Wamwiduka Band - Ni wewe (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 278

  • @AlfredSenkondo-mi3wf
    @AlfredSenkondo-mi3wf 10 месяцев назад +41

    Wanaotazama 2024 gonga like hapa

  • @japhsam_simulator
    @japhsam_simulator Год назад +13

    Aisee bado sijapata majibu kwanin nimechelewa ivi kuufaham huu wimbo... Wimbo mkali sio siri content, melody na mziki wake ni vyaukweli sana ❤👌

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 5 лет назад +47

    Aiseee naomba tugonge like hapa jmn kama tunawakubali hawa jamaaaaa

  • @glorylujonja5933
    @glorylujonja5933 4 года назад +15

    2020 kama naww unadamu na awajamaa kama mm 😘mm ni mm tu

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza6517 6 лет назад +35

    Nawaelewa Sana wamwiduka nataka siku ya harusi yangu niwaalike hawa watu"

  • @starniceofficial5492
    @starniceofficial5492 3 месяца назад +1

    Daah yan ukiisikiliza nyimbo hii unarud ujanan kipind tuko kijijin axee! Hii ndo asili yetu watanzania ❤

  • @mtawalijefwa7341
    @mtawalijefwa7341 Год назад +3

    The music is on top level,message collected,the vybe,pure africana..❤

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Год назад +1

    Nyimbo za maana kumbe ziko huku aiseee,siyo zile namtafuta hani.

  • @shabilbosco8144
    @shabilbosco8144 6 лет назад +21

    Daah hii style inanifanya nikumbuke magoma ya awilo wa mbeya....mmeua sana mazee hatar radha ya mtanzania

  • @winfridakaduma8036
    @winfridakaduma8036 3 года назад +2

    Komaeni mludi nyumbani na ushindi kazi nzur sana na muomba San mungu ndoto zenu zitimie

  • @sarahpeter6284
    @sarahpeter6284 5 лет назад +3

    huu wimbo umenigusa sana had choz linatoka mko vizur sana nawaombea mfike mbal

  • @martinmendrad3531
    @martinmendrad3531 5 лет назад +4

    Kazeni wazee huu mziki bongo mnao nyie tu komaeni sasa hivi mnatoboa

  • @ChilumbaChilumba-yi1cm
    @ChilumbaChilumba-yi1cm 6 месяцев назад +1

    Aisee hawa wamwiduka ni shida wanajua

  • @EstherKanyika-t5l
    @EstherKanyika-t5l Год назад +1

    I love this song very much ❤❤❤

  • @romanusfikiri3194
    @romanusfikiri3194 4 года назад +19

    Wanyumbani hawa,wasafwa tuko vzr.
    This is the kind of music we need to represent our african culture.

    • @emanuelmatola7351
      @emanuelmatola7351 2 года назад

      Ni kweli wa nyumbani kwenu album yake gan unenunua tuache unafki tuwasupport awa watu

    • @romanusfikiri3194
      @romanusfikiri3194 2 года назад

      @@emanuelmatola7351 pimbi ww unataka niseme umu nimesupport vp,acha utahila ww

    • @benardmapuga4737
      @benardmapuga4737 Месяц назад

      😂😅😅😂😂

  • @AmosWille
    @AmosWille Месяц назад

    Unauwaa sana Ngoma zako kali san

  • @braverboytz0
    @braverboytz0 Год назад

    Natamani niimbe ngoma Kali kama hizi mmetisha

  • @LevisChamballa
    @LevisChamballa 3 месяца назад

    Kama unamkubali p didy gonga like hapa

  • @kangolipatrick4132
    @kangolipatrick4132 Год назад +2

    asiekupenda atshana naye, belle mélodie et très bonne composition bravo à vous !!!!!!!!!!

