Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kitambulisho cha mmachinga hivi kilifia wapi?
Rudini kwenye Tozo mtukamue mavi yetu Hadi tuamie Burundi
Hivi kwa mfano hii ingekua kenya ingekuaje au Ethiopia au burundi au Rwanda lkn bongo watu wameamua kufunga maduka yao ili watu watulie
Kwan samia si tumemuajir kwann asitusikilize, huyu jamaa vp
Mnapenda kumsingizia Mh Samia anausika nn hapo ye ndo mkusanya tra
Sio kufungua tu. Lazima watu wakae mezani kero ziondoshwe. Kisha ndio watu wafungue maduka.
Ingekuwa Kenya hapa…Tungekuwa tunamburuza Mwigulu kwa tai yake hiyo atueleze kwanini tra inasumbua watu
Mwenyekiti nawewe jitafakari
Chawa
Uyu ni Chawa jike
Ww choko, kwa nidhamu gani ww unajua watu wamemwaga damu kiasi gani na jasho ad kufungua hzo biashara? Km n kitu rahc fungueni niny biashara alaf mjikate hzo tozo
Ww maduka xx tunafungaaaaa
Huyo jamaa sio mtanzania fanyeni reseach
SawA immigration
Kitambulisho cha mmachinga hivi kilifia wapi?
Rudini kwenye Tozo mtukamue mavi yetu Hadi tuamie Burundi
Hivi kwa mfano hii ingekua kenya ingekuaje au Ethiopia au burundi au Rwanda lkn bongo watu wameamua kufunga maduka yao ili watu watulie
Kwan samia si tumemuajir kwann asitusikilize, huyu jamaa vp
Mnapenda kumsingizia Mh Samia anausika nn hapo ye ndo mkusanya tra
Sio kufungua tu. Lazima watu wakae mezani kero ziondoshwe. Kisha ndio watu wafungue maduka.
Ingekuwa Kenya hapa…Tungekuwa tunamburuza Mwigulu kwa tai yake hiyo atueleze kwanini tra inasumbua watu
Mwenyekiti nawewe jitafakari
Chawa
Uyu ni Chawa jike
Ww choko, kwa nidhamu gani ww unajua watu wamemwaga damu kiasi gani na jasho ad kufungua hzo biashara? Km n kitu rahc fungueni niny biashara alaf mjikate hzo tozo
Ww maduka xx tunafungaaaaa
Huyo jamaa sio mtanzania fanyeni reseach
SawA immigration