Wamwiduka Band - Kilingeni (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- "Kilingeni" is one of the very popular songs of the Wamwiduka Band. The song is talking about the amount of money that a man bribes a woman, which is a lot compared to what they get in return.
This song was recorded in 2018 by a successful and popular Tanzanian producer called Mensen Selekta, and its video was shot by a talented and famous Tanzanian video producer called Director Ivan and released during that year.
Thanks for watching us. Let us know what you think about us; feel free to share your comments down here; and take your time watching other videos from our channel.
Please don't forget to subscribe to our channel.
Kama unaangalia hii 2025 gonga like apa
Who else watching 2025✌️✌️ Home sweet home❤
Kama unaiangalia mwaka huu 2024 weka like❤
Bonge la ngomaaa vibu la ela yote
Mi mwenyewe mwimbaji lakini kwa ngoma hizi nazipa saluti Mara 20000000000000000
Afadhali nimeupata huu wimbo,kazi nzuri
Dah hii imenigusa sana wazaz wetu wameishi san hayo maisha ... Vijan tubadilike
Keep flying the Tanzanian flag 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nyimbo za kina mabrother hawa zaakisi maisha halisi ya ulimwengu! Niwapongeze sana mno!
Unahonga pakubwa unakula padogo gonga like twende kama umemuelewa wamwiduka
Hiyo ndo kazi yenu
Hatari jama hawo
Wangapi tumemkubali aliyesimama na gitaa. Like tujuane 🧚♀️
Kama umekuja hapa baada ya ile clip TIK TOK ya waigizaji gonga like. Mbeya City stand up
Mimi pia
Ni mm kbx
Nipo hapa
Naam
Mimi mzee wng 😂
Kama umerudia x10 kama mie gonga like hp👌🔥🔥💖💖💖
Yan wapo weng
Nimekushinda mm la67
@@saidichilyenga2847 😂mxiiiuu
Ata inapita mara kumi jaman nawapenda hawa watu mm 🤣🤣💃💃💃💃
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakubaliii.....ngoma ina message kubwa sana hii
I wish nyimbo kama hizi zingepata views za kutosha kwa sababu ya maudhui na melodies zinazowakilisha asili ya mwafrika ila bahati mbaya zile za mapenzi ndio zinazopendwa sana! SO SAD
mapenzi ndo maisha
Wametoa ujumbe kwa hisia kali sana, hakika "Umoyo wa mbabha"
Wanajua sana
Sahihi
Vijana wangenyooka
I'm a black American from Kentucky but this vibe makes, me to know how great our ancestors were ✌️❤
Wolowolo mwana wetu
Wasafwa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waliokuja hapa baada ya ze original comedy tujuane🙌🙌
Hahhhaha washikaji ukiwaona live utacheka
Nyimbo zote zina Ujumbe, Keep it up brothers #KuziEnt kazi nzuri kaka
ahsante sana dada fatma. Karibu kutazama video zetu mpya mtandaoni na husisahau ku-subscribe channel yetu
Nikiwa pande za muheza Tanga kwa mara ya kwanza nashuhudia live wamwiduka band nimependa kazi safi xana
Sisi wasafwa tuna akili sana sema babu zetu walichelewa kupata elimu, sema sisi wajukuu zao wakisafwa tumepata elimu tunawawakilisha vyema na kabila letu la kisafwa tokea mbeya,big up mmeimba vizuri sana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Tanzania is endowed with talents, the instruments are on point
Wamwiduka Band! Nimewakubali, Kazi nzuri yenye uhalisia unaoakisi maisha halisi ya Jamii yetu. Hakika ni kazi nzuri sana, mpangilio wa vyombo na sauti - hii ni kazi halisi. Hongera sana! Nilibahatika kusikiliza mahojiano yenu kwa kipande kifupi. Hongera sana kwa kudumisha utamaduni na kazi hii bora. Mungu aendelee kuwalinda na kuwapa mafanikio zaidi! Amina
bwanamdogo mwamwiduka ulishinza utwakilisya tasafya
Hongeran sana band mwiduka massage yenu imenigusa sana walalh na imenibalisha sana ...kep t up guys ...Kenya boy raymoe
Today is 30th, May 2023 and I come back here to this jam. I will always come back here to remind myself of where to channel my FOCUS and ENERGY.
