#TBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 май 2024
  • Serikali imewataka wananchi kuepuka mikopo yenye masharti magumu maarufu 'Kausha Damu' na badala yake watumie taasisi zenye leseni za kutoa mikopo kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
    Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akifafanua hoja ya dharura iliyotolewa na wabunge kuhusu athari za mikopo hiyo yenye masharti magumu.

Комментарии •