  • @paulinambokela6348
    @paulinambokela6348 3 года назад +1

    Unanikosha sana nasubir safwa boy upo vzur unatuwakilisha wasafwa kuwa tunaweza tunashkr sana

  • @charlesmbewe2197
    @charlesmbewe2197 Год назад +1

    True African.. much love from Malawi 🇲🇼

  • @mlemamwandisi4310
    @mlemamwandisi4310 4 года назад +1

    Nawaona watu wa om kaz nzur

  • @sammyspecialneeds_autism_tz
    @sammyspecialneeds_autism_tz 3 месяца назад +1

    Me and wamwiduka in one train 2024, gonga like 10000 🎉🎉🎉

  • @angelmwamlima3276
    @angelmwamlima3276 20 дней назад

    Oohooo bhayaya nasungwa mweeeeh

  • @christophermaganga2161
    @christophermaganga2161 3 года назад

    Duuu ipo powa sana hiyo kweli wewe uliyemoyoni mwangu

  • @barakamtawa522
    @barakamtawa522 6 месяцев назад

    Nawakubali sana shemeji zangu. Heko safwa salaga, yole n.k

  • @danielpaul3302
    @danielpaul3302 4 года назад

    Sana mbeya juuu sana

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 5 лет назад +4

    Bonge la ngoma mesen kajitaidi kuongeza vionjoo

  • @edasiakingu5139
    @edasiakingu5139 4 года назад

    Hatar sana mwiduka mnatisha

  • @pendopendo7427
    @pendopendo7427 3 года назад

    Nikiagalia hiv nakumbuka hom wallh hao watot wanavocheza apo🥰🥰

  • @othumanyahya9168
    @othumanyahya9168 5 лет назад +4

    Kazi zenu nimezisoma sana, mmeonyesha ukomavu wa kisanii japo bado ni wadogo kiumri. maoni yangu ni kuwa endeleni kutumia zana za kitamaduni zenye asili yenu kama vile nyanga., ngoma, lakini bila kusahau mavazi ya kisafa mtakuwa juu sana. Nimevutika sana na midundo yenu, Pia mbuni namna ya uchezaji hasa wa kabila lenu itapendeza zaidi. BIG UP..........

  • @mkwechemedy9929
    @mkwechemedy9929 6 лет назад +14

    Mmetisha sana nawakubali mno japo me sio wa mbeya twende kazi

  • @jannephermaulaga2351
    @jannephermaulaga2351 11 месяцев назад

    Nawapendeni hadi basi❤🎉

  • @simulizizamwanaupwa2644
    @simulizizamwanaupwa2644 2 года назад +1

    Hongereni Wamwiduka Ila Director uwe makini kwenye matumizi ya props. Kwa mfano hapo imeoneshwa mwaka 1980 kisha jamaa akatoa simu ya mkononi. Kwa Tanzania zana hizo zimeanza miaka ya 90. But kwa ujumla Ni kazi bora kabisa.

  • @lezapambakali9448
    @lezapambakali9448 10 месяцев назад

    tasafwa juuu humwanya❤❤❤❤

  • @mwasubilasaimoni4119
    @mwasubilasaimoni4119 8 месяцев назад

    Mmnatisha sana. Nyie wasafwa wenzangu

  • @archangelnyalile6448
    @archangelnyalile6448 5 лет назад +5

    Nyinza Nyinza sanaaa Yan
    WEW N WEW TU..... hakun meingineep1%%%%%%

    • @charleskanja9554
      @charleskanja9554 5 лет назад

      kama niko home vile the green city kumbe niko mtwara

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 года назад

    Wanangu wa ndaga ntokera nzunda galijembe igoma isyonje iwalanje unyamwanga number one fanye kulike hapa chap 🙌🙌🙌

  • @barakakayeba8547
    @barakakayeba8547 2 года назад +2

    Hizi Ndio nyimbo zenye asili ya Tanzania,pia heshima kwako mesen selekta unawagongea beat za Maana sana,siku moja mfanye colabo na mesen selekta

  • @beatricejoseph7067
    @beatricejoseph7067 2 года назад

    Woyooooooooooooooooo💃

  • @EstherKanyika-t5l
    @EstherKanyika-t5l Год назад

    Watching you in Zambia🇿🇲🇿🇲 one love

  • @vicentifesto9264
    @vicentifesto9264 4 года назад

    Aisee kama nliwaona ilala vile naomba mje tena basi

  • @cornelsalehe3403
    @cornelsalehe3403 9 месяцев назад

    Profesa mwenye phd mmemuona kwa pangusa big up

  • @rabeccakaonga4892
    @rabeccakaonga4892 4 года назад

    Wasafwa kumbe tumo asante kwaujumbe twende kazi

  • @bonifacemahinya320
    @bonifacemahinya320 4 года назад

    Nawaelewa sana ndugu zangu tilipalishimo washi uwoga pakhaya khola ngoma

  • @saidimnoile6243
    @saidimnoile6243 5 лет назад +4

    Niko Italy nachek ngoma hii mmetisha one day yes

  • @AbuupsangalufuAbuupsangalufu
    @AbuupsangalufuAbuupsangalufu 5 месяцев назад

