GIGY MONEY AFUNGUKA SABABU ZA KWENDA KANISANI/KUOMBEWA NA KUOKOKA RASMI/KUSALI NA WOLPER/SADAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tumepiga Story na Gigy Money

Комментарии • 64

  • @agnessmgaza3826
    @agnessmgaza3826 Год назад +28

    Wengi awawez elewa hyu dada hila usiombee yakukute maisha ya mtu ni fumbo hasa ukiwa yatima🙆🙆

  • @lucyrichard5117
    @lucyrichard5117 Год назад +6

    Akiii siwezi andika sana lakini NAKUPENDA SANA GIGY since day one ❤❤❤❤

  • @NasraNasa-mp7mf
    @NasraNasa-mp7mf Год назад +3

    Nakupenda sana gigy kwasababu unajikubali mwenyewe Ata watu wasemeje unahabariii nakupenda sana.

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Год назад +2

    Ila kasema kweli maisha fanya mweke Mungu mbele

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial Год назад +3

    Me nampenda dada gigy Mungu akubariki na mengine ambayo Mungu anayajua ni mema kwako

  • @asenathogallo2154
    @asenathogallo2154 Год назад +7

    Keep pressing ON gigy 👏 you'll never go wrong with God, he's good all the time and that's his nature 🙏

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Год назад +3

    Gigi unajua unajua unajua tena 🙌🙌🙌😅😅😅

  • @marciawambui1965
    @marciawambui1965 Год назад +5

    I love giggy, too real. God bless and keep you na ukae kwa mungu bby.

  • @agnesmwakyusa5767
    @agnesmwakyusa5767 Год назад +5

    Gigy nakupenda kinooomaaaa

  • @hallydaktari4370
    @hallydaktari4370 Год назад +2

    God is the only way my dear Gigy..keep going❤

  • @user-wx7tm2vf6i
    @user-wx7tm2vf6i Год назад

    yaani from my heart napenda one thing from her she is honestly trust c mnafki hata ila ukiweza kuwa mvulilivu na cmuongeaji utafka mbali sana

  • @michaelmymy1307
    @michaelmymy1307 Год назад +4

    Gigy mimi nakuerewagasana pia nakupenda pia dadayangu

  • @salmadamsungi1326
    @salmadamsungi1326 Год назад +4

    Gigy nakupenda,🥰

  • @MariamSaidy
    @MariamSaidy 4 месяца назад

    Hii gift ❤ love some.mouch ❤️ if icam tanzania 🇹🇿 iwill come to see

  • @HalimaAlly-oq4or
    @HalimaAlly-oq4or Год назад +1

    Gigi namkubali Sana, nampenda🌹

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Год назад

    Nimeokoka na ukija naokota😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-jz2ju2wx2m
    @user-jz2ju2wx2m Год назад

    Karibu sana kanisani kwetu Gigy Malisa baba lao

  • @saraphinamshana995
    @saraphinamshana995 Год назад +1

    Gigi in one in two😂😂😂🤣🤣🔥🔥🔥eti niwe kilema

  • @mezomezo4828
    @mezomezo4828 Год назад

    Mwanamke ww acha nakupenda sana jomon

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад

    Gigy usimuache Mungu

  • @tusajigwemwaipopo1331
    @tusajigwemwaipopo1331 Год назад

    Upo vizuri wakukaja

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Год назад +1

    Na wewe unalea mtoto wako mwenyewe nae atasema unavyosema. Mungu akusaidie hiyo roho ikutoke, uolewe na mwanao ajaye alelewe na baba na mama.

