EXCLUSIVE; TAUSI NA MTOTO WAKE, MTOTO MREFU ZAIDI YA MAMA, TAZAMA MAHABA YAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2023

Комментарии • 105

  • @BiluchyluchyMwanarusiraselo
    @BiluchyluchyMwanarusiraselo 25 дней назад

    Kazi ya mungu Haina makosa mrefu anakufa mfupi anakufa kwa mwenyezi mungu hakuna tofauti mashallah hongera tausi

  • @sifauseni6900
    @sifauseni6900 Год назад +10

    Mungu akutangulie kweli dada yangu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 Год назад +3

    Allah akujaalie Dada na akujaze majazo mema Tausi wetu

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +16

    MASHALLAH mtoto Mzuri mungu Atukuzie mtoto wetu Amiiin 🤲

  • @user-ro3ld6xo5z
    @user-ro3ld6xo5z Год назад +1

    Dada mwalimu hongera sana unamaelezo yaliyo nyooka vizuri hadi raha mpaka nimetamani namimi nim tanzania naniko namtoto mdogo bc ningemuomba mungu akanijalia kumleta hapo kwaiyo shule yenu ukovizuri sana dadangu upande wamtoto P mashaAllah nimrembo mungu amuhifadhi namacho yawabaya mlee malezi mazuri dadangu uyo mtoto atakujakusaidia inshaallah

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +15

    Happy birthday to you 🎂🎉🎈 mtoto mzuri mungu akukuze nyema Ameen 🙏

  • @manziwamalindi804
    @manziwamalindi804 Год назад +15

    Mimi nampenda tausi mpaka kufa kwangu yaani hana maringo nahajigambi kama wengine much love from kenya

  • @husseinparco9640
    @husseinparco9640 Год назад +2

    Kwani tausi yy kaomba kuwa hivo jamani tukumbuke km yote haya ni mwenyewe muweza Allah anaweza kufanya atakalo tushukuruni alhamdulilah

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Год назад +5

    Hongera Tausi Happy birthday mtoto cute

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Год назад +2

    Ur the best mother Tausi... Hongera sana

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 Год назад +1

    Hongera sana dada Tausi,mshkru mungu dada kakapa kabinti karembo hatari😍💕❣️❣️🌹🤩👏🙌👈

  • @agnerapius7244
    @agnerapius7244 Год назад +2

    Mtoto mzuri sana hongera dada tausi mungu akukuzie 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @mecktildatushabe7898
    @mecktildatushabe7898 Год назад +4

    Happy birthday for her💯💖💖💖 uishi miaka mim mingi mtoto mzuri

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +2

    Ongera sana Taus,mungu aendelee kuwa mkubwa.

  • @noru9028
    @noru9028 Год назад +1

    Happy birthday mtoto mzuri🎉🎂 Allah akukuzie mtto wako mashallah 😍

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 Год назад +2

    Happy birthday to you mtoto mzuri usipende kumpa pesa ya kununua Maputo SI mazuri Yana hatari sana kwa watoto

  • @esthersamwel3932
    @esthersamwel3932 Год назад +3

    Mtoto mzuriiii mashalaah ♥️♥️♥️

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 Год назад +6

    Tumwacheni Mungu aitwe Mungu jamani

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 Год назад +8

    Mtoto mzur mashaallah Allah Akuekee Inshaallah.❤

    • @faizabbas4620
      @faizabbas4620 Год назад +1

      Assalam aleikum Ruwaida ...vp hali yko...can i get your whatapp no?

    • @ruwaidaal-ismaily9099
      @ruwaidaal-ismaily9099 Год назад +1

      @@faizabbas4620 Unataka Wajae kwenye sim yangu .niweke namba hapaههههه

  • @julytito3891
    @julytito3891 Год назад

    Happy birthday kipenzi mtoto mzuri Hongera pia kwako mama Kwa malezi Mungu amlinde sana na kibali Cha Mungu iwe juu yake🍼🥛🍼

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад +5

    MashaAllah

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Год назад

    Hongera tausi munguanikuzie mwanao inshaallah

  • @jeniphersamson1502
    @jeniphersamson1502 5 месяцев назад

    Hongera dada tausi

  • @hafsa05adil32
    @hafsa05adil32 Год назад +2

    Mrembo mungu akuwekeee

  • @joycemgaya1605
    @joycemgaya1605 Год назад

    Hongera tausi kipenzi kwa kukuza mwenyezi mungu akutunzie

  • @aminambwana5294
    @aminambwana5294 Год назад

    Me too am happy for you tausi mtoto mtamu jaman,

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Год назад +2

    Sema mashaallah

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 Год назад +1

    MashaAhh na hongera bi tausi

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +4

    Sasa jamani Cha kushangaza nn wakati tunajiwa Kuna mungu?? Sababu hata huyo Tausi Hakuzaliwa na wafupi aAlizaliwa na watu warefu

