#MBOWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #MBOWE NGUMI ZAPIGWA JUKWAANI "MWIZI WEWE TUMEKUCHOKA "MBOWE AGEUKA MBOGO BAJETI YA SERIKALI

Комментарии • 55

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Месяц назад +8

    YAANI MBOWE WEWE UPO VIZURI SANA BIG UP,

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад +3

    CCM NDO NUMBER 1 💚💚💛💛

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Месяц назад +2

    Hii ni tz cyo kenya hayo mauchochezi unayoyalinganisha na kenya huku hatutaki! Huyu Mbowe anatakiwa kupigwa kabisa kwa kutuchochea ili vijana wauane au wauwawe ni ujinga kabisa et huyu ndyo kiongozi tz hatuishi kwa kukariri pumbavu kabisa

  • @MzeewaslowHusseinAndrew
    @MzeewaslowHusseinAndrew Месяц назад +6

    Tunakuelewa kamanda wetu wa vita ya mageuzi.

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 Месяц назад +2

    Hakuna chochote wewe mbowe mbona ulipokua bungeni hukukataa gari mpumbavu mkubwa mpeleke mkeo na mama yako kwenye maandamano

  • @user-dc1qh3nm5s
    @user-dc1qh3nm5s Месяц назад +1

    So na sisi ndio tuandamane nenda ww na family yko na viongozi wk hujui naishi vp maisha yangu nyinyi kila mwezi serkali inawapa ruzuk tupe ss kwanza hiyo ruzuk nijue unahuruma na ss...

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 Месяц назад

    Mimi naunga mkono bandali kubinafsishwa kuliko selikali kuendesha bandali awawezi kabisa sanasana kunufaisha watu wachache

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed604 Месяц назад

    Tupe hesabu za ruzuku na bora msafara wa gari 10 kuliko helkopta😅😅😅😅

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Месяц назад

    Tozo za simu,hapakwetu tuliambiwa,Tutalipa tutake,tusitake --- " MTU asyetaka kulipa,ahamie Burundi "

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +1

    Watanganyika ati hawataki kusikia mambo ya wakenya. Ni kwa sababu wewe ni mchawa unashibishwa kwa makombo siyo kama wengine wavyoteseka hat kula kwao

  • @mwombekiflorian5203
    @mwombekiflorian5203 Месяц назад

    Ndio watanzania tujue ,mjue ccm ni kitu gani .Msifanye kosa kumchagua kiongozi yeyote wa ccm kama mna akili nzuri .Kama hamjipendi au kama hatunipendi tudhubutu kuruhusu ccm waongoze nchi hii tutakula matope ndugu .Zika hicho chama tuanze maisha mapya .Chagua chama chenye viongozi watakaoiokoa nchi hii kwenye dimbwi la umaskini wa kutisha .

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed604 Месяц назад

    Ccm mbele kwa mbeleeeeeerre nenda kenya wtt wetu hawadanganyikiiiiiiiiii

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Месяц назад +1

    Sema kamanda wa vita mungu awe nawe

  • @simonyohana8995
    @simonyohana8995 Месяц назад

    Hao viongozi ulionao kwenye misafala wako huwapi posho mafuta huweki unatumia limoti kaandamane mwenyewe

  • @user-ii1ob9gg9l
    @user-ii1ob9gg9l Месяц назад

    Mbowe una busara ila cjui itakuaje siku tukiwapa serikali ,unaongea kweli

  • @user-rx8uf5ov5q
    @user-rx8uf5ov5q Месяц назад +1

    Bado wakenya wametaka kujua miili ya watu iliyookotwa uchunguzi ufanyike haraka

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 Месяц назад

      Sisi hapa watu wanapotea na kutekwa hakuna anayechunguza na sisi tunachekacheka tu. "LAANA" tunayo.

  • @eliaslaurent-it1id
    @eliaslaurent-it1id Месяц назад

    mbowe ishu iko kwenye katiba mpya tudai katiba mpya

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Месяц назад

    Ruzuku ya mamilioni unazochukuwa pia ni kodi yetu tupe mchanganuo ulivyozitumia!

