WAMWIDUKA BAND - "NAHONGA PAKUBWA NAKULA PADOGO"(KILINGENI)| STUDIO SESSIONS)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии •

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Год назад +4

    Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 blessed country with so many talents ❤

  • @KyomugishaRosemary-i7b
    @KyomugishaRosemary-i7b Год назад +3

    Wow Africa on top 🥰 much love from Uganda 🇺🇬 the pearl of Africa

  • @tolisso4287
    @tolisso4287 Год назад +4

    From USA.u bros u always doing great 😅😅 kmmk

  • @makalipatrick6755
    @makalipatrick6755 Год назад +1

    Safari, kilingeni na usizime mziki napenda sana ngoma xenu🙏🙏🙏, watching from Kenya

  • @djhdscratchmaster4110
    @djhdscratchmaster4110 Год назад +4

    Pure talent,there's no need of auto tune

  • @devota9020
    @devota9020 Год назад +14

    Thank you Wamwiduka band to remind parents to care about their families🙏🙏🙏

  • @DANIEL-w2q7z
    @DANIEL-w2q7z Год назад +1

    Hawaa ni zaidi ya wasafi ambao wanaimba imba tuu hovyoo bila kuangalia maudhui.... Kazi yao ni kuburudishaa tuu lakini kuelisha jamii Kama hawa jamaa hawaweziii... Big up Sana Wamwinuka band

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Год назад +1

    😂 😂 😂 Nimeikumbuka hatia na pqnguso Jaman Kwan ndugu wa Jimmy mafufu hawaa😂🎉😮❤❤

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 Год назад +6

    Kama diamond amewachukua Hawa ataawahiribu kabisaaa 😎 hili kundi Ni Bora Sana la muzikiii wa kitanzania linafaa Sana linatambulisha utanzania wetu, diamond anatambulisha ushoga aawaachee hawaa😎

    • @shabanegid2324
      @shabanegid2324 Год назад +1

      🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 Год назад +27

    Hawa jamaa wanaujumbe kuzidi wasanii wote ambao wako chini ya rebo ya Wasafi akiwemo diamond

  • @Jordan_thebarber01
    @Jordan_thebarber01 Год назад +1

    Hello I really like your songs haki I'm congolese but i Liv in kenya NAIROBI

  • @jpkkakudji9402
    @jpkkakudji9402 Год назад +5

    Mimi nawakubali sana wamwiduka band 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤

  • @mtawalijefwa7341
    @mtawalijefwa7341 8 месяцев назад +2

    The man untd Jersey guy is feeling the vibes than the artists themselves.

  • @fredysonmasawe3610
    @fredysonmasawe3610 4 месяца назад

    Oyaa nyie maselaa mnajua achaneni na mond fanyeni sho zen wenyewe mbn mnaweza daaa.

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 5 месяцев назад

    Don't stop the music you will kill me.that is the message. The young man performed great

  • @davidfrank1644
    @davidfrank1644 Год назад +7

    Sisi ndo wasafwa wenye mbeya yetu
    Proud of my tribe my culture my nature
    Iwala kwetu

  • @abdulyally7183
    @abdulyally7183 Год назад +3

    Hawa jamaa mimi nawakubaligi sana, wana komfidensi sana ya kuimba.

  • @pombemagufuli1177
    @pombemagufuli1177 Год назад +11

    This is the best band in Africa very natural from dressing, instruments ,name them this is now our africanism

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 4 месяца назад

    Jamani watangazeni watoe shoow

  • @StephanoGumbo-k8b
    @StephanoGumbo-k8b 2 месяца назад

    Noma sana

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 4 месяца назад

    Mimi nawakubali sana anzeni kutoa shoow mtangaze tujue

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 5 месяцев назад

    Dogo wa vibuyu katisha sana

  • @robinchristian3125
    @robinchristian3125 7 месяцев назад

    African rythm at it's best. Ni baraka kubwa kuwa nimejaliwa kuwasikia hawa vijana. Shukran kwa wote waliowafikisha machoni na masikioni petu.

  • @jaredorina6053
    @jaredorina6053 Год назад +1

    Wamwiduka band ....nyie mna talanta kweli....napenda vile mnajituma

  • @pombemagufuli1177
    @pombemagufuli1177 Год назад +1

    Yule jamaa wa kutembea uchi na masuruali makubwa makubwa aje aone muziki wenye asili ya kiafrika

  • @kandorokkandoro5224
    @kandorokkandoro5224 5 месяцев назад

    Sana Sana wadogo zangu

  • @JastinLingo-kp3nc
    @JastinLingo-kp3nc Год назад +3

    Tasafwaa humwanyaa proud from mbeya tz

  • @mwasabwite
    @mwasabwite 11 дней назад

    nyie majaaa mnajuaa ii nyimbo nimeitafuta

  • @amirimbago8325
    @amirimbago8325 Год назад +1

    Mchezaji pale nyuma kula tano.....umetisha sana

  • @JosephHewan-qb1uq
    @JosephHewan-qb1uq 6 месяцев назад

    unyama mwingi chakunyumba 🎉🎉🎉❤

  • @amirimbago8325
    @amirimbago8325 Год назад +2

    Mmetisha sanaa...

