EXCLUSIVE: GIGY MONEY AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA/CHUMA ALIKUWA MPENZI WANGU/WEMA ALINIPIGIA SIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 184

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 7 месяцев назад +17

    Gigy ni mzuri sana jamani. Very pretty. Hata binti yake ni mzuri sana.

  • @macdee_tv7622
    @macdee_tv7622 7 месяцев назад +21

    Gigy you are a strong woman..kenya we love you

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 7 месяцев назад +7

    Huyu mange kimambi Mungu amwone.kwa kweli. Anadhalilisha sana watu. Iko siku atajutia kwa nini amewaaibisha hivyo.😢😢

    • @pcmchealthcare9339
      @pcmchealthcare9339 7 месяцев назад +1

      Shida sio mange shida iko kwa watz wachache wapuuzi tu na njaa zao wako na uroho wa pesa na wamepoteza utu pia ndo wanamtumia yy afanyeje sasa naye anataka kuishi😢 na haon taabu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 месяцев назад +3

    MashaAllah 🙏🙏🙏I didn't wanna talk to anybody but you "THE QUEEN"👑👑👑👑MashaAllah God bless.
    Mtu hapewi hii title bure,there must be something in you that she knows/sees.
    Keep shining momma,
    And keep growing gigi.

  • @SalvinJastin
    @SalvinJastin 4 месяца назад +3

    Nampenda huyu dada sana i wish one day nimuone 🥰

  • @1tripple9
    @1tripple9 7 месяцев назад +1

    "mdogo wangu..."🤣🤣
    my favourite part of the story

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 7 месяцев назад +6

    I love this interview 🔥🔥🔥

  • @nangatukatalks
    @nangatukatalks 7 месяцев назад +64

    Nashangaa sana kwanini serikali imekaa kimya kuna sheria za kimataifa na hata marekani anapoishi uyo mange hawakubaliani na vitendo hivi vya mtu kupost picha za utupu za mtu mwingine bila Ridhaa yake hili kosa kubwa sana. Huyu mange kimambi anatakiwa kushitakiwa na wote waliofanyiwa vitendo hivi wawe mashaidi. Tumeona watu kama kina r Kelly wanaenda jela uyo mange ni nani kwanza naiomba balozi ya Tanzania marekani waonyeshe kuwa wnafanya kazi kwa kumpa haki yake hii ni kesi ya deformation na pia kesi ya kusambaza picha za utupu za mtu bila ridhaa yake. Wanasheria wa kimataifa mpo wapi ?????? Serikali ipo wapiiii???? Wananchi wenu wanafanyiwa mambo haya kivipi ??????

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 7 месяцев назад +1

      Point kabisa.

    • @zaydelabay9776
      @zaydelabay9776 7 месяцев назад +1

      Kesi kama ulirekodiwa, ili ukijirekod mwenyewe watu wanapita nayo😅😅

    • @themontanas1852
      @themontanas1852 7 месяцев назад +1

      Wacha kusapoti vitu vichafu alifanya poa

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 7 месяцев назад +1

      Sababu yupo mbali na tz serikari wapole kweli nchi za wenzetu wanawake wanashimiwa ufanye ivyo kesi kubwa na wanamlipa Mange anajua sana

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 7 месяцев назад +5

      Ni kazi ndogo ya mara moja yan sema serikali inajifanya kipofu kwasababu huyo mange hapo marekan sio mbinguni ni mara moja tu anakamatwa na kwa anayofanya mange ipo siku nakwambia ipo siku atakanyaga sipo atarudishwa kama jambazi

  • @blessingsmary
    @blessingsmary 7 месяцев назад +4

    Gigy kiswahili iko sawa kizungu wachia waiengereza akii

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb 7 месяцев назад +15

    Tunasubiriaga tu youtube. Hatunaga haraka 😊

  • @silviasaleh4667
    @silviasaleh4667 7 месяцев назад +5

    Best makeup Gigi

  • @user-hc5gf3uw4g
    @user-hc5gf3uw4g 3 месяца назад

    This girl she's very strong

  • @AlamaAlama-gi6yl
    @AlamaAlama-gi6yl 7 месяцев назад +1

    Gigy uko vizuri mashaa Allah ❤

  • @maryvitalism
    @maryvitalism 7 месяцев назад +2

    I love you Gigy money ❤❤❤

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 6 месяцев назад +2

    Nachukia sana Maswali ya Kiswahili mtu anajibu Kingereza Kibovu.

