Pole dadangu nimekuona nokakumbuka 2019 nilipigwa Kama wewe mpaka nikalazwa hos miezi nne bt 4 now nashukuru mungu nimepona nanimerudi kwa boma nachunga watoto bt niiiaza shinda nikiwa na mtoto mmoja na nikashindwa niende wapi bt nataka kukuambia tafadhali dadangu achana na huyo mwanaume na uaze kazi ulee watoto na mungu atakutafutia mwanaume anayekufaa nakutakia uponyaji wa haraka na umusamehee huyo mwana ume na umuondokee ,
Mwanangu pole sana nakushauri hudhuria madhabahuni ngome ya Yesu Kristo kimara temboni, huyo mkwe hana nia njema, na ukizingatia ndugu zake hawakupendi njoo ngomeni kwa kuhani Musa uvunje hiyo roho inayomsukuma kukudhuru huwezi kujua anawaza nini! Ukisikia sauti yangu umepona
Pole my sister Mungu Yupo nawe utapona tu usijali ,, ila umekumbusha Kuna kipindi niliolewa na Masai kwao ni harudha alinipiga nusra anivunje mkono,, dada aki pole tu sana.
Ni kweli inauma sana na matatizo yapo kikubwa kuomba mungu akupe mume mwema na mwenye huruma ila Kwa swala la udogo miaka ishirin Kwa mwanamke cy mdogo jamn
kitendo cha kunyanyua mkono tu kumpga mke wako mkono huo ni sawa na umeupeleka ktk moto wa jahanam hv unajua uchungu wa kulea mimba miez 9 huwez mlipa hata uuze dunia na vilivyomo hapa hajaenda leba au kunyonyesha una kipi cha kumlipa mkeo jamani wanaume mbona tumekuwa wanyama kias hiki hv kwel unampga mtu hv unategemea mungu afungue njia yako ya risk walah hii chozi litamtafuna huyo jamaa hadi anaingia kaburin halitapotea kamwe hili choz subhanallah 😭😭😭😭😭
Mm ushauri wangu asirudi kuna siku atamuuwa kipi kikubwa wtt watakuwa wanaume tuache hizo tabia za kishenzi umeshindanwa nae muache tu km ww ndugu yk afanywe hivo utafurahia?Mm nna mwaka wa 18 kwenye ndoa na cjawahi kunyanyuwa mkono ht cku moja kunyanyuwa mkono kumpiga .wanamke .Ushauri wangu wanawake msikimbilie kuolewa tu wachunguzeni wengine aavuta bangi wanywa Pombe ushauri wa bure
ooooh pole dada kwaulicho kipitia ila usiseme ukamaliza anaeudhaifuwako nandomana anaongea jeur kwahiyo mengine weka akiba yasije yakakuaibisha manenoyako unaonekana unampenda sanaa ila muombe mungu akupe pumziko na utulivu wanafsi napia muombee dua maaalum kwaajiyake ongenamungu katika maombe yakweli mwambiemungu kama huyu ndiye uliyenipawewe bc ambadilishe nakamsi nipe alie sahihi kwangu huwezjua ndiye ama siye muombe mungu atakuonyesha alie sahihi .
Pole sana nimekusikiliza hasa hiyo sehemu ya mimba na vitunguu poleeee nimekuelewa vzr nilikua na mimba wakipika vitungu wanavikaanga au pilau harufu yake au wali mmmhh nilikua nahisi kufa kwa kuumwa pole sana mamy
Huyo mwanaume n nyoka aliona ako n sura na n mrembo ndio akamuua kumwalipia sura yake mtoto wa mtu but vumilia dada na God akutie nguvu Ili ulee watoi wako🙏🙏
Ooh my God it's so sad 😞 wana wake tuwe nahakili kabisa hivi vitu vyakusema eti nikiachika watu watasema vipi,kwani ukiuliwa na huyo boko halam watu siwataendelea kusema?bola waseme ukiwa hai kuriko waseme ukiwa malehemu.