Wasafwa juuu sana ,big up
Nimezaliwa Dar es salam Baba Msafwa Mama Mzaramo kwetu Isyonje na sijutii kabisa Dar kwetu Mbeya kwetu Allhamdulillah.
Mafundi wa mziki wa Asili Africa Kama unakubali gonga like na comment
kazi nzuri sana wamwiduka yaani msibadili mfumo wa uimbaji wenu ni wapekee sana kazi nzuri mnoo mtafika mbali sana
All from Mbeya Team Awilo nipen like zangu plz
Tasafwa tivinzaaa
Waliokuja kuucheki baada ya Hakika Ruben kupost akiimba tujuane ahaaaaa
nipo hapa
Hizi ndo nyimbo zetu za kuimba jumbe nzur Sana hakika pongez Sana
#wasafwa nakubali mna mziki mzuri sana. wamwiduka mmetisha sana, AWILO MASOKSI, KIDUME CHA MBEYA yu wap,
@ajali ya ntokela alooo nakumbuka mbali. Endeleza mbele gurudumu la mziki wetu wa asili...one love
wasafwaaaaa oyee nawapnda xan mdumuuu miak mingiiiiiii kwenuuuuuu
OYeee!! ahsante Recho Mwaigaga
tunakupenda pia
Tukugene nawe
Nakutumia kazi iko moto CIO p kk
Wa ndugu zangu nakuja kuwapongeza kaka zangu ❤️❤️😭 iyi nyimbo ni nyimbo ni ukweli wa maisha ❤️ big up musikate tamaa ipo siku mutafika kwenye malengo
Great Band❤. Calabash kid 😸👍
Yaani nimewapenda jaamaa.like kama mara10 kama mim🤣🤣🤣😍😍
Depuis la côte d'ivoire 🇨🇮🇨🇮🇨🇮🇨🇮🕺🕺🕺🕺
chakunyumba unyama mwingi 🎉🎉🎉🎉❤
Wolo wolo wana wapipa
Mimi nikiwa kenya nafurahia sana nyimbo zenu. Hongela sana
Nawakubali sana nyie jamaa,, natambua sana uwezo wenu
Watoto wako nyumbani viazi vitamu 😭😭 tutonge likes za kutosha kwa ujumbe mzuri 👍
Message Kali sana hii
Mnadumisha sana utamaduni kupitia Muziki. Kazi nzuri sana. Tunatarajia nyimbo nyingi zaidi za aina hii kutoka kwenu. #Wamwiduka Band. Tupo hapa kuwaunga mkono #support
Hawa ni wasafwa pure,mwagona aholo bhani
Ujumbe mzuri!!
Safi sn sn sn🎉
dagaga wamwitu mziki wa nyumbasni kwanzaaaaa mbeya moja by malila boy toka shilanga
Daaaaah jamaaa hawafaiiiii hata kidgo, hhuyoooo mesen selekta sasa Gonga like kwaoooo
Dah. Iko poa Sana yan
Hakika Jehovah awabariki na kuwafanyia wepesi siku mpate kufanikiwa zaidi ya hapa ili Ulimwengu uwatambuwe.
Nimeitafuta sana finally I get it
Wimbo mzuri, ujumbe safi kabisaa, maadhi ya kiasili kabisaaaaaaa. Nimependezwaa haswaaaaa
Yaani hawa wanauwezo wa kuimba saaaana,,na niwabunifuu mnooo na nyimbo zinaujumbe mzuri mnooo hizi ndozingekuwa kinapigwa kwenye kumbi za anasha nadhani hata wababa wenye akili za kilibgeni wangepungua ujumbe mzuri mno🥰🔥hivii hao masponsa wa kuwapushi wawainue ,,ukisikia vipaji ndo hiviii cyo mapiano cyoi nn ujinga mtupu
Nimekumbuka mbali mno
Ujumbe Muhimu Sana, ✌️
Kazi nzuri
Huu wimbo mzuri sana una ujumbe mzito sana na ni kweli haya ndio yanayoendelea kwenye maisha yetu ya kila siku,,, Pongezi sana kwenu
Listing from Zimbabweeeeee
Kwa muda mrefu nilikuwa sijasikia muziki halisi na nilishakata tamaa...ahsanteni sana Wamwiduka kutukumbusha kuwa vipaji vipo na muziki pia upo....
