TAUSI ALIVYO TESWA NA UCHAWI WA DADA WA KAZI, ALIKUWA MCHAWI ,MTOTO WANGU ALIKUWA HANIITI MAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 54

  • @yasinthaprosper4226
    @yasinthaprosper4226 Год назад

    Tausi pole na yaliyokukuta Mungu alijua hayo yote na ana makusudi makubwa nawe, Usimwache Mungu muweke yeye WA Kwanza maishani. Ubarikiwe Sana Kwa uchaguzi na maamuzi yako mazuri Naya faida mnooo. Amen.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Год назад +4

    Hii ndiyo anafundisha mtumishi wa Mungu Gwajima, unakaa na mtoto unadhani ni mwanao kumbe hayupo! Au mume au mke hamuelwani ndani kumbe hayupo! Ametekwa amefichwa, hapa kunahitajika Neno la Mungu kufungua...

  • @TheresiaMage
    @TheresiaMage 5 месяцев назад

    ❤🎉stor napendag San stori wadada wa kazi acheni uchawi💖💝♥️

  • @yasinthaprosper4226
    @yasinthaprosper4226 Год назад

    Nimetokea kukupenda Sana mtangazaji jmn unajua kumuinterview MTU vzr mnooo , na unajua kutangaza vzr sijui nisemeje Yan nikikusikiliza nasikia matamu moyoni, najisikia vzr kweli uko vzr Mungu aendelee kukuwezesha ukawe mtangazaji mkubwa. Amen.

  • @tuombesunzuesperance5196
    @tuombesunzuesperance5196 Год назад +1

    Amen dada Barikiwa sana Mungu aendelee kukuinuwa

  • @navokisembo
    @navokisembo Год назад +1

    Barikiwa Tausi endelea na wokovu wako dear❤

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga1642 Год назад

    Duuu haya maisha bila Mungu kazi bule Pole kwa mapito Tausi

  • @rehemakomba6376
    @rehemakomba6376 Год назад +1

    Mungu azidi kukufunilia mengi zaidi na kikutea tausi wetu

  • @rajabunyambi541
    @rajabunyambi541 Год назад +2

    saf sana tausi mungu atakusimamia ufike mbali

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 Год назад +3

    Nawapenda sana from kenya na mtangazaji nakupenda na sauti yako ni nzuri sana dadangu ❤❤❤you all

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Год назад +2

    Wallah mwanzangu ana enda miaka 20 lakin akir zake ni kama mtto wa miaka 5 adi juz nme sema hii sio kawaida nadhan nae akir yake ipo ulimwengu ungine

  • @NgomwaACNTV
    @NgomwaACNTV Год назад +4

    Napenda uyo dada anavyo ongea from 🇲🇿🇲🇿

  • @sarafinajuma1472
    @sarafinajuma1472 Год назад

    Pendaaa Sanaa tausi mungu azid kukufunulia zaid

  • @celestineniyibaruta4805
    @celestineniyibaruta4805 Год назад

    Na umechaguwa njiya sahihi mudogo wangu mungu ndo mukuu wawa kuuu ulimwenguni pote

  • @winfreyemmanuel
    @winfreyemmanuel Год назад

    Mungu akubariki aana kwa kukujikuba

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Год назад +2

    Pole Tausi yanatisha

  • @estermahenge5972
    @estermahenge5972 Год назад +2

    Ndugu mtangzaji una sauti nzurii

  • @annamussa185
    @annamussa185 Год назад +7

    Wadada wa kazi wachonganishi na hao manabii wengine wachonganishi wamegeuka kuwa kama waganga wa jadi wapiga Ramli Sasa kuwa makini na hao watumishi wenu wapiga pesa

  • @lilianjustine2616
    @lilianjustine2616 9 месяцев назад

    Aisee

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba5288 Год назад

    Tausi ukioka unararua moyo wako sio mavazi Unaweza okoka ka na ukafanya kazi' Yako ya uigizaji na ukawa smart na ukampenda MUNGU na kutoa sadaka zako ma biashara zako

  • @noornasir4378
    @noornasir4378 Год назад +3

    Nimeipenda style ya rangi ya kucha

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Год назад +2

    Tausi kwa kweli ameokoka sababu maelezo yake ina busara kabisa

  • @bijoux20
    @bijoux20 Год назад +1

    Amen Mungu mkubwa sana

  • @celestineniyibaruta4805
    @celestineniyibaruta4805 Год назад

    Mungu amekupigania kiwukweli Amen

  • @adelaungwa9232
    @adelaungwa9232 Год назад +1

    Wow very very Nice♥️♥️♥️♥️

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Год назад

    From kenya I like hio story

  • @kitomondo
    @kitomondo Год назад +1

    Tujitahidi tupate elimu maishani mwetu.

  • @ashatybella8641
    @ashatybella8641 Год назад

    Mtagazaji wemgumu kuhelewa ashakwambiya alikuwa nachukuwa mtoto hinamanisha alikuwa namchukuwa kihuchawi hata wewe hapo hujuwi if husiku hunapelekwa wapi🤷‍♀️

  • @bonifaceetyang4453
    @bonifaceetyang4453 Год назад

    Plzzz mtu asiongele mtumishi wamungu vibaya if mtu hamini kunamungu achane nawengine

  • @adorostakatikiro2247
    @adorostakatikiro2247 Год назад +2

    Ongera Sana mwanangu yadunia yamepita mungu ni mwema

    • @evarahma9409
      @evarahma9409 Год назад

      Alafu uyo dada wa tausi me nimesomanaye jamni

    • @taturajabukhalfani7953
      @taturajabukhalfani7953 Год назад

      @@evarahma9409 kwahiyo alikuwa popo wakati mnasoma nae au!?????

  • @happyeusebius3407
    @happyeusebius3407 Год назад +1

    Waoooo tausi Mungu nimwema

  • @anikaanikaa7617
    @anikaanikaa7617 Год назад +1

    Tuweni makini jamani na wadada uchawi upo

  • @Raya171
    @Raya171 Год назад +2

    Duh maisha haya hakika mungu ni mwema

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 Год назад

    Mwezetu ujaokoka kwani ushakua mkirsto mwwzetu. Hapo hajarogwa umertad mwwzetu sasa hapo utayaona mengi shoga

  • @LumièreMwangaza-x4d
    @LumièreMwangaza-x4d 8 месяцев назад

    Dada ulenimutumishi namungu amubariki na atukumbuke sa'na

  • @clementinewilondja7268
    @clementinewilondja7268 Год назад +4

    Walai dunia hii ni balaa,usilolijua nikama.....

  • @joleal7941
    @joleal7941 Год назад

    Tausi nakupenda dada umepotea❤

  • @fedhandunga5935
    @fedhandunga5935 Год назад +2

    Tausi anaongea ukweli

  • @khatimabdallah8143
    @khatimabdallah8143 Год назад +1

    Saa umeokoka nini na unaishi na mwanaume bila ndoa kheeeh😏

    • @Mohabmts
      @Mohabmts Год назад

      Soma 1 Wakorintho 7

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Год назад +1

    Duuh

  • @shillahkenny4818
    @shillahkenny4818 Год назад

    Tausi unazngua