Aise ichikitendo chaku pigana mbaaka kufikia levo iyo cyo kizur ila kuna tatizo pia kwako dada angu lazima ukubar ingawa wengi hawata ku ambia ulitaka aku lipie kod alafu huku taka apa faham unapo kaa nanyie ni wazazi mume unganisha dam uoni kama ni tatizo ilo pia kwako usinge taka apa faham kwako unge jii udumia kwa kila kitu ingawa iyo pia hai ondoi kuwa yule ni mzazi mwenzio angalien namna yaku ya maliza kwa maslai ya watoto wenu tusi hukum kwaku sikiliza upande m1 ingawa kitendo alicho kifanya jamaa cyo kizur
😔😔pole Sana mdg wangu kweli wanaume baadhi Yao tuishi nao Kwa Akili mmh! Mimi yalinikuta kama hayo miaka ya 2014 Hadi 2016 Ila siku niliposema noo! Sikuachavhata kivuli changu nilipata shda Sana masuala ya huduma 🙌ilaa sasa alhamdulillah 🙏🏻 binti yangu ana miaka 11 yuko drs 5 na Mimi Niko zangu bize 🇴🇲🙏🏻nasaka Fulus 🙌 bhaas eti sasaa anajibebishaa wapii🤸sasa nawe uwe na msimamo lah! Sivyo utatolewa roho.mimi Niko hapa utakuja nambia
Muandishi acha kumpotosha mwenzio.Mschana usimrudie huyo nia yake ni kukudhuru sio kukupenda. Ukimrudia atakuua huyo nia yake akufanyie kitu yeyote yule asikutamani hiyo ni aina ya ugonjwa kwa baadhi ya watu wasiokubali kuwa mapenzi hakuna kwake ila anachuki usionekane na mwengine japo yeye pia hakupendi kwa dhati
DUU!!POLE MWANANGU LAKINI NYINYI MABINTI MSIWE MNAKURUPUKA HAWA VIJANA WA SIKU HIZI HAWANA UPENDO WA KWELI NI MAKATILI SANA MUWACHUNGUZE KABLA YA KUINGIA KICHWA KICHWA POLE SANA
Pole sana ila hatujui mwennyeshida katienu nani maana hata wewe sio unafunga ndoa. Yakislam unaenda kanisani siutawala huo hata wewe hauko sawa nahaupo siriaz maisha jirekebishepia
Duuu???? kweli wanaume ni nyoka aliye gundua msemo huo hakukosea kweli mama mzuri ivo jamani anakuzalia PC Kali ya Dunia unamdharirisha ivo kweli pole mwaya kipenzi utapona Mungu akujalie MUME mwema
Wanaume wanaopiga ndo wanavokuaga,anakua kama sio yeye kabisaa,kuna uyo aliniambia eti akipata hasira anaona giza,na ataomba msamaha ila ataridia tu tena ,yani wanakuaga kama kuna kitu kinawavaa,mimi nimegundua alikua ni narcissist, wanapata adrenaline drive akiona unateseka na hajutii kabisaa kweli,hili swala uku kwetu amna ila wanaume wa ivo wako wengii
Na nadhani ni traumas za utotoni zinachangia mnoo,kuna kitu alinipitia utotoni,awa adi maombi ao psychiatrist ndo msaada maana kwa akili zake hawez badilika
Pole sana usiogope maneno anayokwabia eti atakudhalilisha acha akudhalilishe yatapita usiludianenae huyo ukiludiana nae anaenda kukumLizia achana nae kabisa tena kaa mbalinae kabisa
😢pole my dada mungu at kusaidia
Pole sana dada ake mungu atakusaidia utapata mtaji au utapata mume bora
Pole sana mdogo wangu. Pia nakuomba ishi maisha yako. Mungu atakupa mume mzuri na utaishi maisha ya raha.
C nm.
