''KIBURI, ANASEMA HAWEZI KUONGEA na WAGANGA'' - WAZIRI MWIGULU AWEKWA KIKAANGONI na MFANYABIASHARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • ''KIBURI, ANASEMA HAWEZI KUONGEA na WAGANGA'' - WAZIRI MWIGULU AWEKWA KIKAANGONI na MFANYABIASHARA
    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa tayari amefika katika viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es salaam kwenye mkutano wake na Wafanyabiashara wa Kariakoo leo Mei 17, 2023.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 60

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mwingulu hafai kua wa waziri wa fedha kwa dakika mmoja kwa nzia sasa

    • @kabulukimati
      @kabulukimati Год назад

      Wizara.ya.viwanda.na.biashara.hiyo.wizara.ivutwe.haina.avya.kwa.taifa

    • @kabulukimati
      @kabulukimati Год назад

      Mimi.ningekuwa.huyo.waziri.wa.shekeli.ningerizain

    • @yusufuemauneli9413
      @yusufuemauneli9413 Год назад

      Apo stima waziri iyo ni mpigaji anamuda basi

  • @totolapastor1314
    @totolapastor1314 Год назад +5

    Safi sana Tanzania tuamke tuisemee nchi yetu love you tunawacheki tuuuuuu

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Год назад +3

    Watanzania Mungu anatupenda sana. Hili Jamaal lingepata URAIS Tungekoma. Au anatukomesha WATANZANIA KWA SABABU ALIKOSA URAIS???. NDIYO MAANA MWENDA ZAKE ALIMPIGA CHINI.

  • @ozuabrahamu8079
    @ozuabrahamu8079 Год назад +1

    Kiukwl ukipewa dhamana ya kuwa kiongoz hupaswi kuw na dharau Waziri Mwigulu anadharau na kiburi Cha cheo chake kwakuwa ana elimu kuliko wengine hii sio sawa kabisa

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 Год назад +6

    Mwigulu ni tatizo kubwa, siku akiondoka Tanzania itatulia

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 Год назад +1

    Mwigulu ni tatizo Sana tunaushi maisha magumu Sana sababu yake

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Год назад +3

    Mwigulu Unatuumiza Watanzania.Jitafakari Ndugu Yangu Hicho Cheo Ni Dhamana Kitapita.Mama SAMIA SULUHU HASAN Ondoa Huyo Kichefuchefu.

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 Год назад

      Sio kichefu chefu ni uchafu.

    • @julianaswai7846
      @julianaswai7846 Год назад

      N matapishi. . Hawezikuongea n waganga w kienyeji. Astahil kuwa wazir huyo. Sangakariakoo kumefungwa. Jibul wazir kam kumefungwa n kwahiyar yaooo. Mungu anakuon. Kumbuk wanafamilia zinawategemea

  • @gloriachristian1470
    @gloriachristian1470 Год назад +2

    Ana kiburi sana huyu baba,,watu wanashida wala haoni anasema wanae wanasoma feza mungu fundi wqondoe wote hao

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Год назад +2

    Safi Sana Mawaziri Wa Aina Hii Waondolewe Hawatufai iiii Waziri Amekaa Anaongea Anavyotaka Kiburi Cha Mamlaka Hicho.

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Год назад +4

    Muheshiwa Rais wetu mbona kuna kauzito cha kufanya mabadiliko kwa huyu Mwigulu?

  • @raphaelmohamed7314
    @raphaelmohamed7314 Год назад

    Asante sana

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Год назад +3

    Mwigulu Kazi ipo

  • @goodluckndagile9381
    @goodluckndagile9381 Год назад +4

    Amesahau kusema alituambia tuhamie Burundi 😂

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Год назад +1

    Mwigulu anasema hawezi kuongea na waganga wa kienyeji muhamie Burundi ana dharau sana .

  • @BrianMposindawa-wd8od
    @BrianMposindawa-wd8od Год назад

    Daah!

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Год назад

    Mwigulu kibri sana....

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Год назад +3

    Asipotumbuliwa leo basi itakuwa mzigo kwa CCM

  • @kutikavu-jk7ue
    @kutikavu-jk7ue Год назад

    Mwigulu hatufai,kiburi dharau si binadamu!!

  • @alexsuleiman3795
    @alexsuleiman3795 Год назад +1

    Mwigulu atufai

  • @yusufuemauneli9413
    @yusufuemauneli9413 Год назад

    Katika watu ambao wana iumiza nnchi hiii kwenyewizi wapesa mwigulu ni namba moja

  • @josephkisoso6648
    @josephkisoso6648 Год назад

    Mheshimiwa mama Samia suluhu Hassan tunakuomba ututolee hiyo mwigulu nchemba maana hafai kuwa waziri wa fedha ,mpeleke hata sekta ya mifugo akaongoze ng'ombe na mbuzi

  • @SanareMollel-wg7nu
    @SanareMollel-wg7nu Год назад

    👍

  • @user-oy9me4qm4f
    @user-oy9me4qm4f Год назад +2

    Alitumbuliwa na magu kwanini karudishwa...

