Wamwiduka Band - Kilingeni (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • "Kilingeni" is one of the very popular songs of the Wamwiduka Band. The song is talking about the amount of money that a man bribes a woman, which is a lot compared to what they get in return.
    This song was recorded in 2018 by a successful and popular Tanzanian producer called Mensen Selekta, and its video was shot by a talented and famous Tanzanian video producer called Director Ivan and released during that year.
    Thanks for watching us. Let us know what you think about us; feel free to share your comments down here; and take your time watching other videos from our channel.
    Please don't forget to subscribe to our channel.

Комментарии • 482

  • @AbTz-i8i
    @AbTz-i8i 11 дней назад +8

    Kama unaangalia hii 2025 gonga like apa

  • @luciantengo1338
    @luciantengo1338 2 дня назад +1

    Who else watching 2025✌️✌️ Home sweet home❤

  • @RashidShukulu
    @RashidShukulu 9 месяцев назад +43

    Kama unaiangalia mwaka huu 2024 weka like❤

  • @MudyAbuu-tx8lw
    @MudyAbuu-tx8lw Год назад

    Bonge la ngomaaa vibu la ela yote

  • @braverboytz0
    @braverboytz0 Год назад

    Mi mwenyewe mwimbaji lakini kwa ngoma hizi nazipa saluti Mara 20000000000000000

  • @edsonnchimbi3595
    @edsonnchimbi3595 5 лет назад +9

    Afadhali nimeupata huu wimbo,kazi nzuri

  • @justinerichard6823
    @justinerichard6823 3 года назад +2

    Dah hii imenigusa sana wazaz wetu wameishi san hayo maisha ... Vijan tubadilike

  • @altodeule
    @altodeule 27 дней назад

    Keep flying the Tanzanian flag 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @iradukundajeanpaul3483
    @iradukundajeanpaul3483 6 месяцев назад +2

    Nyimbo za kina mabrother hawa zaakisi maisha halisi ya ulimwengu! Niwapongeze sana mno!

  • @geoffreymdede7678
    @geoffreymdede7678 6 лет назад +89

    Unahonga pakubwa unakula padogo gonga like twende kama umemuelewa wamwiduka

  • @aminatwahatwaha3787
    @aminatwahatwaha3787 4 года назад +5

    Wangapi tumemkubali aliyesimama na gitaa. Like tujuane 🧚‍♀️

  • @wilsonsiwakwi149
    @wilsonsiwakwi149 3 года назад +43

    Kama umekuja hapa baada ya ile clip TIK TOK ya waigizaji gonga like. Mbeya City stand up

  • @sharifajanqabari4731
    @sharifajanqabari4731 5 лет назад +160

    Kama umerudia x10 kama mie gonga like hp👌🔥🔥💖💖💖

  • @andrewkivua1974
    @andrewkivua1974 3 года назад +10

    Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakubaliii.....ngoma ina message kubwa sana hii

  • @AlinanusweKasyele
    @AlinanusweKasyele 6 лет назад +132

    I wish nyimbo kama hizi zingepata views za kutosha kwa sababu ya maudhui na melodies zinazowakilisha asili ya mwafrika ila bahati mbaya zile za mapenzi ndio zinazopendwa sana! SO SAD

  • @JairoLatif
    @JairoLatif 6 месяцев назад +2

    I'm a black American from Kentucky but this vibe makes, me to know how great our ancestors were ✌️❤

  • @sarahmwadala8484
    @sarahmwadala8484 Год назад +1

    Wolowolo mwana wetu
    Wasafwa🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @denicensimeki4390
    @denicensimeki4390 3 года назад +3

    Waliokuja hapa baada ya ze original comedy tujuane🙌🙌

  • @kamikazejoseph8799
    @kamikazejoseph8799 3 года назад

    Hahhhaha washikaji ukiwaona live utacheka

  • @fatmaalley4135
    @fatmaalley4135 6 лет назад +60

    Nyimbo zote zina Ujumbe, Keep it up brothers #KuziEnt kazi nzuri kaka

    • @Wamwiduka
      @Wamwiduka  6 лет назад +2

      ahsante sana dada fatma. Karibu kutazama video zetu mpya mtandaoni na husisahau ku-subscribe channel yetu