  • @WhyMe-ro6nd
    @WhyMe-ro6nd 7 месяцев назад +26

    Nampenda Gigi Ila ana hitaji kuacha kuongea broken English yake it sooo annoying asf !

    • @Thebaddest255
      @Thebaddest255 7 месяцев назад +1

      It’s 😂yaani and so cringe

    • @MultiMbongo
      @MultiMbongo 7 месяцев назад +2

      Sijui ni nani aliewaambia wabongo kuongea kikoloni ndio inaonekana mjanja,Sasa hii interview ni ya kiingereza au kiswahili? Kamanapenda sana kizungu basi mfanye interview yote kizungu inatia sana kinyaaa

    • @pcmchealthcare9339
      @pcmchealthcare9339 7 месяцев назад

      Hahha akisema master J kuwa tunazingua na vingereza vyetu mnamuona bro vip acha wivu

    • @WhyMe-ro6nd
      @WhyMe-ro6nd 7 месяцев назад

      @@Thebaddest255 umeona ehh 😅

    • @WhyMe-ro6nd
      @WhyMe-ro6nd 7 месяцев назад

      @@MultiMbongo 👏

  • @marrymchaki9025
    @marrymchaki9025 7 месяцев назад +2

    Pole Sana gigy Mimi nakpenda Sana aijalishi❤

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 7 месяцев назад +10

    Zama nakushauri uwe unawambia unawahoji wasiongee kiingereza kwanza kibovu kwa kweli siwezi sikiliza mpaka mwisho

  • @bettyokito774
    @bettyokito774 7 месяцев назад

    I love you Gigy❤❤❤❤ from 🇿🇲🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲✌️🇨🇩

  • @allyfwady123
    @allyfwady123 3 месяца назад

    Giggy nakukubali Sana,napenda kujiamini kwako,haya Yana mwisho ucjali

  • @fatmahamad-ng8vp
    @fatmahamad-ng8vp 2 месяца назад

    gift nakupenda sana❤

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 7 месяцев назад +9

    Nimeskia mnasema kingereza kibovu umu ndani! Mbona naanza kuogopa kusikiliza kabla hata sijasikiliza?😊😊😊

    • @AzizNgitu-wk3ey
      @AzizNgitu-wk3ey 7 месяцев назад

      Kwani wewe ndo mwalimu wake???

    • @user-pz2vx6xo4f
      @user-pz2vx6xo4f 6 месяцев назад

      muong wew mpak kufika apa baas umeshasikiliza

  • @aminahomary2532
    @aminahomary2532 7 месяцев назад +1

    Nakupenda da zama mungu akubariki na familia yako❤

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 7 месяцев назад +8

    MKIHOJIWA NA WATU SIRIAS MNAFUNGUKA YOTE😊

  • @mauasumali-cm7gs
    @mauasumali-cm7gs 6 месяцев назад

    Giggy n mrembo sana wallah❤ lov her

  • @mwajabumbajo6560
    @mwajabumbajo6560 7 месяцев назад

    She is very smart!!!

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn 7 месяцев назад +3

    Jazamard muongee kiswahili jamaniii😅😅😅😅

  • @Rayan.Mohd.471
    @Rayan.Mohd.471 7 месяцев назад +3

    Poleee sana Gigi 😢

  • @Itsyourgirl_glory
    @Itsyourgirl_glory 6 месяцев назад +1

    Hata mimi niliangalia nikashindwa kumaliza, nilijaribu kuvaa viatu vya Gigy nyieee ni vizito. Nikasema hatakama Mange anamchukia Gigy kiasi ganiiii binti yake je? Mayra je? Aje aone utupu wa mama yake jamani💔💔hii mbona ni udhalilishaji sanaaa jamani? Vitu mtandaoni havifutiki😢😢 dah!