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Год назад +1

    maa shaa Allah

  • @asiminasimin653
    @asiminasimin653 Год назад +3

    Mashaallah

  • @asmaal-bahanta1590
    @asmaal-bahanta1590 Год назад +1

    Ma sha allah 💕 my sister

  • @shamilamo9159
    @shamilamo9159 Год назад

    Mashaallah hongera mwaya

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад

    Happy birthday beautiful gal 🎂🎉🎊🎈many yrs to come, Amin 🤲🤲

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Год назад

    Beautiful girl ❤❤❤. Happy birthday to the princess ❤

  • @aishajeanine3552
    @aishajeanine3552 Год назад +2

    Penda saaana tausi wangu ❤💪🏽

  • @hildamakala178
    @hildamakala178 Год назад

    Hongera my

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 Год назад

    Hongera tausi sana

  • @Maha-fl9qe
    @Maha-fl9qe Год назад

    P, ananidhamu Ma shaa Allah.

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 Год назад

    Masha allah

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Год назад

    MashaAllh 🥰🥰🥰

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Год назад +2

    Mama P anampenda mwanae mwenyewe hataki achafuke hata kidogo, anamtengeneza tengeneza, safi sana Tausi.

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Год назад +1

    Hbd Mrembo wetu ❤️❤️🙏🙏

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Год назад +1

    Mashallah anadeka mletee mwezake 🤣happy birthday beautiful girl more years to celebrate 🎉 🎂🍼

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 Год назад

    Mungu akuwekee mwanao waloho mbaya wa ache wafrika sisi tunaoneana wivu chuki unafki mumwachieni mwenzenu mtoto kila manadamu alitumwa na muumba wake ili aonyeshe matunda aliopandikiza katika mwili wako ya yachanue nao duniani ulivyo zailwa acha na mwengine azae na alee kiumbe alichokipewa na muumba wake

  • @biubwasuleiman2983
    @biubwasuleiman2983 Год назад

    Tatu mzuri mashallah namwanawe

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад +1

    Maashalla maashalla

  • @rachellezawadi4827
    @rachellezawadi4827 Год назад +3

    She’s so beautiful

  • @rizikishukuru7490
    @rizikishukuru7490 Год назад +1

    Mashallh 🥰🥰🥰🥰

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Год назад

    Hapybirthday mtoto wewetu mungu akulinde zaidi

  • @aishatarimotarimo2689
    @aishatarimotarimo2689 Год назад

    Mashaallah jaman

  • @tamashaally8049
    @tamashaally8049 Год назад

    Katoto kazuri Mash'Allah

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +3

    Sio hoja mbona mungu anaumba anavotaka sio kuwa wafupi watoto wafupi au warefu uzae warefu sio hoja

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Год назад

    Mashaallah🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @hamidasaidy9871
    @hamidasaidy9871 Год назад

    Happy birthday to you my baby girl 🎉🎂💐♥️♥️

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Год назад

    Mmh mtangazaji bhana!!!

  • @lucygichi3666
    @lucygichi3666 Год назад

    Hatokua Kama mamake😔very sad haezi kutumia lugha nzuri kiasi? kwani what's wrong hata angekua mfupi she is still an angle✌️

  • @NampuguJoanhita
    @NampuguJoanhita 5 месяцев назад

    Happy birthday beautiful 🌹🌹🌹🌷 bby gal

  • @blasidafussy1364
    @blasidafussy1364 Год назад

    Mungu akukuzie Binti yko Tausi happy birthday to you mtoto mzuri Mungu akulinde nakupenda ❤️

  • @recho2743
    @recho2743 Год назад +2

    Cute

  • @kwizeralajoie3619
    @kwizeralajoie3619 Год назад

    Very nice

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt Год назад

    I wish you baby girl ❤️💕❤️😘❤️😘❤️ llove so much

  • @Eva-dk4qz
    @Eva-dk4qz Год назад

    Mungu waajabu sana alizaa bila opareshen

  • @halimaabdallah8775
    @halimaabdallah8775 Год назад +1

    Ee uyu muandishi kama fala anahisi kwann kamkataa vep mungu sindo anapanga mtt afanane na nani ebu msomee uandishi vzr maninaa😏

