MKE AFICHUA MADUDU YA MUME WAKE, PICHA ZA UTUPU, APIGWA NUSU KIFO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 644

  • @Reginasingu
    @Reginasingu Месяц назад +3

    😢pole my dada mungu at kusaidia

  • @josephrobinmalafyale8416
    @josephrobinmalafyale8416 Год назад +19

    Pole sana dada ake mungu atakusaidia utapata mtaji au utapata mume bora

  • @evelynochola4743
    @evelynochola4743 Год назад +11

    Pole sana mdogo wangu. Pia nakuomba ishi maisha yako. Mungu atakupa mume mzuri na utaishi maisha ya raha.

  • @cecilianyamai8771
    @cecilianyamai8771 Год назад +36

    Pole dadangu nimekuona nokakumbuka 2019 nilipigwa Kama wewe mpaka nikalazwa hos miezi nne bt 4 now nashukuru mungu nimepona nanimerudi kwa boma nachunga watoto bt niiiaza shinda nikiwa na mtoto mmoja na nikashindwa niende wapi bt nataka kukuambia tafadhali dadangu achana na huyo mwanaume na uaze kazi ulee watoto na mungu atakutafutia mwanaume anayekufaa nakutakia uponyaji wa haraka na umusamehee huyo mwana ume na umuondokee ,

    • @ismailmsisa6362
      @ismailmsisa6362 Год назад +3

      Huyu dada anahitaji suluhu na mmewake ila Huyu mtangazaji kuma2 kama kumazingine anaongea kama anafirwa

    • @zubeidashabhan2188
      @zubeidashabhan2188 Год назад

      @@ismailmsisa6362 nkt waongea vipi wewe

    • @debolajemsi
      @debolajemsi Год назад

      Pole sana dada ang mung atakujalia utakuwa sawa

    • @fauziaabbas8050
      @fauziaabbas8050 10 месяцев назад

      😢😢😢

    • @rozlysara-cy8qi
      @rozlysara-cy8qi 10 месяцев назад

      ​@@ismailmsisa6362Mungu akurumie kuma iyoiyo ndoilikutoa apa duniani muwe namipaka kwakuongea uruma sana 😢😢

  • @manyotasutta
    @manyotasutta 2 месяца назад +1

    Pole sana dada maisha ni safari iliyojaa misukosuko vumilia utafika ninacho kushauli ukeshe ukiomba mungu

  • @MwajumaIbrahim-x4q
    @MwajumaIbrahim-x4q Месяц назад +1

    Pole San dadag mushukuru mungu upo salam

  • @TinaChiphwafu
    @TinaChiphwafu Месяц назад +1

    Pole sana dada ndoa sio vitaachana nayo

  • @MiriamMlele
    @MiriamMlele 2 месяца назад +1

    Pole sana mungu atakusaidia kama umeona na yamekupa usirudi nyuma mungu atakuinulia watu wa kukusaidia

  • @RuthElifathar
    @RuthElifathar 2 месяца назад +1

    Mwanangu pole sana nakushauri hudhuria madhabahuni ngome ya Yesu Kristo kimara temboni, huyo mkwe hana nia njema, na ukizingatia ndugu zake hawakupendi njoo ngomeni kwa kuhani Musa uvunje hiyo roho inayomsukuma kukudhuru huwezi kujua anawaza nini! Ukisikia sauti yangu umepona

  • @NiceAndrew-x5z
    @NiceAndrew-x5z Месяц назад +1

    Pole sana dada yangu mungu ata ingilia kati

  • @simoncharles683
    @simoncharles683 Год назад +17

    Huyu mdada anaakili Sana yupo vzur Mungu akujalia

  • @annamachaki3644
    @annamachaki3644 Год назад +1

    Pole sana my upepo ni mbaya sana sahv jihadhari alivosema anaweza akakufanya kitu kibaya Mungu akuepushie

    • @annamachaki3644
      @annamachaki3644 Год назад

      Ila yawezekana sio yy anatumika sio akili yake

  • @sarasaidi6078
    @sarasaidi6078 Год назад +14

    Pole sana usirudiane na ilo jitu pambana ulee watoto!