  • @user-uw6ih9wv6b
    @user-uw6ih9wv6b 7 месяцев назад +7

    Wanaume sometime muwemnajitambua unaporecord utupuwamtu juakabisa ile k atamamako anayo dadazakopia wanazo so msikafikiritu unamzalilisha gigi mwehu no unazalilisha wanawakewote dunian

    • @HadjiMbugi-hw2hf
      @HadjiMbugi-hw2hf 7 месяцев назад +1

      usitufananishie mama zetu na ushafu huo yaani mtu anafirwa duuh haoni hata aibu

    • @user-zq2qo7lp9i
      @user-zq2qo7lp9i 7 месяцев назад

      We mama Ako anakwambia vyote alivofanyiwa😂😂😂😂 we muheshimu mwanamke yoyote huwezi jua😂😂​@@HadjiMbugi-hw2hf

  • @WinfridaCharles-dp7nc
    @WinfridaCharles-dp7nc 7 месяцев назад +3

    Yaani watu hamumpendi gigy mnadis Lakin mko hapa hapa msiende kwa mnaowapenda

    • @pcmchealthcare9339
      @pcmchealthcare9339 7 месяцев назад +1

      Asie mpenda tena kaz kwake sio shida zetu maana ako na vituko vyake ndo tunampendaga 😅 siye

  • @user-qh8kl9mu5w
    @user-qh8kl9mu5w 7 месяцев назад +1

    Hii exclusive ni kali na wote mmependeza

  • @user-qh2cl3yb1m
    @user-qh2cl3yb1m 2 месяца назад

    Tupe full interview ya hii apa

  • @user-xm5hg9oy4b
    @user-xm5hg9oy4b 7 месяцев назад +1

    Gg nakupenda sana mwanangu,yanaumiza ila yatapita mama mm nakukubali sana

  • @irakozeshakiru1131
    @irakozeshakiru1131 7 месяцев назад +2

    Gigy ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-uw6ih9wv6b
    @user-uw6ih9wv6b 7 месяцев назад +4

    Tusiwewaongo sometimeinatokea unaweza uka date na mtu lkn usijue lengolake nachoshauri wanawake tusiwe tunajiachiakulewa hovyo

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia9018 7 месяцев назад +4

    Wabongo bana simuongee kiswahili 2 kizungu chenyewe mnangata 2 midomo ila 🎉🎉🎉nawapenda zama namamaira

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 7 месяцев назад +1

      Sawa tumekuskia! Nawewe jitahidi urudi shule ukajifunze kuandika, sasa sijui utarudia from standard one mana mhh zama namamaira

    • @sofiasophia9018
      @sofiasophia9018 7 месяцев назад

      @@vanessalaizer4363 nimeipenda hiyo nawapenda sana siku nikijaaliwa kuja jiji la daresalam nitawatafuta inshaAlla niwaona niwasalimie

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 7 месяцев назад

      Gigy anajua kiingereza perfect kabisa acha roho mbayaq

    • @user-pg6db8jl2y
      @user-pg6db8jl2y 4 месяца назад

      🤣🤣🤣🤣ww vp sasa unajua icho kiswahili au english

    • @vinny.morales
      @vinny.morales Месяц назад

      Rudi shule ukajifunze kuandika kwanza.

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 7 месяцев назад +3

    Comments 😂😂😂😂😂jmaaaaani kwani hamjui she's not okay and needs help 😢😢😢

  • @rosemaryjohn3860
    @rosemaryjohn3860 7 месяцев назад

    Wow Gigy I come to love her

  • @uyetomato9514
    @uyetomato9514 3 месяца назад

    gigy you are the best no mara waaa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 7 месяцев назад +1

    Binaadam utazunguka weeee, utajirusha weeee, utaringa weeee, lkn ikishafika wakati wa kujua FAMILIA ndio maisha ya binaadam ndipo unapoona kwamba ulikua mpumbavu Kwa kutingia PESA zako, UZURI wako, UMAARUFU wako,....ndio inakuwa too late, !...kwenye maisha ya binaadam FAMILIA ndio jambo la msingi kuliko yote..!

