SAFARI YA YAKUBU KUTOKA TANZANIA🇹🇿 MPAKA POLAND3🇵🇱 /MASWALI AIRPORT/ UBAGUZI NA MAISHA YA POLAND

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Karibuni kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
    www.youtube.co....
    SUPPORT ME ON PAYPAL
    paypal.me/Rose....
    Email: franjomulato@gmail.com
    Instagram:@granaterosemary
    ##polandembassy #polandworkpermitvisa #workvisa

Комментарии • 45

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72  Год назад +7

    Hello wapendwa haya leo nimewaletea sehemu ya tatu ya safari ya YAKUBU NATUMAI Wale wanaopambana kutimiza ndoto zao mtajifunza mawili matatu msisahu kulike na kushea lakini mimi napatikana instagram kwa jina la @granaterosemary kwa wale wenye maswali private

  • @rachelfredrick7018
    @rachelfredrick7018 Год назад +3

    @Mama frajo safari ni za wakaka tu vipi kuhusu sisi wadada

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      hakuna kazi za wakaka tu kazi za wote wanaume kwa wanawake

    • @habibarnabas
      @habibarnabas Год назад

      @@mamafranjovlog72 habar mamy unaendeleaje samahani eti ukiwa unasafir kuja ulaya lazima uwe na COVID certificate...?

  • @tunauzapweza3501
    @tunauzapweza3501 3 месяца назад

    Kazi nzuri🎉

  • @user-sh6wr5mr2r
    @user-sh6wr5mr2r Год назад +3

    Wawezeshe wadada pia

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      kazi ni kwa wote wadada na wakaka hazina uchaguzi

    • @user-sh6wr5mr2r
      @user-sh6wr5mr2r Год назад +1

      Nilikufata messenger dada naona hujanijibu ukipata nafasi nijibu mpendwa

  • @ayubuzayumba
    @ayubuzayumba Год назад +1

    Napenda story zako hazichoshi dkk chache vip kuhusu KAZI pesa ipo leta maneno dada

  • @nadiromar9794
    @nadiromar9794 Год назад +1

    nilikuwa naisubiri kwa hamu sana😂 hatimai imekuja sante sana dada❤❤❤❤

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 9 месяцев назад +1

    Mimi si mbaguzi wa rangi, na sina chochote dhidi ya watu kama Yakobo, lakini maisha nchini Poland ni ngumu, bado ina ufisadi, matumizi mabaya ya nguvu, umaskini na kadhalika.

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  9 месяцев назад +1

      Watu kama yakobo una maana gani sijakuelewa 🤣maisha magumu kwananani pia bado sijakuelewa ?magumu kwa yakubu anaefanya kazi na kupata pesa zake na kusaidia familia yake au magumu kwa wapolishi sijakuelewa my dia malkia🥰🥰

    • @malkiawagiza1327
      @malkiawagiza1327 9 месяцев назад +1

      @@mamafranjovlog72 - Maisha ni magumu kwa Wapolishi. Poland ina wakazi mengi wa ng'ambo, na raia milioni 5 wa Poland wanakadiria kuishi nje ya nchi wakati huo.

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  9 месяцев назад +3

      @@malkiawagiza1327 okey sasa inausiana nini na yakubu ambaye anapiga zake kazi na anakusanya pesa zake ambazo bongo alikuwa hazipati na kufanya mambo yake hapo ndo sijaelewa

    • @GodfreyMdemu-uw2lv
      @GodfreyMdemu-uw2lv 6 месяцев назад

      @@mamafranjovlog72 dada achana nao hao ni wareware wenye chuki na watu wanao kwenda kupambana

  • @KhamisiMohamed
    @KhamisiMohamed Год назад +2

    Salute mpambanaji

  • @NizzoboyGnako-pm7ns
    @NizzoboyGnako-pm7ns 6 месяцев назад

    Hongera sana kijanà mwenzetu Kwa kufanikiqa safari hii hongera san a

  • @user-sh6wr5mr2r
    @user-sh6wr5mr2r Год назад +1

    Tunaomba msaada pia kwa wadada mama franjo

  • @happinessmbita3746
    @happinessmbita3746 Год назад +2

    Asante sana ❤

  • @user-kb7gl1ew4r
    @user-kb7gl1ew4r Год назад

    Yn ipo cku na mimi nitaota ka story kafupi kutaka tz to Poland ee wenyenzi mungu nisaidie nitimize ndoto zangu

  • @mariamjacob3094
    @mariamjacob3094 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤ soon I on the way

  • @gracekisenene1106
    @gracekisenene1106 Год назад

    Asante sana

  • @tatusule1328
    @tatusule1328 Год назад

    Salute

  • @mturukii
    @mturukii Год назад

    Nakubalii sister%

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Год назад +1

    Sister tupo pamoja tuna kufatilia

  • @shahiduzuberi-vm3hy
    @shahiduzuberi-vm3hy 5 месяцев назад

    Ulaya ulaya tu imagine mtu mwezi tu keshabadlika mwili unanawiri😂😊

  • @mrlongrichlongrichagent1929
    @mrlongrichlongrichagent1929 Год назад

    Dada tunaweza kuwasilianaje naomba kuzungumza na wewe

  • @poripori1902
    @poripori1902 11 месяцев назад

    Hi madam mbona hajasema alitumia agent gan ili tujue

  • @user-cr7lo3fv3m
    @user-cr7lo3fv3m 7 месяцев назад

    Minaitaji kwenda canada

  • @shawn-the-first.1643
    @shawn-the-first.1643 Год назад

    ❤❤❤

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 6 месяцев назад +1

    Ivi gharama ya Visa ya Poland ni kiasi gani

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  6 месяцев назад +1

      Ubalozini wanachaji dola 80 nafikiri au tisini sina uhakika sana nimesahah

    • @GodfreyMdemu-uw2lv
      @GodfreyMdemu-uw2lv 6 месяцев назад

      @@mamafranjovlog72 naitaji connection na ajent ario m'beba Said Poland

    • @bakiliabdallah1730
      @bakiliabdallah1730 2 месяца назад

      ​@@mamafranjovlog72Sister tunatak connection plz

  • @shailabushiri4578
    @shailabushiri4578 Год назад

    Ulibahatisha ukaguzi ambao siyo wa kuvuliwa ad viatu 😂😂