Wamwiduka Band - Usizime Muziki (Official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 107

  • @Mzeewainfo
    @Mzeewainfo Год назад +19

    prodyuza C9, amechuja sana, inaharibu naturality ya babatoni. Tafadhali wasiharibu mziki halisi ambao mnao, ukisikiliza ile Nemc usizime mziki ni More natural and Much Better Kuliko Hiyo. ingekuwa Vizuri Vifaa Vyenu vitumike studio kuingiza na kistumike kifaa cha mzungu kuchuja sauti.

    • @Lazaruskhalisia
      @Lazaruskhalisia Год назад +2

      Safi kaka wasitumie hizo vitu za mzungu sisi n waafrika

    • @WillbrightMhnambo-pi3ri
      @WillbrightMhnambo-pi3ri Год назад +1

      Umeligundua hilo kumbe kaka
      Wangetumia vifaa vyao mfano kwenye nemc

    • @binkamwanah9498
      @binkamwanah9498 Год назад +1

      Umewakilisha vyema🙌

    • @innocentgeorge1117
      @innocentgeorge1117 Год назад

      Nikwel hiii imeenda ilitakiwa watumie kawaida namanisha vyombo vyao❤❤

    • @mgcinincube8122
      @mgcinincube8122 Год назад

      After translating i agree with you 100% this is the song that brought me here,the original version in the studio was gonna be a hit.

  • @kwilisanegabobogwe9000
    @kwilisanegabobogwe9000 Год назад +8

    Tiktok brought me here!❤❤❤ mch respect from Botswana 🇧🇼

  • @innocentgeorge1117
    @innocentgeorge1117 Год назад +8

    Nimewahi nataka like zangu aiseee maaana sitaki kuzima mziki❤❤❤

  • @mgcinincube8122
    @mgcinincube8122 Год назад +16

    You guys should have kept the original sound of this song it was gonna be a big hit,much love from Bulawayo Zimbabwe.

    • @tichaclin
      @tichaclin Год назад

      Like seriously. I prefer the raw version of the highlife

    • @pharoah-ahmose6075
      @pharoah-ahmose6075 7 месяцев назад

      This is the best rendition so far. Kiswahili is a beautiful language. Keep it up

  • @christinezosi3317
    @christinezosi3317 Год назад +4

    Wow hapa jamani hongereni hapa mumegonga ndipo... asanteni Wana wamwiduka... lots of love from Kenya East Africa..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @elcanaoteki9060
    @elcanaoteki9060 Год назад +12

    Jamaani, producer amefinya sanaa. Amechuja ule uhalisia wa ngoma. Sasa hadi ile live performance ikawa safii sana.

  • @leeroymakarema7123
    @leeroymakarema7123 Год назад +9

    Inlove of this song am from Zimbabwe l.dont know this language although

  • @enosjakarasi4597
    @enosjakarasi4597 Год назад +9

    I always repeat this track, we love you from Zimbabwe 🇿🇼

  • @binkamwanah9498
    @binkamwanah9498 Год назад +5

    Ile ya nemc ilikuwa nzuri zaidi🙌🕺anyway kazi nzuri saafi

  • @wilfredmwugusi8531
    @wilfredmwugusi8531 Год назад +1

    I salute you guys well planned composed ,heko Sana jamani kutoka kenya

  • @MostwantedOfficial2024
    @MostwantedOfficial2024 Год назад +6

    Much love from Zimbabwe ❣️

  • @vincentayuku2089
    @vincentayuku2089 Год назад +2

    Traditional music 🎶 i like the beats... shakers boy keep up. 🇰🇪🇰🇪😂

  • @simonmwashambela3233
    @simonmwashambela3233 7 месяцев назад +1

    Mh apna kiukweli wamwiduka msipo angalia mnaenda potea endapo msipo shituka tunafuatiria sna mzki wenu dah rudini kwenye vifaa vya asili jama mwii vaayaa