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 7 месяцев назад +2

    Ongea kiswahil sho if if if😅😅😅😅

  • @cyahmkanile8587
    @cyahmkanile8587 7 месяцев назад

    My gigy❤

  • @felistafelista7088
    @felistafelista7088 3 месяца назад

    I love you gigy i wish you well that was just small thing usijali alio ipost ile issue itamtatiza badae i hate him 😢😢😢😢😢 nakupenda gigy

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 7 месяцев назад +2

    Hakuna sheria za Kimataifa wa
    mshughulikie Mange Kimambi. Aletwe huku Tanzania kwanza afikishwe mahakamani pamoja na wale wanaompelekea video hizo wafungwe jela kwa miaka mingi.

  • @khayraa7374
    @khayraa7374 7 месяцев назад +1

    I understand mange kimambi job bt that lady has noooo idea how much Shes damaging peoples relationships/ image all fr sake of gossip 💔…. No women should be in this situation its absolutely sad

  • @user-bk2hz5pq7s
    @user-bk2hz5pq7s 2 месяца назад

    Interview za gigy sizioendi haongei lugha moja yaan inakera jaman kuchanganya lugha

  • @irenenyaulingo1319
    @irenenyaulingo1319 7 месяцев назад +2

    Gigy you're super hero i love u moree

  • @maryboniphace469
    @maryboniphace469 7 месяцев назад

    Nakupenda sana gigy

  • @josephineluzango1463
    @josephineluzango1463 7 месяцев назад +1

    Gigi akiwa na make up ni mzuri nyie kama black American flani❤

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 7 месяцев назад

    Chuma kwa chuma alinyonya bomba la dawasco la gigy mara gigy sura akaikunja akapigwa mkende mmoja hatari..lkn Instagram ana edit mpaka kiuno kuzungusha

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 7 месяцев назад +7

    Yan watz njaa ztawaua...
    Yan kila kitu app
    Zaman c mlikua mnatuonyesha RUclips. KWAN hampati pesa RUclips??

    • @vumi8371
      @vumi8371 7 месяцев назад

      😂😂😂

  • @DivineNiyogu
    @DivineNiyogu 7 месяцев назад +2

    Kizungu miiiiiiingi khaaa 😢

  • @eve3894
    @eve3894 7 месяцев назад +2

    JUST KEEP KISWAHILI PLEASE

  • @sumayyahally
    @sumayyahally 7 месяцев назад

    Nilimic interview za dada zamarad😊😊

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 7 месяцев назад

    Umependeza ggy❤

  • @NanaaHaji-qr1rk
    @NanaaHaji-qr1rk 6 месяцев назад

    Part 2 jmn

  • @magrethmodest-yp6fg
    @magrethmodest-yp6fg 7 месяцев назад +5

    Kwan nilazima kuongea English jmn😅😅😅 Hadi aibu

    • @user-ii1ro2vf9x
      @user-ii1ro2vf9x 7 месяцев назад +1

      Mbona gigy anaongea englsh nzur sana.....like american english

  • @princessofficial2558
    @princessofficial2558 6 месяцев назад

    My g❤❤❤🇨🇩🖐️

  • @dainecwilson7827
    @dainecwilson7827 3 месяца назад

    Yan gigy na kizungu jamn😂

  • @Norby00
    @Norby00 7 месяцев назад

    To be honest we live in a very complicated society everyone

  • @rosemery3017
    @rosemery3017 6 месяцев назад

    Nimeshindwa kukoment chochote 😢😢😢😢

  • @vickyitenyo.
    @vickyitenyo. 5 месяцев назад

    Gigy ongea tu Swahili.

