SISHKIKI: SIWEZI KUISHI NYUMBA ISIYO NA SWIMMING POOL | RANGE NI KAWAIDA KWANGU | NILIUZA MITUMBA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Nimetazama leo kwa diva wafasi anaongea kama sijui nini but hapa anaongea kiswahili vizuri
Umezaliwa na swimming pool
Confidence
Mkiugua vitandanani msumbue watanzania mkiomba msaidiwe
Wapuuzi sana hawa unajisifu una pesa ila unakaa nyumba ya kupanga wajinga km hawa ndio hufilisika wakawa ombaomba
Mbona waongea kama una mafua??
Jenga nyumba yako bana usilipie kodi nyumba
Anamdomo mbayaa na pua mbayaa kama ndowana ya kuvulia samaki
Ila kakuzidi ela🙂tuongeshe wako uliemuumba mzuri
Lipo kaburi halina swiming pool utaweza tu kuishi mbna muone pua yke vile
Umasikini mmbaya sana tumia vile ambavyo Mungu amekujalia ushasema kabulini ss wanaenda walio hai au walikufa nyie ndio sababu ya kuwatia watu ujinga na kuwa fukala duniani
Shida huna ela😅