Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
The African way,6years and still has the vibe, 💯
❤❤❤ juste un délice ❤🇧🇫🇧🇫🇧🇫
Wimbo mzur sana nauludia kilamala sichoki kuusikiliza
Asante sana Wamwiduka, Hii Ngoma Asili yake ni Mbozi kwa Wanyiha inaitwa " Babatoni"
Sasa hao ni wasafwa hizo zinaitwa mbeeta
ACHA ulongo
Wasafwa Ngoma yao asili inaitwa Indonga inatengenezwa kwa mti na waya mmoja kwa chini inakuwa na kibuyu kidogo kilichotobolewa tundu dogo.
@@bahatirngulika4493 sio mbeeta iyo tofauti kabisaaa
Itajulikana tu asili ya muziki mzuri na watunzi wazuri wa muziki muzuri wa asilia halisi!!!
Asee kuna watu wana jumbe nzuri sana kwa ajili ya familia zetu ..... Baraza la sanaa liwaone na kuwapromote ili jumbe kama hizi zenye maadhi ya asili yetu tuzipate hasa kwenye matamasha makubwa ya kiuzalendo
Hongereni kwakweli
Nilikutana na hawa jamaa moro hawa jamaa ni nouma sanaa
Aisee nimewakubali saaaaana
Safi sana, tuzirinde ,tuzitunze nyimbo zetu za Asili.
Huu mziki ni Noma Kwa kweli nimeupenda Sana .
Mimi sio mzaliwa wa mbeya but nawakubali sana nyie watu kazeni tu kufanya kazi nzuri
Asante Mkweche Medy, tuko pamoja
Mkweche indaga ,ndaga ,mwasalipa
Nyiiiieee mnaajuuaa jaaamanii
Mnajuaga kunipa raha yamoyo
Mtafuteni kijana anaitwa Mesen Selekta wa Defetality nawaona kimataifa kabisaaa kama wakina Saida Kalori na Yvone Chaka Chaka
Ujakoxea kk
Dah...wewe jamaa km mchawi hivi wamepiga kweli na Mesen km walikusikia hv!
Noma sanaa
Daaah kweli wasafya mumeamua
Safi sana wezee
dat traditional flavor so nice lol!!!!!!
Nawakubali sana mbarikiwe sana
Kazi nzuri bonge la ujumbe
Naapreciate mgomaaaaa
Mzur saana nyie
Nawasoma wamwiduka
Hawajamaaa wametisha
I like it the most
Nakubali
Kazi nzuri sana.
Hawa jamaa wana balaaa..walipaswa kuwa nchi za scandinavia huko mida hii..
Eti viazi vitamu
Are these Tanzanians
Nawakubari hawa watu
poa vip lakini wazm
Kwema kabisa mkuu
Nimewakubali
Komaeeni na mtindo huphuo mtatoka
Safi sana nimewapenda sana kaka zangu
Ahsante dada Jane , karibu
2024
C uyole hapo
enueli keneth
brother nitawapata vipi naomba mawasiliano yenu
Piga namba hii mkuu, 0718 42 20 25
Aise nipo marekani nimependa nyimbo zenu
@@stephanoiddy696AISE KARIBU TANZANIA KUMENOGA
Naomba kupata namba ya cm
Aisee. Hawa watu wakowapi mbona hatuwasikiii......???
npo Dubai ila kazi mzuri gody
San wakari wangu
Pamoja sana Yusufu Bahati
Naomba nipate mawasiliano yenu
Nawakubali uncle zangu 🔥💪 mdogoenu nimefanya Rimx 👇👇👇ruclips.net/video/5N00cvt7aoo/видео.html
hahaha mko vzr ebu nichek 0752806511
Rabson Mwakiembe mnatisha
The African way,
6years and still has the vibe, 💯
❤❤❤ juste un délice ❤🇧🇫🇧🇫🇧🇫
Wimbo mzur sana nauludia kilamala sichoki kuusikiliza
Asante sana Wamwiduka, Hii Ngoma Asili yake ni Mbozi kwa Wanyiha inaitwa " Babatoni"
Sasa hao ni wasafwa hizo zinaitwa mbeeta
ACHA ulongo
Wasafwa Ngoma yao asili inaitwa Indonga inatengenezwa kwa mti na waya mmoja kwa chini inakuwa na kibuyu kidogo kilichotobolewa tundu dogo.
@@bahatirngulika4493 sio mbeeta iyo tofauti kabisaaa
Itajulikana tu asili ya muziki mzuri na watunzi wazuri wa muziki muzuri wa asilia halisi!!!
Asee kuna watu wana jumbe nzuri sana kwa ajili ya familia zetu .....
Baraza la sanaa liwaone na kuwapromote ili jumbe kama hizi zenye maadhi ya asili yetu tuzipate hasa kwenye matamasha makubwa ya kiuzalendo
Hongereni kwakweli
Nilikutana na hawa jamaa moro hawa jamaa ni nouma sanaa
Aisee nimewakubali saaaaana
Safi sana, tuzirinde ,tuzitunze nyimbo zetu za Asili.
Huu mziki ni Noma Kwa kweli nimeupenda Sana .
Mimi sio mzaliwa wa mbeya but nawakubali sana nyie watu kazeni tu kufanya kazi nzuri
Asante Mkweche Medy, tuko pamoja
Mkweche indaga ,ndaga ,mwasalipa
Nyiiiieee mnaajuuaa jaaamanii
Mnajuaga kunipa raha yamoyo
Mtafuteni kijana anaitwa Mesen Selekta wa Defetality nawaona kimataifa kabisaaa kama wakina Saida Kalori na Yvone Chaka Chaka
Ujakoxea kk
Dah...wewe jamaa km mchawi hivi wamepiga kweli na Mesen km walikusikia hv!
Noma sanaa
Daaah kweli wasafya mumeamua
Safi sana wezee
dat traditional flavor so nice lol!!!!!!
Nawakubali sana mbarikiwe sana
Kazi nzuri bonge la ujumbe
Naapreciate mgomaaaaa
Mzur saana nyie
Nawasoma wamwiduka
Hawajamaaa wametisha
I like it the most
Nakubali
Kazi nzuri sana.
Hawa jamaa wana balaaa..walipaswa kuwa nchi za scandinavia huko mida hii..
Eti viazi vitamu
Are these Tanzanians
Nawakubari hawa watu
poa vip lakini wazm
Kwema kabisa mkuu
Nimewakubali
Komaeeni na mtindo huphuo mtatoka
Safi sana nimewapenda sana kaka zangu
Ahsante dada Jane , karibu
2024
C uyole hapo
enueli keneth
brother nitawapata vipi naomba mawasiliano yenu
Piga namba hii mkuu, 0718 42 20 25
Aise nipo marekani nimependa nyimbo zenu
@@stephanoiddy696AISE KARIBU TANZANIA KUMENOGA
Naomba kupata namba ya cm
Aisee. Hawa watu wakowapi mbona hatuwasikiii......???
npo Dubai ila kazi mzuri gody
San wakari wangu
Pamoja sana Yusufu Bahati
Naomba nipate mawasiliano yenu
Nawakubali uncle zangu 🔥💪 mdogoenu nimefanya Rimx 👇👇👇
ruclips.net/video/5N00cvt7aoo/видео.html
hahaha mko vzr ebu nichek 0752806511
Rabson Mwakiembe mnatisha