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 7 месяцев назад +1

    Nimeacha kusikiza maana viingereza vyenu ni upumbavu ukizingatia wasikizaji wenu ni waswahili. By the way all the best

  • @user-mp9mx7tb6e
    @user-mp9mx7tb6e 6 месяцев назад

    ❤❤

  • @abletasharnetwork
    @abletasharnetwork 7 месяцев назад

    Wow 💚

  • @hamidawamba
    @hamidawamba 7 месяцев назад +5

    Ungeongea kiswahil yan broken imekuwa strong na hautulii kuskiliz maswal ya interview yan una papara

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 7 месяцев назад

      😂😂 miniko pharmacy akija mteja ambae hajui kingereza hua namwambia I'm speaking kiswahili hili language only

  • @lubungaetienealmasi1059
    @lubungaetienealmasi1059 7 месяцев назад

    Gigy akiitaji anaweza kumstaki yule jamaa kwakupitia ambassadeur y’a TZ inchi marecani ivyo anavizipiticho Mbona kesi ndogo sana anitafute mm ndamsaidia apate haki yake

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 7 месяцев назад

    Hivi mkulima ambaye hajasoma ameelewa nini kwenye mazungumzo hayo.Ni bora mh.Mtangazaji ufungue idhaa ya kiingeleza ili ueleweke zaidi.

  • @NatalieNzeyimana-fg8mg
    @NatalieNzeyimana-fg8mg 6 месяцев назад

    Muendelezo basi da zama😢

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Месяц назад

    Kwani Zamaradi huna mtu wa kumfedhehesha ila Gigy tu? Eti yuko famous kwa kipi ? Ufuska au wenda wazimu au uvutaji bangi?

  • @uyetomato9514
    @uyetomato9514 3 месяца назад

    gigy ni kichwa

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 7 месяцев назад

    Kiingereza gigy

  • @user-zf8xh8tv6c
    @user-zf8xh8tv6c 7 месяцев назад

    Mbn fupi part 2 ikwap

  • @user-hk4he8nv5f
    @user-hk4he8nv5f 7 месяцев назад

    Kingereza king alafu 😏😏😏😏😏

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 7 месяцев назад +4

    kila mtu mtoto wake anaakili 😂😂😂

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 6 месяцев назад

    Kumbe na una watu wanao kueshim maskin

  • @user-fw4wz6hg8x
    @user-fw4wz6hg8x 4 месяца назад

    Apunguze kingereza

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 7 месяцев назад +2

    Wabongo bwana hampendi lugha yenu ya kiswahili

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 7 месяцев назад

    Ila nyie mnaokazanag mnampenda Sana zama mnampendeaga nn😅😅mnampa tu kichwaa

  • @asiminasimin653
    @asiminasimin653 7 месяцев назад

    Ila Gigy mrembo jamani

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 7 месяцев назад +1

    KWELI DADA WA TAIFA KAWANYOOSHA. NMEKAA PALE KILA HOST LZMA ATAKUA NA APP LKN YA MANGE INANOGAAA ZAID. NYIE HAMNA JIPYAA. MTU HATA TISSUE HAMNA😂😂

    • @wennceslausmushi2356
      @wennceslausmushi2356 7 месяцев назад

      Wee nae huyo mange app kaipata juzi tulisha angalia cook with wema sepetu kitambo mbona

  • @dayanafelly1488
    @dayanafelly1488 7 месяцев назад +2

    Gigy siuongee kiswahili tu.. yaan unamixmix tu kingereza na kiswahil halafu english yako ni very broken hadi unakera🙄

    • @PreciousWilbroad
      @PreciousWilbroad 7 месяцев назад

      😂😂😂

    • @ArafaAmirAmir-ci7ld
      @ArafaAmirAmir-ci7ld 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

    • @Thebaddest255
      @Thebaddest255 7 месяцев назад

      😂😂yaani it’s so cringe

    • @rahmaoman470
      @rahmaoman470 7 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂na skuzote wasiojua ndo wanakuwaga na kiherehere

  • @user-bt1vl8nu5n
    @user-bt1vl8nu5n 7 месяцев назад

    Gig unapiga ngeli

  • @ZawadMussa-sd1od
    @ZawadMussa-sd1od 7 месяцев назад

    Kingereza kingi mi sijasoma

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 7 месяцев назад

    Ovyoo mashauzi mengi kwani kiswahili hamkijui ulimbukeni tu 😏😏😏😏yani unahojiwa kiswahili unaleta ujinga

  • @NanaaHaji-qr1rk
    @NanaaHaji-qr1rk 6 месяцев назад

    Maskin anaumia nyie😢

  • @user-gn4vu7ir7s
    @user-gn4vu7ir7s 7 месяцев назад +3

    Uyo gigy ata ajielewi wa ovyooo

    • @Thebaddest255
      @Thebaddest255 7 месяцев назад

      I agree with you 😂yaani I never understand her I don’t knw why ppl are hyping her

    • @salmasudi8901
      @salmasudi8901 7 месяцев назад

      Hata Mie sijawahi kumuelewa 🚮🚮🚮🚮

  • @hildasawe666
    @hildasawe666 7 месяцев назад

    two sided tabia za gemini hizo..