Pole dadangu nimekuona nokakumbuka 2019 nilipigwa Kama wewe mpaka nikalazwa hos miezi nne bt 4 now nashukuru mungu nimepona nanimerudi kwa boma nachunga watoto bt niiiaza shinda nikiwa na mtoto mmoja na nikashindwa niende wapi bt nataka kukuambia tafadhali dadangu achana na huyo mwanaume na uaze kazi ulee watoto na mungu atakutafutia mwanaume anayekufaa nakutakia uponyaji wa haraka na umusamehee huyo mwana ume na umuondokee ,
Huyu dada anahitaji suluhu na mmewake ila Huyu mtangazaji kuma2 kama kumazingine anaongea kama anafirwa
@@ismailmsisa6362 nkt waongea vipi wewe
Pole sana dada ang mung atakujalia utakuwa sawa
😢😢😢
@@ismailmsisa6362Mungu akurumie kuma iyoiyo ndoilikutoa apa duniani muwe namipaka kwakuongea uruma sana 😢😢
Pole sana dada maisha ni safari iliyojaa misukosuko vumilia utafika ninacho kushauli ukeshe ukiomba mungu
Pole San dadag mushukuru mungu upo salam
Pole sana dada ndoa sio vitaachana nayo
Pole sana mungu atakusaidia kama umeona na yamekupa usirudi nyuma mungu atakuinulia watu wa kukusaidia
Mwanangu pole sana nakushauri hudhuria madhabahuni ngome ya Yesu Kristo kimara temboni, huyo mkwe hana nia njema, na ukizingatia ndugu zake hawakupendi njoo ngomeni kwa kuhani Musa uvunje hiyo roho inayomsukuma kukudhuru huwezi kujua anawaza nini! Ukisikia sauti yangu umepona
Pole sana dada yangu mungu ata ingilia kati
Huyu mdada anaakili Sana yupo vzur Mungu akujalia
Pole sana my upepo ni mbaya sana sahv jihadhari alivosema anaweza akakufanya kitu kibaya Mungu akuepushie
Ila yawezekana sio yy anatumika sio akili yake
Pole sana usirudiane na ilo jitu pambana ulee watoto!
Daaa!pole sana mdogo wangu
Pole sana mdogo wangu jirani yangu doooh!!!,ulivyo mrembooo jaman
Ni kweli mume wanaishi kwa madai ya mume wanaishi pamoja aliongea na global tv
😭😭
Hao. Tena. Ndugu
pole dada angu! mwanamke unapo olewa na kilaza ni mtihani kweli!
Umejuaje
Pole Dora.
Mtangazaji wa Habari mzuri na mrembo Masha allah
Okay
Pole dada Mungu atakusaidia yatapita yote wewe pambana kulea watoto wako vzr watakusaidia baadae Mungu anamakusudi na wew ndy maana upo hai
Pole Sana mungu atakusaidia utapona
Pole xn siz hutapona tu mungu akubariki siz
MTAGAZAJI YOUR STILL YOUTH KUTOA USHAHURI WA NDOA
Matangazaj ana vipaji vingi 😅
Pole sana dadangu mungu yupo nawe usijali utapona mungu Atakupa mwanaume Bora mwenye Anaekufaa kwa maisha yako
Pole my sister Mungu Yupo nawe utapona tu usijali ,, ila umekumbusha Kuna kipindi niliolewa na Masai kwao ni harudha alinipiga nusra anivunje mkono,, dada aki pole tu sana.
Dada Saiz ndoa Ni mitihani Ila ndoa n changamoto Sana labda upate Mme au mke mwenye Hofu yamungu
Pole sis mungu awe pamoja n ww aki wanaume
pole sana dada MUNGU akutie nguvu
Pole sana uyo dada anahitaji kusaidiwa aki
I feel Ur pain dear siz Mungu akutie nguvu❤
Pole sana dada huyo ni muuaji achana nae kabisa, Mungu atakupa chaguo lako
I feel your pain usirudi kwa huyo mwanaume atakuua fanya biashara zako Lea watoto wako
Mom mungu atakusaidia kulea watoto wako usijali
Waaaa mmh mwanngu usijarubu kurudiana na huyo jamaa
Dada moyo unauma wanawake jamani tuna kazi,,, pole dada Mungu atakuponya.