  • @OfficialRay-d1w
    @OfficialRay-d1w 3 месяца назад +1

    Daaa!pole sana mdogo wangu

  • @agnesnyenza3198
    @agnesnyenza3198 Год назад +20

    Pole sana mdogo wangu jirani yangu doooh!!!,ulivyo mrembooo jaman

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Год назад +12

    pole dada angu! mwanamke unapo olewa na kilaza ni mtihani kweli!

  • @nasiraalmandhari9135
    @nasiraalmandhari9135 Год назад +7

    Pole Dora.
    Mtangazaji wa Habari mzuri na mrembo Masha allah

  • @naomipetro3732
    @naomipetro3732 Год назад +4

    Pole dada Mungu atakusaidia yatapita yote wewe pambana kulea watoto wako vzr watakusaidia baadae Mungu anamakusudi na wew ndy maana upo hai

  • @JacklineMzena
    @JacklineMzena 2 месяца назад +2

    Pole Sana mungu atakusaidia utapona

  • @rahmaibrahim5943
    @rahmaibrahim5943 Год назад +5

    Pole xn siz hutapona tu mungu akubariki siz

  • @dannyfrankkiwia652
    @dannyfrankkiwia652 Год назад +12

    MTAGAZAJI YOUR STILL YOUTH KUTOA USHAHURI WA NDOA

  • @EstherKhaota
    @EstherKhaota 3 месяца назад

    Pole sana dadangu mungu yupo nawe usijali utapona mungu Atakupa mwanaume Bora mwenye Anaekufaa kwa maisha yako

  • @maryngati6997
    @maryngati6997 Год назад

    Pole my sister Mungu Yupo nawe utapona tu usijali ,, ila umekumbusha Kuna kipindi niliolewa na Masai kwao ni harudha alinipiga nusra anivunje mkono,, dada aki pole tu sana.

  • @rehemamadelele5124
    @rehemamadelele5124 Год назад +4

    Dada Saiz ndoa Ni mitihani Ila ndoa n changamoto Sana labda upate Mme au mke mwenye Hofu yamungu

  • @LinetMokeira-ro5uc
    @LinetMokeira-ro5uc 10 месяцев назад +1

    Pole sis mungu awe pamoja n ww aki wanaume

  • @HappyRichard-ub7kh
    @HappyRichard-ub7kh 10 месяцев назад +1

    pole sana dada MUNGU akutie nguvu

  • @tabithakarimi5989
    @tabithakarimi5989 Год назад +7

    Pole sana uyo dada anahitaji kusaidiwa aki

  • @AsdAsd-xg4sc
    @AsdAsd-xg4sc 11 месяцев назад +3

    I feel Ur pain dear siz Mungu akutie nguvu❤

  • @LinahMatowo
    @LinahMatowo 2 месяца назад +1

    Pole sana dada huyo ni muuaji achana nae kabisa, Mungu atakupa chaguo lako

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 Год назад +17

    I feel your pain usirudi kwa huyo mwanaume atakuua fanya biashara zako Lea watoto wako

  • @JessicaWendo
    @JessicaWendo Год назад +1

    Waaaa mmh mwanngu usijarubu kurudiana na huyo jamaa

  • @azimaramjali7063
    @azimaramjali7063 Год назад +7

    Dada moyo unauma wanawake jamani tuna kazi,,, pole dada Mungu atakuponya.

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 Год назад +13

    Unatakiwa kuwa makini sana wewe ni mkristo ludi kwa Yesu afungue maisha yako

  • @AminaAminatunzo-m2o
    @AminaAminatunzo-m2o 2 месяца назад +2

    Pole sana Dora Mungu akuponye

  • @rynemac99
    @rynemac99 Год назад +2

    Pole sana dadaangu mungu akutie nguvu usimame tena

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura Год назад +2

    Pole Sana mwanamke mwenzangu,dah umepitia mtihan mzito

  • @wardaa4121
    @wardaa4121 Год назад +5

    She is very beautiful 😍 Ana sura ya Baby Face

  • @PendoEnock-fm6rj
    @PendoEnock-fm6rj 3 месяца назад

    Pole dear Mungu amponye iyo ni roho ipo ndani yake Muombe Mungu

  • @aishakilimba5938
    @aishakilimba5938 Год назад +3

    Wewe Yesu anakuita okoka hizo ni nguvu za Giza ukiokoka utalindwa na BWANA amini na kwambia