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 7 месяцев назад +2

    chizi ni chizi tu kingereza chenyewe kibovu alafu wala aoni masikin kujikuta mzungu kichaa

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 7 месяцев назад +1

    Hapa kwa mbali kam tonto dike kutoka Nigeria

  • @zalinaseif4430
    @zalinaseif4430 7 месяцев назад

    Gigi ulikua mjinga coz baada ya video ile uliingia ista laivu nakuaanza kuongea ujinga so machozi yako hayana maana. Coz ule niuzalilishaji ungeweza hata kumfungulia kesi

  • @user-km5jc6sv5f
    @user-km5jc6sv5f 7 месяцев назад

    Kwanini mtu urecord unapo fanya ngono na mtu ambae si mume wako yani mtu tu umeanza nae mahusiano siku mbili na kipande unakubali vipi akurecord that's being very idiotic

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 7 месяцев назад +2

    kumuoji chizi ni kipaji maana hajui hata maana ya hicho kipindi

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 7 месяцев назад

    Yaani she is going out the topic 😂jamani kinge hichi

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 7 месяцев назад +1

    Ungejiua kiukweli ningefurahi sana maana we bint unatia aibu sanaa

    • @kidatokassim7616
      @kidatokassim7616 7 месяцев назад +2

      😂kwani ni mwanao alafu Ivi wewe kwani haujawai tiwa ama ni vile za gigi zilivuja tu ndio unajifanya mtakatifu...ata ukute gigy kakushinda kupeana kizigo ww hujui na kama unajua record tuone 😂😂

    • @hadijaally5787
      @hadijaally5787 7 месяцев назад +1

      Watu wanjifnyg watakatifu

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 7 месяцев назад +1

      Wewe utatamani vipi mwenzio ajiue Kwan alipenda video zake zivuje? Ni kwabahati mbaya tu,,,ila mange Kwa alichomfanyia mange Yani kamfanya Gigi awe anasumu kama yake na itamtafuna gigi muda wote Yan,,tokea mange alivyofanyiwa baba. Ake ushenzi ule tena mbele ya watoto wake ikamualibu kisakolojia ndomana yote hayo yanakuwa

    • @SashaOscar
      @SashaOscar 7 месяцев назад

      Duuh 😂😂😂😂😂😂😂 basi ongeeni tu kizungu mwanzo mwisho,iki kizungu kitatufanya tufike mbinguni tumechoka 😢😢😢😢😢😢

    • @maimunaulotu2075
      @maimunaulotu2075 7 месяцев назад +1

      Huyu naye......anaongea kma hajawahi kutiwa....tena usikute unayabugiaga kuliko hta huyo ggy.....mjing....mmoja ww😏😏

  • @user-dv9ne4fn4b
    @user-dv9ne4fn4b 7 месяцев назад

    😅😅😅😅Gigy money una vituko wewe, leo umeamua kuongea kiswaEnglish😅😅😅😅😂😂😂😂😂ongea lugha yako ya Taifa wewe. Ulishaaibika duniani adi ahera. Ustaa utawaponza nyie

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 7 месяцев назад +1

    Tokaaaa bhana we si unajichetuaga 😂😂alafu si uongee kiswahili tu it’s so cringe na English yako alafu unapapatika yaani I don’t why they made u famous for 😂watanzania ndo mnapenda watu wanaojichetua

  • @samaliraven4210
    @samaliraven4210 7 месяцев назад

    ❤️❤️❤️

  • @cyahmkanile8587
    @cyahmkanile8587 7 месяцев назад

    ❤❤