda kunivua nguo eti
🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅
Mwa4 nakupenda
Chonjo 🎉
Viola mtetezi wa wanaume tiktok upo mkojani geng
Alikuwepo huyo, amerudi nyumbani
Doh leo nmeamin sigara inavutwa lkn haijawah kunasa kweny tope ikavutwa km gari haha haha ha ringo hatari
Nyie amjawai kuniangusha kabisa