  • @walburgammassy2050
    @walburgammassy2050 Год назад +3

    Huyu bint Mimi namkubali Sana lkn kuna vitu anakula vinamchanganya kichwa ipo siku ataenda soba kabisa hayuko sawa huyu ila Mungu amsaidie tu namwombea sana

  • @rtam3150
    @rtam3150 Год назад +5

    Shenzi sana giggy 🤣🤣🤣ndio mana nakupenda bible hukubeba ety

  • @Gladness-vt3eg
    @Gladness-vt3eg 14 дней назад

    Gigy karibu kanisani Kwa Malisa malisa ni baba lao

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Год назад +8

    ahahahahha ameshaanza kuongea ujinga siku hata aijaisha

    • @zamdamasondole8272
      @zamdamasondole8272 Год назад

      😅😅😅😅😅Najichekea tu hapa

    • @mamags8828
      @mamags8828 Год назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @ELLYJ24
      @ELLYJ24 Год назад

      Ndo ujue huyo bado ana roho ile ile ya kishetani ingawa anajitangaza ameokoka

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Год назад +2

    Nimecheka gigy 😂😂😂😂😂

  • @HalimaAbdalla-ce7zj
    @HalimaAbdalla-ce7zj 7 месяцев назад

    Aiseeé gigi sijui jaman kwakweli mungu amuongoe ila mm bnabs nampenda gigi

  • @rahmatsumo3274
    @rahmatsumo3274 Год назад +9

    Giggy jamani 😂😂😂😂wee ni mjinga kweli eti rafiki zake nziii na mende

  • @barakabaliza639
    @barakabaliza639 Год назад +1

    Anaokoka anaokota maisha yanaendelea😂😂😂😂

  • @TheresiaSabas
    @TheresiaSabas Год назад +3

    Ila gigy jaman mcheshi pia

  • @mariamsimion7127
    @mariamsimion7127 Год назад +1

    😂😂😂😂 na mm ntakuja uko

  • @winiemwenda7824
    @winiemwenda7824 Год назад

    Gig unanawaje na izo kucha mamaangu au unakulaje jaman mbona mm mwezio sijaelewa

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 Год назад +1

    Ameimba Angel benad

  • @aishasalim2878
    @aishasalim2878 Год назад +2

    😂😂😂😂gigy wanichekesha kwel na hiyo kope yako moja

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад

  • @Mina.15
    @Mina.15 Год назад +3

    RIP kope moja 😂😂😂

    • @mamafelix-nk6dm
      @mamafelix-nk6dm Год назад

      Gigy nakupenda mkweli jaman eti nilikopa saadaka

  • @user-qw7un1nf2f
    @user-qw7un1nf2f Год назад +2

    Ila g money ww nampenda mkweli anaongea acheki anaisia

  • @waridimapunda1837
    @waridimapunda1837 Год назад

    😂😂😂😂❤❤❤

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 Год назад +2

    Sema Gigy bhana anajiona amefika yaani akitumika kwenye kitu utajua tuuu cos majibu yake kwenye interview yanajionesha kabisaaa hachukulii kazi aliyopewa serious only princess ndio anaichukulia serious hizi zingine utajua tuuu km katumika kalipwa mfyuuu😏 kuna baadhi ya kazi anazizarau lakini anafanya ila c ipasavyo ila poa

  • @nikitalucas2323
    @nikitalucas2323 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @nomar3708
    @nomar3708 Год назад +5

    The only religion is Islam. Jesus is not God but prophet of God. Learn Islam Gigi and revert you will have peace and contentment

    • @carlyjohn4705
      @carlyjohn4705 Год назад +8

      Next time usiseme hvyo tena, believe in what you believe don’t act to perish someone else to believe on your thoughts….

    • @slishdeby1208
      @slishdeby1208 Год назад

      To hell with you ,the only religion is islam .i wonder why some of this muslims pretend as if they are perfect or the only ones who know God .let people believe in what they want ,either muslim or christianity God is one .Use that ur big coconut head to think before u comment .with this stupid comment u seem evil and selfish person.

    • @veronicajuma1829
      @veronicajuma1829 Год назад +3

      huyu nae mchawi nini amini unachoamini ww usilazimishe watu kuamini unachoamini wewe

    • @carlyjohn4705
      @carlyjohn4705 Год назад +2

      @@veronicajuma1829 kwakweli watu huwa wana kwaza sanaaa eti bora ufate uislamu and so what ndo itakufikisha mbinguni ama?????? Yani ukikosa wisdom ndani yako ni sawa sawa na mtu bure tu kwa dunia hii…

    • @zuhraissa905
      @zuhraissa905 Год назад +1

      Correct