  • @minanana3835
    @minanana3835 Год назад +3

    Da pole sana my wangu adi nimelia

  • @SylivesterHussein-ug5bp
    @SylivesterHussein-ug5bp 10 месяцев назад +1

    Pole sana dada yangu mungu yupo

  • @LighySteven
    @LighySteven 10 месяцев назад

    Pole San dada muombe mungu akupe uvumilivu na ujasir nakuombea upone

  • @GladysOkwaro-oz9tb
    @GladysOkwaro-oz9tb 10 месяцев назад +1

    So sad I'm watching from kenya

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu 11 месяцев назад

    nakupa pole dadangu,nkushukuru tu hakukuumbua macho kwa nguvu ya Mungu utapona na Mungu atakusaidia

  • @marymurimi9853
    @marymurimi9853 10 месяцев назад +1

    That's me 2012😢😢pole Sana mwenzangu

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Год назад +1

    Mwanaume mbaya sana huyo pole dear

  • @rahmamollely5296
    @rahmamollely5296 Год назад +10

    Ni kweli inauma sana na matatizo yapo kikubwa kuomba mungu akupe mume mwema na mwenye huruma ila Kwa swala la udogo miaka ishirin Kwa mwanamke cy mdogo jamn

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 Год назад +8

    kitendo cha kunyanyua mkono tu kumpga mke wako mkono huo ni sawa na umeupeleka ktk moto wa jahanam hv unajua uchungu wa kulea mimba miez 9 huwez mlipa hata uuze dunia na vilivyomo hapa hajaenda leba au kunyonyesha una kipi cha kumlipa mkeo jamani wanaume mbona tumekuwa wanyama kias hiki hv kwel unampga mtu hv unategemea mungu afungue njia yako ya risk walah hii chozi litamtafuna huyo jamaa hadi anaingia kaburin halitapotea kamwe hili choz subhanallah 😭😭😭😭😭

    • @marthakibona
      @marthakibona Год назад

      Mwanaume uyo anaroho yakinyama, wanawake 2nateska mungu atutangulie, polesana dada yangu unaweza sema nimmi pekeyang kumbe 2powengi2 inaumasana jamani, mungu ata pigana nae

  • @JemimaKijiu-xx7lg
    @JemimaKijiu-xx7lg 10 месяцев назад +1

    Pole Sana dada na huyo mwanaume ni shetani

  • @AlexLuchagula
    @AlexLuchagula 6 месяцев назад

    Duuh!, Pole sana dada yangu, kwa magumu uliyopitia mungu atakupa mchumba mwema achana naye

  • @FareedaMuhammed-v2r
    @FareedaMuhammed-v2r 11 месяцев назад

    Pole dadangu mungu akupe uwezo ulea watoto wakona usirudi huko mwisho atakuwa ndio ilobaki

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Год назад +3

    Mm ushauri wangu asirudi kuna siku atamuuwa kipi kikubwa wtt watakuwa wanaume tuache hizo tabia za kishenzi umeshindanwa nae muache tu km ww ndugu yk afanywe hivo utafurahia?Mm nna mwaka wa 18 kwenye ndoa na cjawahi kunyanyuwa mkono ht cku moja kunyanyuwa mkono kumpiga .wanamke .Ushauri wangu wanawake msikimbilie kuolewa tu wachunguzeni wengine aavuta bangi wanywa Pombe ushauri wa bure

  • @elizabethlyimo138
    @elizabethlyimo138 Год назад +19

    Pole mummy inauma sana Mungu akutie nguvu uweze kulea wanao. 😭😭😭

  • @zainabuhassan8424
    @zainabuhassan8424 3 месяца назад

    ooooh pole dada kwaulicho kipitia ila usiseme ukamaliza anaeudhaifuwako nandomana anaongea jeur kwahiyo mengine weka akiba yasije yakakuaibisha manenoyako unaonekana unampenda sanaa ila muombe mungu akupe pumziko na utulivu wanafsi napia muombee dua maaalum kwaajiyake ongenamungu katika maombe yakweli mwambiemungu kama huyu ndiye uliyenipawewe bc ambadilishe nakamsi nipe alie sahihi kwangu huwezjua ndiye ama siye muombe mungu atakuonyesha alie sahihi .