Polesana muombemungu2 atakusaindia atais ukundoayo
Unatakiwa kuwa makini sana wewe ni mkristo ludi kwa Yesu afungue maisha yako
Pole Sana mwangu huyo hakufai achana nae
Pole sana Dora Mungu akuponye
Pole sana my
Pole sana dadaangu mungu akutie nguvu usimame tena
Pole Sana mwanamke mwenzangu,dah umepitia mtihan mzito
She is very beautiful 😍 Ana sura ya Baby Face
Pole dear Mungu amponye iyo ni roho ipo ndani yake Muombe Mungu
Wewe Yesu anakuita okoka hizo ni nguvu za Giza ukiokoka utalindwa na BWANA amini na kwambia
Unamaono Kam mimi
Da pole sana my wangu adi nimelia
Pole sana dada yangu mungu yupo
Pole San dada muombe mungu akupe uvumilivu na ujasir nakuombea upone
So sad I'm watching from kenya
nakupa pole dadangu,nkushukuru tu hakukuumbua macho kwa nguvu ya Mungu utapona na Mungu atakusaidia
That's me 2012😢😢pole Sana mwenzangu
Mwanaume mbaya sana huyo pole dear
Ni kweli inauma sana na matatizo yapo kikubwa kuomba mungu akupe mume mwema na mwenye huruma ila Kwa swala la udogo miaka ishirin Kwa mwanamke cy mdogo jamn
Daa pole dada
kitendo cha kunyanyua mkono tu kumpga mke wako mkono huo ni sawa na umeupeleka ktk moto wa jahanam hv unajua uchungu wa kulea mimba miez 9 huwez mlipa hata uuze dunia na vilivyomo hapa hajaenda leba au kunyonyesha una kipi cha kumlipa mkeo jamani wanaume mbona tumekuwa wanyama kias hiki hv kwel unampga mtu hv unategemea mungu afungue njia yako ya risk walah hii chozi litamtafuna huyo jamaa hadi anaingia kaburin halitapotea kamwe hili choz subhanallah 😭😭😭😭😭
Mwanaume uyo anaroho yakinyama, wanawake 2nateska mungu atutangulie, polesana dada yangu unaweza sema nimmi pekeyang kumbe 2powengi2 inaumasana jamani, mungu ata pigana nae
Pole Sana dada na huyo mwanaume ni shetani
Duuh!, Pole sana dada yangu, kwa magumu uliyopitia mungu atakupa mchumba mwema achana naye
Pole dadangu mungu akupe uwezo ulea watoto wakona usirudi huko mwisho atakuwa ndio ilobaki
Mm ushauri wangu asirudi kuna siku atamuuwa kipi kikubwa wtt watakuwa wanaume tuache hizo tabia za kishenzi umeshindanwa nae muache tu km ww ndugu yk afanywe hivo utafurahia?Mm nna mwaka wa 18 kwenye ndoa na cjawahi kunyanyuwa mkono ht cku moja kunyanyuwa mkono kumpiga .wanamke .Ushauri wangu wanawake msikimbilie kuolewa tu wachunguzeni wengine aavuta bangi wanywa Pombe ushauri wa bure
Pole mummy inauma sana Mungu akutie nguvu uweze kulea wanao. 😭😭😭
ooooh pole dada kwaulicho kipitia ila usiseme ukamaliza anaeudhaifuwako nandomana anaongea jeur kwahiyo mengine weka akiba yasije yakakuaibisha manenoyako unaonekana unampenda sanaa ila muombe mungu akupe pumziko na utulivu wanafsi napia muombee dua maaalum kwaajiyake ongenamungu katika maombe yakweli mwambiemungu kama huyu ndiye uliyenipawewe bc ambadilishe nakamsi nipe alie sahihi kwangu huwezjua ndiye ama siye muombe mungu atakuonyesha alie sahihi .
Yesu ndio njia yako ya kweli mludiye ili akuongoze nenda EFATHA MWENGE ATAKULUDISHIA Kila kitu chako mwenyewe
Pole sana binti. Uyoo siii mtuuu ni MNYAMA. HEEE KIPIGO KAMA KAKUZAAA LOOOO EBUU. AKUKOMEEE NA ATOKOMEEE KUSIKO JULIKANA DAAA. KWANI LAZIMA? MAPENZI YALISHAGA ISHA. AENDE ZAKE.
