RAIS SAMIA amnyooshea mikono RC MAKONDA kwa anayoyafanya ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 16

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 18 дней назад +2

    Mh Makonda nifuraha tuu ndani ya mkoa wa Arusha piga kazi zidisha ubunifu walimwengu wa zidi kushangaa naulimwengu kwaupigaji kazi wako hakuna akuwezae wewe ni kipa wa mataifa mungu awe nawe daima na akufanyie wepesi wa kazi zako inshaallah Amiina 🎉

  • @rwampororosamuel2329
    @rwampororosamuel2329 16 дней назад +1

    Mchapa kazi na kutafuta haki popote aendapo.
    Walithani kutoka kwa Secretariet ya cyama CCM ni kumpunguzia sifa!!!la hasha...alikwenda kuwasaidia Wana Arushaa❤
    Heko Makonde
    Serve the people

  • @trendings1293
    @trendings1293 18 дней назад

    Unafkiri wanapenda ukifuta na wanaiba kwenye hayo mashirika?ikiwezekana futa kama halina faida,kazi nzuri mama

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 6 дней назад

    Naamini mama samia una plan nzuri sana na nchi yetu hii ya muungano tena naamin unataka uache alama nzuri sana katk nchi hii ila sasa watendaj wako ndio tatizo

  • @ImaculathaMasuka
    @ImaculathaMasuka 18 дней назад

    Mama anapenda maendeleo. Ndiyo maana nampenda sana. wanaombeza hawajawai kuongoza.

  • @SamiraSamiri-c9h
    @SamiraSamiri-c9h 18 дней назад

    Makonda oyee 🔥🔥🔥🔥

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 18 дней назад

    Mpeleke mikoamikubwa hatamwanza au mulidishe kwenye uenezi wachama auhata mushauri waRais. anabusarapia.

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 16 дней назад

    Makonda yuko good sana

  • @alfredbee7967
    @alfredbee7967 18 дней назад

    Tuheshimiane ndugu zngu hata me nataka kile kiti alichokalia mama xo tukumbukane biashara ya mitano Tena muache

  • @user-le2ep5nq8c
    @user-le2ep5nq8c 18 дней назад

    Mama sisi wathirika wa kikokotoo atujapata iyoasilimia 7 atujapata vipi?

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 18 дней назад

    Futa unabembeleza nini ? Mheshimiwa Rais futa

  • @frankthadeo1679
    @frankthadeo1679 18 дней назад

    Sema mama sema usiogope mitano tena

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm 18 дней назад

    Ndugu yangu makonda mwenyezimungu amjarie aendere kuwa mbunifu kwenye mkoa wake

  • @ToivoJase
    @ToivoJase 17 дней назад

    Huyu dogo awe president

  • @ELIFASMADEBHO
    @ELIFASMADEBHO 18 дней назад

    Mupe mikoa mikubwa, mikubwa mheshimiwa

  • @MansourAbubakar-l2b
    @MansourAbubakar-l2b 18 дней назад

    Mama mitano tena