  • @dvdtv8579
    @dvdtv8579 Год назад +1

    Niko mkongomani alakini napenda Sana hii wimbo

  • @citihairextensions7238
    @citihairextensions7238 Год назад +1

    Hongereni sana, mziki mzuri sana

  • @mcwaya
    @mcwaya Год назад +1

    Producer ameharibu huu wimbo

  • @makambamohamed3632
    @makambamohamed3632 Год назад +2

    Good voice my young boys

  • @inocentmpina4850
    @inocentmpina4850 Год назад +1

    Daaaaah au basi

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 Год назад

    Huu sio mzuri Kama ule original ninaupendaa ule Kwanza 🤗

  • @antonykomba8468
    @antonykomba8468 Год назад +2

    Wapi Meneja Elis????? Yenyewe hii

  • @tuntufyekapesa3901
    @tuntufyekapesa3901 Год назад +1

    Imepoteza uhalisia tofauti na ya mwanzo

  • @rolandabdoulkaderbassole7343
    @rolandabdoulkaderbassole7343 Год назад +1

    Love ❤❤❤🇧🇫🇧🇫🇧🇫🇧🇫🇧🇫 Burkina faso

  • @madeuslegembo8002
    @madeuslegembo8002 Год назад +1

    Nakuelewa sana wamwiduka ila uasilia wamuziki dah siuon up kidigital

  • @njichevalentine
    @njichevalentine 3 месяца назад +2

    thanks guys. this made my day. the African culture must be upheld

  • @djnelyford
    @djnelyford Год назад +2

    Pokeeni likes zangu kutoka 254 Kenya. Wale ambao wanasema ety Producer C9 amefinya sana sijui shida yao nini, huu ni mziki mtamu sana. Wakati Wamwiduka band walikua wanatafuta finances za kuenda studio mlikua wapi kuwasaidia?? Sasa wamefaulu kurecordi mziki mtamu kisha nyie mwaanza kulalamika, acheni ufidhuli. Tusupport hawa vijana wetu wana vipaji tajika. Mungu awabariki sana Wamwiduka band na producer C9.

  • @moialbayemagloiretamplele9454
    @moialbayemagloiretamplele9454 Год назад +2

    🇷🇴 super fan depuis le Tchad

  • @supadeekenya4776
    @supadeekenya4776 11 месяцев назад

    Ingekua vizuri mtumie vyombo vyenu kwamaa naona kidogo producer anachocha

  • @geraldjoseph-t2b
    @geraldjoseph-t2b Месяц назад

    Huyu prodyuza asiharibu kazi

  • @dennismsaki8744
    @dennismsaki8744 Год назад

    Big ug brothers

  • @abubakarsaid9515
    @abubakarsaid9515 4 месяца назад

    Napenda Sana Sana nikisikia mziki oh naombausizime mzk utaniua

  • @Kama_Tz
    @Kama_Tz 10 месяцев назад

    Nyimbo yangu pendwa sna hii USIZIME MZIKI

  • @Jerrytv2311
    @Jerrytv2311 Год назад +1

    Kongole 🎉🎉🎉❤

  • @etso-one4617
    @etso-one4617 Год назад +4

    African music at its best. Well done my guys. I am learning Swahili faster faster

  • @dominicmuzamai9640
    @dominicmuzamai9640 Год назад +2

    Respect from Zambia ❤❤❤

  • @wilonderby
    @wilonderby 2 месяца назад +1

    Naomba msizime mziki mtaniua 🤗

  • @philiptuei6554
    @philiptuei6554 Год назад +1

    Kazi nzuri mabro's though hamngetoa ile part ya nemc

  • @aminielsaidi8015
    @aminielsaidi8015 Год назад +1

    Mimi mtaniua jaman sio kwa mziki mtam hivi jaman daaah

  • @GivenMlengo-b5p
    @GivenMlengo-b5p 3 месяца назад +1

    Hili goma halimfikia misondo🤣😂😂😅🔥🔥🔥🔥

  • @WillbrightMhnambo-pi3ri
    @WillbrightMhnambo-pi3ri Год назад +1

    Wangetumia vifaa vyao ingetulia sana

  • @kipngenorop7517
    @kipngenorop7517 Месяц назад

    Mziki ni Jina langu. Naomba usisime

  • @dashvids1
    @dashvids1 22 дня назад

    Watched a small small clip on a friend's status and I enjoyed. Thanks to Sharzam app im here playing full song

  • @NaisonNaison-vo3gu
    @NaisonNaison-vo3gu 4 месяца назад

    You guys must come to Zimbabwe one

  • @josephmwasaga3710
    @josephmwasaga3710 3 месяца назад

    Napenda muziki wenu kwa midundo ya asili.msihame mkatekwa na ukoloni mamboleo

  • @wabisasadiki6171
    @wabisasadiki6171 10 месяцев назад

    Iyo nikweli na ina chunga jamaa kazi ni kazi

  • @NelsonNjole-ww5vw
    @NelsonNjole-ww5vw Год назад

    Tumieni vifaa vyenu bhana Uzungu unaharibu uhalisia na utamu wa mziki wenu

  • @wazirirajabu6360
    @wazirirajabu6360 7 месяцев назад

    Kaharibu uhalisia wakati hili goma lilikua noma

  • @hemedykayonko4109
    @hemedykayonko4109 Год назад

    Nyie nao mnakaa saana

  • @evancemwankenja5451
    @evancemwankenja5451 7 месяцев назад

    Umechujwa Kwa kweli. Kitu Original ya NEMC HUWA SIACHI KUSIKILIZA KUTOKANA NA VIONJO VITAMU VYA KIASILI

  • @kingzito31
    @kingzito31 5 месяцев назад

    The best culture music from Tanzania we love all of you brothers

  • @hatibuabdulla1039
    @hatibuabdulla1039 Год назад +1

    Tuanze na bismillah

  • @mrmartinipaul2464
    @mrmartinipaul2464 Год назад

    Daah ile ya live ni kali sana kuliko hii😂😂😂😂😂

  • @sheby_artz
    @sheby_artz Год назад +2

    Safi sana nawakubali sana mungu awasaidie

  • @BensonKieti-g4l
    @BensonKieti-g4l Год назад +2

    Nawapenda sana Wamwiduka sana sana Live zenu!