  • @ayubuabedi1482
    @ayubuabedi1482 5 лет назад +8

    Nikiwa pande za muheza Tanga kwa mara ya kwanza nashuhudia live wamwiduka band nimependa kazi safi xana

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 3 года назад +5

    Sisi wasafwa tuna akili sana sema babu zetu walichelewa kupata elimu, sema sisi wajukuu zao wakisafwa tumepata elimu tunawawakilisha vyema na kabila letu la kisafwa tokea mbeya,big up mmeimba vizuri sana

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 3 года назад +27

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Tanzania is endowed with talents, the instruments are on point

  • @edwardemmanuel6145
    @edwardemmanuel6145 6 лет назад +57

    Wamwiduka Band! Nimewakubali, Kazi nzuri yenye uhalisia unaoakisi maisha halisi ya Jamii yetu. Hakika ni kazi nzuri sana, mpangilio wa vyombo na sauti - hii ni kazi halisi. Hongera sana! Nilibahatika kusikiliza mahojiano yenu kwa kipande kifupi. Hongera sana kwa kudumisha utamaduni na kazi hii bora. Mungu aendelee kuwalinda na kuwapa mafanikio zaidi! Amina

    • @rubenjohn1826
      @rubenjohn1826 5 лет назад +1

      bwanamdogo mwamwiduka ulishinza utwakilisya tasafya

    • @ramamwacharo9370
      @ramamwacharo9370 3 года назад

      Hongeran sana band mwiduka massage yenu imenigusa sana walalh na imenibalisha sana ...kep t up guys ...Kenya boy raymoe

  • @cathbertpk1987
    @cathbertpk1987 Год назад +11

    Today is 30th, May 2023 and I come back here to this jam. I will always come back here to remind myself of where to channel my FOCUS and ENERGY.

  • @zephaniamwailugula9513
    @zephaniamwailugula9513 4 года назад +7

    Wasafwa juuu sana ,big up

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela8644 2 месяца назад

    Nimezaliwa Dar es salam Baba Msafwa Mama Mzaramo kwetu Isyonje na sijutii kabisa Dar kwetu Mbeya kwetu Allhamdulillah.

  • @estonmwandala2329
    @estonmwandala2329 3 года назад +2

    Mafundi wa mziki wa Asili Africa Kama unakubali gonga like na comment

  • @superchannel4455
    @superchannel4455 6 лет назад +4

    kazi nzuri sana wamwiduka yaani msibadili mfumo wa uimbaji wenu ni wapekee sana kazi nzuri mnoo mtafika mbali sana

  • @ivarngasper2055
    @ivarngasper2055 5 лет назад +7

    All from Mbeya Team Awilo nipen like zangu plz

  • @vicentshonyela1710
    @vicentshonyela1710 5 лет назад +5

    Tasafwa tivinzaaa

  • @samiaselemani5094
    @samiaselemani5094 3 года назад +3

    Waliokuja kuucheki baada ya Hakika Ruben kupost akiimba tujuane ahaaaaa

  • @ezekielmanyesela3846
    @ezekielmanyesela3846 5 лет назад +7

    Hizi ndo nyimbo zetu za kuimba jumbe nzur Sana hakika pongez Sana

  • @modestevans2836
    @modestevans2836 6 лет назад +3

    #wasafwa nakubali mna mziki mzuri sana. wamwiduka mmetisha sana, AWILO MASOKSI, KIDUME CHA MBEYA yu wap,
    @ajali ya ntokela alooo nakumbuka mbali. Endeleza mbele gurudumu la mziki wetu wa asili...one love