    Nataka kujifunza gitaaa

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 2 года назад

    Kweli kabisa ❤️❤️❤️

  • @ChilumbaChilumba-yi1cm
    @ChilumbaChilumba-yi1cm 6 месяцев назад

    Nawakubali sana

  • @johnkomba4184
    @johnkomba4184 5 лет назад +9

    Good African vibes 🎶 keep it up.... So talented 💫

  • @prophetislael5265
    @prophetislael5265 2 года назад

    Watu wanamipenda kwajili yakusimamia misingi ya asili Mungu akubariki msibadilike mnatufurahisga sana nanyimbozenu

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 Год назад

    Mungu awabariki sana vijana nyie na Muwe na maisha marefu yenye heri nyingi

  • @JohnsonAmos-py3wf
    @JohnsonAmos-py3wf Год назад

    Wasafwaa hoeeeeeeee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 11 месяцев назад

    Ngoma Qaliiii san 👊👊👊🇹🇿

  • @allyozil9013
    @allyozil9013 4 года назад +1

    Nakubali mafundi wa muziki

  • @gibsononyangi6200
    @gibsononyangi6200 Год назад

    Asanteni sana Wanamagufuli nimewapenda sana kutoka Kenya

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 Год назад

    Safi sana❤❤❤

  • @neemaestony8179
    @neemaestony8179 Год назад

    Naipenda sana hii

  • @RashidiMichael
    @RashidiMichael Месяц назад

    Umetisha bwamdogo

  • @oscarlemamaringo8081
    @oscarlemamaringo8081 5 лет назад +1

    Yaani sijui redio hazioni

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 3 года назад

    Kitu mxuri sana

  • @arnoldminishi9372
    @arnoldminishi9372 Год назад

    Nawapenda sana

  • @khabashyucpim7655
    @khabashyucpim7655 3 года назад +1

    Nakubali songs

  • @AlinanusweKasyele
    @AlinanusweKasyele 5 лет назад +6

    Kama namuona Roma Mkatoliki akitia vocal kwenye hii ngoma!

  • @JulietAchodo
    @JulietAchodo Год назад

    Kabisa asiekupenda achana nayee

  • @boscokalawa6216
    @boscokalawa6216 6 лет назад +1

    Jaman kwa gharama yotote kama ntapata nyimbo za hawa jamaa ntafurah wananikumbusha mbali sana

  • @youngjrmsanjilatz6366
    @youngjrmsanjilatz6366 4 года назад +1

    Nkbl sana nazipenda sana nyimbo zenu sana

  • @margueritamfaume3854
    @margueritamfaume3854 5 лет назад +9

    This is the best African artists, I swear

  • @joasalfred4503
    @joasalfred4503 4 года назад +6

    Yaani cjawahi kuona nyimbo imepostiwa ikakosa Dislike🤪🤪🤪.Mjitu inakeraaa.Hongera Sana mazee kwa kazi nzuriiiiiiiiiiii,wimbo mtamu

  • @emanuelmatola7351
    @emanuelmatola7351 2 года назад

    Daaaah ww unajua kaka

  • @isayamapela6619
    @isayamapela6619 4 года назад

    Mmeiba vizur Sana Jimbo inaelimisha Jamii

  • @elizampole4366
    @elizampole4366 6 лет назад +4

    uwiii ..nakupenda et wamwiduka..umefanya Siku yang iende vizr ..asante sana

  • @sojabrazil5233
    @sojabrazil5233 4 года назад

    Jamaa wanajuwa sana

  • @mjubaatv2921
    @mjubaatv2921 4 года назад +1

    Wimbo mtamu kwelikweli aisee

  • @lufufu_mkandala9428
    @lufufu_mkandala9428 5 лет назад +1

    ipo siku watu wataelewa nini mnafanya nawakubali sana na nawaombea mfike mbal mfikishe muziki wetu mahari siku moja inshaallah

  • @hawahawa6915
    @hawahawa6915 4 года назад

    kaz nzuli

  • @chrissmtega8178
    @chrissmtega8178 3 года назад +1

    Saf sana

  • @hamzamndola7413
    @hamzamndola7413 6 лет назад +5

    wamwiduka Kazi nzuri

  • @directorcheedfaraway8982
    @directorcheedfaraway8982 3 года назад

    Hii ndo asili yetu haya mambo mengne ya Nigeria yanafata nn kwetu ndo maan mziki wetu mzuri haupewi nafasi kaz nzur vijana