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 Год назад +1

    Huku timweli hoombwa❤❤

  • @Gsamir694
    @Gsamir694 Год назад

    Wakali sana sana kuliko diamond na zuchu

  • @frankmgunjimgunji9261
    @frankmgunjimgunji9261 Год назад

    Hatar na nusu baba

  • @kingsman7965
    @kingsman7965 Год назад +3

    calabash guy🔥🔥

  • @hatangimanaange-eric1219
    @hatangimanaange-eric1219 Год назад

    Wamwiduka band kileleni, mpenzi kutoka Kigali

  • @panyamadaniel9064
    @panyamadaniel9064 Год назад +1

    Kaujumbe hako acha tu!

  • @twalibkimaro2095
    @twalibkimaro2095 Год назад +5

    Simply the best..natural voice..❤

  • @stewartmsamila5691
    @stewartmsamila5691 10 месяцев назад

    mmmmh jamaa wametisha sana

  • @RamadhaniAthumani-qv9ci
    @RamadhaniAthumani-qv9ci 9 месяцев назад

    Kazi nzur

  • @jaredorina6053
    @jaredorina6053 Год назад

    Ule wimbo msizime mziki iongezee mishororo kadhaaaaaa naipenda kweli

  • @RashidiDundo-c2m
    @RashidiDundo-c2m Год назад

    Kazi kazi wazee

  • @MeedyBakari
    @MeedyBakari Год назад

    Big up

  • @otmarykiowi4132
    @otmarykiowi4132 Год назад

    Elewa sana hapo UNAKULA PADOGO😂😂😂

  • @MbagaMzirai
    @MbagaMzirai Год назад +1

    Ngoma Safi sana

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Год назад

    Wazee wa msalato dodoma

  • @frankgibson1419
    @frankgibson1419 Год назад

    Huyu mpiga manyanga anaitwaje?
    Anajua sana

  • @LatifaSuleiman-lk2rq
    @LatifaSuleiman-lk2rq Год назад

    Thanks for you help and support you

  • @farajisureman9925
    @farajisureman9925 8 месяцев назад

    Kweli kula padogo panawatesa wengi

  • @RichardMbangeli-j2h
    @RichardMbangeli-j2h 6 месяцев назад

    Mama o❤❤❤❤❤❤❤

  • @AnneSankinga
    @AnneSankinga 8 месяцев назад

    Yoli baba amwe

  • @emmanuelnazareth3096
    @emmanuelnazareth3096 Год назад

    Asante kwa ujumbe holowane

  • @malikd2509
    @malikd2509 Год назад +1

    Beautiful! Simply gracious!

  • @carolynemijide7279
    @carolynemijide7279 Год назад +1

    Ilove the beats talented

  • @alexselias9420
    @alexselias9420 Год назад

    Hawa jamaa nilikutana nao sumbawanga asee wanakamua live

  • @goodluckulimboka8117
    @goodluckulimboka8117 Год назад +3

    HUU NDO MZIKI SASA!!
    HUU MZIKI UPEWE PROMO,
    BASATA MKO WAPI KAMA MNAWEZA KUFUNGIA WASIO NA MAADILI KWENYE SANAA, BASI NAAMINI MNAWEZA KUWAPA PROMO WENYE MIZIKI YENYE MAANA KAMA HII IKIWEZEKANA WAPEWE TUZO!!

  • @smadon5638
    @smadon5638 4 месяца назад

    This more Natural talents than those studio musicians 😂

  • @nyapolasuleiman3485
    @nyapolasuleiman3485 Год назад

    Safiiiii

  • @Oscar-kf9pp
    @Oscar-kf9pp Год назад +1

    Hawa jamaa wanafaa kujiunga na wasafi

  • @SararaMaroa
    @SararaMaroa Год назад

    Kazi safi sana eti

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 6 месяцев назад

    THESE ARE ORIGINAL AFRICAN MUSIC INSTRUMENTS AND WE WERE NOT BROUGHT TO US BY THE WHITES... MANY CENTURIES AGO OUR GRANDPARENTS USED THESE INSTRUMENTS TO PLAY MUSIC AND ENTERTAIN THEMSELVES EVEN BEFORE THE ARRIVAL OF THE WHITE INVADER FROM EUROPE. WHEN THE WHITE COLONISTS WERE USING GUITARS THEY BORROWED "THE OUD" INSTRUMENT FROM ARABIA, WE AFRICANS THROUGH OUR GRANDPARENTS ALREADY HAD ZEZE MALIMBA AND MANY INSTRUMENTS PLAYING SWEET MUSIC THAT ENTERTAINS THE HEART.

  • @owenvevo411
    @owenvevo411 Год назад +1

    🕺🕺🕺💃💃💃💃💃💯💯🔥🔥🔥🔥

  • @ggmmjasiliamalionline2746
    @ggmmjasiliamalionline2746 Год назад +1

    Mi huwaga ananikosha mpiga many manyanga 😂😂😂😂😂

  • @WaziriOmari-f3h
    @WaziriOmari-f3h 5 месяцев назад

    Mbona nyimbo nzuri hivyo alafu fupi eti😢

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 Год назад

    💕💯💯💯💯💯🙏

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 10 месяцев назад

    Muziki mutamu😢 w😢

  • @Arkjerry54
    @Arkjerry54 7 месяцев назад +1

    I really love your music but I don’t understand the language. Especially the guy shaking the tambourine