  • @gloryjohn3340
    @gloryjohn3340 16 дней назад

    Yesu ndio njia yako ya kweli mludiye ili akuongoze nenda EFATHA MWENGE ATAKULUDISHIA Kila kitu chako mwenyewe

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад

    Pole sana binti. Uyoo siii mtuuu ni MNYAMA. HEEE KIPIGO KAMA KAKUZAAA LOOOO EBUU. AKUKOMEEE NA ATOKOMEEE KUSIKO JULIKANA DAAA. KWANI LAZIMA? MAPENZI YALISHAGA ISHA. AENDE ZAKE.

  • @rahmaawadh1695
    @rahmaawadh1695 Год назад

    Pole sana nimekusikiliza hasa hiyo sehemu ya mimba na vitunguu poleeee nimekuelewa vzr nilikua na mimba wakipika vitungu wanavikaanga au pilau harufu yake au wali mmmhh nilikua nahisi kufa kwa kuumwa pole sana mamy

  • @esomborogeralimasi4765
    @esomborogeralimasi4765 Год назад +14

    Pole sana kweli dada yangu 😭😭😭😭

    • @MartinPangani
      @MartinPangani 10 месяцев назад

      pole dada mungu akutie nguvu omba sana

  • @mamawatoto9032
    @mamawatoto9032 Год назад +1

    Huyo mwanaume n nyoka aliona ako n sura na n mrembo ndio akamuua kumwalipia sura yake mtoto wa mtu but vumilia dada na God akutie nguvu Ili ulee watoi wako🙏🙏

  • @HaikaSelle
    @HaikaSelle 10 месяцев назад

    Jamani pole sana,kweli wanawake tunapitia magumu mengi yote ni kwa ajili ya watoto,Mwenyezi MUNGU akufanyie wepesi katika mambo yako yote

  • @januarylorri2844
    @januarylorri2844 Год назад +2

    Mungu akusaidie pole Sanaa dad wanaume acheni upuuzi mwanamke hapigwi na huyo mwanaume afungwe miaka 30

  • @beatriceraphael6025
    @beatriceraphael6025 Год назад +4

    Hebu mtangazaji kuwa smart kidogo unavaaje kofia lakulalia la hm kazini mweeee hapana kwa kwel

  • @josephrobinmalafyale8416
    @josephrobinmalafyale8416 Год назад +11

    Ntampataje huyo dada jamani nimpe hata zawadi kavumilia sana yani ni mtu wa kuumpongeza sana anapigania watoto wake pole sana Dada ake

    • @UwezoAlex
      @UwezoAlex 7 месяцев назад

      Duh! Uyo mdada mungu amlinde sana. Pole siste

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 Год назад +3

    Ooh my God it's so sad 😞 wana wake tuwe nahakili kabisa hivi vitu vyakusema eti nikiachika watu watasema vipi,kwani ukiuliwa na huyo boko halam watu siwataendelea kusema?bola waseme ukiwa hai kuriko waseme ukiwa malehemu.

  • @evalenad6256
    @evalenad6256 Год назад +22

    Wanaume wanalaana sana wallah 😢. Huyo mwanaume amepoteza bahati mwanamke mzur hivi na smart ndo akampiga hivyo.! 😢

    • @epifaniajerome
      @epifaniajerome Год назад

      Kuna mahali niliona hii story huyu dada alimtukana mume akamwambia akauze jicho apate Hela ya kujikimu😢🏃

    • @abdulkarimnassor3128
      @abdulkarimnassor3128 Год назад

      @@epifaniajerome akauze jicho!!!!

    • @epifaniajerome
      @epifaniajerome Год назад

      @@abdulkarimnassor3128 ndyoooo!! Akauze jicho apate Hela

    • @magrthmakandi7224
      @magrthmakandi7224 11 месяцев назад

      Futa wanja kwanza jamani

    • @magrthmakandi7224
      @magrthmakandi7224 11 месяцев назад

      Pole ndugu yangu

  • @chrismasebo7455
    @chrismasebo7455 Год назад +1

    Aise ichikitendo chaku pigana mbaaka kufikia levo iyo cyo kizur ila kuna tatizo pia kwako dada angu lazima ukubar ingawa wengi hawata ku ambia ulitaka aku lipie kod alafu huku taka apa faham unapo kaa nanyie ni wazazi mume unganisha dam uoni kama ni tatizo ilo pia kwako usinge taka apa faham kwako unge jii udumia kwa kila kitu ingawa iyo pia hai ondoi kuwa yule ni mzazi mwenzio angalien namna yaku ya maliza kwa maslai ya watoto wenu tusi hukum kwaku sikiliza upande m1 ingawa kitendo alicho kifanya jamaa cyo kizur