  • @rechomwaigaga2476
    @rechomwaigaga2476 6 лет назад +18

    wasafwaaaaa oyee nawapnda xan mdumuuu miak mingiiiiiii kwenuuuuuu

  • @damoxybeatmaker5926
    @damoxybeatmaker5926 5 месяцев назад

    Nakutumia kazi iko moto CIO p kk

  • @dieumedygard4745
    @dieumedygard4745 3 года назад +10

    Wa ndugu zangu nakuja kuwapongeza kaka zangu ❤️❤️😭 iyi nyimbo ni nyimbo ni ukweli wa maisha ❤️ big up musikate tamaa ipo siku mutafika kwenye malengo

  • @josephinemuringo2453
    @josephinemuringo2453 6 месяцев назад

    Great Band❤. Calabash kid 😸👍

  • @aminatwahatwaha3787
    @aminatwahatwaha3787 4 года назад +6

    Yaani nimewapenda jaamaa.like kama mara10 kama mim🤣🤣🤣😍😍

  • @koffikouadioguillaume245
    @koffikouadioguillaume245 Год назад +2

    Depuis la côte d'ivoire 🇨🇮🇨🇮🇨🇮🇨🇮🕺🕺🕺🕺

  • @JosephHewan-qb1uq
    @JosephHewan-qb1uq 6 месяцев назад

    chakunyumba unyama mwingi 🎉🎉🎉🎉❤

  • @lwitikomwasumbi1284
    @lwitikomwasumbi1284 4 года назад +1

    Wolo wolo wana wapipa

  • @MarkOlubayo
    @MarkOlubayo 8 месяцев назад

    Mimi nikiwa kenya nafurahia sana nyimbo zenu. Hongela sana

  • @mbocheledominick1766
    @mbocheledominick1766 5 лет назад +6

    Nawakubali sana nyie jamaa,, natambua sana uwezo wenu

  • @isaiahngusa3661
    @isaiahngusa3661 3 года назад +1

    Watoto wako nyumbani viazi vitamu 😭😭 tutonge likes za kutosha kwa ujumbe mzuri 👍

  • @obadiambilinyi27
    @obadiambilinyi27 Месяц назад

    Message Kali sana hii

  • @abrahammichael4506
    @abrahammichael4506 3 года назад +2

    Mnadumisha sana utamaduni kupitia Muziki. Kazi nzuri sana. Tunatarajia nyimbo nyingi zaidi za aina hii kutoka kwenu. #Wamwiduka Band. Tupo hapa kuwaunga mkono #support

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 3 года назад +2

    Hawa ni wasafwa pure,mwagona aholo bhani

  • @sambotofuraha9971
    @sambotofuraha9971 3 месяца назад

    Ujumbe mzuri!!

  • @abedPhilip
    @abedPhilip 3 месяца назад

    Safi sn sn sn🎉

  • @onesmopangala642
    @onesmopangala642 3 года назад

    dagaga wamwitu mziki wa nyumbasni kwanzaaaaa mbeya moja by malila boy toka shilanga

  • @ramcymosungu4700
    @ramcymosungu4700 5 лет назад +1

    Daaaaah jamaaa hawafaiiiii hata kidgo, hhuyoooo mesen selekta sasa Gonga like kwaoooo

  • @avithapolinary7443
    @avithapolinary7443 3 года назад +1

    Dah. Iko poa Sana yan

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 3 года назад +1

    Hakika Jehovah awabariki na kuwafanyia wepesi siku mpate kufanikiwa zaidi ya hapa ili Ulimwengu uwatambuwe.