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад +1

    Mbona hamwambii wanatutesa na kodi halafu hela zinaubiwa na watumishi walioteuliwa na mama halafu bado wako madarakani magereza hawapo?

  • @juniorbachelor8296
    @juniorbachelor8296 Год назад +1

    Nchi kama ya mama yake iii nchi ngumu sana

  • @stanleyfocas8250
    @stanleyfocas8250 Год назад

    Sii apigwe chini wapigwe chini

  • @yusufuemauneli9413
    @yusufuemauneli9413 Год назад

    Tunaibiwa mabilioni alafu wana zidi kuongeza kodi ba

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 Год назад +1

    Mwiguru ni jizi tu la selikali

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 Год назад

    Waziri ajitambui atambui majukumu yake ni kwawana nchi yeye anajua uwaziriwake unafanya KAZI ikulu mwigulu amna anachojua

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Год назад +1

    Wote waliochwa na Magufuri alikuwepo huyu ambaye sasa ni waziri wa viwanda na biashara wakati wa Magufuri alikuwa Naibu waziri wa fedha,akarikoroga magufuri kipindi cha pili akamwacha,Mwiguru alikuwa waziri Magufuri akamtumbua. Awamu ya sita ikawarudisha matokeo yao sasa wamechafua kabisa hali ya hewa ya nchi kiuchumi,kimaisha,hata kisiasa,kwa kuwa siasa ni uchumi,uchumi ni ulinzi pia.Huruma za Rais zitamponza awaondoe kabisa mawaziri hawa.Tunakaribia uchaguzi wao wanachafua hali ya hewa?

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu Год назад +1

    Daktari wa uchumi 0-

  • @hanslikecha4786
    @hanslikecha4786 Год назад

    Kusema niswala jengine na kutekerezwa niswala jengine

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Год назад +2

    Hakika serekali ya ccm haijali watu wake

  • @adriansarara-pg9vv
    @adriansarara-pg9vv Год назад

    kwan mama aon mamb wana ich wanayo sem duu pak anatufany tusimpend pak lais duu

  • @justinomtili9226
    @justinomtili9226 Год назад

    Mwigulu lawama zote kwako tu wewe ndo tatizo,, ni Bora ujiudhuru tu, Kodi zimekuwa nyingi hadi kero

  • @saidomary3370
    @saidomary3370 Год назад

    Hapa ndooo tunamkumbuka jp

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 Год назад +3

    Mwigulu atajulia wap biashara huyo..wanyiramba na biashara wap na wap?

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 Год назад

    Nibora alivyo kuwa waziri wa fedha makamu wa rais hali haikuwa ngumu hivi

  • @judaspantaleo9779
    @judaspantaleo9779 Год назад

    Lazima mwigulu apigwe nyundo

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Год назад

    Katika nchi zenye utawala bora, baada ya sakata hili Mawaziri wa Fedha na Viwanda walipaswa kujiuzuru, na kama wakisita, Rais kuwafukuza. Kwa lugha ya Kikemia ya Form I, hii ndo "litmus test"ya uwajibikaji!

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Год назад

    Omba ulinzi kabisaa😂😂😂

  • @hassanrwitita2503
    @hassanrwitita2503 Год назад

    Watu wa ccm hawataki watanzania wasiwe na hela ili tuwe ombaomba kwao.

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 Год назад

    Aondoleww

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 Год назад

    Huyu Mwigulu si ajiuzulu tu, anasubiri nini?

  • @ZagambaMnubi
    @ZagambaMnubi Год назад

    Tatizo teuzi ni zaupendeleo mfano huyo Mwigulu wakati kuna Madaktari wenye akili timamu kama Kimei au mpaka uwe mzungumzaji matendo zero

  • @joshuabartonpolelaab4985
    @joshuabartonpolelaab4985 Год назад +1

    😁😁😁😁duh mwigulu amepigwa vibaya mno

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад

    Magufuli alishampiga Left mwenye alimrudisha kwenye uwaziri ana lake jambo

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Год назад

    Yaani mwigulu kama atakuja kuwa rais wananchi watapata taabu saana

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Год назад

    Hii ni shida wapangaji wanawalipia WENYE nyumba kla mwezi ukiweka umeme unakatwa kla mwezi mambo haya ni ya hovyo sana

  • @yusufuemauneli9413
    @yusufuemauneli9413 Год назад

    Oyo nimpigaji hana muda na nyie

  • @user-zx3he3lp3o
    @user-zx3he3lp3o Год назад

    Kwa kweli hali ni mbay sana ni jukumu la bunge kuona tattoo ni lipi na nani muhusika. Wayu wengi wanajuwa kazi zsido yako weweta
    Tanzania incestuous million 61