Pole sana nimekusikiliza hasa hiyo sehemu ya mimba na vitunguu poleeee nimekuelewa vzr nilikua na mimba wakipika vitungu wanavikaanga au pilau harufu yake au wali mmmhh nilikua nahisi kufa kwa kuumwa pole sana mamy
Pole sana kweli dada yangu 😭😭😭😭
pole dada mungu akutie nguvu omba sana
Huyo mwanaume n nyoka aliona ako n sura na n mrembo ndio akamuua kumwalipia sura yake mtoto wa mtu but vumilia dada na God akutie nguvu Ili ulee watoi wako🙏🙏
Jamani pole sana,kweli wanawake tunapitia magumu mengi yote ni kwa ajili ya watoto,Mwenyezi MUNGU akufanyie wepesi katika mambo yako yote
Mungu akusaidie pole Sanaa dad wanaume acheni upuuzi mwanamke hapigwi na huyo mwanaume afungwe miaka 30
Hebu mtangazaji kuwa smart kidogo unavaaje kofia lakulalia la hm kazini mweeee hapana kwa kwel
Yaani sijui kabila gani huyu😅
Nilita kusema
Jamani labda amekurupuka usingizini akaona bora akahoji mbio mbio.
Ntampataje huyo dada jamani nimpe hata zawadi kavumilia sana yani ni mtu wa kuumpongeza sana anapigania watoto wake pole sana Dada ake
Duh! Uyo mdada mungu amlinde sana. Pole siste
Ooh my God it's so sad 😞 wana wake tuwe nahakili kabisa hivi vitu vyakusema eti nikiachika watu watasema vipi,kwani ukiuliwa na huyo boko halam watu siwataendelea kusema?bola waseme ukiwa hai kuriko waseme ukiwa malehemu.
Wanaume wanalaana sana wallah 😢. Huyo mwanaume amepoteza bahati mwanamke mzur hivi na smart ndo akampiga hivyo.! 😢
Kuna mahali niliona hii story huyu dada alimtukana mume akamwambia akauze jicho apate Hela ya kujikimu😢🏃
@@epifaniajerome akauze jicho!!!!
@@abdulkarimnassor3128 ndyoooo!! Akauze jicho apate Hela
Futa wanja kwanza jamani
Pole ndugu yangu
Aise ichikitendo chaku pigana mbaaka kufikia levo iyo cyo kizur ila kuna tatizo pia kwako dada angu lazima ukubar ingawa wengi hawata ku ambia ulitaka aku lipie kod alafu huku taka apa faham unapo kaa nanyie ni wazazi mume unganisha dam uoni kama ni tatizo ilo pia kwako usinge taka apa faham kwako unge jii udumia kwa kila kitu ingawa iyo pia hai ondoi kuwa yule ni mzazi mwenzio angalien namna yaku ya maliza kwa maslai ya watoto wenu tusi hukum kwaku sikiliza upande m1 ingawa kitendo alicho kifanya jamaa cyo kizur
Sawa.ndugu mtangazaji kwa husia wko
Pole sana dada angu mungu akutie nguvu katika safari ya maisha yako duuuuuuuuh wanaume jamani mwanamke hapingwi
Sisi kwetu mwanamke anapigwa
Sorry so sad😢😢😢
Hayo mahusiano yanahusiana nanini mpaka mnafikia hatua yakutaka kutoboana macho kha😢
Dah! Kuna watu wengine ovyo jamani sasa umemzalia na anakupiga na kukuonea hvyo jamani, pole sana dada
😔😔pole Sana mdg wangu kweli wanaume baadhi Yao tuishi nao Kwa Akili mmh! Mimi yalinikuta kama hayo miaka ya 2014 Hadi 2016 Ila siku niliposema noo! Sikuachavhata kivuli changu nilipata shda Sana masuala ya huduma 🙌ilaa sasa alhamdulillah 🙏🏻 binti yangu ana miaka 11 yuko drs 5 na Mimi Niko zangu bize 🇴🇲🙏🏻nasaka Fulus 🙌 bhaas eti sasaa anajibebishaa wapii🤸sasa nawe uwe na msimamo lah! Sivyo utatolewa roho.mimi Niko hapa utakuja nambia
Pole Sana jaman
Pole sanaaa
Pole sana dada yangu
TATIZO UMEMWACJA YESU KEA AJILI YA MUME BIBLIA INASEMA MSKFUNGIWS NIRA PAMOJA NA WASIOAMINI HAKUNA USHIRIKIANO KATI YA NURU NA GIZA
