Jeshi la polisi Moja kwa Moja linatuhumiwa kwa sababu aliyetekwa anaeleza kuwa alitekwa na kupelekwa kituo Cha polisi oyster bay akawekwa kwenye karakana ya polisi jioni wakaja kumchukua kumpeleka Arusha na baadae kumpeleka katavi kumpiga Risasi
HAPO KWANZA IWEKWE WAZI IJULIKANE SERIKALI NI CHOMBO CHA WANAINCHI AU WANAINCHI NI CHOMBO CHA SERIKALI. SERIKALI INA WANAINCHI AU WANAINCHI WANA SERIKALI. WANAINCHI NDIO WAMEWEKA SERIKALI AU SERIKALI IMEWEKA WANAINCHI
WATANZANIA tumelala TENA USINGIZI fofo ndio MAANA tunafanyiwa vile watakavyo tuamke tuamke hakuna atakaye tutetea , tutoke KWENYE huu USINGIZI tutaisha
Hakuna Zanzibar Nje ya Muungano , kwanza Wa Unguja na Wapemba hawapendani, mshukuru CCM kwa kuwaunganisha, ingekuwa rahisi kuishi Bara hata Wakenya wangejazana kujenga nyumba, Nje ya Muungano mnatakiwa muishi Bara kwa vibali na nyumba mlizojenga mzinyanyue, wenye akili wako huku wanafanya biashara, nyie mbaki huko na majungu yenu msubirieni rial kutoka oman mnunue mkate wa boflo
Kwahiyo unasemsemaje usitoe vitisho toa. Maoni wananchi wafanyeje ? Wafanyeje hayo mambo ya kishetani yafanyweje ?au na wewe ni mmoja wao wa watesi wetu @@exaverysimon1064
Huu ni unyama na matumizi mabaya ya Kodi zetu
Poleni
Polisi na viongozi hawajali mbaya zaidi wananchi tunakaa kimya kwa sababu tunaogopa.
Jeshi la polisi Moja kwa Moja linatuhumiwa kwa sababu aliyetekwa anaeleza kuwa alitekwa na kupelekwa kituo Cha polisi oyster bay akawekwa kwenye karakana ya polisi jioni wakaja kumchukua kumpeleka Arusha na baadae kumpeleka katavi kumpiga Risasi
Yaani hao waliofanya huo unyama Kwa Sativa Mungu awalaani na vizazivyao .waangamie hata kumbukumbu lao lisiwepo
Usizunguke mbuyu Mwabukusi, tatizo sio kikosi kazi, tatizo oder
Good job brother. Keep it up
Hakimu hapa ni Wananchi. Bila hiyvo tutaendelea kuwatuza na vitukuu vyao.
kazi yao ni kufunga wanao mkosoa rais si vingine
Kikweli Bora atua ichukuliwe mm najua walijua sativa kafa ndio wakamuacha lakn naiman niweng wanatekwa na wanakufa
HAPO KWANZA IWEKWE WAZI IJULIKANE SERIKALI NI CHOMBO CHA WANAINCHI AU WANAINCHI NI CHOMBO CHA SERIKALI. SERIKALI INA WANAINCHI AU WANAINCHI WANA SERIKALI. WANAINCHI NDIO WAMEWEKA SERIKALI AU SERIKALI IMEWEKA WANAINCHI
Kwani Aya matukio rais ajayasikia.mbona asemi chochote
kumbe tabiazao niku telekeza
Wa raia kwenye mbuga za wanyama
Mie hiku kitu kinanikera kwanini watu wanatekwa sanaaaa kwa kweli kwa hali kama hii siyo nzuri jamani malalamiko yamezidi sanaaaa
Ndo umeishasema sasa.
Inatakiwa ajiuzulu sio aunde tume hizo tume inasaidiya nini?
Siku zikifika nawao nao watafanyiwa hivi hivi na familia zao saadamu alijificha kwenye shimo ndio Kwa maana watu wanalipizaga kisasi
WATANZANIA tumelala TENA USINGIZI fofo ndio MAANA tunafanyiwa vile watakavyo tuamke tuamke hakuna atakaye tutetea , tutoke KWENYE huu USINGIZI tutaisha
Asikari mtanganyika unatetea unatesa unauwa kwakumtetea mzanzibari huku wewe ni mtanganyika unauwa mtanganyika anatetea tanganyika
Na Mtanganyagwa Sana Tu Watanganyia Mtabigwa Mpk Kifo Cha Mendee😂😂😂😂
Hakuna Zanzibar Nje ya Muungano , kwanza Wa Unguja na Wapemba hawapendani, mshukuru CCM kwa kuwaunganisha, ingekuwa rahisi kuishi Bara hata Wakenya wangejazana kujenga nyumba, Nje ya Muungano mnatakiwa muishi Bara kwa vibali na nyumba mlizojenga mzinyanyue, wenye akili wako huku wanafanya biashara, nyie mbaki huko na majungu yenu msubirieni rial kutoka oman mnunue mkate wa boflo
Mkitaka Ccm Watueshimu Tuingie Barabarani Kama Kenya Bila Ivyo Tujiandae Kutekwa WOTE
TOFAUTISHA TZ NA KENYA MAN WE JICHANGANYE UONE
@@exaverysimon1064 Kama Huyu Anaweza Kuwa Na Tabia Za Juma Lokolo or Mauzinde😂😂😂😂😂😂
Country gone to the dogs
Kesi ya nyani unampa ngedere
Ni magumu. Ila ni aibu kwa taifa
Maandamano yaanzie hapo tusikubali kwa haya jamani tujaribu kuona LA kufanya..
😂😂 we JICHANGANYE niko palee hii SIO KENYA brow
Kwahiyo unasemsemaje usitoe vitisho toa. Maoni wananchi wafanyeje ? Wafanyeje hayo mambo ya kishetani yafanyweje ?au na wewe ni mmoja wao wa watesi wetu @@exaverysimon1064
Sisi watanganyika niwaoga wajinga hatuwezi kuandamana
Nyinyi Kazi Yenu Munajuwa Umbea Tu 😂😂😂😂😂
Kumbe munajijua kwamba ni waoga na niwajinga ? Endeleeni kusinzia hivyohivyo mpaka siku ya mwisho .