  • @SarahDaniel-hr9nq
    @SarahDaniel-hr9nq Год назад

    Mzuriiiii

  • @zuhurakhasimu969
    @zuhurakhasimu969 Год назад +3

    Mashaa Allah hongera tausi

  • @clintabrahams7040
    @clintabrahams7040 Год назад

    Nice

  • @mustafaalsulmai8503
    @mustafaalsulmai8503 11 месяцев назад

    mashallah

  • @EstherTriphon
    @EstherTriphon 2 месяца назад

    Happy birday to yuu

  • @user-uc8om2bq3t
    @user-uc8om2bq3t 6 месяцев назад

    Happy birthday to you

  • @jemimahmwa8849
    @jemimahmwa8849 Год назад +2

    Pongezi Sana tausi

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 Год назад

    Hbd baby girl P💝🌹🍎🎂🥤💃

  • @nasra3523
    @nasra3523 Год назад +1

    Kazur katto cheke mashaalha usda zimpitiembali

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Год назад +2

    Ogera dada

  • @maryambigirimana987
    @maryambigirimana987 Год назад

    Jamani mutoto watausi nimu zuri kabsaaaa ongera sana

  • @joleal7941
    @joleal7941 Год назад

    Tausi ongera san

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Год назад

    Tausi hongera sana kwa malezi mazuri na majibu yako ..eti baba yake anajishughulisha na nini! 🙄

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад +1

    Kwanini usiulize wazazi wa Tausi ni wafupi au warefu? Maana maswali yko ni yakipumbavu kiasi fulani, mtu mfupi cio kwamba vizazi vyake vitakuwa vifupi... Wapo warefu wamezaa mbilikimo na wapo mbilikimo wamezaa watoto warefu.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад

    Mmh hizi shule za siku hizi haziekeweki ni shule au vituo vya birthdays

  • @magrethrhobi7494
    @magrethrhobi7494 Год назад +2

    P Mungu' akutunze🙏
    Ama kwa hakika wewe ni mrefu!
    Una miaka 3 lakini unalingana urefu na mamayo😂

    • @khairatsuleiman4606
      @khairatsuleiman4606 Год назад

      Hakika Mungu hajawahi kukosea Katika kuumba kwake au kuhtaj msaada WA mawazo kutoka kwa viumbe juu ya viumbe.
      Ametukuka Allaah subhaanahuu Wataala mbora WA kila kitu.

  • @habibajohn8967
    @habibajohn8967 Год назад

    🥰🥰🥰🥰

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад +1

    Mna muona mwalim anavyo fanana tukiwa wazima mtafteni baada ya myaka 20 ata kuwa ivo ivo mi sijuwi walim mna tumiya mbinu gani

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад +4

    Uyu mdada mtangazaji ana sauti nzuri sana

    • @bintqassimidarous1636
      @bintqassimidarous1636 Год назад

      Tena saa nyengine sauti yake uyo mtangazaji inakuja kama ya Zamaradi Mketema kwambaali anasauti nzuri kweli

    • @zuhurakhasimu969
      @zuhurakhasimu969 Год назад

      Huwa nampendaga mtangazaji
      Halafu ni mcheshi love you ♥️🥰

    • @khairatsuleiman4606
      @khairatsuleiman4606 Год назад

      Ila anafeli ktk kuhoji umbile la mtu.
      Yeyte ana madhaifu yake.
      Hakuna aliekamilika
      Mrefu ataingia motoni kwa madhambi yake n'a kinyume chake.

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад

    Mbona kachukua pia kwa mama??

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Год назад

    Nimuzuri

  • @sophiapeter7843
    @sophiapeter7843 Год назад

    Katoto kazuri Sana🙏🙏.Mungu amtunze

    • @newhopeonline5818
      @newhopeonline5818 Год назад

      Hongereni Baba na Mama P, Nimefurahi Mungu mkuu sana ila Kuna watu tu hawajaelewa ukuu wake

  • @mawazomwamba2667
    @mawazomwamba2667 Год назад

    ❤️❤️❤️🔥🔥🔥💋💋🥰🥰🥰🙏🙏🙏🙏

  • @sankofaman4112
    @sankofaman4112 Год назад

    Hiki ki Tausi kina sura nzuri sana. huyo jamaa anatakiwa akikamue kama vitoto kumi hivi chapchap.🤣🤣🤣🤣🤣🤣