  • @chazkoillah2652
    @chazkoillah2652 3 года назад +1

    Nimeitafuta sana finally I get it

  • @catherinekileva414
    @catherinekileva414 2 года назад +2

    Wimbo mzuri, ujumbe safi kabisaa, maadhi ya kiasili kabisaaaaaaa. Nimependezwaa haswaaaaa

  • @suziemgata8925
    @suziemgata8925 3 года назад +1

    Yaani hawa wanauwezo wa kuimba saaaana,,na niwabunifuu mnooo na nyimbo zinaujumbe mzuri mnooo hizi ndozingekuwa kinapigwa kwenye kumbi za anasha nadhani hata wababa wenye akili za kilibgeni wangepungua ujumbe mzuri mno🥰🔥hivii hao masponsa wa kuwapushi wawainue ,,ukisikia vipaji ndo hiviii cyo mapiano cyoi nn ujinga mtupu

  • @evaristocheyo8603
    @evaristocheyo8603 2 месяца назад

    Nimekumbuka mbali mno

  • @Malima29_10
    @Malima29_10 Год назад

    Ujumbe Muhimu Sana, ✌️

  • @rashidramadhan7708
    @rashidramadhan7708 3 года назад +2

    Kazi nzuri

  • @florahkimbage9571
    @florahkimbage9571 2 года назад +1

    Huu wimbo mzuri sana una ujumbe mzito sana na ni kweli haya ndio yanayoendelea kwenye maisha yetu ya kila siku,,, Pongezi sana kwenu

  • @muna7809
    @muna7809 Год назад

    Listing from Zimbabweeeeee

  • @calabash4221
    @calabash4221 5 лет назад +2

    Kwa muda mrefu nilikuwa sijasikia muziki halisi na nilishakata tamaa...ahsanteni sana Wamwiduka kutukumbusha kuwa vipaji vipo na muziki pia upo....

  • @EdinaIvan-q8g
    @EdinaIvan-q8g 4 месяца назад

    Kaka ludi kwenye gem 2mekumisi sana asa dar es salam

  • @theresiamsogoya4942
    @theresiamsogoya4942 2 года назад

    Mmeupiga mwingiii sana mpo vzur

  • @ApostleMophatYekonia
    @ApostleMophatYekonia 3 года назад +1

    Wasafwa Mbeya lugha tamu sana hii,, 🙌🙌🙌

  • @omaryngamba-s6f
    @omaryngamba-s6f 6 месяцев назад

    Huwa na enjoy sn niiskilizapo hii nyimbo,, penda sana

  • @mujibumusa5708
    @mujibumusa5708 5 лет назад +1

    nimekubal hiinyimbo mkal big up niliiskia kweny Redio reo Kwe 92 ,1 ahsant mkal imenigus San hii nyimb

  • @wilfredmgaya6714
    @wilfredmgaya6714 6 лет назад +46

    Haya Ni Maisha Halisi Ya Baadhi Ya Watunza Familia Haswa Wanaume Wanaopata kipato chao na kusahau familia zao
    Hawara Chips Yai Watoto Nyumbani Viazi Vitamu

  • @MelaniaMkude
    @MelaniaMkude 5 месяцев назад

    Kwasiku hii nyimbo naskiliza mara 10 naipenda❤❤❤

  • @K....ing006
    @K....ing006 3 года назад +1

    Hizi ndo nyimbo huchoki bonge la nyimbo huchoki kusikiliza💥💥💥💥💥💯💯💯💯

  • @barakamboma5079
    @barakamboma5079 4 года назад

    Unahonga pakubwa unakula padogo. Mmetisha naupenda huu wimbo

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 месяца назад

    Mpiga manyanga❤❤❤❤❤

  • @jumaapojjo5363
    @jumaapojjo5363 3 года назад

    nani ameletwa huku kupitia KITIMTIM ZUNDE na Masantula nyce song watching from 😂😂😂🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩

  • @ernestmatimba4784
    @ernestmatimba4784 6 лет назад +2

    MIE NAWAKUBALI SANA NYIE NDUGU ZANGU. MUNGU AWABARIKI SANA NA IBARIKIWE KAZI YA MIKONO YENU. AMINA

  • @fredyefd8116
    @fredyefd8116 4 года назад +1

    Looo hii ni timu gani jaman bonge la ujumbe mweee

  • @EnozuuTV
    @EnozuuTV 5 лет назад +2

    Jie Jamaa niwaambie kitu,msije badilika kutoka kwenye hii aina ya mziki bonge ya creativity.