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Год назад +6

    Sawa.ndugu mtangazaji kwa husia wko

  • @BenardVenant
    @BenardVenant 11 месяцев назад +1

    Pole sana dada angu mungu akutie nguvu katika safari ya maisha yako duuuuuuuuh wanaume jamani mwanamke hapingwi

    • @malitomalito
      @malitomalito 7 месяцев назад

      Sisi kwetu mwanamke anapigwa

  • @brendahnatasha5107
    @brendahnatasha5107 10 месяцев назад +1

    Sorry so sad😢😢😢

  • @zephanialuangwaeliatosha9723
    @zephanialuangwaeliatosha9723 Месяц назад

    Hayo mahusiano yanahusiana nanini mpaka mnafikia hatua yakutaka kutoboana macho kha😢

  • @NeemaJumanne-h5d
    @NeemaJumanne-h5d 11 месяцев назад

    Dah! Kuna watu wengine ovyo jamani sasa umemzalia na anakupiga na kukuonea hvyo jamani, pole sana dada

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA Год назад +8

    😔😔pole Sana mdg wangu kweli wanaume baadhi Yao tuishi nao Kwa Akili mmh! Mimi yalinikuta kama hayo miaka ya 2014 Hadi 2016 Ila siku niliposema noo! Sikuachavhata kivuli changu nilipata shda Sana masuala ya huduma 🙌ilaa sasa alhamdulillah 🙏🏻 binti yangu ana miaka 11 yuko drs 5 na Mimi Niko zangu bize 🇴🇲🙏🏻nasaka Fulus 🙌 bhaas eti sasaa anajibebishaa wapii🤸sasa nawe uwe na msimamo lah! Sivyo utatolewa roho.mimi Niko hapa utakuja nambia

  • @HusnaAbdalla-c2g
    @HusnaAbdalla-c2g 24 дня назад

    Pole sana dada yangu

  • @EstherKabika-b4v
    @EstherKabika-b4v 11 месяцев назад +3

    TATIZO UMEMWACJA YESU KEA AJILI YA MUME BIBLIA INASEMA MSKFUNGIWS NIRA PAMOJA NA WASIOAMINI HAKUNA USHIRIKIANO KATI YA NURU NA GIZA

  • @RuthMasanga
    @RuthMasanga 7 дней назад

    Pole Sana dada

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +5

    Muandishi acha kumpotosha mwenzio.Mschana usimrudie huyo nia yake ni kukudhuru sio kukupenda. Ukimrudia atakuua huyo nia yake akufanyie kitu yeyote yule asikutamani hiyo ni aina ya ugonjwa kwa baadhi ya watu wasiokubali kuwa mapenzi hakuna kwake ila anachuki usionekane na mwengine japo yeye pia hakupendi kwa dhati

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 Год назад +3

    DUU!!POLE MWANANGU LAKINI NYINYI MABINTI MSIWE MNAKURUPUKA HAWA VIJANA WA SIKU HIZI HAWANA UPENDO WA KWELI NI MAKATILI SANA MUWACHUNGUZE KABLA YA KUINGIA KICHWA KICHWA POLE SANA

  • @MYME-u5d
    @MYME-u5d 10 месяцев назад +1

    Yaan ni mbwaa hawa mi cinaga hamu nao kabisa

  • @ElizaMolle
    @ElizaMolle Месяц назад

    mmmmm pole sana mdogo wangu lakini tuwe makini na mausiano yamitandawo

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Год назад +8

    Daah Mimi ni mume Ila hiyo sio poa

  • @AuzgudLomnyaki
    @AuzgudLomnyaki Месяц назад

    Pole sana ila hatujui mwennyeshida katienu nani maana hata wewe sio unafunga ndoa. Yakislam unaenda kanisani siutawala huo hata wewe hauko sawa nahaupo siriaz maisha jirekebishepia

