Mh Makonda nifuraha tuu ndani ya mkoa wa Arusha piga kazi zidisha ubunifu walimwengu wa zidi kushangaa naulimwengu kwaupigaji kazi wako hakuna akuwezae wewe ni kipa wa mataifa mungu awe nawe daima na akufanyie wepesi wa kazi zako inshaallah Amiina 🎉
Mchapa kazi na kutafuta haki popote aendapo. Walithani kutoka kwa Secretariet ya cyama CCM ni kumpunguzia sifa!!!la hasha...alikwenda kuwasaidia Wana Arushaa❤ Heko Makonde Serve the people
Naamini mama samia una plan nzuri sana na nchi yetu hii ya muungano tena naamin unataka uache alama nzuri sana katk nchi hii ila sasa watendaj wako ndio tatizo
Mh Makonda nifuraha tuu ndani ya mkoa wa Arusha piga kazi zidisha ubunifu walimwengu wa zidi kushangaa naulimwengu kwaupigaji kazi wako hakuna akuwezae wewe ni kipa wa mataifa mungu awe nawe daima na akufanyie wepesi wa kazi zako inshaallah Amiina 🎉
Mchapa kazi na kutafuta haki popote aendapo.
Walithani kutoka kwa Secretariet ya cyama CCM ni kumpunguzia sifa!!!la hasha...alikwenda kuwasaidia Wana Arushaa❤
Heko Makonde
Serve the people
Unafkiri wanapenda ukifuta na wanaiba kwenye hayo mashirika?ikiwezekana futa kama halina faida,kazi nzuri mama
Naamini mama samia una plan nzuri sana na nchi yetu hii ya muungano tena naamin unataka uache alama nzuri sana katk nchi hii ila sasa watendaj wako ndio tatizo
Mama anapenda maendeleo. Ndiyo maana nampenda sana. wanaombeza hawajawai kuongoza.
Makonda oyee 🔥🔥🔥🔥
Mpeleke mikoamikubwa hatamwanza au mulidishe kwenye uenezi wachama auhata mushauri waRais. anabusarapia.
Makonda yuko good sana
Tuheshimiane ndugu zngu hata me nataka kile kiti alichokalia mama xo tukumbukane biashara ya mitano Tena muache
Mama sisi wathirika wa kikokotoo atujapata iyoasilimia 7 atujapata vipi?
Futa unabembeleza nini ? Mheshimiwa Rais futa
Sema mama sema usiogope mitano tena
Ndugu yangu makonda mwenyezimungu amjarie aendere kuwa mbunifu kwenye mkoa wake
Huyu dogo awe president
Mupe mikoa mikubwa, mikubwa mheshimiwa
Mama mitano tena