  • @charlesstanslaus6804
    @charlesstanslaus6804 2 года назад

    Nyimbo nzur inaujumbe konki

  • @andikafuta7109
    @andikafuta7109 Год назад +10

    And the wicked media can't allow an informative music like this to trend 😇😇😇

    • @sketchbabu
      @sketchbabu Год назад

      The unfortunate truth 100%

  • @hatibuabdulla1039
    @hatibuabdulla1039 Год назад

    Safi Sana dungu zangu Ngoma Kali

  • @driftdumper8927
    @driftdumper8927 5 лет назад +7

    Huu wimbo naupenda sana yaani unaelezea ukweli mtupu!! Watoto wengi wamepitia maisha magum sababu ya kua na wazazi wa tabia ya kuhonga

    • @emmanuelbenson6149
      @emmanuelbenson6149 3 года назад +1

      Aseee hawa jamaaa nimewatafuta Sana leo kama mungu nimepata hii

  • @mattanofficemusc3535
    @mattanofficemusc3535 3 года назад

    Kwan hiii rimix ya panguso au💓💓🙅

  • @winfridakaduma8036
    @winfridakaduma8036 3 года назад +1

    Daaah kweli mnawakilish vyema nime penda

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 3 года назад +1

    dah hom hom nimekumisi Tanzania

  • @pharouqpharaoh5186
    @pharouqpharaoh5186 2 года назад

    wajomba niliwaona mbeya much love from +254

  • @AziziAbdul-or8pr
    @AziziAbdul-or8pr Год назад

    Noma sanaaa mziki mkalii

  • @ashamyula3178
    @ashamyula3178 3 года назад +5

    Nyimbo nzuri sana! Ujumbe mzito.tunataka nyimbo kama hizi. Big up brothers!!

  • @hassanalimawoko3467
    @hassanalimawoko3467 Год назад

    Kali sana...

  • @ismailmohamed741
    @ismailmohamed741 6 лет назад +19

    Hongera kwenu, kazi nzuri. Kila la kheri keep fighting.

    • @Wamwiduka
      @Wamwiduka  6 лет назад

      ahsante sana Kaka ISMAIL. Karibu kutazama video zetu mpya mtandaoni na husisahau ku-SUBSCRIBE channel yetu

  • @Hawa-es9kn
    @Hawa-es9kn 3 года назад

    Weweeee piga kereeeeeeeee kwa nyimbo yake

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 4 месяца назад

    Bonge la ngoma

  • @emilysaimon481
    @emilysaimon481 4 года назад

    Unaongaa pakubwa unakula padogo
    Wasafwa oyeeeee

  • @tompatel849
    @tompatel849 2 года назад

    Muziki Wetu huu. heko sana Wamwiduka

  • @ramadhaniabdulabi4035
    @ramadhaniabdulabi4035 Год назад

    Nyimbo bora sn kwangu mm

  • @jumanneyamba837
    @jumanneyamba837 2 года назад

    nawakubali sana, mnafundisha somo zuri sana kwa Baba

  • @amanidzoro1952
    @amanidzoro1952 2 года назад +1

    Mziki mzuri. Keep it up guys.

  • @yacenharuna380
    @yacenharuna380 3 года назад

    😀😀😀😀😀😀 yaan iko good hyo

  • @daudiddawa8349
    @daudiddawa8349 6 лет назад +9

    Hawa jamaa wako vizuri sana... napenda kusikia nyimbo zao .... ila sasa Kwann ulifuta nyimbo zao zingine... kama_ Lupa hata hii kilingeni video yakwanza ile

  • @AmosStephen-m8c
    @AmosStephen-m8c Год назад

    Wanaokesha mitandaoni ni wanaohongwa hko vilingeni ndio maana hii nyimbo has no viewers no enough comments 😊😊

  • @arunajuma9741
    @arunajuma9741 6 лет назад

    Daah napata hisia frah nikiwasikiliza Wamwiduka hongera zao cnaa wanafanya vzr mung awasimamie wafike mbali vijana