  • @officialmutrahlg2484
    @officialmutrahlg2484 Год назад +2

    Producer bure kabisa kaiharibu ladha ya nyimbo

  • @SKSimeon
    @SKSimeon Год назад +1

    This is a classic, they don’t make this type of music anymore but it’s special type of music and it’s hard to make it

  • @patrickbarista2943
    @patrickbarista2943 Год назад +7

    Africa is our business cradle land of our culture. Can't stop listening to this music. The calabash guy owns the music ❤❤❤❤

    • @Kama_Tz
      @Kama_Tz 10 месяцев назад

      Exactly 💯💯💯

  • @Mujapens
    @Mujapens Год назад

    Tumien lugha ya asili yakisafwa na mahadhi yakisafwa hata mkichanganya na kiswahili kdgo midundo ibaki ya asili mnapoteza ladha ya asili...rudini kwenye asili technology isiwachanganye watu wanapenda asili wakitaka hyo mingne wataskilza bakin kwenye asili.

  • @godywamichano6623
    @godywamichano6623 Год назад +2

    nomasana

  • @hulisanitshisikule8819
    @hulisanitshisikule8819 Год назад +7

    In South Africa there is a road called N1 which is 1937km. The road is from Cape Town to the ends of Limpopo province in the north.
    This is the right song to drive from Gauteng to Limpopo in South Africa which is 500km.

  • @hatibuabdulla1039
    @hatibuabdulla1039 Год назад +1

    Kazi nzuli

  • @piusmapunda4255
    @piusmapunda4255 Год назад

    Wameualibu huo mziki

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 8 дней назад

    Keep it og natural, only natural traditional instruments be used

  • @QvoIce411
    @QvoIce411 3 месяца назад

    Nice 👍

  • @omwamiomwami875
    @omwamiomwami875 Год назад +1

    The original sound was waaay sweet it had the feeling,i have come to realize studio kills good songs especially when the live raw version comes first

  • @Daughter.Of.Favour
    @Daughter.Of.Favour Год назад +1

    I’m really into it,though not understanding the language ❤

  • @NdonwieEmmanuel
    @NdonwieEmmanuel 9 месяцев назад

    I like it from Cameroon

  • @yousseftrishan1596
    @yousseftrishan1596 Год назад

    Asili imepotea nilipenda ile ya asili

  • @ochycyber9457
    @ochycyber9457 Год назад +1

    this is what I was looking for!

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 4 месяца назад

    nowmaaa

  • @kaiganaxabystc4136
    @kaiganaxabystc4136 Год назад +1

    Appreciated ❤❤

  • @hemedykayonko4109
    @hemedykayonko4109 Год назад

    Toeni ngoma msururu

  • @aaronngozo8742
    @aaronngozo8742 Год назад +2

    Please share interpretation in English, we love the African beats

    • @boeihongoa1436
      @boeihongoa1436 Год назад

      Simply they are singing about "not to stop music", if you stop the music you'll kill him...music is his life., today he is vibing".

  • @godsontwaha1105
    @godsontwaha1105 Год назад

    asili

  • @ivymike9479
    @ivymike9479 Год назад

    Very good song but the live version is so much better

  • @adamssahagh
    @adamssahagh Год назад +1

    Who's here from TikTok? ❤

  • @tgariwe
    @tgariwe Год назад +1

    Tik tok brought me here

  • @SamuelBlueMedia
    @SamuelBlueMedia Год назад

    Please mtuwekee original the producer has removed a lot things

  • @HestigsJohn
    @HestigsJohn Год назад +1

    I like this song ❤❤

  • @cestjolie5574
    @cestjolie5574 9 месяцев назад

    Mtafika tu kaka zetu so nyie endeleen kupambana na msijali wanayo yasema wasowapenda maan daaaah...wengin washa anza kulalamik tayar kweny comments section 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️....

  • @SaidiNgapu
    @SaidiNgapu 3 месяца назад

    Audio

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 Год назад

    original version ya Ile wimbo NEMC usizime muziki ilikuwa nzuri,pamoja na kwamba waliomba wasifungiwe kwa uchafuzi wa mazingira kupitia muziki wao nyakati za usiku,nahisi wahusika kama ilivyo ada Yao uwepo neno NEMC labda hawakupenda matokeo yake wame edit wimbo na kuvuruga taste ,mpangilio wa vyombo na content/substance ya wimbo husika.
    Watu hawataki constructive criticism, tunapenda kusifiwa TU basi na Hawa wamwiduka wastaarabu sana hawapendi' mtanange' na wanaosimamia miziki lkn ingekuwa bongo flavour wangeachia hivyo hivyo na wasifanyiwe chochote maana huko ndio kiwanda Cha kuzalisha tungo nyingi zisizo na maadili lkn wanamezewa
    Hongera wa mwiduka band mko vizuri, sana wosia wangu hongeni padogo kuleni pakubwa isiwe kinyume chake

  • @othwesjamabinju_
    @othwesjamabinju_ Месяц назад

    This is evidence that at times leaving things as they are is the best option. I'll listen to the original live song. This one is crap.

  • @fredrique4311
    @fredrique4311 Год назад

    Iive performance is better than this