Pole Sana dada
Muandishi acha kumpotosha mwenzio.Mschana usimrudie huyo nia yake ni kukudhuru sio kukupenda. Ukimrudia atakuua huyo nia yake akufanyie kitu yeyote yule asikutamani hiyo ni aina ya ugonjwa kwa baadhi ya watu wasiokubali kuwa mapenzi hakuna kwake ila anachuki usionekane na mwengine japo yeye pia hakupendi kwa dhati
DUU!!POLE MWANANGU LAKINI NYINYI MABINTI MSIWE MNAKURUPUKA HAWA VIJANA WA SIKU HIZI HAWANA UPENDO WA KWELI NI MAKATILI SANA MUWACHUNGUZE KABLA YA KUINGIA KICHWA KICHWA POLE SANA
Yaan ni mbwaa hawa mi cinaga hamu nao kabisa
mmmmm pole sana mdogo wangu lakini tuwe makini na mausiano yamitandawo
Daah Mimi ni mume Ila hiyo sio poa
Pole sana ila hatujui mwennyeshida katienu nani maana hata wewe sio unafunga ndoa. Yakislam unaenda kanisani siutawala huo hata wewe hauko sawa nahaupo siriaz maisha jirekebishepia
Dah pole San shoga ang wanaume ndo walivo jmn
Hapo kwenye kununua Malaya shoga wamejaa mwingine nimemuacha juzi nimemkuta nao Kama kumi hiviii
Duuuuu
Duuu???? kweli wanaume ni nyoka aliye gundua msemo huo hakukosea kweli mama mzuri ivo jamani anakuzalia PC Kali ya Dunia unamdharirisha ivo kweli pole mwaya kipenzi utapona Mungu akujalie MUME mwema
Wanaume wengine balaaa kweliiii
Kama mtu hampendi mwezie si muachane TU kwa amani bila kuumizanaaa😢😢😢
Pole sana dada uyo mwanaume mungu atamrani shetani mmoja uyo
Pole mwenzangu ndo mitihani laiti kama wanaume wangekuwa na alama basi naamini usingetaka hata kuzaa nae. looh alaaniwe
Pole sana dadangu
Dada MREMBO SANA na mpole
Wanaume wanaopiga ndo wanavokuaga,anakua kama sio yeye kabisaa,kuna uyo aliniambia eti akipata hasira anaona giza,na ataomba msamaha ila ataridia tu tena ,yani wanakuaga kama kuna kitu kinawavaa,mimi nimegundua alikua ni narcissist, wanapata adrenaline drive akiona unateseka na hajutii kabisaa kweli,hili swala uku kwetu amna ila wanaume wa ivo wako wengii
Na nadhani ni traumas za utotoni zinachangia mnoo,kuna kitu alinipitia utotoni,awa adi maombi ao psychiatrist ndo msaada maana kwa akili zake hawez badilika
Jaman jamani wanawake mbona tunabeba mizigo mizito hivi??ee Mungu tusaidie
Pole sana dada anga naimani mume wako wa kweli yupo kwa mungu atakupatia
Pole sana mama na hongera kwa huo ujasili
Pole sna dada kwa.yale yamekupata Mungu akutie nguvu huyo mwanaume ata jutia kwa matendo mambaya amafanya
Pole sana usiogope maneno anayokwabia eti atakudhalilisha acha akudhalilishe yatapita usiludianenae huyo ukiludiana nae anaenda kukumLizia achana nae kabisa tena kaa mbalinae kabisa
usirudiane na huo mwanaume atakuja kuua jamani pole kwa kweli
Pole Sana
Ivy mm mpka napigwaaa nakuwaga wapi sijuii yaani kitu kupigwaaaa mm hapanaaaa
Hebu nisaidie na we jamani mambo mazito Kwa kweli siwezi me mwenyewe
Pole ddngu mm nataka kuingia kwa ndoa kumbe kupo ivi aki Bora niishi mpweke tu nioshe amamu za warabu 🤣🤣🤣😭😭😭😭
Mmm unajifunza Kwa walioshindwa
Kwa kweli had shida
Tuoshe hammamu mmy🤣🤣🤣
Kuosha amamu maana ya ni nini?kiswahili ngumu sana
@@geraldsimbeye4810 kweli
Aaai mbona madadangu mnapenda kukufa haraka ? Ju tu ya jina mwanaume ama mapenzi ? Aaai am happy God with the love of God
Pole dadaangu mungu akutie nguv