  • @user-wg9jl7bp6x
    @user-wg9jl7bp6x Месяц назад

    Mbowe tuunganisheni tuwaonyeshe moto hao maccm

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g Месяц назад +1

    Hayo Mambo ya Kenya hayatuhusu Muongo wewe Mbona Una Hedkopta

    • @cosmaswilliam3805
      @cosmaswilliam3805 Месяц назад

      Wewe vp

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi Месяц назад

      Yanatuhusu,Kwa sababu yanafanana na ya kwetu,hata wewe kusoma,unasoma technologia za wengine Kwa hiyo hata ya Kenya yanatuhusu.Vivid example

    • @PeterMandata
      @PeterMandata Месяц назад

      Hujielewi

  • @user-ii1ob9gg9l
    @user-ii1ob9gg9l Месяц назад

    Serikali ya Tanzania badilikeni

  • @user-no8xc8qb2b
    @user-no8xc8qb2b Месяц назад

    Mbowe unaongea utopolo tu ongea kuhusu tz c hayo hayatuhusi

  • @PlatnamzChoma-gl4jw
    @PlatnamzChoma-gl4jw Месяц назад

    Tanzani. Sio. Kenya. Nenda. Na. Wwe. Huko

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 Месяц назад

    TUPO PAMOJA SANA MBOWE.

  • @RamadhanAlly-cf7du
    @RamadhanAlly-cf7du Месяц назад +4

    Kamandq mbowe nakuelewa sanq

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 Месяц назад

    Yaani ung'owe ukuta jaribu hili jamaa hakuna Sera yoyote zaidi kupiga kelele2

  • @user-cw4jx4bn3m
    @user-cw4jx4bn3m Месяц назад

    Ccm ni zaidi ya majizi

  • @ACHILEUSNTEBE
    @ACHILEUSNTEBE Месяц назад

    Watakoma mwaka huhu

  • @user-rx8uf5ov5q
    @user-rx8uf5ov5q Месяц назад +1

    😂😂😂😂 ukuta uondokeeee

  • @nanubob1969
    @nanubob1969 Месяц назад

    Mnafiki? Fisadi? Toa boriti kwanza kwenye jicho lako! Sina hamu kusikiliza

  • @PlatnamzChoma-gl4jw
    @PlatnamzChoma-gl4jw Месяц назад

    Mwizi. Wwe. Toka

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Месяц назад

    Dah Mbowe hajui hata kupanga maneno. Inaonekana jamaa darasa ni dogo

  • @MulemaJacobo
    @MulemaJacobo Месяц назад

    Wabieukweli

  • @FaustiniKuti
    @FaustiniKuti Месяц назад

    Ajali manyoni

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Месяц назад

    Hizi sauti mungu sijui Unazisikiliza?
    Lini utawafuta jasho hawa jamaa. Ccm wamefanikiwa kumloga mpaka Mungu au?

  • @thomasmsuya-ui5kh
    @thomasmsuya-ui5kh Месяц назад

    Sema yote baba❤

  • @SayoreSautie
    @SayoreSautie Месяц назад

    Tuvushe mboye

  • @Baraka-wn3mj
    @Baraka-wn3mj Месяц назад +1

    Mbowe

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda Месяц назад

    Mwongo mkubwa sana msenge sana huna adabu

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g Месяц назад

    HICHO NI CHADEMA SIO CHA WANANCHI CHAMA CHA WANANCHINI C UF

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Wanapoteza watoto wetu. Hakuna mwandishi wa habari anayeona hiyo kuwa habari. Kwani Abdul akipotezwa Inchi itakalika? Picha kuchomwa na kijana ambaye nilimwangalia kuwa akili si sawa waliandika kwa kupishana na kuhahakisha amefungwa. Nyerere aliwahi kufanyiwa kitu mageni hapa Inchini. Wachawa wakaja juu. Lakini Nyerere kwa busara zake akawauliza hili jambo angekuwa amefanyiwa mtanganyika wa kawaida mngetoa adhabu hiyo jibu likawa hapana. Wakasema lingeishia huko mitaani tu Nyerere akasema basi linaishia huko huko . Atolewe na hskuna adhabu. Lakini leo watu ambayo hakuwahi kuwa watawala kama Magufuli asingekufa hawajali watu wengine lakkni wanajsli wakina Abdul tu

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Месяц назад

    KAKA CHANGAMOTO YAKO NI KUNGANGANIA UENYEKITI KWA MIAKA 20 IGA KWA CHAMA CHA AICT PUNGUZA UROHO WA MADARAKA

    • @zidatv1122
      @zidatv1122 Месяц назад

      Wewe kichwa maji nahisi huna unachokielewa bendera kufata upepo

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Месяц назад

    Et mbowe ni kiongozi chama ni chenu wajinga kabisa misukule ninyi pumbavu kabisa

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 Месяц назад

    Mimi naunga mkono bandali kubinafsishwa kuliko selikali kuendesha bandali awawezi kabisa sanasana kunufaisha watu wachache