Kaka ludi kwenye gem 2mekumisi sana asa dar es salam
Mmeupiga mwingiii sana mpo vzur
Wasafwa Mbeya lugha tamu sana hii,, 🙌🙌🙌
Huwa na enjoy sn niiskilizapo hii nyimbo,, penda sana
nimekubal hiinyimbo mkal big up niliiskia kweny Redio reo Kwe 92 ,1 ahsant mkal imenigus San hii nyimb
Haya Ni Maisha Halisi Ya Baadhi Ya Watunza Familia Haswa Wanaume Wanaopata kipato chao na kusahau familia zao
Hawara Chips Yai Watoto Nyumbani Viazi Vitamu
Kwasiku hii nyimbo naskiliza mara 10 naipenda❤❤❤
Hizi ndo nyimbo huchoki bonge la nyimbo huchoki kusikiliza💥💥💥💥💥💯💯💯💯
Unahonga pakubwa unakula padogo. Mmetisha naupenda huu wimbo
Mpiga manyanga❤❤❤❤❤
nani ameletwa huku kupitia KITIMTIM ZUNDE na Masantula nyce song watching from 😂😂😂🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩
MIE NAWAKUBALI SANA NYIE NDUGU ZANGU. MUNGU AWABARIKI SANA NA IBARIKIWE KAZI YA MIKONO YENU. AMINA
Looo hii ni timu gani jaman bonge la ujumbe mweee
Jie Jamaa niwaambie kitu,msije badilika kutoka kwenye hii aina ya mziki bonge ya creativity.
Nyimbo nzur inaujumbe konki
And the wicked media can't allow an informative music like this to trend 😇😇😇
The unfortunate truth 100%
Safi Sana dungu zangu Ngoma Kali
Huu wimbo naupenda sana yaani unaelezea ukweli mtupu!! Watoto wengi wamepitia maisha magum sababu ya kua na wazazi wa tabia ya kuhonga
Aseee hawa jamaaa nimewatafuta Sana leo kama mungu nimepata hii
Kwan hiii rimix ya panguso au💓💓🙅
Daaah kweli mnawakilish vyema nime penda
dah hom hom nimekumisi Tanzania
wajomba niliwaona mbeya much love from +254
Noma sanaaa mziki mkalii
Nyimbo nzuri sana! Ujumbe mzito.tunataka nyimbo kama hizi. Big up brothers!!
Kali sana...
Hongera kwenu, kazi nzuri. Kila la kheri keep fighting.
ahsante sana Kaka ISMAIL. Karibu kutazama video zetu mpya mtandaoni na husisahau ku-SUBSCRIBE channel yetu
Weweeee piga kereeeeeeeee kwa nyimbo yake
Bonge la ngoma
Unaongaa pakubwa unakula padogo
Wasafwa oyeeeee
Muziki Wetu huu. heko sana Wamwiduka
Nyimbo bora sn kwangu mm
nawakubali sana, mnafundisha somo zuri sana kwa Baba
Mziki mzuri. Keep it up guys.
😀😀😀😀😀😀 yaan iko good hyo
Hawa jamaa wako vizuri sana... napenda kusikia nyimbo zao .... ila sasa Kwann ulifuta nyimbo zao zingine... kama_ Lupa hata hii kilingeni video yakwanza ile
Wanaokesha mitandaoni ni wanaohongwa hko vilingeni ndio maana hii nyimbo has no viewers no enough comments 😊😊
Daah napata hisia frah nikiwasikiliza Wamwiduka hongera zao cnaa wanafanya vzr mung awasimamie wafike mbali vijana