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Kabisa shida ya waswahili wengi hawajielewi na hawafahamu ukishika asili ndipo unqweza ukatoka na mitindo yako, Kwani hao wanigeria wameshika asili yao n ndio wameweza kuibuka na tone yao ndani yake na wakichomekea miondoko ya kileo

  • @MwlGano
    @MwlGano 6 лет назад +7

    Mnanibania wimbo wa mere. Naupenda sana nautafuta siupati. Vipaji vipo sana bahat mbay miziki ya kijinga ya kusifia pombe umalaya na madawa ndo zipokelewa na kupigwa. Komaeni ipo cku.

    • @Wamwiduka
      @Wamwiduka  6 лет назад

      ahsante sana Mwl. Gano tunafanyia kazi maneno yako

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 6 лет назад

      Hongera sana, Hii Ngoma asili yake ni Mbozi kwa Wanyiha, Inaitwa BABATONI.

    • @emmanuelsichone874
      @emmanuelsichone874 5 лет назад

      Mwl. Gano hakika asili ionesheni mtazunguka dunia nzima maana kila msanii huimba mambo yakisasa niyi asilisa mukovizur nawapenda hasa wimbo nenda kijiweni

    • @rammyseykhaleed3481
      @rammyseykhaleed3481 4 года назад

      Daaah kaka upo sahihi sana

    • @singoveparker1406
      @singoveparker1406 4 года назад

      Mere ameimba awilo

  • @joanrwegoshora785
    @joanrwegoshora785 3 года назад +7

    this song cheers me up ! it makes me feel so happy

  • @hamzajonathan3788
    @hamzajonathan3788 2 года назад

    Nilitafua ii nyimba sana Leo nime upata😍

  • @rammyseykhaleed3481
    @rammyseykhaleed3481 4 года назад

    Dah hawa jamaa wanaweza kukuliza

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 3 года назад +4

    Very talented. Congratulations Wamwiduka Band.

  • @kanisiusmligo6991
    @kanisiusmligo6991 3 года назад

    Vema sana

  • @thabitnambar2997
    @thabitnambar2997 3 года назад

    Uyu jamaa ni fund bad kidog anilize ngoma imenigusa xan hii

  • @candystuder2370
    @candystuder2370 5 лет назад

    Wasafwa oyeeee....

  • @shedrackmsite8404
    @shedrackmsite8404 3 года назад

    Jaman msaada ipandishen audiomark

  • @sisterttrouble4331
    @sisterttrouble4331 4 года назад

    Utamu mtupuuuuuuuu

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 3 года назад

    Nawakubar sana wanangu

  • @rashidiabdallah2811
    @rashidiabdallah2811 2 года назад

    Wanyumban nawakubali sana komaeni na zana zenu nyie mnatisha akuna hahahaha🤣🤣🤣🤣

  • @prophetislael5265
    @prophetislael5265 Год назад

    Napenda sana hii nyimbo

  • @esangaking7335
    @esangaking7335 5 лет назад

    Nawaelewa Sana wamwiduka toka nawaona kutoka mitahani mpaka kutoa video mungu ajifichi kwa mtu mwenye kuitaji pamoja sana jamani.

  • @clemencejames7279
    @clemencejames7279 5 лет назад

    Jamaaaaa wanajuaaa sanaaaa aiseeeeeee

  • @jonele8592
    @jonele8592 2 года назад

    Napenda nyimbo zenu 👌

  • @omarylugusha
    @omarylugusha 5 лет назад +2

    navutiwa sana na nyimbo zenu kwakwel keep it up

  • @amosynickson2441
    @amosynickson2441 6 лет назад +2

    Nawakubali sana hawa jamaa aina yao ya mziki wanaopiga ni wa kipekeee sana

  • @timotheomassawe1102
    @timotheomassawe1102 4 года назад

    ngoja za asili tam hizi

  • @Zolazolatz
    @Zolazolatz 2 года назад

    Naliya mimi na yalili ya mapenzi

  • @samuelmakenzi2003
    @samuelmakenzi2003 6 лет назад +3

    Kazi nzurii nduguzanguuu, mistari ya maana sana