"KWA HILI POLISI MMECHAFUKA Balaa!! SAKATA LA KUTEKWA SATIVA LAMNYANYUA TENA WAKILI MWABUKUSI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024

Комментарии • 34

  • @LobathLobath
    @LobathLobath 2 дня назад

    Huu ni unyama na matumizi mabaya ya Kodi zetu

  • @dogodogo595
    @dogodogo595 11 часов назад

    Poleni

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s День назад

    Polisi na viongozi hawajali mbaya zaidi wananchi tunakaa kimya kwa sababu tunaogopa.

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 2 дня назад

    Jeshi la polisi Moja kwa Moja linatuhumiwa kwa sababu aliyetekwa anaeleza kuwa alitekwa na kupelekwa kituo Cha polisi oyster bay akawekwa kwenye karakana ya polisi jioni wakaja kumchukua kumpeleka Arusha na baadae kumpeleka katavi kumpiga Risasi

  • @gililwise
    @gililwise День назад

    Yaani hao waliofanya huo unyama Kwa Sativa Mungu awalaani na vizazivyao .waangamie hata kumbukumbu lao lisiwepo

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 2 дня назад

    Usizunguke mbuyu Mwabukusi, tatizo sio kikosi kazi, tatizo oder

  • @saitotimollel8495
    @saitotimollel8495 2 дня назад

    Good job brother. Keep it up

  • @reginas1832
    @reginas1832 День назад

    Hakimu hapa ni Wananchi. Bila hiyvo tutaendelea kuwatuza na vitukuu vyao.

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 5 минут назад

    kazi yao ni kufunga wanao mkosoa rais si vingine

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 День назад

    Kikweli Bora atua ichukuliwe mm najua walijua sativa kafa ndio wakamuacha lakn naiman niweng wanatekwa na wanakufa

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 2 дня назад

    HAPO KWANZA IWEKWE WAZI IJULIKANE SERIKALI NI CHOMBO CHA WANAINCHI AU WANAINCHI NI CHOMBO CHA SERIKALI. SERIKALI INA WANAINCHI AU WANAINCHI WANA SERIKALI. WANAINCHI NDIO WAMEWEKA SERIKALI AU SERIKALI IMEWEKA WANAINCHI

  • @seifkassim5872
    @seifkassim5872 День назад

    Kwani Aya matukio rais ajayasikia.mbona asemi chochote

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n День назад

    kumbe tabiazao niku telekeza
    Wa raia kwenye mbuga za wanyama

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 дня назад

    Mie hiku kitu kinanikera kwanini watu wanatekwa sanaaaa kwa kweli kwa hali kama hii siyo nzuri jamani malalamiko yamezidi sanaaaa

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 дня назад +1

    Ndo umeishasema sasa.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 2 дня назад

    Inatakiwa ajiuzulu sio aunde tume hizo tume inasaidiya nini?

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 2 дня назад

    Siku zikifika nawao nao watafanyiwa hivi hivi na familia zao saadamu alijificha kwenye shimo ndio Kwa maana watu wanalipizaga kisasi

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q 19 часов назад

    WATANZANIA tumelala TENA USINGIZI fofo ndio MAANA tunafanyiwa vile watakavyo tuamke tuamke hakuna atakaye tutetea , tutoke KWENYE huu USINGIZI tutaisha

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 дня назад +2

    Asikari mtanganyika unatetea unatesa unauwa kwakumtetea mzanzibari huku wewe ni mtanganyika unauwa mtanganyika anatetea tanganyika

    • @abbynimel-kindy5107
      @abbynimel-kindy5107 8 часов назад +1

      Na Mtanganyagwa Sana Tu Watanganyia Mtabigwa Mpk Kifo Cha Mendee😂😂😂😂

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 2 минуты назад +1

      Hakuna Zanzibar Nje ya Muungano , kwanza Wa Unguja na Wapemba hawapendani, mshukuru CCM kwa kuwaunganisha, ingekuwa rahisi kuishi Bara hata Wakenya wangejazana kujenga nyumba, Nje ya Muungano mnatakiwa muishi Bara kwa vibali na nyumba mlizojenga mzinyanyue, wenye akili wako huku wanafanya biashara, nyie mbaki huko na majungu yenu msubirieni rial kutoka oman mnunue mkate wa boflo

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 2 дня назад +3

    Mkitaka Ccm Watueshimu Tuingie Barabarani Kama Kenya Bila Ivyo Tujiandae Kutekwa WOTE

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 2 дня назад

      TOFAUTISHA TZ NA KENYA MAN WE JICHANGANYE UONE

    • @abbynimel-kindy5107
      @abbynimel-kindy5107 8 часов назад

      ​@@exaverysimon1064 Kama Huyu Anaweza Kuwa Na Tabia Za Juma Lokolo or Mauzinde😂😂😂😂😂😂

  • @saadune
    @saadune 2 дня назад

    Country gone to the dogs

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 дня назад +2

    Kesi ya nyani unampa ngedere

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 2 дня назад

    Maandamano yaanzie hapo tusikubali kwa haya jamani tujaribu kuona LA kufanya..

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 2 дня назад

      😂😂 we JICHANGANYE niko palee hii SIO KENYA brow

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md День назад

      Kwahiyo unasemsemaje usitoe vitisho toa. Maoni wananchi wafanyeje ? Wafanyeje hayo mambo ya kishetani yafanyweje ?au na wewe ni mmoja wao wa watesi wetu ​@@exaverysimon1064

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 дня назад +1

    Sisi watanganyika niwaoga wajinga hatuwezi kuandamana

    • @abbynimel-kindy5107
      @abbynimel-kindy5107 8 часов назад

      Nyinyi Kazi Yenu Munajuwa Umbea Tu 😂😂😂😂😂

    • @MirajiMbolile
      @MirajiMbolile 52 минуты назад

      Kumbe munajijua kwamba ni waoga na niwajinga ? Endeleeni kusinzia hivyohivyo mpaka siku ya mwisho .