Tausi pole na yaliyokukuta Mungu alijua hayo yote na ana makusudi makubwa nawe, Usimwache Mungu muweke yeye WA Kwanza maishani. Ubarikiwe Sana Kwa uchaguzi na maamuzi yako mazuri Naya faida mnooo. Amen.
Hii ndiyo anafundisha mtumishi wa Mungu Gwajima, unakaa na mtoto unadhani ni mwanao kumbe hayupo! Au mume au mke hamuelwani ndani kumbe hayupo! Ametekwa amefichwa, hapa kunahitajika Neno la Mungu kufungua...
Wadada wa kazi wachonganishi na hao manabii wengine wachonganishi wamegeuka kuwa kama waganga wa jadi wapiga Ramli Sasa kuwa makini na hao watumishi wenu wapiga pesa
Tausi ukioka unararua moyo wako sio mavazi Unaweza okoka ka na ukafanya kazi' Yako ya uigizaji na ukawa smart na ukampenda MUNGU na kutoa sadaka zako ma biashara zako
Mtagazaji wemgumu kuhelewa ashakwambiya alikuwa nachukuwa mtoto hinamanisha alikuwa namchukuwa kihuchawi hata wewe hapo hujuwi if husiku hunapelekwa wapi🤷♀️
Tausi pole na yaliyokukuta Mungu alijua hayo yote na ana makusudi makubwa nawe, Usimwache Mungu muweke yeye WA Kwanza maishani. Ubarikiwe Sana Kwa uchaguzi na maamuzi yako mazuri Naya faida mnooo. Amen.
Hii ndiyo anafundisha mtumishi wa Mungu Gwajima, unakaa na mtoto unadhani ni mwanao kumbe hayupo! Au mume au mke hamuelwani ndani kumbe hayupo! Ametekwa amefichwa, hapa kunahitajika Neno la Mungu kufungua...
❤🎉stor napendag San stori wadada wa kazi acheni uchawi💖💝♥️
Nimetokea kukupenda Sana mtangazaji jmn unajua kumuinterview MTU vzr mnooo , na unajua kutangaza vzr sijui nisemeje Yan nikikusikiliza nasikia matamu moyoni, najisikia vzr kweli uko vzr Mungu aendelee kukuwezesha ukawe mtangazaji mkubwa. Amen.
Amen dada Barikiwa sana Mungu aendelee kukuinuwa
Barikiwa Tausi endelea na wokovu wako dear❤
Duuu haya maisha bila Mungu kazi bule Pole kwa mapito Tausi
Mungu azidi kukufunilia mengi zaidi na kikutea tausi wetu
saf sana tausi mungu atakusimamia ufike mbali
Nawapenda sana from kenya na mtangazaji nakupenda na sauti yako ni nzuri sana dadangu ❤❤❤you all
Wallah mwanzangu ana enda miaka 20 lakin akir zake ni kama mtto wa miaka 5 adi juz nme sema hii sio kawaida nadhan nae akir yake ipo ulimwengu ungine
Mpeleke kwa Mwamposa akaombewe atapona
Napenda uyo dada anavyo ongea from 🇲🇿🇲🇿
hu upuuuzi msilushe .hakuna mchawi. na uyo kuhan mnatupangaa
Tausi
Subuhanallah
Pendaaa Sanaa tausi mungu azid kukufunulia zaid
Na umechaguwa njiya sahihi mudogo wangu mungu ndo mukuu wawa kuuu ulimwenguni pote
Mungu akubariki aana kwa kukujikuba
Pole Tausi yanatisha
Ndugu mtangzaji una sauti nzurii
Wadada wa kazi wachonganishi na hao manabii wengine wachonganishi wamegeuka kuwa kama waganga wa jadi wapiga Ramli Sasa kuwa makini na hao watumishi wenu wapiga pesa
Kweli kabisa
Aisee
Tausi ukioka unararua moyo wako sio mavazi Unaweza okoka ka na ukafanya kazi' Yako ya uigizaji na ukawa smart na ukampenda MUNGU na kutoa sadaka zako ma biashara zako
Nimeipenda style ya rangi ya kucha
Weumependa kuchatuu
Tausi kwa kweli ameokoka sababu maelezo yake ina busara kabisa
Amen Mungu mkubwa sana
Mungu amekupigania kiwukweli Amen
Wow very very Nice♥️♥️♥️♥️
From kenya I like hio story
Tujitahidi tupate elimu maishani mwetu.
Mtagazaji wemgumu kuhelewa ashakwambiya alikuwa nachukuwa mtoto hinamanisha alikuwa namchukuwa kihuchawi hata wewe hapo hujuwi if husiku hunapelekwa wapi🤷♀️
Plzzz mtu asiongele mtumishi wamungu vibaya if mtu hamini kunamungu achane nawengine
Ongera Sana mwanangu yadunia yamepita mungu ni mwema
Alafu uyo dada wa tausi me nimesomanaye jamni
@@evarahma9409 kwahiyo alikuwa popo wakati mnasoma nae au!?????
Waoooo tausi Mungu nimwema
Tuweni makini jamani na wadada uchawi upo
Duh maisha haya hakika mungu ni mwema
Mwezetu ujaokoka kwani ushakua mkirsto mwwzetu. Hapo hajarogwa umertad mwwzetu sasa hapo utayaona mengi shoga
Dada ulenimutumishi namungu amubariki na atukumbuke sa'na
Walai dunia hii ni balaa,usilolijua nikama.....
Tausi nakupenda dada umepotea❤
Hongera sana Tausi kwa kuokoka
Tausi anaongea ukweli
Saa umeokoka nini na unaishi na mwanaume bila ndoa kheeeh😏
Soma 1 Wakorintho 7
Duuh
Nimependa maamuzi yako kumgeukia mungu mpendwa
Tausi unazngua
Wacha yakukute ndio utajua