  • @GrolyGrassian
    @GrolyGrassian 13 дней назад

    Dah pole San shoga ang wanaume ndo walivo jmn

  • @annajulius9940
    @annajulius9940 Год назад +5

    Hapo kwenye kununua Malaya shoga wamejaa mwingine nimemuacha juzi nimemkuta nao Kama kumi hiviii

  • @BSPYCOMPANY
    @BSPYCOMPANY 10 месяцев назад

    Duuu???? kweli wanaume ni nyoka aliye gundua msemo huo hakukosea kweli mama mzuri ivo jamani anakuzalia PC Kali ya Dunia unamdharirisha ivo kweli pole mwaya kipenzi utapona Mungu akujalie MUME mwema

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 10 месяцев назад +1

    Wanaume wengine balaaa kweliiii
    Kama mtu hampendi mwezie si muachane TU kwa amani bila kuumizanaaa😢😢😢

  • @NadiaAlly-e8s
    @NadiaAlly-e8s 10 месяцев назад

    Pole sana dada uyo mwanaume mungu atamrani shetani mmoja uyo

  • @zainabbacha696
    @zainabbacha696 Год назад +1

    Pole mwenzangu ndo mitihani laiti kama wanaume wangekuwa na alama basi naamini usingetaka hata kuzaa nae. looh alaaniwe

  • @nicoleneema6729
    @nicoleneema6729 Месяц назад

    Pole sana dadangu

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Год назад +7

    Dada MREMBO SANA na mpole

  • @mercyzephania5507
    @mercyzephania5507 Год назад +5

    Wanaume wanaopiga ndo wanavokuaga,anakua kama sio yeye kabisaa,kuna uyo aliniambia eti akipata hasira anaona giza,na ataomba msamaha ila ataridia tu tena ,yani wanakuaga kama kuna kitu kinawavaa,mimi nimegundua alikua ni narcissist, wanapata adrenaline drive akiona unateseka na hajutii kabisaa kweli,hili swala uku kwetu amna ila wanaume wa ivo wako wengii

    • @mercyzephania5507
      @mercyzephania5507 Год назад

      Na nadhani ni traumas za utotoni zinachangia mnoo,kuna kitu alinipitia utotoni,awa adi maombi ao psychiatrist ndo msaada maana kwa akili zake hawez badilika

  • @gracebrenda1199
    @gracebrenda1199 Год назад +5

    Jaman jamani wanawake mbona tunabeba mizigo mizito hivi??ee Mungu tusaidie

    • @leonardedward
      @leonardedward Год назад

      Pole sana dada anga naimani mume wako wa kweli yupo kwa mungu atakupatia

  • @Restuta-r6m
    @Restuta-r6m Месяц назад

    Pole sana mama na hongera kwa huo ujasili

  • @leahwanjiku3566
    @leahwanjiku3566 Год назад

    Pole sna dada kwa.yale yamekupata Mungu akutie nguvu huyo mwanaume ata jutia kwa matendo mambaya amafanya

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 5 месяцев назад

    Pole sana usiogope maneno anayokwabia eti atakudhalilisha acha akudhalilishe yatapita usiludianenae huyo ukiludiana nae anaenda kukumLizia achana nae kabisa tena kaa mbalinae kabisa

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 Год назад +10

    usirudiane na huo mwanaume atakuja kuua jamani pole kwa kweli

  • @FatmaEllias
    @FatmaEllias 3 дня назад

    Pole Sana

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete1762 Год назад +2

    Ivy mm mpka napigwaaa nakuwaga wapi sijuii yaani kitu kupigwaaaa mm hapanaaaa

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 Год назад

      Hebu nisaidie na we jamani mambo mazito Kwa kweli siwezi me mwenyewe

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +5

    Pole ddngu mm nataka kuingia kwa ndoa kumbe kupo ivi aki Bora niishi mpweke tu nioshe amamu za warabu 🤣🤣🤣😭😭😭😭

  • @leahnjogu8186
    @leahnjogu8186 Год назад

    Aaai mbona madadangu mnapenda kukufa haraka ? Ju tu ya jina mwanaume ama mapenzi ? Aaai am happy God with the love of God

  • @VeronicaMwasenga-p5g
    @VeronicaMwasenga-p5g 11 месяцев назад

    Pole dadaangu mungu akutie nguv